WANAOPINGA KUWAOMBEA DUA MAITI, MAULIDI HILI SIO TATIZO KWAO, JE LINAFANYIKAJE? - SHEIKH MZIWANDA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 101

  • @west5897
    @west5897 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nataka kujua hapa tumeambiwa Mtume Muhammad (s.w.a) Aliondoka dini imekamilika .na tumeambiwa kwenye dini ya kiislamu hakuna kuengeza kitu ambacho hakimo wala kupgunguza kitu ambacho kimo .na tuliambiwa njia ni mbili ni sunna na faradh Sasa je maulid yamo katika dini na Kama yamo je ni sunna ama faradh

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 ปีที่แล้ว +5

    Doooooh Wallah Allah awaweke masheikh wetu tuzidi kufaidika na elmu zao

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 ปีที่แล้ว +6

    Masha Allah, shekhe Jazzaka Allah kheri.

  • @jumanneshabeni2009
    @jumanneshabeni2009 ปีที่แล้ว +5

    asante shekhe mziwanda الله akupe umri mrefu tunufaike na elimu yako

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 ปีที่แล้ว +3

    Shegh tunakuelwa sana unafafanua vizuri sana na pia wale watu wakadiria wanafafanua vizur sana.hoja nzito sana

    • @abdulmwalimu7111
      @abdulmwalimu7111 ปีที่แล้ว

      Utumbo mkubwa kaongea

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@abdulmwalimu7111badala ya kutukana ungeweka hoja!

  • @ushindiushindi5749
    @ushindiushindi5749 ปีที่แล้ว +4

    Huwa nakkubali sana mziwanda lakin kutetea mauld hapan

    • @user-br6er7zf5z
      @user-br6er7zf5z 18 วันที่ผ่านมา

      Nyie ni wanafiki tu wapuuzi kamà hamjui maana yamaulidi kaeni kimya au kalaleni

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 ปีที่แล้ว +2

    Wallah shekh usipoacha kuzid kutangaza bidaa utaangamia Allah akunusur

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 ปีที่แล้ว

      Ibunu Taimiya si kasema maulid siyo haram njoo Tamta Tanga tukuthibitishiye na huyu si ndiyo hana kasoro kwenu

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 ปีที่แล้ว +3

    Unaona shida awa watu wanaleta mzaha kwenye vikao vya dini eti kama mayere dah mtihani

  • @mageh8655
    @mageh8655 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah shekh umetumalizia hili tatizo ALLAH akulipe kila la kheri

  • @auazenafusse134
    @auazenafusse134 11 หลายเดือนก่อน +1

    sawa kabisa shekh Allah akuwoze

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 ปีที่แล้ว +3

    Allah akupe umri mrefu

  • @jumahory859
    @jumahory859 ปีที่แล้ว +2

    Allah akuhifadhi hakika unavitu vyakipekee mpaka nahau

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 ปีที่แล้ว +2

    Allah akuhifadhi shekh ili tuzidi nufaika

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl 8 หลายเดือนก่อน

    Shukran Sana Sheikh Wetu kwakutuelimisha na Tunakuomba usife moyo kwasababu hata Mtumi Muhammad SAW alipingwa shukran sana Allah akuhifadh

  • @user-qq6no9em1f
    @user-qq6no9em1f 7 หลายเดือนก่อน +2

    wallaah mziwanda unaijua hakki ispokua unafanya unafanya makusudi kwa kufuata matamanio

  • @sulekato4330
    @sulekato4330 ปีที่แล้ว +2

    Allah akuzidishie na akuhifadhi

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid114 ปีที่แล้ว +2

    Mashallaah akurehemu Allaah

  • @abdulkadirshora3080
    @abdulkadirshora3080 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa sheikh ALLAH atuzidishie

  • @ramadhaniddsalim2201
    @ramadhaniddsalim2201 ปีที่แล้ว +3

    Alhamdulillah

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 ปีที่แล้ว +3

    Mbali Sana hapo sheikh.
    Kwa niwajuavyo mimi hapo hawafiki.

  • @fardboy7043
    @fardboy7043 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 27 วันที่ผ่านมา

    Endeleni kupotosha watu maana allah kawatoa aibu kama mtume mmemsingizia mtashindwa kusema urongo siku zinavyoenda wanawakimbia hawo munao waringania uzushi mtajikuta mmebaki wenyewe muogopeni mungu dinni haikuwa na ziada ya kuongeza mambo baada ya mtume

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil8436 ปีที่แล้ว

    Ibrahim Alivyoomba mwenyezi mungu nijaalie niwe miongoni mwa wema. Ndipo alipooteshwa amchinje mwanae. (Alivyo amini) ndipo alipoonyeshwa mnyama,ndipo alipo barikiwa nabii Is-haqa mwema. mingoni mwa kizazi chake wapo wema,na wenye kudhulumu nafsi zao. Shekhe hapo umekosea maiti hasaidiwi kwa kusoma qur-anni, ili imuonye aliye hai (Yassin)

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi ปีที่แล้ว +1

    Mashaaallah ❤️❤️❤️

  • @binbaya923
    @binbaya923 ปีที่แล้ว +1

    Maa shaa Allah

  • @bongotvonline4883
    @bongotvonline4883 ปีที่แล้ว +2

    Mziwanda wewe ni msomi mzuri sana, tatizo lako tu haupo katika haki ingawa unaijua haki. Na Allah akupe muongozo InshaAllah.

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 ปีที่แล้ว

      Yaani unakubali Elimu anayo lkn unamkata jina kama mtoto wako kwasabu mumehitafiyana lkn ujuwe kuhitaliyana ndiyo kukuwa kwa Dini yetu kwasabu watu watasoma zaidi

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 ปีที่แล้ว

      Kwaiyo kafili au dah nyie waislam wa ni shida sana aya wew mcha mungu mungu akujalie

  • @saidally9896
    @saidally9896 ปีที่แล้ว +1

    Masha allah

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 ปีที่แล้ว

    Mashallah 😊

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 หลายเดือนก่อน

    Sheikh hapo umedanganya,kwenye neno على نشاطه Makusudio yake yapo hapa صل قائماً.... Na kuendelea kwenye hio hadithi. Wallahi nukupenda kwa ajili ya Allah. Lakini hapo umechemsha Sheikh makusudio sio idadi za rakaa

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 ปีที่แล้ว +1

    ماشآءالله

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 11 หลายเดือนก่อน

    Masheikh wakiwahabi wanaopinga waende semina wakaelimishwe

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 10 หลายเดือนก่อน

    .shekh juzi kaeleza kwamba aliekataa khitima ni imamu shaafii allah amreh .
    Leo atuambia namna yakuomba kukusanyika kumuombea maiti .imeachiliwa .
    Swali khitima watu wakikusanyika wanafanya nini!
    Na ww umesema madheheb yako ni ya kumfuata imamu shaafii .

  • @user-qq6no9em1f
    @user-qq6no9em1f 7 หลายเดือนก่อน

    KUWAFANYA WATU MAZUZU SASA MAMBO YA NDANI UNAFANANISHA NA MAULIDI YA NJE

  • @mgosilawanukoviri2734
    @mgosilawanukoviri2734 ปีที่แล้ว +1

    Mdathiri soma acha kulalama elimu pana ndefu wewe umechota kijiko kwenye elimu wanzako wanna ndoo mapipa mito someni acheni ushabiki wa ki itikadi

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 10 หลายเดือนก่อน

    ‏لو كان خيراً لسبقنا إليه الصحابة
    ‏قال الإمام ابن كثير -رحمه الله- :
    ‏《 وأما أهل السنة والجماعة
    ‏يقولون في كل فعلٍ وقولٍ
    ‏ لم يثبت عن الصحابة : هو بدعة ،
    ‏لأنه لو كان خيراً لسبقونا إليه ،
    ‏لأنهم لم يتركوا خصلةً من خصالِ الخير إلا وقد بادروا إليها 》.
    ‏ [تفسير القرآن العظيم (١٣/١٢)]

  • @issanasir3583
    @issanasir3583 ปีที่แล้ว +1

    Kufata sunna na kuacha shubhaat ni bora Zaid...sio kutafuta vichochoro vya kufanya bid'a

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 ปีที่แล้ว +2

    Asiye elewa sjui ni mtu wa aina gani

  • @rahimaabdillahi6287
    @rahimaabdillahi6287 6 หลายเดือนก่อน

    Shekhe uyu kijana alomaliza thanawi ivi masualiyake huyasikii au ni kiburi ebu mtwange ktk ayomasualayake tuonee ww mziwanda ni kidume unaogopa nn ebu jibu basi

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 หลายเดือนก่อน

    Dalili

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 ปีที่แล้ว +2

    Leo umefundisha kama mwalim wa Mathematics Mashaallah ila hao wanaoongeza na issue za mayele ndo wanao fanya watu wa maulidi kuonekana wahuni we unampenda mayele kuliko mtume na maswahaba

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv2703 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa unajifunga mwenyewe kama haguna dua alio waombea wazazi wake na yeye ndio kiigizo chema wewe umepata wapi

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes ปีที่แล้ว

    Me nauliza swari kabla ya sijacommenti mauridi ayo anayo zungumzia shekhe Ni pamoja na madufu ama maaridi kisomo tu?

  • @AbdallahMpemba
    @AbdallahMpemba 9 หลายเดือนก่อน

    Sheikh mbona ww muongo ktk suala maulidi mtume(saw)
    hakusheherekea Bali mtume(saw )alifunga ibada hii aliifanya kw kuifunga wewe ni muongo na mzushi.

  • @hashimkhamisi8291
    @hashimkhamisi8291 ปีที่แล้ว

    ASANT

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 หลายเดือนก่อน

    Wadanfanya watu

  • @ibrahimmussa7069
    @ibrahimmussa7069 ปีที่แล้ว

    Swala kumsalia ishu je yana uhalali uhalali wake up wapi shekhe usizungushe watu

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban6118 ปีที่แล้ว

    Haya Acha hiyo ya dua kwa wazazi.. Je maulidi?? Na hiyo ya kula ubwabwa kumsumbua mfiwa..

  • @hamischuga6320
    @hamischuga6320 ปีที่แล้ว +1

    Mayele kaingiaje msikitini
    Ushenzi huo

  • @burhantvtzonline5417
    @burhantvtzonline5417 ปีที่แล้ว +1

    Twayyib

  • @salehmohammedsalum2054
    @salehmohammedsalum2054 ปีที่แล้ว

    Shehe kaongea vzuri sana lakini sijafahamu vtu viwili (1)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunna. (2)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunnatul Mutwlaka.

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 ปีที่แล้ว

    Mziwanda kuna na kesho

  • @rashidsaid9409
    @rashidsaid9409 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli maneno ya Imam Shafii Allah amrehemu. Amesema (lau kama mtu ataingia ktk usufi mwanzoni mwa mchana basi haitofika Adhuhuri atakuwa mpumbavu) bila shaka ni kama huyu. Sufi. Hii ni talbis iblisi.

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 5 หลายเดือนก่อน

      Na wafuasi sasa waio kuwa na tahadhali ya elmu wanacheeka tuuu

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 หลายเดือนก่อน

      HEBU LETE HICHO KITABU UTUONYESHE NA UKURASA ULIPOYATOA
      TUONE KAMA HUMO YAPO HIVYO UNAVYOROROMA WEWE

  • @TahfifuAlly
    @TahfifuAlly 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu n kenge jmn Murakkab

  • @giltaemi4017
    @giltaemi4017 ปีที่แล้ว

    Ni uovu kumsemea Allah.
    Kwamba kama ombolezo baya anaadhibiwa maiti.
    Kwanini ikisomwa Quraan asisamehewe.
    Suala la Allah kumsamehe binadamu ni mapendeleo yake sio kwasababu umesoma Quraani ndo asamehewe.
    Allah akitaka inakua asipotaka haiwi hata ufanye nn.
    Cha msingi fanya alicho fanya mtume na alicho fundisha.

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 ปีที่แล้ว

      Ndiyo maana tunamuomba huku tukitarajiya msamaha kwake tunajuwa kuwa humsameh amtakae lakini Allah hachoki kuombwa na waja wake tafauti na sisi mtu akikujiya mara 3 mara mtu anachukiya

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 ปีที่แล้ว

    .

  • @hassanhussein2422
    @hassanhussein2422 ปีที่แล้ว +1

    Kuweli wwe ni musomi

  • @yahyarashid8038
    @yahyarashid8038 ปีที่แล้ว

    Hakuna iyo sh ambalo hakulifanya mtume swallahu alaihi wasallam haliwez kuwa ibada leo

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 ปีที่แล้ว +1

      Yahya Rashid
      Umesema : ambalo hakulifanya mtume ﷺ haliwezi kuwa lbada leo.
      .
      Twayyib : kufundisha kitabu (( بلوغ المرام)) sio lbada kwa7b mtume hajafanya ??
      Kujenga ((markaz)) tukazipa majina ya masheikh waliokufa mtume hajafanya jee halifai ??
      Pia : Tunaomba utupe taarifu (difinition) ya lbada .. ni nini lbada ??

    • @mdoekibai3991
      @mdoekibai3991 ปีที่แล้ว

      Hawezi kukujibu mpaka akamckilize shekhewake

    • @mickdadymwinyi1936
      @mickdadymwinyi1936 ปีที่แล้ว

      @@saidihaji3739 Kwa ushauri tu kaa chini usome acha janja janja ktk dini, hivi kujenga Markaz na kuipa jina ni ibada?

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 ปีที่แล้ว

    Ujanja ni mwingi 😢 sijuwi lipi alifikisha

    • @shebymilanzi8716
      @shebymilanzi8716 ปีที่แล้ว

      Tulia Kama uelewi mfate akufundishe

    • @saidsheha-wn4qw
      @saidsheha-wn4qw 9 หลายเดือนก่อน

      Kuna ujanja gani hapo. Mbona maana mkaambiwa mkasomehwe. Nyie hamtaki.

  • @husseinbutoyi8675
    @husseinbutoyi8675 ปีที่แล้ว

    MZIWANDA, UJANJA MTUPU NA HAMNA JIPYA HAPO.

  • @yusuphj2357
    @yusuphj2357 ปีที่แล้ว

    Taratibu wanazd kuelewa kuitambua bida'a

    • @saadomar2480
      @saadomar2480 ปีที่แล้ว

      Mtakoma kifwenibas. Hahahaha

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 ปีที่แล้ว

    Watu kuleta mayele kwenye maulid na madufu yao ndio usahihi wa hadithi.maana mtu kasema BIDAA zote mwisho wake ni upotevu zaidi Kama huko kuleta mayele.shida wa mashekhe wa BIDAA wanakiswahili kingi iv ww unazani huyu shekhe hajui ukweli,jiulize tu mbona makka na Madina huko alikozaliwa mtume mwenyewe hawasomi haya maulidi ukipata jibu ndo utaelewa.

    • @hamadomary3308
      @hamadomary3308 ปีที่แล้ว +1

      Mbona maka na Madina hawafuati mwezi ulioandama nchi icyokuwa yao,
      Wakat ww unafata wao,

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 ปีที่แล้ว

      @@hamadomary3308 mh,lako jipya kwaiyo kila miaka unaonekana hapo,iv tz tushawahi kuwatangulia kufunga au kufungua makka unaongea tu bidaa zimekushika SAUDI huwa wanataka Hadi sehemu au nchi ambazo mwez umeonekana

    • @gaboudghussein527
      @gaboudghussein527 ปีที่แล้ว

      Hivi unajua Imam wa Makka amefungwa miaka 10 jela? Sasa usiseme usichokijua. Huko maulid yanasomwa pia

  • @mummy-qg6tt
    @mummy-qg6tt ปีที่แล้ว

    Siku nyingine nyoosha maelezo ya mada

    • @matendupiterngoge8707
      @matendupiterngoge8707 ปีที่แล้ว

      Hili linaijua Haq lakini kinaipindisha والعياذ بالله

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 ปีที่แล้ว

    Uko mbele ya majabari wa maulidi na mahitima thubutu useme ukweli!!!? Ndio unabaki kuyakoroga na mifano ya kijingajinga

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 ปีที่แล้ว +1

    Tunaelewa shegh ufafanuzi mzur sana,kuna vichwa haviwezi kuelewa sababu wanachoamini sivyo unaamini wewe shegh….

  • @bakarimabele9295
    @bakarimabele9295 ปีที่แล้ว

    Tuache upaulo kwenye dini ya Allah ndugu zangu

    • @aljabery.binruz
      @aljabery.binruz ปีที่แล้ว

      Upaulo Nani na tuache nini fafanua tukuelewe, nn kibaya alio kisema?

    • @mdoekibai3991
      @mdoekibai3991 ปีที่แล้ว

      Huja hamna na mashekhe wenu wapo kimya inaonesha wazi dawa imewaingia nyie viclili mmeachwa njiapanda

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 ปีที่แล้ว

      KWELI TUWACHE UPAULO TAWHEED TATU (MUNGU BABA, ULUHIA. MUNGU MWANA, RUBUBIA, MUNGU ROHO MTAKATIFU, ROHO NA SIFA ASMAU WA SWIFWATI) KATIKA UISLAMU. upo sahihi. Tuwache ulokole wa tawheed tatu

    • @bakarimabele9295
      @bakarimabele9295 ปีที่แล้ว

      @@hilalkhalfan1452 shukran sheikh leo nimepata kufahamu mungu mwana kwa kiarabu ni rabi

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 ปีที่แล้ว

      @@bakarimabele9295 sio rabi, ni rubu. Hio sio rabi bia. Hio ni RUBU BIA.
      RABI- NI MWENYEZIMUNGU
      RUBUBIA - NI UWILI WA MWENYEZI MUNGU YAANI MUNGU MWANAE.
      Rabi ni Mwenyezi Mungu na wakiristo huita Mungu baba. Wanakusudia huyo Mungu mwenyewe kisheria. Sasa unapoendelea kugawa tawheed ndipo unapofanya utopolo wa Paulo.
      Alikatazwa Paulo kufanya tawheed ni Tatu Sasa waislamu wamejifanyia wao tawheed Tatu. QUR-AN hawaridhiki mayahudi na wakiristo mpaka mfate mila zao za tawheed Tatu ili mkufuru pamoja nao.
      Qur-an "WALAA taquulu thalatha" yaani MSISEME TAWHEED NI TATU KAMA PAULO.
      AU UNAYO HADITHI IMESEMA TAWHEED NI TATU IKAIPINGA HIO QURAN ILIOKATAZA TAWHEED TATU?

  • @ibrahimmussa7069
    @ibrahimmussa7069 ปีที่แล้ว

    Unazunguka sana mauligi yana shirki nyingi shekhe

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 ปีที่แล้ว +1

    Vikao vya watu wa bidaa ni kuongeza chumvi tu

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 ปีที่แล้ว

    Shekhe kazi yenu ni kuleta ujanja wa nahwu ili kuwachanga watu , mwenye kuzua yasiyo kuweko haponyoki