Ndio sababu una jina Linaitwa panga. Siku zote usijifikirie nafasi yako Bali fikiria na ustawi wa wenzako. Tanzania inajipambanua kuwa ni nchi ya amani , utulivu na ya kistaarabu. Kwa hili sioni Kama iko sahihi.
kiukweli huu ni uonevu wa hali ya juu naomba watetezi wa haki za binadamu mkishirikiana na Raisi mpya wa TLS Doctor Ajunjulile Mwabukusi wawasaidie hawa ndugu zetu wapate haki yao
Kweli ukiwa na madaraka unajiona Mungu kabisa sorry unajiona shetani kabisa maana unakosa utu na ubinadamu. Fikiria watu hawa wanateswa na serikali yao. Inauma sana sana. Mpaka hapa taifa liko yatima tu kwa haya yanayoendelea kwa viumbe hawa halali toka kwa Mungu. Mungu awatie nguvu sana na kuwafuta machozi
Jambo hili lipelekwe kwa TLS kwa kuwa tumempata Rais mzalendo Mwabukusi. Hili Jambo la Ngorongoro lilianza na Marehemu Rais mwinyi kuuza Ngorongoro kwa mwana mfalme. Mwandishi wa gazeti la Mfanyakazi Stan Katabaro aliuawa kwa kashfa ya Loliondo gate. TLS kibarua ndiyo hiyo. Article 4 ya katiba yenu Sasa ifanye KAZI.
Taifa litangaziwe wazi wazi kwamba Ngorongoro sasa ni eneo la wageni,halina tena mtanzania hata mmoja kwahiyo limefutwa,sio eneo la kupigia kura tena,vinginevyo serikali na tume waweke vituo kata zote na majina yahakikiwe katika daftari la kudumu la wapiga kura uchaguzi ufanyike kama kawaida,haki itendeke amañi itawale vichwani mwa watanzania.
CCM IMESHA WAUZA KWA WARABU NYINYI WATU WAMESHAPIGA ELA KM CHUKUENI MIKUKI MPAMBANE CCM HAWATAKI KUWAONA NGORONGORO CCM WAMESHA IUZA NGORONGORO KWA DP NDIO MAANA MMENYIMWA HAKI YA KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA HAO NDIO CCM HATA HAO MNAOWAELEZA NDIO WALEWALE.
Niserikali katili sana
Hongereni tuko nyuma yenu
Mambo haya hayana baraka za Mungu.Hamuwezi kujenga na kuimarisha uchimi wa nchi kwa kusumbua wananchi.Acheni si vyema hata kidogo.
Kaeni hapo ni nchi yenu mungu atawalinda ila wafutini ipo siku yao.
Janani wageni wanasaniniwa kuliko wananchi wawekezaji ieseeee inasikiisha sana
Nyie ni watanzania kama walivyo wengine msibadilishe msimamo bakin nyumban kwenu ngorongoro
Mwabukusi kaingia kazini subirini akabidhiwe ofisi nitmuomba aanze na sakata la Ngorongoro
Hiserekali inaroho mbaya sana wamasai wameishi miaka yote eti Leo unawahamisha
Unawatoa watu kwenye aridhi Yao unamleta warabu kweli!! Nakubali namimi ni
Wanyama hawana uchaguzi
Ndio sababu una jina Linaitwa panga. Siku zote usijifikirie nafasi yako Bali fikiria na ustawi wa wenzako. Tanzania inajipambanua kuwa ni nchi ya amani , utulivu na ya kistaarabu. Kwa hili sioni Kama iko sahihi.
RIP JPM😢😢
Chukueni Kila chenu muhamishie kule kizimkazi
Muulizeni Ndugai
kiukweli huu ni uonevu wa hali ya juu naomba watetezi wa haki za binadamu mkishirikiana na Raisi mpya wa TLS Doctor Ajunjulile Mwabukusi wawasaidie hawa ndugu zetu wapate haki yao
Serikali yetu sikivu tunaomba kilio chetu cha kisikilizwe!!
Ingekuwa sikivu isingeandaa mpango wa kikatili kiasi hiki. Hata shetani hajawahi kuwa katili hivyo
Tls angalieni la gorongoro
MUNGU atawapa haki yenu
Kataeni ccm
Mmenena vema shetani hakemewi kwa lugha ya upole
Kweli ukiwa na madaraka unajiona Mungu kabisa sorry unajiona shetani kabisa maana unakosa utu na ubinadamu. Fikiria watu hawa wanateswa na serikali yao. Inauma sana sana. Mpaka hapa taifa liko yatima tu kwa haya yanayoendelea kwa viumbe hawa halali toka kwa Mungu. Mungu awatie nguvu sana na kuwafuta machozi
Jambo hili lipelekwe kwa TLS kwa kuwa tumempata Rais mzalendo Mwabukusi. Hili Jambo la Ngorongoro lilianza na Marehemu Rais mwinyi kuuza Ngorongoro kwa mwana mfalme. Mwandishi wa gazeti la Mfanyakazi Stan Katabaro aliuawa kwa kashfa ya Loliondo gate. TLS kibarua ndiyo hiyo. Article 4 ya katiba yenu Sasa ifanye KAZI.
Dawa ni moja.hakuna kuhama nikuingia vichakani na mishare ya sumu.mshare Haina milio nikipigo Cha kimya kimya.
Sio tume ni serekali ya chama Cha CCM
yaani na hawa wamasai kuwepo hapo pia ni ALAMA ya URITHI wetu sie Tanzania. Kenya wamasai wenzao wapo..
Sema baba ukweli. Mna haki yenu nyie.
Taifa litangaziwe wazi wazi kwamba Ngorongoro sasa ni eneo la wageni,halina tena mtanzania hata mmoja kwahiyo limefutwa,sio eneo la kupigia kura tena,vinginevyo serikali na tume waweke vituo kata zote na majina yahakikiwe katika daftari la kudumu la wapiga kura uchaguzi ufanyike kama kawaida,haki itendeke amañi itawale vichwani mwa watanzania.
Mwabukusi alisema tunapigania nchi kwa vita ya makaratasi dhidi ya mikataba mibovu inayoingia serikali ya ccm mwabukusi anza na hii
Inamaana huyu mama kizimkaz hasikii hayaaa mbona inaudhi jmn ni ndugu zetu hawaa laana itawajia nyiee
Tumieni kingereza ili inje ya inch wasikie
Mwa wa mfalume from ABDHABI SAUDIA ndo anayewatesa nyie serikali kaiweka mkononi
Fungueni vita ya maumau dhidi ya serekali ya waarabu. kama maumau ya wa kikuyu wa Kenya. Üzeni ngombe mnunue bunduki.
Wasonjo hata nyie ma jaah? Kweri?
Haaa haaa kweli niakina Ajaa
Eti unamuomba rais wakat yey ndo anasababisha matatzo yoote hayo huyu mama msimtete yy ndo tatzo
CCM IMESHA WAUZA KWA WARABU NYINYI WATU WAMESHAPIGA ELA KM CHUKUENI MIKUKI MPAMBANE CCM HAWATAKI KUWAONA NGORONGORO CCM WAMESHA IUZA NGORONGORO KWA DP NDIO MAANA MMENYIMWA HAKI YA KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA HAO NDIO CCM HATA HAO MNAOWAELEZA NDIO WALEWALE.
Usimtee rais hili yeye ndo anayetoa ruhusa ya wasaidizi wake wafanye hsyo