Shekhe Kipoozeo,nimefurahishwa sana na maneno yako,hasa ulivyoonyesha kuwa tayari kumuombea Mzee Yusuph kurudi kwa Mola wake.Hakika wewe ni mzazi,mlezi na kiongozi.Mimi ni Mkristo lakini kila unapotoa dawa nakusikiliza sana.Asante Shekhe
Allah akulipe kheri shekhe wetu huu ndio uislam umezungumza maneno mazito alhamdulilah yaani nimefurahi nakuombea na dua shekh wetu Allah akuzidishie imani na akupe umri wa kheri na afya amin
Sheikh kipozeo Ni Mmoja Wa masheikh ambao ni hazina katika uislam mwenyezi mungu amlipe kheri na tumtambue Ni mtu Muhimu hivi sasa sio mpaka akifa ndio tuanze kumsifu na kujua umuhimu wake.
Ma~sha~Allah Sheikh Kipozeo, baaraka~Allah fiyka. Mtenda kosa si mkosa ila mrudia kosa, kubwa zaidi nkuzidi kumuombea Allah Mz. Yusuph amzindue, amuongoze na amjalie husnul~khaatima ktk maisha yake.
Sheikh wng umezungumza kwel kbs, ila mzee yusuph anaichezea pumz y Mwenyez Mungu ila kwa hakika Dunia anayoiringia si kitu....😭😭😭waislam wote walioumia na jambo hili n kwasababu tuna khof ya mwenyez mungu, 😭😭😭mtihan Wallah
@@afropatriot7769 kwakuwa yeye naye anafanya dhambi ndio na mzee yussuf nae afanye? unajua kwanini anasemwa hivi sasa hakusemwa mwanzoni? nikwamba alikuja kuichezea shere dini ya Allah kisha kaenda kuhadaa masheikh ili apitishe analotaka
@@Suleimansalum wewe ndio unasema aliwahadaa lakin yeye na Mungu ndio wanajua alidhamiria au alihadaa,mnahukumu kwakua hamjui alipitia nn,we ukidaiwa million 100 utaipata wapi na kazi pekee ambayo anaijua maisha yake ndio hiyo,mchangieni basi alafu akatae ndio mumhukumu,nyir wenyewe pengine mnamkwaza Mungu sana tu ila vidole vyepesi kunyoosha kwa wengine, yeye asiye na dhambi ndio anyooshe kama anaamini ana mamlaka hayo,sitetei yeye kufanya hayo anayoyafanya lakin nashangaa mnavojifanya Mungu au malaika kumchagulia adhabu wakati wotr tunasubiri rehema za Mungu tu,tunaweza wote kwenda nae motoni au pepon Mungu ndie anajua na pengine mwenzio kabla hajafa akatengeneza kwa allah akasamehewa we na mie tukaenda kwa moto sijui mtasemaje
Ni afadhali kwangu kuniambia ni ndugu wa mzee wa tarabu kuliko kuniambia ni mfuasi wa MTU anaejificha ktk kimvuli cha ushehe huku akiwa hana tofaut na huyo mzee wa tarabu yaani bongo movie nakuckitikia sana kama we unajigamba kuwa mfuasi wake pole sana kk ila ucwe na haraka mda ukifika utajua
@@jahiriabdilah7478 labda km atamuacha mke wake, ukiangalia tangu mwanzo wa safari yake ya kurudi kwa Allah mke hakua upande wa mume na km mjuavyo Nguvu ya mwanamke ndani ya nyumba. Kikubwa hapa kaka zetu mtuangalie sisi wanawake misimamo yetu ktk dini vinginevyo tutawaingiza pabaya
Kiukweli pia ukiendekeza njaa au shida utafedheheka tu... kibaya zaidi anajuwa dini na uislamu lkn anadanganya bado mzee yusph ww ulisema umetoka kwnt ufalme mana Mfalme ni Allah tu na mpk ulijutiya kibaya zaid ambch kilikua kizr tyr ww ni Al haaj lkn sasa Allah kakupima Imaan ndio akakupa mtihani lkn mzee umeshindwa na ukiambiwa au kuulizwa unakua na majibu by c mazr kwa kweli unasikitisha.. ingawaje sote wakosefu na hatujakamilika lkn ulichokifanya ni kitu cha kustaajabisha mana ulikubali kurudi kwaMola ila kwasasa umeamua kujitoa kwaMola... umeona bora uendelee namkeo mana ulishindwa kumdhibiti Awaal kua asiende kuimba wakt ww usharudi Makka ulivyokua ukiulzwa au watu wakicoment unakua mkali ulipohojiwa ulisema kua ushamuambiya taratiibu ataacha mapenz yanakufanya uingie hatiani mzee ysph.. hem fanya kama sheyt waan alikupitia rudi kwa Mola wako maana yeye nimwingi wakusamehe... Allah akuheed In Shaa Allah..
Akhsante sana Shaikh, Mawaidha utoayo au nasiha unazo zitoa zinasaidia kwa watu wengi waislamu na sio waislamu Akhsante sana sana AZAKALLAH'KHEIRAN nilikua na kerekwa na kitu katika nafsi yangu lakini baada ya kufungua TH-cam na kukusikia uyasemayo Wallahi nimiburudika na kufarajika maana maneno ulio yasema hayamhusu mtu mmoja bali kwa wote ambao tunaijua lugha ya kiswahili,ALLAH Akupe umri mrefu wa afya na akuzidishie kila la kheri na baraka duniani na akhera (Amin)
Daaah inauma sana yni siku ya kwanza kusikia ivyo na kuja kuona show yke ya dar live machoz yalinitoka yni m/mungu ajalibiwi jamani mzee yusufu tatizo lipo Kwa mkewe na dada ake kwaiyo mtihan sana jamn
Kugumu Shekhe ,Mola atustiri maana mm mwenyewe Niko Qatar tumechanganyikiwa sanaaaaaaa lakini Allah atunusuru mtihani WA dunia ni mgumu jamani Allah atusamehe
Allah atuwongoze yarabiii nasisi wenyewe tuko nyuma ya dunia eeeee Allah tunusuru yarabiii mola wangu nihurumiye miyeeee namakosa yangu nawa Islam piya sote kwa jumla aminiii👏👏👏👏😫😫😭😭😭
Allah (s.w) humuongoa amtakae na humuangamiza amtakaye pia kwa hiyo tukisema dunia nzima tuwe waislam na tufanikiwe kuinhia peponi basi mwenyezi mungu atakuwa muongo kwamba kaumba moto kwa watakaoenda kinyume nae halafu kiama tuwe wote peponi lazima wapatikane wa motoni na kwakweli kosea maisha usikosee kuoa au kuolewa ni mtihani sana unaweza kuingizwa motoni na mwenza wako bila kujali Allah tupe mwisho mwema in shaa Allah.
Pole sana sheikh nakupenda sana bt waongea urongo ulikuwa wa elewa uzuri sana anachokiongea mzee yusuf na ww ndio ulizidi kumpotosha kwa kubaliana na maneno yake, alikuliza " kuimba haram" ukajibu sio haram kwa kweli hakuna asiekosa na umefanya makosa. Na omba radhi ustadh bt ukweli ulituma kuwa ww twakusikiza kila siku kutowa kauli kama ile
Yaani hapo sheikh wetu kipozea umepata sifa ya kuongea ukweli juu ya huyu aliekufuru na anatakiwa atoe shahada upya mana alishakufuru kwahiyo sheikh wetu Kipozeo tumekuelewa sanaaaa Na umeulinda umarufu wa kazi yako yakutuelimisha sisi maamuma Nimekusifu sana In Shaa Allah
"Inna Llaha maa Swaabirin (Hakika Allah yuko pamoja na wanao subiri)." Haimaanishi kuwa uwe kwenye raha ndiyo usubiri. Subira maana yake ni kuvumilia matatizo uliyo nayo ukitumaini Mwenyezi Mungu atakuvusha salama.
Kwa hili Mzee Yusuf hukumtendea vema sheikh kipoozeo, ulitumia jina lake kutaka kuhalalisha kurudi kwako kwenye taarabu, ungekuwa muungwana ungemuomba radhi sheikh kwa ulivyomhadaa,,,,,ona sasa sheikh anavyopata taabu kuelezea kadhia yako, hata hivyo sheikh ni muungwana sana, amejaribu kutumia busara kufafanua kadhia hiyo!
Yarrab twakuomba utujaalie mwisho mwema ..mzee yousoph kumbuka manabii walitowa Mali nyingi kwa ajiri ya ..Allah .fii Sabilillah sidhani kama hyo nyumba yako iliyotaka kupigwa mnada kwa deni unalodaiwa la milioni miamoja kwa mujibu wako kama ulivyosema wewe inathamani ..mbele ya M/Mungu..
Kipozeo our God Jehovah knows your purpose...... whatever you are doing with Mzee Yusuf is a noble deed in front of our almighty........ UBARIKIWE SHEIKH.
Allah atufanyie wepesi kuyaendea yalivyo mema, ila Mzee Yusuff katuvua nguo, huwezi kupata nafasi kama ile ya kwenda kuhiji, kufutiwa madhambi yako halafu urudi tena kwenye dhambi, kawaida ya muumini kila ukijikurubisha kwa Allah ndio mtihani humiminika, na kipimo chako je kweli umeamini au danganya toto!! Bakia kijijini, mjini sio salama kwako.
Yule nimtu alio laaniwa kabisa utadhani sio yule aliokua analia machoz dah bas angerud kweny maov yake huku anahuzunika lkn chaajabu anarud huku anatoa maneno yakudhalilisha dini 😭😭😭 eti kumtangaza Allah nikijijini yarabb ukowap muoneshe ghadhabu zako iwe fundisho kwa wengine
Binafs mm baada yakuona ile clip nikasema shekh naww umechangia kumsapot mzee ysph kwenye starehe lkn leo umetufahamisha miongoni tumeelewa nikama hadaa amefanya kiukweli hulaumiki In Shaa Alla. Allah ampe khat wa nafikra nyengine atoke kwenye usheytwaan..(Amiin).. kwa kweli inasikitisha..
Kifo kibaya kinamuita Hugo mm cion ht haja Allah amwongz teyr alishamwongoza Allah akampa mtihn mdog kumpma kiwango chaimani yake imefkia wp amefl mtihan inabid yy mwenyw ajiulize arud tna kuludia mthn mtihn
Allah amusameh île ninja Ila ajuw kifo kama kipo asiendeleyi kusema kama zambi siyo tu kuimba Ila akimbuke nimangapi alizungumuza kweny mitandawo dunia nzima ikasikiya asimucezey Mungu
Yote aliyoyasema kayasahu waislaam wakisema anaona km wanamuonea au wanamhukumu wakati tunamkumbusha, na mke wake ndio yuko kidedea analifurahia hilo, kwakweli ni mtihani ila waislaam tumuombee dua ndugu yetu ktk dini ili Mungu amuongoze yy pamoja na sisi
@@khadijahali4837 acha ashushue maana target kubwa ya wanawake wapumbavu ni kupata sifa ya kuwa waume zao hawana kauli juu yao. Allah atunusuru na Qibri
Bwana kipozeo mungu akuongoze na ww sana màana unajua kuzuga washabiki wako maana sisi wengine huwezi kutuzuga Sbb tunaelewa lugha vizuri pole kwa hilo mm naomba tu waislam tuache ujinga na tusomeni
Duh!!,la utosi hilooo .ALLAH atupe mwisho mwema Inshaallah.Umeeleweka vizuri sana Shekh ila Mtume(s.a.w)mkewe bi Khadija alikuwq Tajiri sasa kuna kipindi kumbe alikuwa anakosa chakula hadi anafunga tumbo?Msisahau pia usaliti wa mwanamke,mwanamke alimuhadaaa hadi nabii wa M/mungu akatolewa peponi(Nabii Adam)Mkewe bado alikuwa anaendelea kuimba taarab wakati mumewe alikuwa keshaacha huwezi juwa labda alikuwa anamshawishi arudi tena.
Pia kuna clip alihojiwa akasema hayo alokumbana nayo alipokuwa shekh ni mazito kuliko hiyo taarab anayotaka kuirudia(Mambo gani hayoo na pia hata kama maumini wenzie aliwaona wanakosea kitu flani sio kwamba ndo imuhalalishe yeye kurudia tena madhambi.Sababu udhaifu wa muumin sio udhaifu wa kitabu cha QUR AN.Yeye aitendee hakhi QUR AN aachane na hayo anayosema alikumbana nayo
Kiukweli nimeumia sana pia mm mkristo kwahili alicho kifanya amemkosea SNA mungu tens sna ila alijui litakalo mtoke simuombe mabaya lakini inauma sna kwa mungu alimpa pimzi ila Mungu msamhe
Mimi nilikua na khofu tangia zamani juu ya toba ya mzee Yussuf.Maana mihadhara mengi Ya kiislamu utaskia atakuepo aliekua Mfalme wa taarabu.Hiyi inamaana toba yake haikuswihi.Mimi sishangai kurudi huko.
Sheikh we2 ktk clips zako nyingi natabasam kwa unavyotoa hisia za kuchekesha ila kwahili dah! umetupa hisia za majonzi kwa kilichotokea Mungu akulipe mema. Kullu man alaiha faan, wayabqa wajhurabbuka dhuljalali wal-iqraam.
Asalaam Aleikum Warahmatu Allah Wabarakatu ndugu zangu waislamu.. Sote kwa jina Allah tupenge kusikilizwa kwa nyimbo zake hizo nyimbo ni ibilisi laana tuu Allah
Wacheni ujinga waheshimuni sana watu waliobeba kitabu cha Qur'an na kukitangaza,kila anaemponda sheikh au kipozeo au mwengine basi huyo hajielewi na ana mapingufu katika dini yetu ya kiislam,pia munapaswa kuelewa ya kwamba aliepewa hekma basi huyo ndio amepewa kheri nyingi.
Huo ndio uaitwa mtihani sisi Waislamu tatizo letu tunachukua jukumu la kuhukumu hapa hata ukawa jinsia gani huna uwezo wa kumhukumia Mwenyezi Mungu.muacheni Mungu atamhukumu mwenyewe sio sisi au nyinyi,
وما يخدعون إلا أنفسهم Na hawazikhadai ispokua nafsi zao wenyewe,huwezi mkhadai allah wewe,allah haitajii uwepo wako,wapo wabora mnooo we takataka tu mzee yusuph,nanl nani aliyesema taubaa yafanywa wazi wazi kila mtu ajue,kama kweli angekua ni mtubiaji angekaa mwenyewe faragha na akatubu na kujuta na akauacha mziki
Kama na wewe umeelewa point za sheghe Kipoozeo gonga like hapa twende sawa...
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Shekhe Kipoozeo,nimefurahishwa sana na maneno yako,hasa ulivyoonyesha kuwa tayari kumuombea Mzee Yusuph kurudi kwa Mola wake.Hakika wewe ni mzazi,mlezi na kiongozi.Mimi ni Mkristo lakini kila unapotoa dawa nakusikiliza sana.Asante Shekhe
Ubalikiwe San ndg
sheikh kipozeo kwa mara ya kwanza nimekukubali leo in shaa allah utalibwa ujira wako
Yaani hili jambo limemuuma sana anaongea kwa utulivu na hisia bila mzaha kusisitiza anachokiongea.
We ndio unalipa ujira au iviii mzeee yusph kapoteza watu wangpi afu unaanza mwongelea kiulaini c fala tuuu yye
Mimi sio mwislamu lkn namuelewa sana shekh kipoozeo ..waislamu msikieni huyu shekh na zingatieni hayo kwa matendo .
Wachache wasiio na msimamo ndio wanaoharibu dini yetu
Hana moja
Na wewe uzingatie
Welcom mkuu
Shukrani sana habipty
Allah akulipe kheri shekhe wetu huu ndio uislam umezungumza maneno mazito alhamdulilah yaani nimefurahi nakuombea na dua shekh wetu Allah akuzidishie imani na akupe umri wa kheri na afya amin
Ndio maana Baba wa taifa alisema Kuna watu wengine Kama Malaya Malaya
@@jabilishekusa2202 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MAASHAALLAH Allah akulipe kwaelim na maneno yenye busara
Naila Omar Naila
anatakiwa atubu sana
Shekhe kipozeo allah akuzidishie kwa nasaha nzuri sana ulizozitoa nahii imetukumbusha sana hasa katika zama hizi zafitna.
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
HAYAWI ILA ANAYOTAKA ALLAAH...tumuombe Allaah ajalie tuwe ni wenye kutosheka kwa kile alichotukadiria...ya Mzee yaliza
Wapenda duniya wame dislike aliyo yasema sheikh, Allah atupe mwisho mwema. Na ukipata mitihani ndo utapimwa iman ya mtu
Sheikh kipozeo Ni Mmoja Wa masheikh ambao ni hazina katika uislam mwenyezi mungu amlipe kheri na tumtambue Ni mtu Muhimu hivi sasa sio mpaka akifa ndio tuanze kumsifu na kujua umuhimu wake.
Ma~sha~Allah Sheikh Kipozeo, baaraka~Allah fiyka. Mtenda kosa si mkosa ila mrudia kosa, kubwa zaidi nkuzidi kumuombea Allah Mz. Yusuph amzindue, amuongoze na amjalie husnul~khaatima ktk maisha yake.
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Yaa Rabbi tupe mwisho mwema tufe tukiwa waislam wa kweli🙏🙏
Amina aminaa allahuma aminaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amin Amin InshAllah sisi sote.
Shekhe amenena maneno mazuri na matamu kwa kweli jaazakallah hairan
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Inshallah mwenyezi mungu atukubarie duwa zetu
Subhann Allah, sheikh tuombe kheri kwa Allah, mzee Yusuf kapindukia na kakubaliana na masharti ya kishaitwani. Allah atuepushe na hili
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Sahihi kabisa shekh, nakukubali. Allah atujaalie imani thabit na atujaalie tufaulu mitihani yake tuwe waja wema. 🙏🙏
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
MashaAllah shekhe kipoozeo umeongea point 💯👍👍
Sheikh wng umezungumza kwel kbs, ila mzee yusuph anaichezea pumz y Mwenyez Mungu ila kwa hakika Dunia anayoiringia si kitu....😭😭😭waislam wote walioumia na jambo hili n kwasababu tuna khof ya mwenyez mungu, 😭😭😭mtihan Wallah
We hufanyi dhambi kabisa kwani
𝙉𝙖𝙞𝙢𝙖 𝙬𝙚𝙬 𝙪𝙛𝙖𝙣𝙮𝙞 𝙙𝙝𝙖𝙢𝙗𝙞 𝙖𝙪 𝙪𝙣𝙖𝙤𝙣𝙖 𝙮𝙖 𝙢𝙯𝙚𝙚 𝙮𝙪𝙨𝙪𝙥𝙝𝙪 𝙩𝙮𝙪
Mashallaah
@@afropatriot7769 kwakuwa yeye naye anafanya dhambi ndio na mzee yussuf nae afanye? unajua kwanini anasemwa hivi sasa hakusemwa mwanzoni? nikwamba alikuja kuichezea shere dini ya Allah kisha kaenda kuhadaa masheikh ili apitishe analotaka
@@Suleimansalum wewe ndio unasema aliwahadaa lakin yeye na Mungu ndio wanajua alidhamiria au alihadaa,mnahukumu kwakua hamjui alipitia nn,we ukidaiwa million 100 utaipata wapi na kazi pekee ambayo anaijua maisha yake ndio hiyo,mchangieni basi alafu akatae ndio mumhukumu,nyir wenyewe pengine mnamkwaza Mungu sana tu ila vidole vyepesi kunyoosha kwa wengine, yeye asiye na dhambi ndio anyooshe kama anaamini ana mamlaka hayo,sitetei yeye kufanya hayo anayoyafanya lakin nashangaa mnavojifanya Mungu au malaika kumchagulia adhabu wakati wotr tunasubiri rehema za Mungu tu,tunaweza wote kwenda nae motoni au pepon Mungu ndie anajua na pengine mwenzio kabla hajafa akatengeneza kwa allah akasamehewa we na mie tukaenda kwa moto sijui mtasemaje
Ameen in sha allah...allah amuongoze na atuongoze sote ummat Muhammad
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Shukran Sana sheikh kipoozeo Allah atakulipa kwa izo dawa zako atakupa inshallah
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Kiukweli Allah hajaribiwi mzee yusufu ulikuwa ukilala miskitini ukihamasisha uislama leo umetuvua nguo waislam
amejivua nguo mwenywe sio uislamu na MUNGU ataunusuru umati MOHAMMED YAARAB
Amejivua nguo mwenyewe sie tumebaki na nguo zetu tunafanya yetu
Huyu Mzee ana utani na mwnyezi mungu
naona dislike za wapenda taarabu, Allah akuzidishie shekhe kipozeo
Na katka hz dislike wapo Waislam pia
Ww unaongea nini au ndio hao hao vipozeo, mm naona kipozeo ndio anaehadaa hapo
@@aliybecka5169 wewe ndugu namzee wataarabu
Ni afadhali kwangu kuniambia ni ndugu wa mzee wa tarabu kuliko kuniambia ni mfuasi wa MTU anaejificha ktk kimvuli cha ushehe huku akiwa hana tofaut na huyo mzee wa tarabu yaani bongo movie nakuckitikia sana kama we unajigamba kuwa mfuasi wake pole sana kk ila ucwe na haraka mda ukifika utajua
Namuomba Allah amuongoze mzee yusuphu asiweze kurudia tenaa mabalaa Yale ya awali . amiiiin amiiiin Amin
Wakati kashatoa nyimbo ya taarabu tena na mkewe
@@bananatz4216 sawa katoa lkn tumuombeeni Sanaa Allah ampe hidaya /uongofu aweze kurejea tena kwake Allah
@@jahiriabdilah7478 anayeombewa ni yule mwenye hamu ya kurudi kwa Allwah lkn haombewi mcheza shere akhy!!!
@@jahiriabdilah7478 labda km atamuacha mke wake, ukiangalia tangu mwanzo wa safari yake ya kurudi kwa Allah mke hakua upande wa mume na km mjuavyo Nguvu ya mwanamke ndani ya nyumba. Kikubwa hapa kaka zetu mtuangalie sisi wanawake misimamo yetu ktk dini vinginevyo tutawaingiza pabaya
@@kuruthumabdallah4395 Nashukuru sana sana Dada yangu vp ushaolewa ww
Nampenda huyu shekhe jamani Allah ampe umri mrefu
Allahuma amiin
Mm Pia Sana waaa Allah
Amin
Allahummah amiin
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Allah akulipe kheri sheikh wetu Kwa kutuweka wazi tumekufaham
Allah akuhifadhi shehe wangu
Shekhe nimekufahamu sana Mungu akuzidishie hili na jengine, Mzee Yussuf ni tamaa na kupelekeshwa na mkewe
Kabisa niliona interview ya mkewe Leyla akisema alifurahi kua mumewe yua rudi kwenye mziki mkewe ndio chanzo
😀😁😁😁😁
Mm nilipoona mkewe anaimba nikasema hapa hakuna salama, mke ananguvu Sana, na Yussuf mungu amfanyie wipes tu
Ya Allah wape umri mrefu mashekhe wetu wazidi kutuelimisha.
Na udhalilishe unafiq na wanafiq.
Allahumma Aamin.
Amin
Kiukweli pia ukiendekeza njaa au shida utafedheheka tu... kibaya zaidi anajuwa dini na uislamu lkn anadanganya bado mzee yusph ww ulisema umetoka kwnt ufalme mana Mfalme ni Allah tu na mpk ulijutiya kibaya zaid ambch kilikua kizr tyr ww ni Al haaj lkn sasa Allah kakupima Imaan ndio akakupa mtihani lkn mzee umeshindwa na ukiambiwa au kuulizwa unakua na majibu by c mazr kwa kweli unasikitisha.. ingawaje sote wakosefu na hatujakamilika lkn ulichokifanya ni kitu cha kustaajabisha mana ulikubali kurudi kwaMola ila kwasasa umeamua kujitoa kwaMola... umeona bora uendelee namkeo mana ulishindwa kumdhibiti Awaal kua asiende kuimba wakt ww usharudi Makka ulivyokua ukiulzwa au watu wakicoment unakua mkali ulipohojiwa ulisema kua ushamuambiya taratiibu ataacha mapenz yanakufanya uingie hatiani mzee ysph.. hem fanya kama sheyt
waan alikupitia rudi kwa Mola wako maana yeye nimwingi wakusamehe... Allah akuheed In Shaa Allah..
🙄
Shekh kipozeo leo umetulia umeongea umeeleweka
Katika siku nimemuelewa Kipoozeo ni leo. Leo hajataka kuweka hata utani ni nondo tu. Safi kabisa MashaAllah
Hata ukiangalia macho yake utagundua shekheh kahuzunika sana.
sio leo tu huyu n kila atowpo mawaidha ueleweka tu
ila sema leo smeongeq kwa masikitiko kwa kumuonea huruma ndugu yetu yusuf
Khadijah Ali vp khadija
@@hamza89945 poa
Duuh Allah ampe mwsho mwema mufty kipozeo upo saw
Allah akupe umri mrefu tuweze kupatafaida ya hapa duniani na kesho akhera
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Akhsante sana Shaikh, Mawaidha utoayo au nasiha unazo zitoa zinasaidia kwa watu wengi waislamu na sio waislamu Akhsante sana sana AZAKALLAH'KHEIRAN nilikua na kerekwa na kitu katika nafsi yangu lakini baada ya kufungua TH-cam na kukusikia uyasemayo Wallahi nimiburudika na kufarajika maana maneno ulio yasema hayamhusu mtu mmoja bali kwa wote ambao tunaijua lugha ya kiswahili,ALLAH Akupe umri mrefu wa afya na akuzidishie kila la kheri na baraka duniani na akhera (Amin)
Daaah inauma sana yni siku ya kwanza kusikia ivyo na kuja kuona show yke ya dar live machoz yalinitoka yni m/mungu ajalibiwi jamani mzee yusufu tatizo lipo Kwa mkewe na dada ake kwaiyo mtihan sana jamn
Kugumu Shekhe ,Mola atustiri maana mm mwenyewe Niko Qatar tumechanganyikiwa sanaaaaaaa lakini Allah atunusuru mtihani WA dunia ni mgumu jamani Allah atusamehe
Insha Allah Allah amzindishie imaan jmn 🤲🤲
Mimi sio muislam. Shehe umeongea vizuri mno bila matusi hongera Sana. Mashekhe wengi e wa ajabu sana wanamtukana haifai
Xyo kutukanwa tuuu hata kuuliwa unamwambiaje maneno laini mxenge Kama huyo
Kumekuchaaa alhamdulillah mwamba kajitolea kuongea ukwel hv ndivyo inavyotakiwa wahadhir tusirud nyuma 👉 naam muislam njooo kweny TH-cam yangu namie nimezungumzia hili jambo
Weka linki ya youtube
th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Sawa
Umeongea hoja nzito mno sheikh
Allah atuwongoze yarabiii nasisi wenyewe tuko nyuma ya dunia eeeee Allah tunusuru yarabiii mola wangu nihurumiye miyeeee namakosa yangu nawa Islam piya sote kwa jumla aminiii👏👏👏👏😫😫😭😭😭
Aamiin🤲
Nimemuelewa sana sheikh kipozeo, mashallah 🙏👏
Mashaa Allah
Sheikh leo umetuweka sawa sana ktk jambo hili. Allah akuhifadhi
Allah (s.w) humuongoa amtakae na humuangamiza amtakaye pia kwa hiyo tukisema dunia nzima tuwe waislam na tufanikiwe kuinhia peponi basi mwenyezi mungu atakuwa muongo kwamba kaumba moto kwa watakaoenda kinyume nae halafu kiama tuwe wote peponi lazima wapatikane wa motoni na kwakweli kosea maisha usikosee kuoa au kuolewa ni mtihani sana unaweza kuingizwa motoni na mwenza wako bila kujali Allah tupe mwisho mwema in shaa Allah.
Safi shekhe tena wanazinduwa siku ya ijumaa taarab M.mungu amuongoe inshallah lakini mtihani mzito
Ilikuwa imeshaingia jumamos tayar
@@zainabubakari6235 usiku wa ijumaa
@@zainabubakari6235 la hasha ilkua ucku wa ijumaa
Ijumaa subhanalllah
Pole sana sheikh nakupenda sana bt waongea urongo ulikuwa wa elewa uzuri sana anachokiongea mzee yusuf na ww ndio ulizidi kumpotosha kwa kubaliana na maneno yake, alikuliza " kuimba haram" ukajibu sio haram kwa kweli hakuna asiekosa na umefanya makosa.
Na omba radhi ustadh bt ukweli ulituma kuwa ww twakusikiza kila siku kutowa kauli kama ile
Yaani hapo sheikh wetu kipozea umepata sifa ya kuongea ukweli juu ya huyu aliekufuru na anatakiwa atoe shahada upya mana alishakufuru kwahiyo sheikh wetu Kipozeo tumekuelewa sanaaaa
Na umeulinda umarufu wa kazi yako yakutuelimisha sisi maamuma
Nimekusifu sana
In Shaa Allah
Allah atujarie mwisho mwema amiin
AMIN AMIIN AMIIN
"Inna Llaha maa Swaabirin (Hakika Allah yuko pamoja na wanao subiri)." Haimaanishi kuwa uwe kwenye raha ndiyo usubiri. Subira maana yake ni kuvumilia matatizo uliyo nayo ukitumaini Mwenyezi Mungu atakuvusha salama.
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
@@sharifumussaalaadabiy9001 Jazaaka Llahu Khayr!
Audhubillah Mungu am same he na arudi she katika sir Atul mustaqeem in sha Allah
Masha Allah, sheikh una busara, una ufasaha, na ilmu, mungu akuzidishie ilimu yenye manufaa.
Kwa hili Mzee Yusuf hukumtendea vema sheikh kipoozeo, ulitumia jina lake kutaka kuhalalisha kurudi kwako kwenye taarabu, ungekuwa muungwana ungemuomba radhi sheikh kwa ulivyomhadaa,,,,,ona sasa sheikh anavyopata taabu kuelezea kadhia yako, hata hivyo sheikh ni muungwana sana, amejaribu kutumia busara kufafanua kadhia hiyo!
yaan alitumia akili zake kuwaingiza ktk mbinu zake ila sheikh ameeleweke Alhamdoulillah
Yarrab twakuomba utujaalie mwisho mwema ..mzee yousoph kumbuka manabii walitowa Mali nyingi kwa ajiri ya ..Allah .fii Sabilillah sidhani kama hyo nyumba yako iliyotaka kupigwa mnada kwa deni unalodaiwa la milioni miamoja kwa mujibu wako kama ulivyosema wewe inathamani ..mbele ya M/Mungu..
Tatizo mzee yussufu alikulupuka sana angengia kwenye madrasa yakuimba kaswida za masharehe angekua mbali sana
Naam
Amekusudia kuwachafua mashekhe na ndio Mana kafanya hadaa hii lakini Allah yupo
Anadhaliliisha uislamu mzee Yusuf kiukweli tumechukiwa sana
Nikweli uyasemayo hata mimi kanichukiza sana tuu
Kipozeo our God Jehovah knows your purpose...... whatever you are doing with Mzee Yusuf is a noble deed in front of our almighty........ UBARIKIWE SHEIKH.
متى نصر الله الا إن نصر الله قريب، jazzakallahu kheira ustadh kipozio ALLAH AKUHIFADHI Kwa kutu kutukumbusha
Kufanya kosa mara ya kwanza si kosa ! Kurudia kosa ni kosa! Hatuna la kusema ila Inna Lilah Wainna Ilaihi Rajiuun! Allah Amuhidii!
Mzee yusufu ni mamba tu mungu ataniwi dini aichezewi kamwe kaenda yeye hija mkewe anaimba taraabu shuwaini iyo
Yaani nilivoona yeye kaenda Hajj ila mkewe bado anaimba bado nikajua hapo ipo shida
Kweli kabisa lazima watetereke
Hilo nalo nemo
Kabisa ibilisi mkewe buana coz hata mmewe alivyoacha alikua akilalamika mno,hvyo kamlaghai hadi amemuasi mola wake kipenzi.
Mkewe ndio shetani mkubwa
Allah atupe nguvu katika Ibada.
Ameen
Allah atufanyie wepesi kuyaendea yalivyo mema, ila Mzee Yusuff katuvua nguo, huwezi kupata nafasi kama ile ya kwenda kuhiji, kufutiwa madhambi yako halafu urudi tena kwenye dhambi, kawaida ya muumini kila ukijikurubisha kwa Allah ndio mtihani humiminika, na kipimo chako je kweli umeamini au danganya toto!!
Bakia kijijini, mjini sio salama kwako.
Wallahi kupitia yeye tunatakiwa kujifunza sanah
Yule nimtu alio laaniwa kabisa utadhani sio yule aliokua analia machoz dah bas angerud kweny maov yake huku anahuzunika lkn chaajabu anarud huku anatoa maneno yakudhalilisha dini 😭😭😭 eti kumtangaza Allah nikijijini yarabb ukowap muoneshe ghadhabu zako iwe fundisho kwa wengine
th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
😭😭
Wallah me na familia yangu sheikh ile crip yako na mzee yusuf tuliielewa in negative way na si positive way
Ni kawaida yetu binaadam. Lakini kwanini asingeitoa tangu mwanzo wa mazungumzo Bali amekiuka maneno muhimu. Nikama amepanga
hata sumalee alipoacha mziki alipata mtihani nyumba yake iliungua na vitu vyote ndani vimeungua lakini hakuteteruka
Kumbe yalimkuta hivyo
Allah hutoa majaribu kwa kusudi la kuthibitisha je, ni kweli umetubu ukweli ukweli au laaa! Tumuombe Allah atuepushe na kila ushetwani inshallah.
Hakika mola lazma atujaribu kwa mitihani ili kutupima imani zetu kiukweli Mzee Yussuf amefeli huu mtihani mola atujaalie mwisho mwema..
@@halimasaidi2915 Amiin
@@ashaally6662 ndio tena hakikubakia chochote ndani aliaza upya na mpaka Leo kabaki na msimamo wake
sheikhe kipozeo mungu akujalie nimekuelewa sana
Bismillahir Rahmanir Rahiym.
Tumwombe Allah (Subhaanahu Wataala) Atujaalie mwisho mwema Waislam soteee
AMIN AMIN AMIN AMIN AMIN AMIN AMIN AMIN AMIN AMIN
Hakika wewe unafaa kuwa shekh Mkuu big up kipozeo
Binafs mm baada yakuona ile clip nikasema shekh naww umechangia kumsapot mzee ysph kwenye starehe lkn leo umetufahamisha miongoni tumeelewa nikama hadaa amefanya kiukweli hulaumiki In Shaa Alla. Allah ampe khat wa nafikra nyengine atoke kwenye usheytwaan..(Amiin).. kwa kweli inasikitisha..
Subhana
Akakata Yale maneno mengine alivyo mja walaana mwenyezimungu awaepushe mashekhe na mitihani kaa hii
Tatizo shekhe nawewe ulikuwa mfafanulie weee umemwambia kuimbasivibaya ungemuliza kuimba nini
Kifo kibaya kinamuita Hugo mm cion ht haja Allah amwongz teyr alishamwongoza Allah akampa mtihn mdog kumpma kiwango chaimani yake imefkia wp amefl mtihan inabid yy mwenyw ajiulize arud tna kuludia mthn mtihn
Pole sana sheikh kipozeeo kwa mzee Yusuf kukuchafua kwa kaul zake za kujua mwenyew m.mungu yupo pamoja nawe
Sheikh nakupenda kwa ajili Allah unachana ukweli hakuna kupindisha pindisha kama masheikh wengine ubwabwa! Allah akuongoze
innalillahi wainnaileyhi rajaouni. Allahu subahanahu allala amunyoshe namupe ufahamu wakujua makosa yake.inshaaAllahu
Allah amusameh île ninja Ila ajuw kifo kama kipo asiendeleyi kusema kama zambi siyo tu kuimba Ila akimbuke nimangapi alizungumuza kweny mitandawo dunia nzima ikasikiya asimucezey Mungu
Yote aliyoyasema kayasahu waislaam wakisema anaona km wanamuonea au wanamhukumu wakati tunamkumbusha, na mke wake ndio yuko kidedea analifurahia hilo, kwakweli ni mtihani ila waislaam tumuombee dua ndugu yetu ktk dini ili Mungu amuongoze yy pamoja na sisi
@@rizikisuleiman7820 yn hy mkewe ndo usiseme anavyoshushua watu ig na anasema kabisa anapenda kuimba
@@khadijahali4837 😭😭😭
@@khadijahali4837 acha ashushue maana target kubwa ya wanawake wapumbavu ni kupata sifa ya kuwa waume zao hawana kauli juu yao. Allah atunusuru na Qibri
@@kuruthumabdallah4395 yan anavyoandika hk insta hana wasi wasi kabisa 😓😓
Allah amswameh yy atuswamehe nasisi. Tumekuelewa shekhe wetu.
Asante osttadhi kwa nasaa yako Allah Allah anipe umri murefu
Wenye akili tumekuelewa Mzee, dini siyo sehem ya kufanyia mzaha mzaha.
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Sheikh usiwe na wasiwasi sisi wenye akili tulikuelewa!!
Kabisa
Kabisa yani
Gud
Bwana kipozeo mungu akuongoze na ww sana màana unajua kuzuga washabiki wako maana sisi wengine huwezi kutuzuga Sbb tunaelewa lugha vizuri pole kwa hilo mm naomba tu waislam tuache ujinga na tusomeni
Innalilahi wainailahi rajiuna,Allah alishamjua kua huyu ni mnafikki tu.na amejua kumdhalilisha vibaya mnno
Kasharitadi uyoo hana kitu
Kajidhalilisha mno
Duh!!,la utosi hilooo .ALLAH atupe mwisho mwema Inshaallah.Umeeleweka vizuri sana Shekh ila Mtume(s.a.w)mkewe bi Khadija alikuwq Tajiri sasa kuna kipindi kumbe alikuwa anakosa chakula hadi anafunga tumbo?Msisahau pia usaliti wa mwanamke,mwanamke alimuhadaaa hadi nabii wa M/mungu akatolewa peponi(Nabii Adam)Mkewe bado alikuwa anaendelea kuimba taarab wakati mumewe alikuwa keshaacha huwezi juwa labda alikuwa anamshawishi arudi tena.
Pia kuna clip alihojiwa akasema hayo alokumbana nayo alipokuwa shekh ni mazito kuliko hiyo taarab anayotaka kuirudia(Mambo gani hayoo na pia hata kama maumini wenzie aliwaona wanakosea kitu flani sio kwamba ndo imuhalalishe yeye kurudia tena madhambi.Sababu udhaifu wa muumin sio udhaifu wa kitabu cha QUR AN.Yeye aitendee hakhi QUR AN aachane na hayo anayosema alikumbana nayo
Sasa na wewe unafanya nini mtandaoni huku si dini imekukolea
La sua moglie e problema
Mzee yusuf mjinga Sana asituharibie nakudhalilisha Mashekhe wetu kwa kinaya.
Kiukweli nimeumia sana pia mm mkristo kwahili alicho kifanya amemkosea SNA mungu tens sna ila alijui litakalo mtoke simuombe mabaya lakini inauma sna kwa mungu alimpa pimzi ila Mungu msamhe
Mustatiru!! Allah Amuongoze Inshaallah
Mungu atupe khatima njema
Ameen inshaalah
Allahu akbar maneno ya kweli kabisa Jamani ndugu waislam tumcheni Allah wakati umeshatupa kisogo
Mshallaah sheikh kipoozeo
جزاك الله خيرا يا دكتور العاصين...
Innalillahi wainnailahi raajiuun. Allah amsaidia na atulinde na unafiq. Amin
aamin yarabi mungu muongoze
Mimi nilikua na khofu tangia zamani juu ya toba ya mzee Yussuf.Maana mihadhara mengi Ya kiislamu utaskia atakuepo aliekua Mfalme wa taarabu.Hiyi inamaana toba yake haikuswihi.Mimi sishangai kurudi huko.
Sheikh we2 ktk clips zako nyingi natabasam kwa unavyotoa hisia za kuchekesha ila kwahili dah! umetupa hisia za majonzi kwa kilichotokea Mungu akulipe mema. Kullu man alaiha faan, wayabqa wajhurabbuka dhuljalali wal-iqraam.
Safi... Umeongea kwa kujenga na kwa busara Sana hujatumia Jazba.
Allah amfanyie wepes arudie kwenye dini mzima mzima nasio nusunusu
Amina ishaallah
Amin Yarabi 🤲
Salha Aaa vp hujambo
Subhanallah mke kamzidi nguvu mpaka anamvuta motoni allah atuhifadhi
Kbs ama shetan ananguv xna Allah atukhifadh
Mwnyw pia hana msimamo na hana subira
@@hadijasalum6373 ndo maana nikasema mke kamzidi nguvu na kaonyesha udhaifu mkubwa mzee yusuph mungu atuhifadhi na sisi kwa kikwekwereke kama huyo
@@hassannasir4561 aaamin
@@hadijasalum6373 Ila kwel tusimsingizie mkewe
Allah amuondoe tena huko amrejeshe ktk din kabla ya umauti wake in shaa allah
Uyo mzee yusufu.kabungi kweli unatoka kwa mungu unaeda kwa.shetani kweli Mimi mkristo lakini nime muelewa.shehe
Inalilah wainna ilayhi rajiun
Tumuombeni mungu sana amlejeshe kabla hajaondoka kwnye huu mgongo wa ardhi
Kwani kuimba ni zambi nielewexhwe
Mkewe ndo anampoteza mzee yusufu hata insta yake anaandika vitu havina mantiki Kama mwanamke wa kiisilaam
Kweli
ALLAH amuongoze, ILA huyo mke wake ndio MTIHANI MKUBWA kwani Mzee yusuf mskitini mke anapiga taarab haiwezikani abadan
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Mashaallah Alla akulipe shekhe wetu kiralakheri
Mashaallah sheikh, kwasote tuzingatie haya mawaidha
Mzee yussuf tamaa zake kuna siku zitamponza muache amchezee allah kwa mikono atakuja juta majuto mazito aache unafiki na dini ya allah
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
😭😭😭😭😭Amejihadaa nafsi yake 😥😥😥
Hasara
Inna lillah wainailayhi rajion 😭😭😭😭
Inshaallah sheikh wetu kipozeo kwamawaidh mazur yakuelimisha
Asalaam Aleikum Warahmatu Allah Wabarakatu ndugu zangu waislamu..
Sote kwa jina Allah tupenge kusikilizwa kwa nyimbo zake hizo nyimbo ni ibilisi laana tuu Allah
Njaa mbaya sana
nikujiendekeza
Wacheni ujinga waheshimuni sana watu waliobeba kitabu cha Qur'an na kukitangaza,kila anaemponda sheikh au kipozeo au mwengine basi huyo hajielewi na ana mapingufu katika dini yetu ya kiislam,pia munapaswa kuelewa ya kwamba aliepewa hekma basi huyo ndio amepewa kheri nyingi.
Mashekh kama hawa kwanini asirudi wakat kamuliza nakatazwa kuimba kamwambaia hukatazi
@@MohamedSaid-bn1rq umemsikiliza vizuri lakini kaka?
@@MohamedSaid-bn1rq ndugu yangu umemuelewa Sheikh alicho kiongea ama unaropokwa tu?
@@yusufmwangichannel6692 Mimi nimemuelewa tena sana.
@@MohamedSaid-bn1rq HIV wewe husikii vizuri alicho sema shekhe ama amemaanisha kuimba qaswida na sio hizo taarabu
Huo ndio uaitwa mtihani sisi Waislamu tatizo letu tunachukua jukumu la kuhukumu hapa hata ukawa jinsia gani huna uwezo wa kumhukumia Mwenyezi Mungu.muacheni Mungu atamhukumu mwenyewe sio sisi au nyinyi,
وما يخدعون إلا أنفسهم
Na hawazikhadai ispokua nafsi zao wenyewe,huwezi mkhadai allah wewe,allah haitajii uwepo wako,wapo wabora mnooo we takataka tu mzee yusuph,nanl nani aliyesema taubaa yafanywa wazi wazi kila mtu ajue,kama kweli angekua ni mtubiaji angekaa mwenyewe faragha na akatubu na kujuta na akauacha mziki
😭th-cam.com/video/luMU2S7lyQw/w-d-xo.html
Innalillah wainnailaih rajiuun