Rais wa TLS ni Mwabukusi, Ataja Waliohujumu ,' Walifikiri TLS ni Kitu cha Kawaida', Amtaja Lissu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mawakili imemtangaza Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi kama Rais mteule wa Chama cha Mawakili (TLS) akipokea kijiti kutoka kwa Harold Sungusia.
Mwabukusi ameibuka kidedea kwa kupata kura 1,274 mbele ya mgombea Sweetbert Nkuba aliyepata kura 807 Jumla ya wapiga kura wote walikuwa ni 2,206
Uchaguzi huu wa TLS umevutia watu wengi hasa kutokana na vuta ni kuvute iliyotokea baada ya Mwabukusi kuondolewa na kamati ya rufaa ya uchaguzi mnamo Julai 05,2024, jambo ambalo alilipinga kwa kwenda Mahakamani.
Mnamo Julai 26, Mwabukusi alirejeshwa kwenye kinyang’anyiro na Mahakama ya Tanzania.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Nchi hii inahitaji viongozi jasiri wenye maono kama hawa.
Asante Mungu
Dhuluma imeshindwa...Haki imetamalaki...
Hongera Sana brother Mungu akupe hekima ktk kipindi cha uongozi wako nenda kafanye kazi kwa kumtanguliza Mungu ukaisimamie haki ukafanye mageuzi ya kweli.
Hongereni Sana Mawakili Kumpata Jasiri mtetezi wa moto wa African
Ati wa nini masikini na roho yako😅😅
Amshaa tls TANGANYIKA
😂😂😂@@hassanmfaume4522
Hongra Sana Kaka Mwabukusi umepita Sana lakini Mungu hajakuacha watanzania tulikuwa nyuma yako
Congratulations mh. Mwabukusi
Tunaompenda Mh Mwambukusi tukatoe sandaka ya kumshukuru sana Mungu.msikitin au kanisan.sasa sheria zitafuatwa
Waoh!Hongera sn Kaka.Tanzania mpya inakuja
Hongera sanax2 Mwambukusi kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa TLS
Tumaini kwa utawala wa sheria.
Hii ni alama ya kuja kushika nchi
This man is tough, conglatullation Mwabukus, conglatullation TLS.
Hapo TLS wameonesha ukomavu wa uchaguzi ulio wa haki na uwazi
Mioyo ya WATANZANIA imechangamshwa❤.
Hongera kaka Mwabukusi, kwa ushindi Mwenyezi Mungu akusimamie katika kutekeleza majukumu ya kujenga nchi yetu
Hongera sana mwabukusi nijua tu hakuna wa kukushinda kama uchaguzi ni wa haki,
Hongera sana mwabukusi Kwa ushndi huo,usitazame kilichokufikisha hapo,Bali angalia makusudi yawewe kuwepo hapo na Nini? Timiza kusudi la Mungu hapo.
Hongera sana Kaka Mwabukusi sijui sheria lakini nimefurahi sana kuchaguliwa kwako Mungu akubariki sana.
Hongera mwabukusi na hongera kwa mawakili wote wa Tanzania kwa kuniona thamani ya Taifa hili TLS kwa awaami nyingine kupata Rais wa TLS Mzalendo mpenda haki. Ni mawakili watatu sasa niliowashuhudia wenye uzalendo 1. Tundu A. Lissu 2. Fatima S. Karume 3. Bonophace K. Mwabukusi "HAKI HUINUA TAIFA"
Hongera sana mh mwambukusi
Hapo muondoe fatma Karume hayumo kabisa ktk uadilifu
hongera sana mpambanaji Mungu akutangulie ktk majukumu mapya unayoelekea kuyatekeleza
Hongera sana ndugu Mwakubusi. Ni wewe. Umechaguliwa na wananchi, TLS, na watanganyika wote.
Wakili msomi Mwabukusi Mungu amesikia maombi yetu na juhudi zako za kupigania haki,tutazidi kumtukuza na kumsifu Mungu kwaajili ya haki.
Kamanda hakikisha chaguzi zote zinasimamiwa na tume sio tamisemi
Sasa Roho yangu imeridhika kumsikia Mwabukusi ni Raisi Wa TLS
Hongera sana wanasheria wetu. Kazi ianze sasa kuhakikisha Haki kwa watanzania wote inasimama katika kila kitongoji kwa kufuata sheria za nchi yetu. ❤
WATANZANIA TUNAIMANI SANA NA TLS.
Furaha haina usomi, furaha ni furaha tu.
Kama umekuwa jeshini, unajua! so ione kawaida
Mimi Kwa furaha niliyonayo nimeshindwa cha kuandika.......
Congratulations Mr mwabukusi
Yaani
Bro ndo ushaandika hapo au vepe
Hongera wakili Mwabukusi kushinda uchaguzi wa TLS waliosema wanakunyang'anya vyeti mungu amewadhalilisha vya kutosha-piga kazi nakuunga mkono sana,Tanzania ni yetu sote
Hongereni sana mawakili kwa uchaguzi uliotukukaa Hakika Mungu amewaonekania
Viva mwabukusi
Mwambukusi woyoo woyooooooooo safi sana wapiga kura wote muliomchaguwa Mwambukusi Allah asimame na nyie
Mwabukusi Mungu azidi kukubariki na azidi kukulinda.Hongera sana kwa ushindi.
Wanasheria mjihadhari tu na suala la umimi na ninaamini mambo yataenda vizuri.
Nazidi kuamini kuwa haki haibembelezwi inadaiwa kwa ujasiri mkubwa
Ongera Mwabukusu 🎉🎉🎉🎉
Wakati wa Mungu umekuja (nuru imekuja giza limekimbia) nakupongeza mtumishi wa Mungu kazi hiyo ni ya Mungu usiogope mtumikie Mungu utaishi.
Hongera rais mteule wa TLS mawakili hongereni kwakupata kiongozi mpenda haki nimefurahi sana🎉
Watanzania wamechagua jembe. Hongera sana. Sasa kumekucha.
Utamtambuaje kama Ameokoka Tutamtambua Kwa Matendo Tutaona Matendo Maneno Tumeyaona Japo Maneno Yanaweza Kununua Hata Ndege Lakini Maneno2 Tunasubiri Matendo
Mungu awe nawe Mwabukusi watanzania tunakutunakuamini
😂😂😂😂 hakunaga Mwaisa Mshamba
Honger sana mheshimiwa bonifasi mwambukuss
Ndo maana ya wasomi mmechagua chaguo sahihi,kwakweli mtatufanya hata wananchi tujivunie huyu mwamba
Kama umeelewa miwani ya mama kuwa anaroho mbaya na mwambukusi gonga like
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Hongera mwabukusi,hongera tls!
Mwenyezi Mungu asante sana kwa kutupatia shujaaa
Habari ndo hiyo..nchi hii ni yetu WOTEEE..
wa golf la mko..mnasemaje??
Naiona bandari yetu inarudi pia naiona tanganyika yetu inapatikana ni suala la muda tu mungu
Mawakili hongereni sana mmemchagua mtu sahih kwenu kwa wakati sahihi,mmeonyesha ueledi wa hali ya juu sana
Mwanzo wa matumaini ya watanzania imeanza kuonekana kwa mawakili kumpata mtu sahihi Mwambukusi Sasa mwaka kesho kitaeleweka tu kumpata Rais wa inchi tunaye mtaka Hawa majizi wa rasilimali za inchi lazima watoke
Hongera kk ila kua makini ktk uongozi wk mamluki wanakuaga ndani ya chama ata Yesu alixatiwa na wanafunz wk.
❤safisana umepambana wajina wangu.
Haki imeshinda dhuluma
Mbona msoma matokeo roho yake haina furaha anapotaja jina la Mwabukusi?!,Haki imeshinda dhulma,Giza limeshindwa kuifunika Nuru!Congratulations Advocate Mwabukusi our new TLS president!.
Tafuta clip nzima mzee ipo
Itoshe tu mimi kusema kuwa,wewe ni tumaini la Watanzania waliowengi na ni SAUTI ya wanyonge,tumekutuma na tunakuamini, kafanye kazi brother.
Matumaini yangu mikataba ambayo itakuwa Haina masilai kwa inchi msikubaliane nayo
Kuna gu-DC gunaitwa gu-Julius Mtatiro gulianza kupiga kampeni mbaya kwenye mitandao ili kuwashawishi wapiga kura wa TLS wasikuchague Bwana mwambu usichukue urais
Ungeshindwa ningeshangaa ukitoka huk gombea urais kabisa wa nchi ni mtu mwenye uzalendo na nchi yet
My future president.. for Tanganyika! Mungu akuwekee Mkono wake Mtukufu, Amina.
Congratulaaaation mwanaharakati wetu kidume Mhe Mwabukusiii😂😂😂😂💪💪💪💪💪💪
Kaka yetu mwabukusi wa busokelo kwetu hongela sana kaka mungu akuongoze safali ni ndefu kaka mungu akulinde damu ya yesu ikufunike.
Mwabugusi congratulations
Wana tls ongereni kwa maamuzi mliofanya huyu mtu anastahili napia niya njema hailogwi mwabukusi nimekuelewa
Big up
TUNAWASHUKURU SANA MAWAKILI KWA KUTULETEA MTU SAHIHI
Mzeee hongeraaaaa sanaaaaa
Watu wengi wanakosa haki sababu ya kutokujua sheria lakini ukijua tu haki zako lazima wakuogope
Hongera sana Boni
Naomba uanze kuwasaidia kesi za tume huru ya uchaguzi ili ifanyiwe marekebisho, iwe tume huru ya ukweli sio hii danganya toto
Nakukibali sana mwaisa kwetu sisi haki ni kipaumbele sana
Amina tunamshukuru Mungu asanteni sana mawakili kwa uchaguzi makini naamini Mungu analengo
Asante Mungu
Hongera kaka mwambukusi
Mawakili upande wa BAR mmeacha uchawa,mmeonyesha kutetea fani yenu,wananchi tunataka sasa mjitoe kwetu,mjiondoe kwenye kuipendelea serikali mfanye kazi kwa kufata sheria kama wa private section...
Mungu akutunze sana
Naona watu wana Imani kubwa nawewe ,hata mm pia nina imani pia,katende haki kwa watanganyika wote na wasio watanganyika pia
Watanzania wengi sana tunakuunga,mkono.
Naomba na. za Mwabukusi taf.
Namuona mtu kama big brain @Bob Chacha Wangwe alongside Mdude Nyagali.???...safi sana
Asanteni sana mawakili wenye akili nzuri
Kiukweli nilipenda sana nchi iongozwe zaidi na wanasheria wasiopinda kama Mwambukusu ili watusaidie kuvuka vizuizi vyote vinavyoashiria dhulma yoyote katika Tanganyika yetu. Tanganyika ni nchi iliyobarikiwa sana haifai kuharibiwa kinamna yoyote ile. Mungu akulinde sana na hujuma zote zinazoweza kukufuata
Tumaini tarajiwa kwa wananchi kwa utawala bora wa sheria🎉❤🎉
Nikurubie kusema haya ni Mapinduzi kwa mwenye uoni sahihi.
hongera baba
Hongera sana Boniface Mwabukusi kwa ushindi mkubwa ulioupata kweli unastahili sana Mungu wa Mbinguni akulinde akupe Afya njema na Maisha malefu.
Nmefurahi sanaaa Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Mwabukusi
Big up, Advocate Mwabukusi
Mama nimeipenda mewani zake !!
uwepo wako umeongeza energy sn kwa wanasheria wenzio,tupambanie jmn wananchi tumebemendwa muda mrefu sn juu ya haki zetu
Alhamdulilah
Mwanangu bob nakuona hapo yaaani furaha yangu haitoshi good job
Mwenyezi Mungu tunakushukuru kumchagua Mwabukusi mzalendo umjalie yale ya haki inayotamani Tazania. Uesu mfunike kwa damu yako mwepushe na mwovu yoyote yanayopangwa jui yake aweze kusaidia Tanzania
Hongera sana mkuu, unastahili kwa asilimia mia.
Hongera sana Jasiri na Mpenda haki ushindi wako ni wetu watanzania. Fanyeni mchakato sasa kumrejeshea haki yake Bi Fatma Karume🙏.
Hongera sn mh mwabukus kwa ushind wa kishindo
Aminaaaa
Hongera sana Mwabukusi
HONGERA SANA MWABUKUSI HUO NI MWANZO WA KUYAENDEA MAFANIKIO YA KUSHIKA UONGOZI KTK HILI TAIFA
TLS hongereni sana mmepata mtu katika watu muhimu sana huyu Ni jasiri sana 🎉🎉
Ongera mtetezi wa nchi na rasimali zake
Hongeraaaaaa tumeshinda watanzania wore tunaeapenda mawakiri woteee tanzania
Hongera mwabukusi
Hongera saaana MWAMBA.Tulikuwa tunakutegemea saaaaana.MUNGU Aendelee kukutete asikuache AKUPE AFYA njema yakuuitetea nchi unafaa kuwa Raisi wa nchi yetu