Jawabu la Kwanini Mungu Anamswalia Mtume / ibada ni nini - Sheikh Walid Alhad
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2020
- Jawabu la Kwanini Mungu Anamswalia Mtume / ibada ni nini - Sheikh Walid Alhad
Sheikh Walid akifundisha Darsa la Tafsiri ya Quraan Ramadhani Mwaka 2020 Linalo fanyika Msikiti wa Kichangani Usisahau ku subscribe na kutu follow katika page zetu za insta na Facebook shukraan
Video by muba Production Magomeni
Subscribe
Comment
Like And share
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / darsatv
► LIKE DARSA TV on Facebook: / darsatv - บันเทิง
Allah akubariki sheikh wetu
Sheikh walid
Allah akufikishe daraja zajuu
Iwe kam jina lako lilopunguka (d) iwe walii
Mm binafsi najifunza mengi kupitia darsa zako, na nakupenda kwa ajili ya Allah. Sheikh Walid usiponiona peponi niulizie in Sha Allah
Yesu Kristo anawaita nyi e Mumfuate mnajichanganya kila shehk anatafasili anavyo jua yeye ni shafuatilia sana majibu yenu yanatofautiana rudini kwa yesu Kristo ni njia kweli na uzima msibunibuni tu tafisda
Pole hatumuabudu kiumbe alueshi tumboni kwa mamaake kama tulivyoishi sisi tunamuabudu mungu mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa wala hakuna aliefanana nae mungu aliemuabudu Ibrahim na mitume iliyopita sasa yesu ni mtume tu hatuabudu mitume sisi tunaabudu mungu wa hiyo mitume
Mola akubariki
Maa shaa Allaah Sheikh Walid Alhad Omar
🤲Allah amzidishie elimu yenye manufaa hadi akhera yake🤲
Marshall ah Allah akupe afya na akuifadhi napenda darasa zako
Sheikh wangu niko Europe lakini natamani ningekuwa karibu yako nikakupa mkono wa kukushukuru kwa kunipatia ufunguo wa kuingia peponi.
InshaAllah tukawe pamoja na Bwana wetu Mtume Muhammad salla llahu alayhi wasallam. Amin.
Doh Twayyib Mwalim
Tunafaidika kwa elimu yako ALLAH azidi kukupa uhai mrefu na afya njema tukutane peponi inn shaa ALLAH
SHEKH WALID ALLAAH AKUHIFADHI NA VITIMBWI VYA SHAITWAAN NA FITINA ZA UONGOZI UBAKI KATIKA HALI HII HII
Ustadh Walid inshaAllah mpaka nikuone nikusalimie. Mm kwetu Lamu Riyadha. Nanimefurahika umekuja kusoma Lamu.
Shukran Muba tunafaidika hata tulip mbali sana. Allah ambariki sheikh wetu Mpe salaam in shaa Allah
Shaikh walid mm sina la kusema illa nakuombea IKHLASW...Allah akujaze ikhlasw ktk maisha yako..akulipe kwa unayotufunza...amiin
Nam shekhe Wang Nakubali sana mafundisho yako Allah akuongoze akuripe kiralakheri.
Shukran sana sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa
amiin
Mungu ukuhifadhi sheikh Walid tunanufaika Sana kupitia ww
Shukran shekhe wetu Allah akubarik
Alhamdulllah nimekua wa kwanza Leo ishaallah anilipe khery
Maashaallah
بارك الله فيك ونفعنا الله بعلمك
ALLAHUMA SWALIAFDHWALA SWALAATI ÀLAA SAYYIDNAA WA HABIBINAA SAYYIDNAA MUHAMMAD...s.a.w
Maa shaa Allah sifa zote nzuri wamezitaja wenzungu juu ya shekh,mwalim walidi mm naongeza kuwa mahadhi ya usomaji wa quran nataman kila aya atakayo isoma bac aipambe kama hivyo ,sioni cha kukuombea zaidi ya firdaus
Dah!Allah hakulipe kila lililo jema Sheghe Walidi kwa kutufundisha na kutuelimisha!
Najifunza mengi sanaa na uwa nina kipindi maalum kila siku nipate hii rehma ya elimu ya bure kabisa kutoka kwako!
inshaAllah, AMIN
Mashallah naomba ratiba ya darsa lini na lini na mda
Ma shaallah mabruok
Salaam aleykum ndugu, nakereka sana unapokatiza mawaidha matamu. Achilia darsa nzima tafadhali.
Mwenyezimungu akubariki sheikh walid kwa kutuelimisha na akujaalie pepo ww pamoja na cc
Allah akuweke sheikh walid dooooh
Bingwaaaaa sheikh Waalid
Jazaakalkah lkheir ,ahsante kwa kutuelimisha sheikh na nnakufaham haswaaa
Sheikh Walid Alah awlalipe Wazazi wako tunaneemeka mno
Jambo liliniumiza kichwa hili alhamdulillah yaan hadi nilishindwa kuwauliza wanaojua maana nilihisi wangenifkiria vibaya Allah anisamehe.Allah akubariki sheikh walid
Shukran kwa darasa ñimekusoma
Duh nimeckia maqaam rast hapo ya Sheikh Walid😁Maa shaa Allaah🥳
As salaam Aleikum. Kabisa vizuri kabisa kuiweka wazi point hii. Tusije kukufuru juu ya neno sala. Baina Sala na ibada
MASHAALLAH Allah akupe umri mrefu SHEIKH Walid unatuelimisha
ni vizur sana kutoa ufafanuzi nashaur na mashekh wawe wanakuja kuziondosha mushkel kwenye mada zao.kuna wat kuharibu haribu
Nampenda sheikh akitoa historia ya Mtume saw
Mashallah Sheikh Walid
Jazaka Allah Khayr Sheikh Walid...Allah akulipe kila la kheri..akudizishie umri na elimu..kwa kweli tunafaidika sana..Masha Allah...Allah akujalie uwe na Mtume wetu Muhammad Sallalahu Alaiyhi Wasallam bega kwa bega mpaka Firdaus al aala...Amii.
💖☝️
Masha Allah sheikh Walid, mbona mm nafahamu darsa vizuri alhamndulillah na Hua na kitabu naandika ili nizidi kupata elimu
Mashaallah mashaallah darsa nzur sana
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Allahumma Swalli Wassallim Wa Baarik Ala Sayyedna Muhammad Swalallahu Alayhi Wassallam
Allah akupe avya uzidi kutuelimisha
جزاك الله خيرا وبارك الله فيك الأستاذ وليد.
MashAllah
Mimi nliona wa kwanza siku comenti 😆. Habib shukran napata faida nkiwa nairobi kenya sheikh walid umenfunza mengi. Kama kawa kitabubnankalamu lazima. . Darsa tv muendeleee kutupa vitu twapata faida sana.
Alhamdhu lilah
اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
Mashaaallah
Jazaka llah khayra
Mashaallah shukran sana ustadhi
Nimefurahi sana
ALLAHUMA SWALI ALA MOHAMMED WALAALIHI MOHAMED KAMA SWALAITA IBRAHIMU WALA ALIHI IBURAHIMU
Sheikh hapo ningependa kuuliza. Hivi tunavomsalia mtume ndio Sawa kweli? Ikiwa Allah ametuamrisha walioamin kumsalia mtume na sie baada ya kumsalia mtume ndio kwanza tunarudisha amri kwa Allah kwa kumwambia yeye Allah amsalie mtume kwa kusema (Allahuma Swali Alaa Muhammad....)
MashaaAllah haya ndio matunda ya Sheikh wa masheikh zetu Almarhum Sheikh Muhammad bin Sheikh Ayyub bin khamis Alkamadhy. Allah akuweke Sheikh Waleed.
Hakika hii ni elimu iliyo ya kisawasawa yenye isnadi ya ajabu kutoka kwa Ibn Ayyub mpaka kwa Swahaba Abdallah bin Omar
shukuran
Alhamdulilah
Samahani nime taka kuuliza.bona kama kuna mtu ana bisha kama iyo siyo mahana ya ibada iyo.niya wapi ingine
Wacha nitembee kifua mbele sasa kwa ufafanuzi huu
A.a sheikh walid vp haliyako wajiskiaje mzima hunaneno naitwa Abdallah tawfik nakuuliza je yafaa kuomba kwa kiswahili ndani ya swala ikiwa hujui kiarabu ??
Karibu kutazama Qaswida mpya kbs SISI NA MTUME
th-cam.com/video/l9jq7p33ZU8/w-d-xo.html
Watoe school fees shekh wangu
shekh swala unayo ifanya wewe kwa muhhamad Allah nae anaifanya... wewe unamuomba Allah amsaidie Muhhamad sasa Allah anamswalia Muhhamad anamuomba nani amrehemu Muhhamad??
Muhammad ni mbora wetu mbele ya M/Mungu Sasa inakuaje tunamuombea Kila siku tena Mara Tano kwa siku na ikiwa yeye ni mtu wa peponi tayari anasubili sku ya kufufuliwa 2 Kisha aingie peponi . Je maombi yetu yanafaida gani kwake?
Kwanza yeye ndo inafaa atuombee kwa M/Mungu kwa sababu yy ni mtume ata maombi yake yanapokelewa mapema
Na ikiwa Mungu kumswalia mtume ni kumrehemu kwa maana iyo ni wazi kua ata sisi Mungu anatuswalia , maana siku zote tunaishi kwa rehema zake
Na si Kama Nina mashaka na mtume lahasha Bali Nina mashaka na elimu tunayofundishwa,
Maashaallah