kwa kweli mzee wangu nashukuru pia hata kuunga mawazo yangu maana hata alipoitwa kuhojiwa na kamati kuu nilisema ni wakati wa wao kumpongeza na sio kumvunja mori kiukweli kila mwanadamu anakosea ila pale tunapo baini kuwa hilikuwa na nia njema ni kumuelekeza na kumfahamisha mbinu mbadala isiyoweza kuondoa nia na malengo ya utekelezaji. Makonda Nakuombea sana hata kama umepunguziwa eneo la kutoa huduma kwa kuwekwa Mkoa mmjoja tu naamini mama ana maana yake na ndio akaona msaidie Mkoa huo wa kistratejia kwenye kufikia alilojiwekea kwa manufaa ya Watanzania. AHSANTENI SANA BABU ZANGU
Mzee ameona kura kwa CCM Arusha zimejaa mgongoni mwa Makonda kwa kazi zake watavaa sare za chama bila bughudha. Kwa kazi za Makonda Arusha akitoa agizo wanafuata wengi na anayebisha atanyoshwa siyo na pilisi bali raia wenzake
Mzee umeongea vizur sana point. Kweli kabisa wapo baadhi ya viongozi wana fitina na husda kwa Mh Makonda Safi sana mzee umeongea point Mungu akulinde
Mungu anawaona hao maadui wanaomchafua mtumishi wa Mungu Makonda.
KWELI mzeee nawapenda sana makonda one love 💕💕💕💕💕💕💕💕❤❤❤
kwa kweli mzee wangu nashukuru pia hata kuunga mawazo yangu maana hata alipoitwa kuhojiwa na kamati kuu nilisema ni wakati wa wao kumpongeza na sio kumvunja mori kiukweli kila mwanadamu anakosea ila pale tunapo baini kuwa hilikuwa na nia njema ni kumuelekeza na kumfahamisha mbinu mbadala isiyoweza kuondoa nia na malengo ya utekelezaji. Makonda Nakuombea sana hata kama umepunguziwa eneo la kutoa huduma kwa kuwekwa Mkoa mmjoja tu naamini mama ana maana yake na ndio akaona msaidie Mkoa huo wa kistratejia kwenye kufikia alilojiwekea kwa manufaa ya Watanzania. AHSANTENI SANA BABU ZANGU
kakaagu makonda hakika ww nichicho la uhongozi ss kama viongozi vijana tunamengi makubwa ya kujifunza kutoka kwako chapa kazi mungu u pamja nawe!🎉
Makonda ,Mungu akulinde ,aendelee kukuhekimisha ,kukuinua ili wakati wa Bwana utakapofika uje ukalie kile kiti
Mzee kanena vema watu wanamuonea wivu sana Makonda!
Mzee Gerald Gwaha,vzr sana
Uhakika maneno mazima sana❤❤❤❤hana baya makonda
Hapo ndipo ccm inapovipiga bao hivi vyama vya 2-2-× 3..
Mzee uko sawa kabisa
Asante mzee alindwe
Safi sana kiongozi Mungu amlinde kijana wetu
Wazee warusha hongereni sana kwakuliona iloo
Mwenyezi Mungu hata mlinda Mh:kw mema anayo ya tenda
Mzee ameona kura kwa CCM Arusha zimejaa mgongoni mwa Makonda kwa kazi zake watavaa sare za chama bila bughudha. Kwa kazi za Makonda Arusha akitoa agizo wanafuata wengi na anayebisha atanyoshwa siyo na pilisi bali raia wenzake
Asante Mzee wetu, Makonda Alindwe.
Kwakweli naamini kama kuna aliempenda mwonaji mze magu hakika atakupenda makonda nahuyo ndo atarudisha chadeka ccm nampenda makonda mpaka nakufa mttezi wa wanyonge ingefaa aje daresalam
Mtu mzima dawa wazee hongereen Sana kwa kuona mbali
Kweli Mzee , makonda oeeee Samia oeeeeee CCM oeee