Tundu Lissu, Zitto Kabwe Wagusa Panapouma | Washusha Hoja Nzito Mabadiliko Tume ya Taifa Uchaguzi..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 เม.ย. 2024
  • Taarifa ya kubadilisha jina la 'Tume ya Taifa ya Uchaguzi' kuwa 'Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi", imepenya kila kona na kila mdau amekuwa na mtazamo wake kwenye mabvadiliko hayo.
    Kwenye #powerbreakfast April 12,2024, Huyu hapa Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA na Zitto Kabwe Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT.

ความคิดเห็น • 214

  • @Entertainment-hg4ms
    @Entertainment-hg4ms หลายเดือนก่อน +6

    Hotuba za Tundu Lissu(The Law giver) zitakuja sikilizwa na vizazi na vizazi.
    We are taking for granted ya huyu kiumbe .
    He is very exceptional

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 หลายเดือนก่อน +29

    Tundu lissu super brother

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm หลายเดือนก่อน +33

    Na ieleweke wazi kuwa Raisi huyuhuyu ni kiongozi wa chama na ni mgombea uraisi. Conflict of interests. Hakuna uhuru hapa. Ni uhuru bandia au karatasi tu, haukupi nguvu yoyote kama Mtanzania. Inaipa CCM nguvu zote na haki zote. Ni upendeleo na ubinafsi bila kujali haki wala sheria Za chama vingi. Ni dictatorship inayobarikiwa na wana CCM na kuwadharau sana wananchi. Wananchi wanadai katiba mpya ili iondoe huu uchafu. Ndipo Tume huru itathaminika na hawa wana CCM.
    Tundu Lisu, uko sahihi kabisa kisheria.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน

      Kwa maelezo yako tatizo sio Katiba ni UKATIBA. Ni kweli 99% Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi (SIO TUME) wanaipendelea CCM lakini sio Kikatiba. Katiba yetu ipo vizuri sana tatizo HAIHESHIMIWI na wakati mwingi HAITEKELEZWI. Sasa hii KATIBA MPYA bila Watanzania kuwa na UKATIBA ni bure.

    • @user-lm3lt7xx6l
      @user-lm3lt7xx6l หลายเดือนก่อน

      FACT

  • @davidsilwamba2465
    @davidsilwamba2465 หลายเดือนก่อน +14

    Be blessed my Excellency honourable tundu lisu the great thinker.

    • @khalfannahayimbekwa1440
      @khalfannahayimbekwa1440 หลายเดือนก่อน

      Wengine hatukuelewi Tangazeni Lugha yetu ya Taifa kiswahili .tuwatendee haki wananchi wetu waliowengi.tunafahamiana .

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 หลายเดือนก่อน +11

    Hakika Mungu akuzidishie maisha na afya njema mh. Tundu

    • @SalvaJoseph-lq8tq
      @SalvaJoseph-lq8tq หลายเดือนก่อน

      Napenda hoja zenu waandishi wawe hata vijijini kwetu yako mambo mengi yana tuumiza kama hayo Mmsera Kati

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp หลายเดือนก่อน +28

    Ndomaana lisu Hatakiwi Kuishi Yani Nizaidi Ya mwalilimu Ata Mbumbu Anaerewa Nondo za Lisu

  • @lorelore2930
    @lorelore2930 หลายเดือนก่อน +12

    Yaan to be honest napenda sana kumsikiliza lissu wallah, yaan anajua sana kuongelea huyo jamaa kweli ni mwanasheria namba moja tanzania hakuna ubishi

  • @PolycarpMassawe
    @PolycarpMassawe หลายเดือนก่อน +21

    Respect brother tundu lissu

  • @edesaron9070
    @edesaron9070 หลายเดือนก่อน +16

    Mwamba lissu💪

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr หลายเดือนก่อน +12

    Huyu tundu lisu nizaid yamkombozi wa nchi hii tumuunge mkono kwakila mwenye akili timamu,na mzalendo wa kweli

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 หลายเดือนก่อน +3

      Hakika ndugu umeongea ukweli, kila mtu mwenye akili timamu atamuunga mkono Tundulissu. Lakini kama mtu hana uelewa au ni chawa mnufaika na mfumo wa kifisadi wa ccm hawezi kumkubali huyu mwamba. Ni jambo la wananchi tuamke tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na tumkatae shetani ccm na wafuasi wake wote uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, madiwani, wabunge na Rais.

  • @danielkagola6332
    @danielkagola6332 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akupe umri mrefu Lissu

  • @JoshuaMutinda-fb4fu
    @JoshuaMutinda-fb4fu หลายเดือนก่อน +9

    Baba w taifa lisu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko หลายเดือนก่อน +7

    Lisu hakili nyingi

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o หลายเดือนก่อน +10

    Kilichobadilika hapo Ni jina

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 หลายเดือนก่อน +9

    Lissu anajitaidi kutuamsha

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 หลายเดือนก่อน

      Huyu ndugu yetu nakuelewa sana . Kifupi yuko vizuri sana.

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 หลายเดือนก่อน +4

    Lissu ni Mtu moja safi tuu ila kwakuwa ni Yuko upande wa pili ndio maana watu wanajilazimisha kutomwelewa lakini wakikaa chemba wanajisemea yule bwana ni Mtu.

  • @shilogileshilogile4392
    @shilogileshilogile4392 หลายเดือนก่อน +6

    Katiba mpya ni ya lazima CCM waache Longolongo

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 หลายเดือนก่อน +6

    Zito nimekuelewa na pia lisu limekuelewa zaidi

  • @charlespeter560
    @charlespeter560 หลายเดือนก่อน +4

    Changamoto ya Zitto ni undumilakuwili. Hivi kweli kuna mpinzani yeyote aliyewahi kutangazwa kirahisi rahisi? labda yeye peke yake. Inabidi tukubaliane kwa upamoja, tuna changamoto kubwa sana kwenye Tume yetu na kuirekebisha ni jukumu letu sote. Tusilete usanii usanii.
    Tunapokuwa na mamalka ya uteuzi na usimamiaji wa uchaguzi iliyo fair na HURU, inapelekea kuwa na viongozi sahihi ambao jamii husika inawahitaji, na ndio chanzo muhimu cha maendeleo kwa jamii husika.
    Huwezi ukapandikiza viongozi kwenye jamii ukategemea kutakuwa na harmony kati ya jamii na huyo/ hao kiongozi. Inakuwa kama kujenga Mnara wa babeli na ndio moja ya vyonzo vya kutokuwa na maendeleo katika jamii zetu.
    Jamani, Tanzania ni yetu sote, Tunapokuwa na Tume imara na iliyo HURU kweli, ni faida kwa Watanzania wote. Sio Watawala sio wapinzani, ni watanzania wote.

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa kawaida mwizi hapendi ukweli ni mtu wa Giza daima hakuna tume huru hapo ni maigizo tu

  • @JoshuaMutinda-fb4fu
    @JoshuaMutinda-fb4fu หลายเดือนก่อน +7

    N mbadala wa baba wa taiga tundulisu,

  • @mwengajacob4514
    @mwengajacob4514 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera Mh Tundu, nampongeza mh. Zito pia maana Leo ndio kidogooo namuona Kabwe yuleee wa miaka Ile. Kipindi kizuri. Big up

    • @user-gl8kc3ec8s
      @user-gl8kc3ec8s หลายเดือนก่อน +1

      Hakika Huyu ndie mh zito alie Nishawihi kuielewa Chadema❤

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 หลายเดือนก่อน +3

    Hongela lissu poti

  • @user-cp1pu4ev8h
    @user-cp1pu4ev8h หลายเดือนก่อน +6

    Zito kabwe ni afadhali ukimwi ndumila kuwili

  • @josephtheophill6918
    @josephtheophill6918 หลายเดือนก่อน +12

    Nchi hii inatakiwa iongezwe na Rais mwenye akili kama Lissu

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน +1

      Nchi inaongozwa kwa utaratibu maalum sio akili za mtu fulani.

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka หลายเดือนก่อน +2

      Mwamba Tundu Lisu🙏✌👊

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka หลายเดือนก่อน +2

      Jamani tume ili iwe huru wajumbe wagombee nafasi watume cv zao endapo rais anateua nasi itakuwa jina tu limebadilika bali bado tume itakuwa nado iko chini ya milki ya ccm

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka หลายเดือนก่อน

      nasi =bali

    • @kaguripenina63
      @kaguripenina63 หลายเดือนก่อน

      ​@@hajihassan5433xawa lakin mtu mwenyeakili ndio anakubali kuweka utaratib unauzungumzia kaka haji

  • @danielkanso
    @danielkanso หลายเดือนก่อน +2

    Hii ni zaidi ya shule big up Lisu nikuelewa sir kubadilisha jina siyo kutatua tatizo bali naona changamoto iko pale pale sijaelewa nini maana ya kubadili jina la tume

  • @tobiasimruma703
    @tobiasimruma703 หลายเดือนก่อน +2

    Watanzania thanks jaman

  • @PhilipoMwita-ge2oj
    @PhilipoMwita-ge2oj หลายเดือนก่อน +13

    Chama pekee Cha upinzani ni chadema tu
    Hivi vyama vingine hakuna kitu
    Unakuaje chama chama Cha upinzani halafu unaenda sawa na chama tawala
    Chama Cha upinzani nikupinga serikali kwa hoja

  • @salumchema5098
    @salumchema5098 หลายเดือนก่อน +11

    Tundulisu.kiboko

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsanteni ACT na Mwami upo vizuri sanaaaaaaaa

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน +4

    KATIBA MPYA NI SASA

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 หลายเดือนก่อน +4

    Watanzania tumezoea kudanganya lakini hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho

  • @ghettoboysmusic7118
    @ghettoboysmusic7118 หลายเดือนก่อน +3

    Nimeipenda hii inatuonyesha jinsigani wanasiasa wanavyo pambana Kufanya yao Sema sisi wananchi baado hatuja elewa na kusimama Kama wananchi

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 หลายเดือนก่อน

      Watanzania tumechukuliwa misukule,hata tufanyeje,hatuelewi na hatutaelewa.hapa ni kuomba nusura ya Mungu.

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 หลายเดือนก่อน +3

    Zito, anafanya kazi ya ccm

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 หลายเดือนก่อน +4

    Kushiriki chaguzi zijazo kwa sheria hii ni kuikanyaga KATIBA

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 หลายเดือนก่อน +3

    Waliounga juhudi (wabunge,madiwani) waliharibu sana ari ya wananchi kuwaamini wanasiasa kuwa niwachumia tumbo badala ya mageuzi.

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 หลายเดือนก่อน +4

    kaamka saa 9 mwenzenu anawasubri

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 หลายเดือนก่อน +5

    Lissu viva❤

  • @FestoOlomi
    @FestoOlomi หลายเดือนก่อน +2

    Kazi kweli kweli

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye หลายเดือนก่อน +2

    Nch ya machawa na majambaz wapo tayar kuuwa ili waendelee kutawala milele

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน +5

    👊✌👍.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 หลายเดือนก่อน +1

    Good lissu💪💯💪

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน +4

    Kipanya ukimyumbisha Lisu hatayumba!, wewe sikiliza nondo,ukifikia swali jingine uliza atakujibu katika hazina yake ya hekima....

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania ya Leo sio ya 1977, watawala wasijisahau kabisa 😳😳😳

  • @evelina9621
    @evelina9621 8 วันที่ผ่านมา

    Baba.umesema.kweli.tume.iko.mikononi.ccm

  • @user-ms3tp9oy2o
    @user-ms3tp9oy2o หลายเดือนก่อน +1

    Nice from tz

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo tume siyo huru, jina tu ndo imebadilika, ingebaki tu kuitwa tume ya Taifa uchaguzi, muundo wake bado ni ule ule,watumishi wa wa tume wasitokane na watumishi umma!.

  • @desmondchelango
    @desmondchelango หลายเดือนก่อน +4

    Kiukweli VIONGOZ mliepewa kibali Cha kutusemea tunawaombea mikakati ya katiba mzidishe uzito usifanyike uchaguzi kabla ya katiba mpya maana kama nchi Iko salama uchaguzi tutafanya hatakama itakuwa ni 2027 kikubwa uchaguzi ufanyike ndani ya katiba mpya✅ 👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆

  • @safiyaalharthy6382
    @safiyaalharthy6382 หลายเดือนก่อน

    God bless Tundu Lissu

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso หลายเดือนก่อน +3

    Mwaka huu mbona katiba mpya itapatikana tu,watu wataandamana hamtaamin kitakacho tokea hii nchi. (Prophecy).

  • @user-iz4te4gs5s
    @user-iz4te4gs5s หลายเดือนก่อน +4

    Public coments

  • @AgustinFonga
    @AgustinFonga หลายเดือนก่อน +1

    Yaani ni uchaguzi waRAISi sio ushaguzi WA nchi akiona hashindi anaweza kufuta uchaguzi huo au akabadili Katiba na akiungwa mkono na watu wake ambao aliwapa ulaji na ndio wote walio serikalini wanaufanyia sheria

  • @user-ht4ud5ro4v
    @user-ht4ud5ro4v หลายเดือนก่อน

    Very though

  • @JoshuaMutinda-fb4fu
    @JoshuaMutinda-fb4fu หลายเดือนก่อน +1

    Mama katuchezea tunataka time huru katiba mpya

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 หลายเดือนก่อน +2

    Duuh!! Mambo bado yataendelea kama ndio hivi! Kuendelea ni ngumu!!

  • @jovankishamba9424
    @jovankishamba9424 หลายเดือนก่อน +3

    Uliofanyika kwenye TUME ya UCHAGUZI NI USANII.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 หลายเดือนก่อน

      Wanafikiria kuweka neno HURU ndiyo Tume imekuwa huru

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 หลายเดือนก่อน +6

    ACT hawaaminiki!

  • @ABSTemu
    @ABSTemu หลายเดือนก่อน +1

    Badoo! Hata TL mmemkatiza!

  • @justineoctavian4938
    @justineoctavian4938 หลายเดือนก่อน +7

    Zitto mtu wa ajabu sana aise!!

  • @user-hz1xf1kl3l
    @user-hz1xf1kl3l หลายเดือนก่อน +3

    Tumehu ifanyiwe marekebisho bd hawaja fanya mambo yanayo takiwa ilitume iwe huru

  • @alfredmaumba780
    @alfredmaumba780 29 วันที่ผ่านมา

    Tundulissu yuko sahihi sana na hii ndio watanzania tunataka jamani

  • @user-nw7li6kp1t
    @user-nw7li6kp1t หลายเดือนก่อน +2

    Uchaguzi ni jambo mhimu ni msingi wa mambo yote unayotaka tufanye sisi chadema tunataka tume huru siyo tume ya kubadirisha jina tu,

  • @CasmiryNikata
    @CasmiryNikata หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde Tundu Lissu na wote wenye lengo baya juu ya usalama wako watatangulia kufa wao, mkono wa Mungu uwe juu yako.

  • @danielkanso
    @danielkanso หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli kwa bunge hilii ???

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 หลายเดือนก่อน

    ... Eye opening

  • @kabalilapatrick1904
    @kabalilapatrick1904 หลายเดือนก่อน +2

    Online

  • @user-oc1jm5zn6g
    @user-oc1jm5zn6g หลายเดือนก่อน

    Lissu mwamba

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa watangazaji upeo wao ni ndogo sana Clouds wangetafuta watangazaji wenye upeo hawaulizi maswali ya maana

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari หลายเดือนก่อน +1

    Tunahitaji tume huru iliyo huru. Sio kubadili jina la tume.

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 หลายเดือนก่อน +1

    Long the way to go Tanzania people to no mind down for ever one 😅

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d หลายเดือนก่อน

    Hapa makonda anasema tuonane 2025 ana uhakika kuwa wizi utatumika tume ya uwongo lisu mungu akubariki tanzania poleni na ujinga huo

  • @mussangao3164
    @mussangao3164 หลายเดือนก่อน +3

    Elimu yangu ndogo mara elfu 20 ya Zitto kabwe lakini mawazo na akili za Zitto hata mtoto wa chekechea hawez kubaliana nae 😂Zitto zaman sijui kunamtu alikuwa akimwandikia vya kuongea bungeni mbona siku hiz amekuwa kama poyoyo flan hiv

    • @bhaijanali5092
      @bhaijanali5092 27 วันที่ผ่านมา

      Akili yake ilibakia chadema

  • @RamaNinga-jv2xw
    @RamaNinga-jv2xw หลายเดือนก่อน

    Tume iliyopo imepitwa na muda wake ni lazima ibadilishwe kuendana na mahitaji ya sasa,,,VIVA CHADEMA.

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 หลายเดือนก่อน +1

    Iissu akiongea unaona kbsa tunaongozwa na watu wenye uwezo mdogo

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 หลายเดือนก่อน +1

    Mama anajua sanà ku(bye time)nà pesa kutumika vibaya kuunda tume zisizo na majibu.

  • @praygodmawalla7884
    @praygodmawalla7884 หลายเดือนก่อน

    Kulimlinganisha Lisu and Zitto ni tusi msimtafutie umaarufu Zitto kwa mgongo wa Lisu.

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn หลายเดือนก่อน

    Akina Lissu bwana, hongereni sana. Ila dada mtangazaji anataja namba ya simu ya kuchangia harakaharaka kwa spidi ambayo nadhani wengi kama si wote si rahisi kuinukuu! Hivyo nadhani wachangiaji sasa watakuwa haba kama si hakuna!

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 หลายเดือนก่อน +2

    Lissu ni akili kubwa

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi หลายเดือนก่อน +2

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน +2

    Mhe.Ole ngurumwa uko sahihi,ni kiasi tu cha kurekebisha vifungu husika vya katiba iliyopo,ili tupate tume huru halisi ya uchaguzi; lakini ccm hawatataka ni ng'ang'anizi kama Nyerere,na wao wanaamini katika ujamaa wa ushindi milele!

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa hawa wanafanyia pesa zetu ufisadi kwa tume sisizo na maana yoyote wala matokeo ya maana

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo ni tume ya ccm na samia

  • @michaelernest4814
    @michaelernest4814 หลายเดือนก่อน

    Yaani craus mbalikiwe sana kumleta mheshimiwa lisu.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน +2

    TATIZO SIO UPANDE TATIZO NI SHERIA

  • @ChristopherSteven-oe1dd
    @ChristopherSteven-oe1dd หลายเดือนก่อน

    Ni vema mnatufumbua macho

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน +1

    Mnaojadili mnatambua kuwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Ambapo Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila kupigiwa kura yoyote Zanzibar, je hiyo ni sawa?

  • @OscarBethel
    @OscarBethel หลายเดือนก่อน +4

    Je bunge kama hili linawe,za kutupati time huru?

    • @OscarBethel
      @OscarBethel หลายเดือนก่อน +1

      Je bunge hili la Sasa linaweza kutupatia tume huru?

    • @OscarBethel
      @OscarBethel หลายเดือนก่อน +2

      Tusitegemee kupata tume huru Kwa wabunge hawa walioko bungeni kwani hata walivyoingia bungeni ni vioja vitupu hawezi kutupatia tume huru kwani tunawajuwa ni wapiga meza hawana uzalendo kabisa

    • @frankcharles3980
      @frankcharles3980 หลายเดือนก่อน +1

      ZITO KABWE UMEFIRISIKA KISIASA USHAKUBARI KUA KICHWA HASARA

    • @gangan4618
      @gangan4618 หลายเดือนก่อน +1

      ​@OscarBethel Hao wabunge wenyewe ni zao la tume mbovu hii ya CCM na katiba mbovu hii iliyopo INAYOWALINDA kwa msaada wa NGUVU YA DOLA.

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv หลายเดือนก่อน

      Mjomba umesahau mkataba wa DP WORLD Kuna munge yeyote alipinga ule mkataba pale ni acha maisha yaendeleeee

  • @ikotilissu5380
    @ikotilissu5380 หลายเดือนก่อน +1

    Sheria inapingana na Katiba! Itatumikaje??

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw หลายเดือนก่อน

    Huo utaratibu wa kamati ya usaili si mbaya, tatizo hiyo kamati inapatikanaje?

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje1422 หลายเดือนก่อน +1

    tunakuamini lissu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni zito kweli kumbe hafai kabisa au ndugu yake zito

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi หลายเดือนก่อน +1

    Wala msifikiri hawajui hata muongee hoja au lugha gani.wameamua.kuna siku watajutia maamuzi yao na nashuri wapinzani msije kubadiri katiba ili kuwanyosha

  • @OmbeniShoo-kg8dr
    @OmbeniShoo-kg8dr หลายเดือนก่อน +1

    Usipokubali ukweli na kuutetea mazingira halisi yatakulazimisha upite njia ya kweli.

  • @Simulizitulivuu
    @Simulizitulivuu หลายเดือนก่อน

    Yes

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 หลายเดือนก่อน +2

    Fisi akivishwa ngozi ya kondoo na hatakama utamwita wewe ni kondoo fisi atabakia kuwa fisi tu japo kafishwa ngozi ya kondoo kamwe hawezi kula majani yeye ni nyama na mifupa .... Kubadilisha jina pekee haliwezi kuleta kitu kipya....

  • @sokastreet
    @sokastreet หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe tunajisumbua tu kwenda kupiga kura tume nzima boss wao rais😅

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r หลายเดือนก่อน +1

    Ni Tanzania pekee mwenyekiti wa ccm ndiye mteuzi wa tume ya uchaguzi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน

      Unapotosha, Tume zote duniani ni LAZIMA ziwe na Mteuzi. Tanzania mteuzi ni Rais na sio Mwenyekiti wa CCM. Pia kuna utaratibu maalum na kinachofanyika ni uhuru tu kila mtu atowe mawazo LAKINI Ibara ya 74 (Tume ya Uchaguzi) ilizingatia mambo ya msingi sana mfano Mwenyekiti wa Tume ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa kwa miaka 15. Hii maana yake hakupewa ujaji na Rais pia mtu huyo mwenye mamlaka ya kumhukumu mtu kifo, maamuzi yake yanaweza kutumiwa na nchi za Jumuiya ya Madola. Hivyo tupate mtu muadilifu wa aina gani kwenye Tume yetu? Ingekuwa soka simple tungetafuta refarii kutoka nchi nyingine. Bahati mbaya Mwenyekiti wa Tume ni LAZIMA awe Mtanzania.

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi หลายเดือนก่อน +1

    Yaani kabwe kwa alipotufikisha anapaswa kupigwa mawe hadi kufa na asipokufa apigwe tena hadi afe.yaani kweli huyu kabadirika haoni ujinga unaoitafuna nchi.asiaminike tena labda huko kwenye chama chake.amepoteza mwelekeo

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo ni uelewa wa jambo miongoni mwa wananchi wengi. Elimu yetu ni shida.na ile white paper ilionesha 80% ya watanzania bado hawakuona haja ya mageuzi..!!

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi หลายเดือนก่อน +1

    Ngoma ya katiba haitakesha nawaambia m fisi em.tutamwaga maji kweli Mwaka wa uchaguzi na hakuna atakaekuwa salama si familia za polisiiiiis wala wake zao