PART 2: TUNDU LISSU AMUWASHIA MOTO MAKONDA/ ASHUGHULIKIWE/ WASITUTISHE/ NANI MACHAWA?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#TUNDULISSU #MAKONDA #RAISSAMIA
One of the best interview, muuliza maswali katulia akirusha maswali ya akili yenye mabomu ya ukweli, tundulisu anayapooza kidogo na ye anarusha mabomu yake, safi sana I really in joy the best interview,
Huyu anayehoji anaitwa nani....yuko well composed and confident. Atafika mbali professionally
Lissu ni mmoja tu,,,nakupenda sana mzee wang Mungu alikuacha kwa sababu muheshimiwa💪😍😍
Daaah huyu mwamba ni hatari sana, anashusha nondo za hatari sana💪💪💪
Hii sasa ndio maana halisi ya maswali na majibu sio ujanja ujanja kila swali lina jibu lake ✊✊
Mwandishi ni Genius sana
Hata mjibu maswali ni mwerevu nadhani
Jamaa hujutii kufatilia interviews zake he’s bright kweli kweli!! Mungu amtunze
Yaani naweza kumsikiliza Lissu 24/7 yaani 😂😂😂😂 sichoki yaani!!
Jamaaaa anajua anajuateeeeena
Kwa kweli
Dah nguo za chadema nzuri sana🔥🙏.
safi sana risasi kutetea nchi yetu kwani cc wanyonge hatutaweza kusomesha elimu ya kisasa!!
Nguo Kali sana
Akili nyingi sana T.A.L huyumbi ktk misimamo bado ni mtu yuleyule kwenye hoja hata baada ya mengi kutokea....una misimamo ya msingi kufata hoja husika.....hakika Namshukuru Mungu kwa maisha aliyokupa na akili alizoweka ndani yako....kuna mahali umelisaidia Taifa hili pakubwa mno.......Heshima kwake comrade mbowe the mastermind of the game...
Dar 24 Media ina waandishi makini sana, sio michezo hata siasa! Bravo
Mr. Journalist You've earned my respect BIG UP...
Tundu Lissu anajielewa..anajitambua Yaani Daah Jamaa Anatisha sana..Long life Mkuu uzidi na kutufungua akili.
Mwandishi uko vizuri, maswali ni ya msingi na una nidhamu na taaluma yako.
Anachofeli ni kidgoo sana kabla hajamaliza kuelezea anataka kuuliza swali lingine
Hakuna swali halijajibiwa, hoja kwa hoja, asante sana mnyampaa kwakweli Mungu amekubariki kwa hekima tele.
Siku uliyopigwa risasi nililia sana. Nidhani hii akili kubwa tumeipoteza. But God is God he is here again
Hata Mimi niliumia sana,maana angepotea huyu jamaa,tungepoteza mengi sana! Nampenda bila hiana!
Nakumbuka nilikuwa nakula nilishindwa kuendelea..niliumia sana tena sana
Ukimhoji lissu usiwe na degree moja.
😅😅😅
Mwandishi wa habari uliye mhoji Mh Lissu, umenikosha Sana mtuwangu kwa maswali hevi, maswali yenye kuonyesha uhodari na uwezo wako wa kumfanyia mtu interview. Kongole Mzee Baba.
Lambat ameonyesha uwezo sana...
Yupo vze sana
Uyu muandishi anauliza maswali point na is My no 1 muandishi kwangu
Yuko vizuri
An interview,Best ever !
Napenda sana Tundu Lissu anavyojibu maswali. Yaani unakuta anahamu sana ya kujibu maswali, anavyoelezea kama alikuwa kaandaa maswali yeye na majibu mapema. Lakini mtangazaji na yeye kasomea taaluma yake nimempenda sana.
Lisu anahakili huyooo
@@Wamoyothenumberone hatar sana
TL 💪💪
Brilliant!
You've earned my respect Mr. Journalist
Lisu pigania katiba mpyaa ukumbukwe nawatanzania milelee
For sure
NIMEIPENDA HIYO ETI MIMI NAZEEKEA KWENYE MAPAMBANO😅😅😅😅 SAFI KABISA.
Umenifurahisha sana mheshimiwa....
Kama movie vile! Mwandishi uko vizuri.
Host uko vizuri
Nimefurahishwa na hii interview, Mwandishi yuko vizuri,na Kamanda Lissu yuko vizuri. Watuhumiwa wote waliotenda jinai awamu ya 5, iweje Sabaya peke yake ndio amefikishwa mahakamani?! Awamu hii ya sita inaacha maswali na mshangao juu ya watuhumiwa wengine ambao bado wanafumbiwa macho kana kwamba hawana tuhuma wakati wananchi tumeumizwa!
Sebaya alikuwa more expose 😳 kuliko makonda
Daaa! Ku-appreciate mambo anayofanya mtu ni njema sana. Dr. Slaa alifanya kazi sana
Ni kweli alifanya kazi kubwa sana..lkn kama kamanda aliyetegemewa na wengi akiwajibika kuongoza mapambano akiwa msitari wa mbele, ghafla alichomoka na kurudi nyuma na kuwaachia wenzake msala, suruba, mateso nk! Matokeo ni kama yanavyoshuhudiwa sasa...kuganga athari za hasara zilizotokea (damage control), yeye akiwa upande salama wa watesi aliokuwa anakabiliana nao! Ni majanga!
Mungu akupe uzima tuuu we ni kiongoz makin san
Hapa tu ndo namaliziaga MB zangu pia amepata mtu anaejua kuuliza maswali naamini iposiku fisiem itatupwa mbali
Rais wangu big🧠✌️
Mwandishi uliza maswali ya maana siyo ya kina sillaa na lowassa
Lissu kiboko. Hajutii yaliyomkuta,wala hapiganii cheo au maslahi binafsi Bali mstakbali mzuri wa maisha ya watoto wake,na watanzania wa kesho, Heri usiogope kufa, kuliko kuogopa kufa alafu ufe! Lumbert naye, acha kabisa!
Hiyo ni kampeni akisha shika madaraka. Yotehayo anayaongea hutayaona.
@@merckmdamu2942 umejuaje ??? Mbona anaongea kubadilisha mfumo wautawala, unaotoa hakisawa kwakila mtz, Wala huelewi hayayote
Asante mkuu wetu lisu mngu azido kuwa nawe na zaidi nazaidi
Dar 24 naomba namba ya ac niwawekee ela kidogoo yakula
Mta gazaji pendwa huyu Asante sana kwa interview safi
Sahihi kabisa Tindu Lisu. Viongozo wetu wanaishi Kifalme mno......
Mmekutana kweli,Muuliza Maswali na Anayejibu wote vichwa, Techniques questions and Techniques answers!!
Waoo Nice interview ever ( 24) 👍👌❤🇨🇭
For the first time I understand and I will start following you
Ushabiki pembeni... Uzi wa Chadema ni mkali sana. Hiyo shati nimeielewa sana.
Mwandishi huyu huwa ana akili. Fuatilia interview zake na Kasesela na hata watu wengine. He is clever and composed. THE BEST INTERVIEW WITH LISSU
Anajitahidi lkn weledi bado sana! Viwango vya wanataaluma fani ya hbr bado...hilo liko wazi ktk mahojiano haya..kakutana na mbobezi wa sheria!
Yupo kama salimu kikeke wa BBC
Sawa kabisa Tundu unaakili sana
Nchi masiki inatakiwa kuishi kimasikini! Point ☝️
Big Point
Bigup mwandishi ,i see you far
Journalist very impressive
This man is Very smart
Lissu is a very wise person hasa hasa kwenye swala la uraia pacha.
Dah mwandishi uko unakosha Santa💯💯💯
SHKAMOO Mhe Lissu
Moja ya watu wakihojiwa na nakuwa na utayari wa kuangalia na kusikiliza mahojiano nao nchini kwangu ni Tundu Lissu
Asante Sana nimekuelewa mweshimiwa
Waandishi bora wanapowahoji mtu kama Tundu Lissu na Fatma Karume basi hiyo interview itakuwa bora sana” Maana hao wawili wanajua mengi sana kupitiliza”
Lissu ni mtu makini sanaaaaa
Wewe jamaa ni bonge la interviewer. TAL ni Super Genious
Nukimsikiliza tundu lisu najiona kama najua sheria.
Jichanganye ss ujipime km nikwel unaijua iyo sheria😂😂
Good work Journalist 👏
Kila cku huwa namshukulu Mungu Kwa kuniwezesha kumshuhudia huyu kiumbe huw wanatokeaga Mara Moja ndani Miaka milioni Kama Taifa tunapaswa kujivunia na kumshukuru Mungu Mungu ampe Maisha marefu azidi kumlinda
Kwa Lissu Huwa sijuti kuweka Bando hata Kama itagharimu Gb 20
Nakubali najua unamkubali kama mm ✌️✌️✌️✌️
Kweli kabisa jamaa Yuko more focus sana
Huyu lisu ni kichwa na nusu ,, mungu akujaalie maisha marefu mpaka ufanikishe ndoto zako za kuiacha Tanzania yenye katiba mpya amin
Ndo hapo unajiuliza hadi. Unachoka. Zambia. Burundi uganda rwanda hawana bandari Lakini mafuta yao yako chini. .Sisi tuna bandari lakini mafuta yako. Juu.
Viongozi wetu hawatujali wanajali wao kuendesha ma vi8 na maisha yao mazuri na familia zao. Hawawazi wananchi wananchi tupo kuwatumikia wao waishi vizuri na wapambe wao
Kuwa na mtoto mwenye uraia wa marekani au nchi nyingine sio kukosa uzalendo. Ni mambo ya kawaida sana. Tunawajua watanzania wa kawaida kabisa waliopata fursa ya kuishi marekani, kufanya kazi kule na kuzaa watoto wao kule na wabongo hao hao wamerudi nchini kuendelea na maisha
Ndio umekaririshw au
ALLAH AKUHIFADHI
Tundu lissu my alltime role model
Mtangazaj uko vizur saf sana
Safi sana
Thank you Mr.Jornalist....
Huyu anatakiwa kuwa raisi aisee
Chawa ni mdudu mchafu,😁😁😂,maswali konki na majibu konkiiiii🤗💯👍🏾💪🏿👍🏾Tundu Lissu 🙏🏿💪🏿
Jaman tumpe lissu nchi kama kweli tunahtaji future za watoto wetu wenye IQ kubwa mtanielewa mapema sana hata wakuu mpeni nchi kama kweli mnapenda nchi na vizazi vyenu pindi mtapokuwa hampo dunian
Kampe nyumba yako
Tundu Antipas Lissu ni rais ajaye wa nchi hii tukipata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.?
Na ikitokea akawa RAIS,nchi hii itapata haki na uhuru wa kweli kwa watu wake , Kwani Lissu siku zote toka ujana wake anapigania Haki Haki Haki. Na kwa ajili ya haki hiyo,Mungu alimnusuru na kipigo cha risasi 16.mwiilini mwake. Huku akimbakizia Afya,Hekima na Busara za kupigiwa upatu
Kweli kabisa... katiba mpya ndio kila kitu. Hilo linafahamika wazi wazi.
Lissu unaakili sana, tangia umerudi umefanya interview nyingi na zote nikizisikiliza ni darasa huru
Kwakua huna AKILI iliyojisimamia
Uyu jamaaa ni kichwa kweli kweli yaani ni kichwa ni mtu na Nusu! Hii Nchi anaimudu Sana!
Lissu upo vizuri mna watu wasiojua ndo wanapata shida
Kuna mtu alitushughulikia saana!!!Kwa miaka takriban sita.Alituua,tujeruhi,alitufunga,AMETANGULIA.wasititishe??!!!!ASEEE HAPA MH TUNDULISSU umeongea kwa hisia saana.Any way kama kweli Magu Alishiriki wewe upigwe Risasi Hakika alikosea saana
Huyu jamaa nihatari kabisa anajuwa kuongea . Magufuli alitaka ku muuwa shujaa alafu yeye aka tangulia . Lissu ni mwana siasa bora Africa
BIG BRAIN MR LISSU
Huyu mwandishi ni hodari sana.
Big up sn Mr.Stanslaus ur good journalist
Iv kuna watu walitaka kumuua huyu mtumishi wa Mungu iseeh😢
Huyu jamaa anajua kuhoji aisee, kongole kwake👏👏👏
Nampenda sana huyu mzee natamani ange kuwa baba angu
Anza kumpenda baba ako kwanza.. 😎
@@kbmsouth 🙌😂
@@kbmsouth Umejua kunichekesha Sana 🤣🤣🤣 je Kma Baba Ake Ni Kilaza Kuna makosa hpo Kusema ivyoo 😂😂😂 Ila Ungeuliza kwann Unasema ivyo nadhani Angekupa jibu 😂😂😂
@@kbmsouth 🤣🤣🤣🤣
Hata hivyo Ni baba yako maana mtu yeyote anaelingana na baba yako Ni baba yako
Kweli tundulisu kunawatu watoto wao wamezaliwa humu lakini siyo wazalendo kweli kabisa wewe unauzalendo mpaka wanataka kukutoa uhai wako lakini umo tu
Genius
Maongezi murua sana. Anayehoji anahoji vizuri na Tundu Lissu anajibu vizuri sana 👏👏👏
Nachojua 2020 hakukuwa na uwezekano wa Mbunge wa Chadema kushinda ubunge popote Tanzania. Hata yule mmoja sjui alipataje
Lisu Ni mkweli sana
Hate him or love him, Tanzania needs this man
Sure. I totally agree with you
Kwa nchi ilivyo na kwa siasa za rafu za nchi hii zilivyo, MBOWE bado anastahili kuwa mwenyekiti mze
@@johngibson3089 Sana. Na ndiyo maana hapendwi. Ni great strategist.
🤣🤣🤣🤣🤣nishida hiki kifaa
Mostly needed
Excellent
Big brain, hazina ya nchi.
Lisu Baba naomba ukawe mwenyekiti wa kuipata katiba mpya.... Katibu God bless lema.....
Tanzania itakuwa Kama urusi....
Kusemwa Kama umekosea is good,kwa sisi WAISLAM Kuna usemi unasema ukumbusho unamfaa mwenye kuamini na mtu anaekueleza ukweli jua anakupenda,rais Samia ni MUISLAM na Uislam hauruhusu MWANAMKE KUA KIONGOZI Kama ni Muislam aachie ngazi la anapanda dunia Basi aendelee,Ila namshauri asiape kwa msahafu hiki kitabu NI kwaajiri ya wachamungu.
Kaka ukiuliza swali tulia huyo Ni wakili msomi hawezi kujibu juu juu lazima udadavuliwe
18 V.A.T it's not fear,,wanatumiza sana,,
Best journalist ever
Nimefikiria mbali saana , wazazi wa huyu jamaa siku ya kushiriki sakaramenti takatifu walikuwa wamejipanga kweli kweli akatokea kiumbe mtu na nusu tundu lissu
😂😂😂😂
Mwanasiasa mahiri kbisa sijawahi kuona! Hongera mwandishi!
Classic interview
Lisu ni kichwa,mitego yote ya maongezi anahisia nayo kabla,BIG UP!👍🏿
Lisu ameni kumbusha mambo ya history ya A'level ( European history)....
Lissu ni hazina ya nchi. Watanzania wasiokubali hili- wataelewa tu hapo baadae
Unajuwa sana lisu ixee, u deserve 2be our president indeed...
Nakupenda sana Lisu. Heri watanzania wangekujua
Lisu ni top 10 CCM wapende wasipende