BARAZA LA WAZEE CCM ARUSHA WACHARUKA KUHUSU RC MAKONDA - "TUNAOMBA CHAMA KIMLINDE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 57

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 21 วันที่ผ่านมา +26

    Mzee umeongea vizur sana point. Kweli kabisa wapo baadhi ya viongozi wana fitina na husda kwa Mh Makonda Safi sana mzee umeongea point Mungu akulinde

  • @VivianMkumbo
    @VivianMkumbo 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mungu anawaona hao maadui wanaomchafua mtumishi wa Mungu Makonda.

  • @LeonardmpembaMsemakweli-q8s
    @LeonardmpembaMsemakweli-q8s 21 วันที่ผ่านมา +6

    KWELI mzeee nawapenda sana makonda one love 💕💕💕💕💕💕💕💕❤❤❤

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 21 วันที่ผ่านมา +5

    kwa kweli mzee wangu nashukuru pia hata kuunga mawazo yangu maana hata alipoitwa kuhojiwa na kamati kuu nilisema ni wakati wa wao kumpongeza na sio kumvunja mori kiukweli kila mwanadamu anakosea ila pale tunapo baini kuwa hilikuwa na nia njema ni kumuelekeza na kumfahamisha mbinu mbadala isiyoweza kuondoa nia na malengo ya utekelezaji. Makonda Nakuombea sana hata kama umepunguziwa eneo la kutoa huduma kwa kuwekwa Mkoa mmjoja tu naamini mama ana maana yake na ndio akaona msaidie Mkoa huo wa kistratejia kwenye kufikia alilojiwekea kwa manufaa ya Watanzania. AHSANTENI SANA BABU ZANGU

  • @ErasmusMakavery
    @ErasmusMakavery 21 วันที่ผ่านมา +8

    kakaagu makonda hakika ww nichicho la uhongozi ss kama viongozi vijana tunamengi makubwa ya kujifunza kutoka kwako chapa kazi mungu u pamja nawe!🎉

  • @DavidMwakila
    @DavidMwakila 21 วันที่ผ่านมา +4

    Makonda ,Mungu akulinde ,aendelee kukuhekimisha ,kukuinua ili wakati wa Bwana utakapofika uje ukalie kile kiti

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 21 วันที่ผ่านมา +7

    Mzee kanena vema watu wanamuonea wivu sana Makonda!

  • @pauloillakwahhi1802
    @pauloillakwahhi1802 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mzee Gerald Gwaha,vzr sana

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 14 วันที่ผ่านมา +2

    Uhakika maneno mazima sana❤❤❤❤hana baya makonda

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo ndipo ccm inapovipiga bao hivi vyama vya 2-2-× 3..

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 21 วันที่ผ่านมา +4

    Mzee uko sawa kabisa

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 วันที่ผ่านมา +1

    Asante mzee alindwe

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 21 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana kiongozi Mungu amlinde kijana wetu

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k 21 วันที่ผ่านมา +2

    Wazee warusha hongereni sana kwakuliona iloo

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani 21 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenyezi Mungu hata mlinda Mh:kw mema anayo ya tenda

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee ameona kura kwa CCM Arusha zimejaa mgongoni mwa Makonda kwa kazi zake watavaa sare za chama bila bughudha. Kwa kazi za Makonda Arusha akitoa agizo wanafuata wengi na anayebisha atanyoshwa siyo na pilisi bali raia wenzake

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Asante Mzee wetu, Makonda Alindwe.

  • @FredyLazaro-us5mu
    @FredyLazaro-us5mu 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kwakweli naamini kama kuna aliempenda mwonaji mze magu hakika atakupenda makonda nahuyo ndo atarudisha chadeka ccm nampenda makonda mpaka nakufa mttezi wa wanyonge ingefaa aje daresalam

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mtu mzima dawa wazee hongereen Sana kwa kuona mbali

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 21 วันที่ผ่านมา +3

    Kweli Mzee , makonda oeeee Samia oeeeeee CCM oeee