MashaAllah sheikh umejibu kisomi Allah akulipe Kwa hekma uliotimia.sikilizeni Hadi mwisho sheikh ana hekma nimeenda majibu yake na pia yana mafunzo mengi Sana.
Mashallah, sheikh hapo umezunfumza ukweli kabisa, waislamu kazi kulaumiana lakini ikija kusaidiana hakuna mtu yuko tayari, killa mtu nafsi nafsi, Allah atuhifadhi.
Shekh wangu nakupnda sana , wape I watu na kuwafundisha imani juu ya allah,Yaani mnapoteza masaa kuzungumzia hanisi mmoja hana faida yoyote kwenye uislam
Alhamdulillah nimemsikiliza kwa makini shehe Walid,wallah makiri nimemuelewa ipasavyo,yuko sahihi. Amejibu kwa taqwa ya hali ya juu Sana. Wala msiongeze chochote
Sheikh walid. Wewe nimekuelewa sasa uyo mzee yusuf akuna asicho kijuwa ktk dini yake. Sio mngeni. Acha figisu figisu mungu anawaona kama kweli wewe unataka kumuokowa. Bas onesha mfano kwako na wewe si muislam pitisha michango miskitini fursa iyo unayo. Acheni kutupoteza nyie ndo masheikh zetu. Mungu akuona wewe pia nima suhula uta ulizwa. Lamsingi apo na secondary. Nikuomumbea dua Allah asi ichuwi roho ya mzee yusuf kabla ajatubia arudie kwenye haki amsamehe. Lakini Sio kwako figisu izo mungu apigwi shere. Sheiekh .Allah ya allah -muh
Waislamu mnapenda kujigeuza nyinyi ni mungu mnahukumutu utadhani nyinyi mmekamilika hakuna anaejua kilichopo mbele kikubwa mtu akikosea mnamuimbea akae sawa na si kumuhukumu acheni vituko hivo
Uko vizuri shekh Mashallahl.Lkn nna swali linanitatiza,waumini walofunga miskiti kwa ajili ya kuhofu Corona Je wanaweza kushika Silaha kwenda kupigana kuuhami uislam?,Namaanisha jihadi ya kupigana sio jihadi ya kutangaza Neno la Mungu.Manake jihadi ziko nyingi
@@abuyunusmohamed6961 Yamewachomanheeee😊😊kuipuuza jamaaa kisa mafua😅😅😅Duuh!!,Ndo kwanza mwaka huu nimejionea.Kisha usinipangie cha kuandika huniwekei bundle wewe wala sijamtukana mtu nimeuliza swali.Pia acha kudharau watu
Corona ugonjwa tu kama magonjwa mengine,unafki umedhihirika kwa waumini kipindi cha CORONA.Hawana lolote wanafki tu.Yani nikashangaa hadi nikawa siamini kiasi flani😊😄Si mnasema mtu akifia sehemu ya ibada/anaabudu anaenda peponi😆😆😆nyie mliogopa mini sasa kwenda kufia miskitini mwende peponi!!??
Kwani huyo mzee yusuph kutubia, had kwenda Makkah kuhiji na hilo deni nn cha mwanzo kutokea? Mbona siku zote aliimba huo mziki na hlo deni alikuwa nalo hakuweza kulipa? Au amepata hilo deni baada ya kuacha mziki?
fatuma mitihani lazima ndio unapimwa imani yako hata ziuzwe nyumba zote za mzee yusufu kwani hamna wanaoswali hawana nyumba za kukaa wamepanga na wana madeni
UYU SHEKH nakubali sana halopoki kama wengine Allah atamchoma moto Allah amuazibu ww unaesema ivo unaju nn kuhusu mungu au kumaliza juzuu basi unajiona unaudugu na mungu kwenda msikiti basi ushajiweka peponi na una uwakika gani kama unachokifanya kama kipo sa hh? Waislam walimsaidia nn?
Mimi naona ktk mashekhe wetu atokee shekhe amtolee.mzee yussuf mawaidha km yakumtia hofu kuwa alipoelekea kwSasa sipo arudi kwamola wake sasa anapotetewa ndio anapocharukwa yule.ni muislam mungu anaweza kumtia imani
Sheikh walid hili sio la kufumbia macho kwenye ukweli lazima useme dini yetu sio ya kuficha ficha msikilize Sheikh Kipozeo hili la Mzee Yusuph alivyochana ukweli sio kupindisha pindisha Allah achezewi!!!
Huwezi kuuza imani yako na kukufuru kwa mtihani wa kuwa na deni. Kuna madada wanajiuza kwa shida ya maisha .je utawahalalishia kujikimu kimaisha?Ittaqillah sheikh walid.
@@0656840872 mwishogan Mm namjua live cio TV tu na ukoo wake ote, kudaiwa sio sababu ya kuyafanya uloyakataa huo ni unafiki bas wangefanya mitume na maswahaba walidaiwa walikua na dhiki lkn walisimama na had ss tukaijua din na aliambiwa na makafiri acha kuhubir din tutakupa ufalme tutakupa Mali, Au ww hujui? Kama sio muisilam citokulaum lkn Kama muisilam nitakwambia kasome half utajua Kama mzee Yussuf anafanya istidhai ila kubwa nikumuombea dua azinduke tena kwamungu Hakuna kubwa bado nafas anayo
Hujasema ni Sawa alichosema ni kwamba kuna yalompelekea kwenda huko kwa sababu hajapata msaada na pia alivotegemea haikua hivyo ila mwisho sheikh alisema kama mmesikiza vizuri kasema analofanya sio halali
Halaf mwenyezi mungu humsemehe mja wake kila kukicha nyinyi hamfanyi dhambi ya Aina yoyote mkaomba na msamaha kila kukicha? Je unadhani mwenyezi mungu angekuwa na moyo kama binadamu akisamehe mara moja hasamehi tena hakuna mtu angeingia pepon halaf usimuongelee mtu vibaya ww hujui mwisho wako na yy hujui mwisho wake mengine tumwachie Allah kila mmoja ana yake
Kwan mwambembeleza kurejea kwa Allah,, hakika kila mtu atasimama na hesabu yake kufrisika si hoja kwa ajili ya kuitetea akhera yake,, maana hayo anayoyang'ang'ania ni ya mpito atayaacha dunian tu
ukimdikiliza kwa makini utamuelewa shekhe anakusudia nini ana hekma sana ana muonya mtu kwa hekma ila ukimsikiliza kwa sikio kubwaa utaona kama anatetea maovu kumbe hapana.anamaneno yanayo hitajika usikivu sana ni hekma.hawazi ktk vyombo vya habari kumshambulia mtu hawa ndio mashekhe tunao wahitaji.hata mwenyezi mungu alituonya msiwatukane hao wenye mungu wao wa uongo kwani mkiwatukana na wao watawatukanien mungu wenu wa kweli.sijui mnanielewa na hivi ndivho mtume wetu alikua akikosoa mtu kwa hekma pasi na kumkwaza.mlitaka amshambulie mzee yusufu
Hakika kuna watu wana nyuso za Abuu bakar swidik lakin kumbe ni chui wa uislam Watakuja watu kufanya dini ndio kipato chao cha maisha ndio weye na wenzako wanao jifanya maustadh na kumtetea mtu asio na haya wala aibu kwa muumba wao Hakika miongoni mwa watu walio laaniwa ni wale walio tubu kisha wakarudi katika maasi Ambao humfanyia mzaha Allah sw
Mimi ni miongoni mwa wahadhir tuliokuwa tukitembea nae mikoani kote kumtangaza na kila kongamano kongamano mzee anatumia kila siku moja laki mbili na halikuwa hpumziki, leo akitoka hapa kesho pale bado alishindwa kufanya mikakati ya kulipa deni?
Hakika mungu Ametuchagulia mtu sahihi sheghe we nimtu wahaki binadam wengi tumezoea kuhukum majamb yasio tuhusu tusipende kuingili hukum ya mungu man yy ndo mwenye kuchagua ampendae
Shekhe kam unahekima ungemfata mazinge kwahekima sio useme tu kwenye vyombo vyahabari mm nimepnda maneno yamazinge kasema ukweli sasa mtagomban wenyew kwawenyew kisa upumbavu wa mzee yusuph
Jamani sheikh kaongeya vizuri ila namazinge msimlaumu. Ivi yeye mze yussuf alijianda kuacha mziki hakulala alafu akaamka ameuwacha ivi alikuwa hana kitegauchumi chochote chakusema kimkizi matatizo yake? Naaliwambiy waislam wamlipiye ilo deni wakakata mazinge kamkopa laki saba mbona paka leo hajazilipa na mazinge alikuwa hajamsema mze yussuf katumiy kauli mbaya ile kusema nama sheikh msinisemi atakaye msema na yeye atamsema kwenye ukumbi wake, na akarudi akasema walikuwa wanamuita kwenye mihadhara hawampi yeye pesa je zilepesa njozenye zilikuwa zumemfanya aache mziki? Apo tayari kisha washutumu waubiri nandio sababu ya mazinge kumjibu ivi kenda makka akafanya kweli allah angemzalilisha? Niwangapi wanasilim wananyanganywa malizote walikuwa matajiri wanabaki mafukara ila hawayiyachi ndini ya allah tuache mze yussuf alizaliwa katika uislam na akaukuliya emo labda analengo lake lingine hata angeliimba kaswida ilo deni angelilipa. Yeye siwakwanza ao wa mwisho kudayiwa
Kwa maana hio unasema mtu akiwa na shida na akikosa msaada basi Amuasi Allah sw Mm nina shida na sijapata msaada kwa maana nimuasi Allah ? Huo wako ww ni kutafuta kula 2 dini haihitaji undugu wala ujamaa
Hujaelewa na hautaelewa Kama hukutuliza akili...kwa juu juu wa mfano mdogo..unajua unaruhusiwa kula mzoga na hata nguruwe?binaadamu inatakiwa tujizuie kuhukumu watu..Bali kuwaombea wanaoteleza
Hii sio zama ya Zaman mambo mabaya hayaanei kwa haraka namsupport mazinge kukemea ili wengine wasijaribu kufanya hata kama mzee Yusuf hatoregea kwa Allah lkini wengine watajikisi
Shekhe unaupotosha Uma wakisilamu mbona abukari alifilisika hakawa na madeni mpaka watu wakawa wanamkimbia ili asiwakope tena. Lakini mbona akulitadi shekhe kasome tena achaa kutupoteza kwamana hiyo makahaba wasiache kwasababu Wana pata pesa
Niwafahamishe waislamu wenzangu uislamu haumruhusu shekh walidi wala shekh mazinge kumtia motoni wala kumuita kafiri mzee yusufu.. Na siyo kwamba shekh walidi ana unga mkono maamuzi ya mzee yusufu. Bali amejaribu kutuonyesha madhaifu makubwa tulio nayo ya kiimani. Kwamba hata mzee yusufu alipo acha kuimba kwakua ali badili maisha ilihitajika sisi kufanya kitu kitakacho mfanya ayazoee maisha mapya..Mzee yusufu ni mtu anaye fanya maaswi na wapo watu hawa imbi mziki lakni maovu yao ni makubwa kuliko ya mzee yusufu.
kuna watu wa kuwachangia wengi uku nje,kuna maskini,mayatima mafukara wanahitaji msaada,pili hilo deni alishindwa kulipa ata akiwa kwenye muziki au ilo deni lilizuka baadaa ya kuacha
Hapana Mm nilipenda kuwa muislam na niliona uislam ni din ya kweli, na mume alionioa aliniacha na kunitamkia Tudi ukiriston kwenu sikutaki, wallah sikurud na sifikirii kurud abadan, najua mungu hunipa mitihan kuniangalia je nitashukuru Au nitakufuru? Yan kiufupi hivo lkn ninamitihan kibao lkn nipo kusubir ipo siku mungu ataiyondoa Insha Allah
Asalam alykum kwani hilo denilimekuja baada au kabla?iwapo! Iwapo alikuwa anapata ml5 kwa wiki kwa nn hakulipa deni lake alikuwa si mlipaji anasingizia hakupata msaada
MashaAllah sheikh umejibu kisomi Allah akulipe Kwa hekma uliotimia.sikilizeni Hadi mwisho sheikh ana hekma nimeenda majibu yake na pia yana mafunzo mengi Sana.
Jamani Mimi nampenda sana shekh hareed mungu akuweke.usiingie TU kwa akina mange kimbi.
Alhamdulillah Sheikh Allah akujaalie afya njema na akupe mwisho mwema.Nimeelewa vizuri Sana Maashaallah
Shukran ustadh kwa jibu muafaka Allah akupe maisha mema leo na kesho akhera
Mashallah unajitambua sana walid Nakupenda kwa ajili ya Allah
Atowe hzo nyumba ziuzwe ndo kheri kwake aamini Mungu anamsafisha juu ya alivyovichuma kwan mungu anajua yy yaliyowazi na yaliyofichikana
Unafaa kweli kweli mafunzo ya huyu shehe ni manzuri jifunzeni kwake anenayo ni kweli
Allah akufanyie wepesi kila penye uzito na akuzidishie Imani 🙏🙏🙏
Namkubali sana shk walid kama ulishakaa nae karbu utacheka sanaaaa ALLAH amuongoze
Mashallah, sheikh hapo umezunfumza ukweli kabisa, waislamu kazi kulaumiana lakini ikija kusaidiana hakuna mtu yuko tayari, killa mtu nafsi nafsi, Allah atuhifadhi.
Kwa kweli sheikh walid amezungumza maneno ya hekma sana barakallah feek
Sheikh!!! Nimekuelewa vizuri Sana
Mazinge big up. Endeleza msimamo wako tuko nyuma yako wengi
Asante shehe umnatufundisha vizuli sana.
Maneno yenye hekma shekh waleed Allah akuhifadhi.
Nimekufahamu vizuri sh.
Allah akulipe kheri
MAA shaaa Allah rabbi akufungulie na akujaze kheri na akudumishe shekh wetu wewe NI kifaa asie jua ukisemacho bc tena
Shekh wangu nakupnda sana , wape I watu na kuwafundisha imani juu ya allah,Yaani mnapoteza masaa kuzungumzia hanisi mmoja hana faida yoyote kwenye uislam
SHEIKH WALID ANAJUA SANA ALLAH AMUWEKE ISNHA ALLAH
Kuna watu wanaostaili kusaidiwa siyo wenye nguvu zao. Nakurudi kwenye mahasi ya siyo suluhu. Shekhe acha kujibu unavyo jisikia.
Nafaidika mnoo na maneno yako yaliyo jaa hekima maa shaa Allah .
Alhamdulillah nimemsikiliza kwa makini shehe Walid,wallah makiri nimemuelewa ipasavyo,yuko sahihi. Amejibu kwa taqwa ya hali ya juu Sana. Wala msiongeze chochote
Basi sawa Shekhe hiyo nafsi yako itaulizwa
Kweli huyu shekhe njaa
Acheni unafki
Msikilizen vzr mtaelewa contents
Shukrni sna sheikh waalid ssa mlete sheikh uthman maalim atupe rai yke kulingna na mwenendo wa mzee Yusuf
Sheikh walid alhad nakukubali sana
NAKUONA UMEKUA KAMA SHEIKH KILEMILE MASHALLAH M.MUNGU AKUWEKE
th-cam.com/video/N36btHXRRb8/w-d-xo.html
Shekhe umezunguka sana. Ila elewa kwa mzee yusuph yuko kwenye upotovu tena ni mnafiki mkubwa
Wew hutendi dhambi wew hukosei acha kuhukumu ndicho shekh wako anachofafanua hapo
Jazakallah kheir sheikh walid
Sheikh walid. Wewe nimekuelewa sasa uyo mzee yusuf akuna asicho kijuwa ktk dini yake. Sio mngeni. Acha figisu figisu mungu anawaona kama kweli wewe unataka kumuokowa. Bas onesha mfano kwako na wewe si muislam pitisha michango miskitini fursa iyo unayo. Acheni kutupoteza nyie ndo masheikh zetu. Mungu akuona wewe pia nima suhula uta ulizwa. Lamsingi apo na secondary. Nikuomumbea dua Allah asi ichuwi roho ya mzee yusuf kabla ajatubia arudie kwenye haki amsamehe. Lakini Sio kwako figisu izo mungu apigwi shere. Sheiekh .Allah ya allah -muh
Sheikh ameongea vizuri sana ameangalia pande zote mbili bila kufanya hukumu...barikiwa sana
Uislam dada'ngu huwa hauna tabia ya kupindisha... Njano njano, nyekundu nyekundu tu dada'ngu japo Allah ndo mjuzi zaidi.
Masha Allah kweli🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Sheikh wamkoa mashallah
Ukiwa na Elimu ndogo ya uelewa utaona kama sheikh anamtetea mzee Yusuf. Ila sheikh kaongea vizuri sana na ushahidi juu. Nakubaliana na sheikh wangu
Shukrani sana sheikh wetu
Mm nimekuelewa sheikh Allah atusamehe sote hakuna msafi100%
Kweli kbs dadangu hamna, mtu msafi Allah ndo mwenye kuhukumu.
Salma
Waislamu mnapenda kujigeuza nyinyi ni mungu mnahukumutu utadhani nyinyi mmekamilika hakuna anaejua kilichopo mbele kikubwa mtu akikosea mnamuimbea akae sawa na si kumuhukumu acheni vituko hivo
Usiseme waislam sema baadh ya waislam maan co wote wanaohukumu
Yees nime kuelewa sawasawa mungu aku ingezee fikra na hikma
Uko sahihi sheikh walid
Wale wenye mihemko ya kidini watakuponda Shekhe Walid uko vzr sana shekhe Walidi
MZEE yussuf nimnafiki hanachadeni mzushii kazidiwa namkewe karudishwa kwenye moto nawewe huna ushehe tuondokee naporojo lako
Uko vizuri shekh Mashallahl.Lkn nna swali linanitatiza,waumini walofunga miskiti kwa ajili ya kuhofu Corona Je wanaweza kushika Silaha kwenda kupigana kuuhami uislam?,Namaanisha jihadi ya kupigana sio jihadi ya kutangaza Neno la Mungu.Manake jihadi ziko nyingi
Jibu wanaweza
Tusiwe majingalawa.mada ni mzee yusuf haya ya vita yametoka wapi?
@@abuyunusmohamed6961 Yamewachomanheeee😊😊kuipuuza jamaaa kisa mafua😅😅😅Duuh!!,Ndo kwanza mwaka huu nimejionea.Kisha usinipangie cha kuandika huniwekei bundle wewe wala sijamtukana mtu nimeuliza swali.Pia acha kudharau watu
Corona ugonjwa tu kama magonjwa mengine,unafki umedhihirika kwa waumini kipindi cha CORONA.Hawana lolote wanafki tu.Yani nikashangaa hadi nikawa siamini kiasi flani😊😄Si mnasema mtu akifia sehemu ya ibada/anaabudu anaenda peponi😆😆😆nyie mliogopa mini sasa kwenda kufia miskitini mwende peponi!!??
@@zakialustan722 Hakuna kitu kama hicho wameyaogopa mafua ndo wataweza kulisogelea panga.Uongo mtupu
Kwani huyo mzee yusuph kutubia, had kwenda Makkah kuhiji na hilo deni nn cha mwanzo kutokea? Mbona siku zote aliimba huo mziki na hlo deni alikuwa nalo hakuweza kulipa? Au amepata hilo deni baada ya kuacha mziki?
Katika mashekhe nico waelewa ww mmoja wapo,huyo mzee Yusuph alienda hijja kwa hela ya mkopo au ya kudhaminiwa.
Kama haumuelewi shekh walid bac hakuna shekh utakae muelewa
fatuma mitihani lazima ndio unapimwa imani yako hata ziuzwe nyumba zote za mzee yusufu kwani hamna wanaoswali hawana nyumba za kukaa wamepanga na wana madeni
UYU SHEKH nakubali sana halopoki kama wengine Allah atamchoma moto Allah amuazibu ww unaesema ivo unaju nn kuhusu mungu au kumaliza juzuu basi unajiona unaudugu na mungu kwenda msikiti basi ushajiweka peponi na una uwakika gani kama unachokifanya kama kipo sa hh? Waislam walimsaidia nn?
Innalillaah wa inna ilaih rraajiun,,,hakuna shkh hapo .
Mimi naona ktk mashekhe wetu atokee shekhe amtolee.mzee yussuf mawaidha km yakumtia hofu kuwa alipoelekea kwSasa sipo arudi kwamola wake sasa anapotetewa ndio anapocharukwa yule.ni muislam mungu anaweza kumtia imani
Kwaiyo shekhe wewe umefurahia km huwezi kumshutumu uhai siwetu mimi naomba mashehe.mwiteni mumpe mawaidha yule aweza kurudi mna anaimani.
Kwahiyo nyinyi mulitaka amuhukumu kwani yeye mungu
Xawa sheikh mangungu ww
ungetangaza msikitini achangiwe sasa unategemea tungemchangiaje?
Sheikh walid hili sio la kufumbia macho kwenye ukweli lazima useme dini yetu sio ya kuficha ficha msikilize Sheikh Kipozeo hili la Mzee Yusuph alivyochana ukweli sio kupindisha pindisha Allah achezewi!!!
Huwezi kuuza imani yako na kukufuru kwa mtihani wa kuwa na deni.
Kuna madada wanajiuza kwa shida ya maisha .je utawahalalishia kujikimu kimaisha?Ittaqillah sheikh walid.
atakuwaje rafiki yako hujui kama ukimbatana na mfuavyuma nguo yako itatoboka
Kwan kudaiwa ndio arud katka ubaya mbona maswahaba walikua na njaa wewe shekhe unatuchafua
Hv nyie mmeskiliza mpaka mwisho au mnalalamika tu?
Fatma Kigula kabisa hakuna shekhe hapo bali kuna kilaza yaani anasapoti kuwa ni sawa
@@0656840872 mwishogan Mm namjua live cio TV tu na ukoo wake ote, kudaiwa sio sababu ya kuyafanya uloyakataa huo ni unafiki bas wangefanya mitume na maswahaba walidaiwa walikua na dhiki lkn walisimama na had ss tukaijua din na aliambiwa na makafiri acha kuhubir din tutakupa ufalme tutakupa Mali, Au ww hujui? Kama sio muisilam citokulaum lkn Kama muisilam nitakwambia kasome half utajua Kama mzee Yussuf anafanya istidhai ila kubwa nikumuombea dua azinduke tena kwamungu Hakuna kubwa bado nafas anayo
Hujasema ni Sawa alichosema ni kwamba kuna yalompelekea kwenda huko kwa sababu hajapata msaada na pia alivotegemea haikua hivyo ila mwisho sheikh alisema kama mmesikiza vizuri kasema analofanya sio halali
Halaf mwenyezi mungu humsemehe mja wake kila kukicha nyinyi hamfanyi dhambi ya Aina yoyote mkaomba na msamaha kila kukicha? Je unadhani mwenyezi mungu angekuwa na moyo kama binadamu akisamehe mara moja hasamehi tena hakuna mtu angeingia pepon halaf usimuongelee mtu vibaya ww hujui mwisho wako na yy hujui mwisho wake mengine tumwachie Allah kila mmoja ana yake
Kwan mwambembeleza kurejea kwa Allah,, hakika kila mtu atasimama na hesabu yake kufrisika si hoja kwa ajili ya kuitetea akhera yake,, maana hayo anayoyang'ang'ania ni ya mpito atayaacha dunian tu
Naam
ukimdikiliza kwa makini utamuelewa shekhe anakusudia nini ana hekma sana ana muonya mtu kwa hekma ila ukimsikiliza kwa sikio kubwaa utaona kama anatetea maovu kumbe hapana.anamaneno yanayo hitajika usikivu sana ni hekma.hawazi ktk vyombo vya habari kumshambulia mtu hawa ndio mashekhe tunao wahitaji.hata mwenyezi mungu alituonya msiwatukane hao wenye mungu wao wa uongo kwani mkiwatukana na wao watawatukanien mungu wenu wa kweli.sijui mnanielewa na hivi ndivho mtume wetu alikua akikosoa mtu kwa hekma pasi na kumkwaza.mlitaka amshambulie mzee yusufu
Wanaopenda taarab watakusifu sana
Naam
Hakika kuna watu wana nyuso za Abuu bakar swidik lakin kumbe ni chui wa uislam
Watakuja watu kufanya dini ndio kipato chao cha maisha ndio weye na wenzako wanao jifanya maustadh na kumtetea mtu asio na haya wala aibu kwa muumba wao
Hakika miongoni mwa watu walio laaniwa ni wale walio tubu kisha wakarudi katika maasi
Ambao humfanyia mzaha Allah sw
Nimekuelew sana sheikh inahitaj akili kukuelew
Shekh wasema kweli.
Mimi ni miongoni mwa wahadhir tuliokuwa tukitembea nae mikoani kote kumtangaza na kila kongamano kongamano mzee anatumia kila siku moja laki mbili na halikuwa hpumziki, leo akitoka hapa kesho pale bado alishindwa kufanya mikakati ya kulipa deni?
Alhamdulillah Mashaalah
Shekhe atakujasema imeeditiwa
Msikilizeni mtaelewa vzr weng hamuelew na hamjamsikiliza vzr pia msimhukumu kabla ya kuhumu nafsi zetu
MashaAllah.Darsa kubwa
Izo shekhe so sababu kukosa pesa au kutokusaidiwa ndo arudi kwenye ujinga hakuna Mambo Ayo kwenye din
Hapo kuna A na B wengi wameishia na A tu ndio hawakubaliani na Ust Walid.
A inawaandama Waislamu na B inarudi kwa muhusika mzee Yusuf!
Shida ni kwamba watu wengi huwa hawafuatilii jambo mpaka mwisho.
Ata simuelewi huyu shehe
Mzee yussuf mwenyewe
Kasema yy ni mfuas wa shetani
Sasa ukiwa unamfata shetani unategemea Nini kwa mungu
Mashallah
Hakika mungu Ametuchagulia mtu sahihi sheghe we nimtu wahaki binadam wengi tumezoea kuhukum majamb yasio tuhusu tusipende kuingili hukum ya mungu man yy ndo mwenye kuchagua ampendae
Shekhe kam unahekima ungemfata mazinge kwahekima sio useme tu kwenye vyombo vyahabari mm nimepnda maneno yamazinge kasema ukweli sasa mtagomban wenyew kwawenyew kisa upumbavu wa mzee yusuph
th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html😭
th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html😭
tatizo mze Yusuf kaenda ku hidji pia anadeni
mbona wengi wana madeni
Masha Allah
Acheni kutupoteza mashekhe akuna mungu alipo sema kwamba mkipata shida ludi kwenye makatazo yangu shekhe kasome tena
Watu mnatakiwa mpunguze kuhukumu kabla ya kumsikiliza mtu mpaka mwisho, umeona nivipi umeaibika kwa hukumu zako za haraka!?
Allah ndie ajuae
Shekhe nimekuelewaa xana waislamu tunayumba katika kutoa zaka na hata sadaka
Sheikh unatupotosha. Wenye madeni wote na umaskini wafanye ufuska...
Jamani sheikh kaongeya vizuri ila namazinge msimlaumu. Ivi yeye mze yussuf alijianda kuacha mziki hakulala alafu akaamka ameuwacha ivi alikuwa hana kitegauchumi chochote chakusema kimkizi matatizo yake? Naaliwambiy waislam wamlipiye ilo deni wakakata mazinge kamkopa laki saba mbona paka leo hajazilipa na mazinge alikuwa hajamsema mze yussuf katumiy kauli mbaya ile kusema nama sheikh msinisemi atakaye msema na yeye atamsema kwenye ukumbi wake, na akarudi akasema walikuwa wanamuita kwenye mihadhara hawampi yeye pesa je zilepesa njozenye zilikuwa zumemfanya aache mziki? Apo tayari kisha washutumu waubiri nandio sababu ya mazinge kumjibu ivi kenda makka akafanya kweli allah angemzalilisha? Niwangapi wanasilim wananyanganywa malizote walikuwa matajiri wanabaki mafukara ila hawayiyachi ndini ya allah tuache mze yussuf alizaliwa katika uislam na akaukuliya emo labda analengo lake lingine hata angeliimba kaswida ilo deni angelilipa. Yeye siwakwanza ao wa mwisho kudayiwa
Maswahaba wengine walikua masikini sana lakini haikuwafanya kuingilia maasi. Pia hapo bado hujatupa jibu Shekh..
Hatari sana...Sasa akifariki akiwa huko Nini hukum yake
ww unapongeza kurudi kwasababu anadaiwaa ee .ww vp nakama katangaza chombogani tumchangie.acheni unafiki nyy. mashekh watanganyika kueni namsimamo. km mazinge.
Sheikh walid allah akulipee
Sheikh Walid. Unaremba. Nenda kwenye point. Kutokuchangiwa haihalalishi Yeye Kurejea Katika Hayo.
Sasa nimeelewa mashaallah
Mashallah shekhe tuwekee bamba zako
Kwa maana hio unasema mtu akiwa na shida na akikosa msaada basi Amuasi Allah sw
Mm nina shida na sijapata msaada kwa maana nimuasi Allah ?
Huo wako ww ni kutafuta kula 2 dini haihitaji undugu wala ujamaa
Hujaelewa na hautaelewa Kama hukutuliza akili...kwa juu juu wa mfano mdogo..unajua unaruhusiwa kula mzoga na hata nguruwe?binaadamu inatakiwa tujizuie kuhukumu watu..Bali kuwaombea wanaoteleza
Angalia na chnga sana eeeh
Hii sio zama ya Zaman mambo mabaya hayaanei kwa haraka namsupport mazinge kukemea ili wengine wasijaribu kufanya hata kama mzee Yusuf hatoregea kwa Allah lkini wengine watajikisi
Babdeo naomba no za sheikh za watsup
Dah
Miaka mingapi ameimba taarabu, hilo deni limepatika kipindi gani?kwa nini tusiwachangie watu wanaosilimu.
Sio wanao silimu tu hata mimi naitaji mchango
Shekhe unaupotosha Uma wakisilamu mbona abukari alifilisika hakawa na madeni mpaka watu wakawa wanamkimbia ili asiwakope tena. Lakini mbona akulitadi shekhe kasome tena achaa kutupoteza kwamana hiyo makahaba wasiache kwasababu Wana pata pesa
Shekhe unatambuwa kama mzee yusufu alikuwa huko akaarudi huku sasa karudi tena huko bado tu anahitaji nafasii
Ukifumania pia kwa jicho la kwanza usiamini mpaka uone kwa jicho la pili
Kwaiyo Deni ndo sababu ifanye uwache haki mpaka aingie kwenye batili? Sheikh wa wapi huyu
Shekhe wangu kuwa makini kwenye mitandao Shekhe wangu walid Alhad Nina kuomba Sheikhe wangu sawa hivyo tuuu
Niwafahamishe waislamu wenzangu uislamu haumruhusu shekh walidi wala shekh mazinge kumtia motoni wala kumuita kafiri mzee yusufu.. Na siyo kwamba shekh walidi ana unga mkono maamuzi ya mzee yusufu. Bali amejaribu kutuonyesha madhaifu makubwa tulio nayo ya kiimani. Kwamba hata mzee yusufu alipo acha kuimba kwakua ali badili maisha ilihitajika sisi kufanya kitu kitakacho mfanya ayazoee maisha mapya..Mzee yusufu ni mtu anaye fanya maaswi na wapo watu hawa imbi mziki lakni maovu yao ni makubwa kuliko ya mzee yusufu.
kuna watu wa kuwachangia wengi uku nje,kuna maskini,mayatima mafukara wanahitaji msaada,pili hilo deni alishindwa kulipa ata akiwa kwenye muziki au ilo deni lilizuka baadaa ya kuacha
Ustadh kuwa makini acha tabiabya kupakapaka mafuta watu we utakuwa umehongwa pesa
Kama alikuwa na deni myika minne alimwambia nan ???
Kasome kwanza .
Wataka sifa ujulikane ksma ni mkweli wewe mfuate mzee yuusf arudi nyuma
Ndio mwataka hela za kila mtu
Hili ndio lilikua lengo la Mzee Yusuf. Masheikh wagongane. Yule ni ajent wa ibilisi. Anatumiwa kwa kila njia kupiga vita uislam
Nkweli kabsa lazma tuwe maskini nae
@@shamsahassan2586 Haiko hivyo dada yangu msikilize kwa makini huyu sheikh .
Hao ndio mashehe wanga . Mana kama kweli shekh ungemgomba mzee .ili wengine wasije kufanya hayo mana kama unatetea
Kwaiyo SHEHE MTU ukidaiwa nihaki kufanya dhambi ili ukizi maitaji
Mm nimeslim na ninamitihan mkubwa yake midogo na ndugu walinitenga na sijarud katk ukiristo na ninamaden kufuru Shekhe utaenda ulizwa ww
MashaLLAH
Mashallah
Mashallah Allah azidi kuku hifadhi na akufanyie wepesi mambo yako na azidi kukuongoza katika njia ilio nyooka
Ulibadiri dini kwasababu ya kupata mume au ulihis ukristo ni kwenda motoni🤣..
This s Africa
Hapana Mm nilipenda kuwa muislam na niliona uislam ni din ya kweli, na mume alionioa aliniacha na kunitamkia Tudi ukiriston kwenu sikutaki, wallah sikurud na sifikirii kurud abadan, najua mungu hunipa mitihan kuniangalia je nitashukuru Au nitakufuru? Yan kiufupi hivo lkn ninamitihan kibao lkn nipo kusubir ipo siku mungu ataiyondoa Insha Allah
Wenye viherehere vya imani hawatomuelewa shekh, shekh amesema ukwel kabisa tatizo waislam wengi ni fuata mkumbo hawatazamagi na nje ya box
Uuuuuuûuûuuuuuuuuuuuuu7uuuûuuûuuuuûuuuüuuuuuûuûuuûuuuuûu7ûuuuuu ûûûûûuûuûûuuuuûuûûuûûûuûuûuûûuûuûuuumlûuûûûuûûûuûûûûûû
Ukweli nikwamba imani yako usiichezee, jiulize mungu atakuacha ety kwasababu ulikua unadaiwa.
Asalam alykum kwani hilo denilimekuja baada au kabla?iwapo! Iwapo alikuwa anapata ml5 kwa wiki kwa nn hakulipa deni lake alikuwa si mlipaji anasingizia hakupata msaada
Wewe babdeo unawagombanisha hawa watu maana iyo fitna unaleta kama hujui shekhe walidi jitambue achana na mambo ya kiovyo
Jmn tumieni akili zenu kumsikiliza vzur Sheikh! Wengi wenu hamuja muelewa
Alipiwe na nani kwani hawapo waislamu ambao wanadaiwa mbna hawaimbi
Maishalwa shekhe wetu maneno yako kumtu. Naomba namba yako shekhe ninamambo nataka kukuuliza namba unisaidie
Huyu Shehe ameugusa moyo wangu ingawa mi si muislam. Ni mwenye hekima kuliko Mazinge.
Mazonge anaongea ukweli