Tundu Lissu, Zitto Kabwe Wagusa Panapouma | Washusha Hoja Nzito Mabadiliko Tume ya Taifa Uchaguzi..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 เม.ย. 2024
- Taarifa ya kubadilisha jina la 'Tume ya Taifa ya Uchaguzi' kuwa 'Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi", imepenya kila kona na kila mdau amekuwa na mtazamo wake kwenye mabvadiliko hayo.
Kwenye #powerbreakfast April 12,2024, Huyu hapa Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA na Zitto Kabwe Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT.
Hotuba za Tundu Lissu(The Law giver) zitakuja sikilizwa na vizazi na vizazi.
We are taking for granted ya huyu kiumbe .
He is very exceptional
Tundu lissu super brother
Na ieleweke wazi kuwa Raisi huyuhuyu ni kiongozi wa chama na ni mgombea uraisi. Conflict of interests. Hakuna uhuru hapa. Ni uhuru bandia au karatasi tu, haukupi nguvu yoyote kama Mtanzania. Inaipa CCM nguvu zote na haki zote. Ni upendeleo na ubinafsi bila kujali haki wala sheria Za chama vingi. Ni dictatorship inayobarikiwa na wana CCM na kuwadharau sana wananchi. Wananchi wanadai katiba mpya ili iondoe huu uchafu. Ndipo Tume huru itathaminika na hawa wana CCM.
Tundu Lisu, uko sahihi kabisa kisheria.
Kwa maelezo yako tatizo sio Katiba ni UKATIBA. Ni kweli 99% Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi (SIO TUME) wanaipendelea CCM lakini sio Kikatiba. Katiba yetu ipo vizuri sana tatizo HAIHESHIMIWI na wakati mwingi HAITEKELEZWI. Sasa hii KATIBA MPYA bila Watanzania kuwa na UKATIBA ni bure.
FACT
Be blessed my Excellency honourable tundu lisu the great thinker.
Wengine hatukuelewi Tangazeni Lugha yetu ya Taifa kiswahili .tuwatendee haki wananchi wetu waliowengi.tunafahamiana .
Hakika Mungu akuzidishie maisha na afya njema mh. Tundu
Napenda hoja zenu waandishi wawe hata vijijini kwetu yako mambo mengi yana tuumiza kama hayo Mmsera Kati
Ndomaana lisu Hatakiwi Kuishi Yani Nizaidi Ya mwalilimu Ata Mbumbu Anaerewa Nondo za Lisu
daaaaa jamaa anajua
@@scolarymahenge9867 atr
MUNGU anakusudi lake Kwanza lissu
Yaan to be honest napenda sana kumsikiliza lissu wallah, yaan anajua sana kuongelea huyo jamaa kweli ni mwanasheria namba moja tanzania hakuna ubishi
Respect brother tundu lissu
Mwamba lissu💪
Huyu tundu lisu nizaid yamkombozi wa nchi hii tumuunge mkono kwakila mwenye akili timamu,na mzalendo wa kweli
Hakika ndugu umeongea ukweli, kila mtu mwenye akili timamu atamuunga mkono Tundulissu. Lakini kama mtu hana uelewa au ni chawa mnufaika na mfumo wa kifisadi wa ccm hawezi kumkubali huyu mwamba. Ni jambo la wananchi tuamke tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, na tumkatae shetani ccm na wafuasi wake wote uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, madiwani, wabunge na Rais.
Mungu akupe umri mrefu Lissu
Baba w taifa lisu
Lisu hakili nyingi
Kilichobadilika hapo Ni jina
Lissu anajitaidi kutuamsha
Huyu ndugu yetu nakuelewa sana . Kifupi yuko vizuri sana.
Lissu ni Mtu moja safi tuu ila kwakuwa ni Yuko upande wa pili ndio maana watu wanajilazimisha kutomwelewa lakini wakikaa chemba wanajisemea yule bwana ni Mtu.
Katiba mpya ni ya lazima CCM waache Longolongo
Zito nimekuelewa na pia lisu limekuelewa zaidi
Changamoto ya Zitto ni undumilakuwili. Hivi kweli kuna mpinzani yeyote aliyewahi kutangazwa kirahisi rahisi? labda yeye peke yake. Inabidi tukubaliane kwa upamoja, tuna changamoto kubwa sana kwenye Tume yetu na kuirekebisha ni jukumu letu sote. Tusilete usanii usanii.
Tunapokuwa na mamalka ya uteuzi na usimamiaji wa uchaguzi iliyo fair na HURU, inapelekea kuwa na viongozi sahihi ambao jamii husika inawahitaji, na ndio chanzo muhimu cha maendeleo kwa jamii husika.
Huwezi ukapandikiza viongozi kwenye jamii ukategemea kutakuwa na harmony kati ya jamii na huyo/ hao kiongozi. Inakuwa kama kujenga Mnara wa babeli na ndio moja ya vyonzo vya kutokuwa na maendeleo katika jamii zetu.
Jamani, Tanzania ni yetu sote, Tunapokuwa na Tume imara na iliyo HURU kweli, ni faida kwa Watanzania wote. Sio Watawala sio wapinzani, ni watanzania wote.
Kwa kawaida mwizi hapendi ukweli ni mtu wa Giza daima hakuna tume huru hapo ni maigizo tu
N mbadala wa baba wa taiga tundulisu,
Hongera Mh Tundu, nampongeza mh. Zito pia maana Leo ndio kidogooo namuona Kabwe yuleee wa miaka Ile. Kipindi kizuri. Big up
Hakika Huyu ndie mh zito alie Nishawihi kuielewa Chadema❤
Hongela lissu poti
Zito kabwe ni afadhali ukimwi ndumila kuwili
Nchi hii inatakiwa iongezwe na Rais mwenye akili kama Lissu
Nchi inaongozwa kwa utaratibu maalum sio akili za mtu fulani.
Mwamba Tundu Lisu🙏✌👊
Jamani tume ili iwe huru wajumbe wagombee nafasi watume cv zao endapo rais anateua nasi itakuwa jina tu limebadilika bali bado tume itakuwa nado iko chini ya milki ya ccm
nasi =bali
@@hajihassan5433xawa lakin mtu mwenyeakili ndio anakubali kuweka utaratib unauzungumzia kaka haji
Hii ni zaidi ya shule big up Lisu nikuelewa sir kubadilisha jina siyo kutatua tatizo bali naona changamoto iko pale pale sijaelewa nini maana ya kubadili jina la tume
Watanzania thanks jaman
Chama pekee Cha upinzani ni chadema tu
Hivi vyama vingine hakuna kitu
Unakuaje chama chama Cha upinzani halafu unaenda sawa na chama tawala
Chama Cha upinzani nikupinga serikali kwa hoja
Tundulisu.kiboko
Ahsanteni ACT na Mwami upo vizuri sanaaaaaaaa
KATIBA MPYA NI SASA
Watanzania tumezoea kudanganya lakini hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho
Nimeipenda hii inatuonyesha jinsigani wanasiasa wanavyo pambana Kufanya yao Sema sisi wananchi baado hatuja elewa na kusimama Kama wananchi
Watanzania tumechukuliwa misukule,hata tufanyeje,hatuelewi na hatutaelewa.hapa ni kuomba nusura ya Mungu.
Zito, anafanya kazi ya ccm
Kushiriki chaguzi zijazo kwa sheria hii ni kuikanyaga KATIBA
Waliounga juhudi (wabunge,madiwani) waliharibu sana ari ya wananchi kuwaamini wanasiasa kuwa niwachumia tumbo badala ya mageuzi.
kaamka saa 9 mwenzenu anawasubri
Lissu viva❤
Kazi kweli kweli
Nch ya machawa na majambaz wapo tayar kuuwa ili waendelee kutawala milele
👊✌👍.
Good lissu💪💯💪
Kipanya ukimyumbisha Lisu hatayumba!, wewe sikiliza nondo,ukifikia swali jingine uliza atakujibu katika hazina yake ya hekima....
Tanzania ya Leo sio ya 1977, watawala wasijisahau kabisa 😳😳😳
Baba.umesema.kweli.tume.iko.mikononi.ccm
Nice from tz
Hiyo tume siyo huru, jina tu ndo imebadilika, ingebaki tu kuitwa tume ya Taifa uchaguzi, muundo wake bado ni ule ule,watumishi wa wa tume wasitokane na watumishi umma!.
Kiukweli VIONGOZ mliepewa kibali Cha kutusemea tunawaombea mikakati ya katiba mzidishe uzito usifanyike uchaguzi kabla ya katiba mpya maana kama nchi Iko salama uchaguzi tutafanya hatakama itakuwa ni 2027 kikubwa uchaguzi ufanyike ndani ya katiba mpya✅ 👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
God bless Tundu Lissu
Mwaka huu mbona katiba mpya itapatikana tu,watu wataandamana hamtaamin kitakacho tokea hii nchi. (Prophecy).
Public coments
Yaani ni uchaguzi waRAISi sio ushaguzi WA nchi akiona hashindi anaweza kufuta uchaguzi huo au akabadili Katiba na akiungwa mkono na watu wake ambao aliwapa ulaji na ndio wote walio serikalini wanaufanyia sheria
Very though
Mama katuchezea tunataka time huru katiba mpya
Duuh!! Mambo bado yataendelea kama ndio hivi! Kuendelea ni ngumu!!
Uliofanyika kwenye TUME ya UCHAGUZI NI USANII.
Wanafikiria kuweka neno HURU ndiyo Tume imekuwa huru
ACT hawaaminiki!
Badoo! Hata TL mmemkatiza!
Zitto mtu wa ajabu sana aise!!
Kivipi
Tumehu ifanyiwe marekebisho bd hawaja fanya mambo yanayo takiwa ilitume iwe huru
Tundulissu yuko sahihi sana na hii ndio watanzania tunataka jamani
Uchaguzi ni jambo mhimu ni msingi wa mambo yote unayotaka tufanye sisi chadema tunataka tume huru siyo tume ya kubadirisha jina tu,
Mungu akulinde Tundu Lissu na wote wenye lengo baya juu ya usalama wako watatangulia kufa wao, mkono wa Mungu uwe juu yako.
Ameen!
Kwa kweli kwa bunge hilii ???
... Eye opening
Online
Lissu mwamba
Hawa watangazaji upeo wao ni ndogo sana Clouds wangetafuta watangazaji wenye upeo hawaulizi maswali ya maana
Tunahitaji tume huru iliyo huru. Sio kubadili jina la tume.
Long the way to go Tanzania people to no mind down for ever one 😅
Hapa makonda anasema tuonane 2025 ana uhakika kuwa wizi utatumika tume ya uwongo lisu mungu akubariki tanzania poleni na ujinga huo
Elimu yangu ndogo mara elfu 20 ya Zitto kabwe lakini mawazo na akili za Zitto hata mtoto wa chekechea hawez kubaliana nae 😂Zitto zaman sijui kunamtu alikuwa akimwandikia vya kuongea bungeni mbona siku hiz amekuwa kama poyoyo flan hiv
Akili yake ilibakia chadema
Tume iliyopo imepitwa na muda wake ni lazima ibadilishwe kuendana na mahitaji ya sasa,,,VIVA CHADEMA.
Iissu akiongea unaona kbsa tunaongozwa na watu wenye uwezo mdogo
Mama anajua sanà ku(bye time)nà pesa kutumika vibaya kuunda tume zisizo na majibu.
Kulimlinganisha Lisu and Zitto ni tusi msimtafutie umaarufu Zitto kwa mgongo wa Lisu.
Akina Lissu bwana, hongereni sana. Ila dada mtangazaji anataja namba ya simu ya kuchangia harakaharaka kwa spidi ambayo nadhani wengi kama si wote si rahisi kuinukuu! Hivyo nadhani wachangiaji sasa watakuwa haba kama si hakuna!
Lissu ni akili kubwa
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Mhe.Ole ngurumwa uko sahihi,ni kiasi tu cha kurekebisha vifungu husika vya katiba iliyopo,ili tupate tume huru halisi ya uchaguzi; lakini ccm hawatataka ni ng'ang'anizi kama Nyerere,na wao wanaamini katika ujamaa wa ushindi milele!
Jamaa hawa wanafanyia pesa zetu ufisadi kwa tume sisizo na maana yoyote wala matokeo ya maana
Hiyo ni tume ya ccm na samia
Yaani craus mbalikiwe sana kumleta mheshimiwa lisu.
TATIZO SIO UPANDE TATIZO NI SHERIA
Ni vema mnatufumbua macho
Mnaojadili mnatambua kuwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Ambapo Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila kupigiwa kura yoyote Zanzibar, je hiyo ni sawa?
Je bunge kama hili linawe,za kutupati time huru?
Je bunge hili la Sasa linaweza kutupatia tume huru?
Tusitegemee kupata tume huru Kwa wabunge hawa walioko bungeni kwani hata walivyoingia bungeni ni vioja vitupu hawezi kutupatia tume huru kwani tunawajuwa ni wapiga meza hawana uzalendo kabisa
ZITO KABWE UMEFIRISIKA KISIASA USHAKUBARI KUA KICHWA HASARA
@OscarBethel Hao wabunge wenyewe ni zao la tume mbovu hii ya CCM na katiba mbovu hii iliyopo INAYOWALINDA kwa msaada wa NGUVU YA DOLA.
Mjomba umesahau mkataba wa DP WORLD Kuna munge yeyote alipinga ule mkataba pale ni acha maisha yaendeleeee
Sheria inapingana na Katiba! Itatumikaje??
Huo utaratibu wa kamati ya usaili si mbaya, tatizo hiyo kamati inapatikanaje?
tunakuamini lissu
Huyu ni zito kweli kumbe hafai kabisa au ndugu yake zito
Wala msifikiri hawajui hata muongee hoja au lugha gani.wameamua.kuna siku watajutia maamuzi yao na nashuri wapinzani msije kubadiri katiba ili kuwanyosha
Usipokubali ukweli na kuutetea mazingira halisi yatakulazimisha upite njia ya kweli.
Yes
Fisi akivishwa ngozi ya kondoo na hatakama utamwita wewe ni kondoo fisi atabakia kuwa fisi tu japo kafishwa ngozi ya kondoo kamwe hawezi kula majani yeye ni nyama na mifupa .... Kubadilisha jina pekee haliwezi kuleta kitu kipya....
Kumbe tunajisumbua tu kwenda kupiga kura tume nzima boss wao rais😅
Ni Tanzania pekee mwenyekiti wa ccm ndiye mteuzi wa tume ya uchaguzi
Unapotosha, Tume zote duniani ni LAZIMA ziwe na Mteuzi. Tanzania mteuzi ni Rais na sio Mwenyekiti wa CCM. Pia kuna utaratibu maalum na kinachofanyika ni uhuru tu kila mtu atowe mawazo LAKINI Ibara ya 74 (Tume ya Uchaguzi) ilizingatia mambo ya msingi sana mfano Mwenyekiti wa Tume ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa kwa miaka 15. Hii maana yake hakupewa ujaji na Rais pia mtu huyo mwenye mamlaka ya kumhukumu mtu kifo, maamuzi yake yanaweza kutumiwa na nchi za Jumuiya ya Madola. Hivyo tupate mtu muadilifu wa aina gani kwenye Tume yetu? Ingekuwa soka simple tungetafuta refarii kutoka nchi nyingine. Bahati mbaya Mwenyekiti wa Tume ni LAZIMA awe Mtanzania.
Yaani kabwe kwa alipotufikisha anapaswa kupigwa mawe hadi kufa na asipokufa apigwe tena hadi afe.yaani kweli huyu kabadirika haoni ujinga unaoitafuna nchi.asiaminike tena labda huko kwenye chama chake.amepoteza mwelekeo
Tatizo ni uelewa wa jambo miongoni mwa wananchi wengi. Elimu yetu ni shida.na ile white paper ilionesha 80% ya watanzania bado hawakuona haja ya mageuzi..!!
Ngoma ya katiba haitakesha nawaambia m fisi em.tutamwaga maji kweli Mwaka wa uchaguzi na hakuna atakaekuwa salama si familia za polisiiiiis wala wake zao