MSINILETEE UMADHEHEBU TU OFISINI/WALID NI YULEYULE TU/ SITAKI KUNYENYEKEWA KABISA/NAOMBENI DUA ZENU.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 มี.ค. 2023
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

ความคิดเห็น • 69

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 ปีที่แล้ว +3

    Mimi ni mkristu kwa hapa kweli Shehe uko vizuri sana , na Mungu akupe maisha marefu.

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline ปีที่แล้ว +6

    Allah akuhifadhi sheikh. Maneno ya hekima kubwa. Ukijishusha, Allah hukupandisha.

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah Shekh Walid napenda sana Mawaidha yako
    Allah akunze na akupe Nguvu
    2nd Nampongeza Muft wetu kwa kukuona
    Allah Awape Afya njema wote Viongozi wetu 🙏🏾🙏🏾

  • @calvinshirima2654
    @calvinshirima2654 ปีที่แล้ว +6

    Huyu shekhe nimempenda sana
    Sio mropokaji kama Alie pita

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 ปีที่แล้ว +2

    Allah Akupe Afya njema shekh Walid
    Nampongeza Muft wetu kwa kukuona

  • @allykhamisrashidi8294
    @allykhamisrashidi8294 ปีที่แล้ว

    Kwanza nakupa hongera shekh kwa nafasi hiyo na ninakuombea Allah akuhifadhi na cheo hicho na a kujaalie hekima busara ktk cheo hiko, akukinge na hasa di za watu na majini .

  • @binbaya923
    @binbaya923 ปีที่แล้ว +2

    Allah akufanyie wepesi Sheikh Walid

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni shehe kweli...
    Ndani ya Maneno yake nimepata Radha ya haki, unyenyekevu, utu, uchaji wa Mwenyezi Mungu, n.k Kwa utakatifu.... Iwe heri Kwa watz

  • @calvinshirima2654
    @calvinshirima2654 ปีที่แล้ว +4

    Hongeren waislamu mmepata chuma

  • @michaelally5213
    @michaelally5213 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuzidishie maarifa ili uzidi kutufahamisha inshaallah

  • @MwanaidiJuma-hw8tb
    @MwanaidiJuma-hw8tb หลายเดือนก่อน

    Mashallah sheikh walid ❤❤

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah, Allah akutilie wepesi katika kazi yako shekh Walid.

  • @hajisanyagi4171
    @hajisanyagi4171 ปีที่แล้ว +4

    MashaAllah azidi kumpa afya, azidi kuwaongeza Waislam

    • @ashahassan2667
      @ashahassan2667 ปีที่แล้ว

      Mashaallah alhamdullilah alla akupe siha njema

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 ปีที่แล้ว

      Allahumma Amiin

  • @barwani890
    @barwani890 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah sheikh waliid tabarak rahman maneno mazuri

  • @jamaldinabubakary9507
    @jamaldinabubakary9507 ปีที่แล้ว

    حياك الله يا شيخنا الجليل الحبيب شيخ وليد

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah tabarakallah swadkta 🙏 💯 💯 💯 💯

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw ปีที่แล้ว +2

    Ma shaa llah in shaa llah tunakuombea

  • @ramadhanqasim9484
    @ramadhanqasim9484 ปีที่แล้ว +3

    Mola takuafiqia inshallah

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 ปีที่แล้ว +1

    Mashaa'Allah mwenyez Mungu akuhifadhi na mitian katika hii dunia na akupe subra afya njema na akufariji nafsi yako yarabiy ❤️

    • @amirihakimu8748
      @amirihakimu8748 ปีที่แล้ว

      Sheikh Walid hakika MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE sana MWENYEZI MUNGU akikupa MTIHANI AKUJAALIE na jibu la MTIHANI ahsante kwa mwaaidha ya kuipokea ramadhani ndani ya nyoyo zetu Wala SI miili yetu MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE KILA la KHERI a hakimu

  • @allysamson4821
    @allysamson4821 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah,ujumbe mzuri

  • @husseinkoja4986
    @husseinkoja4986 ปีที่แล้ว +1

    MashaaAllah Allah akuepushe na hasira

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 ปีที่แล้ว

    Jazaka Allah khaira shekh walid

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu ปีที่แล้ว

    Tatizo la huyu na aliyepita ni busara huyu anabusara kubwa sana mashallah

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 ปีที่แล้ว +1

    Barak Allah feeq

  • @saidjunior5247
    @saidjunior5247 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh ulishawai kuzungumzia masuhr y kutaja sifa za wtu kumbe ukidhapt madarak ni lazima utaje sfa za watu

  • @abdalamakajula3883
    @abdalamakajula3883 ปีที่แล้ว +1

    Ma Shaa Allah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 ปีที่แล้ว +1

    Wa Alaykum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh. Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. ALLAHU BAARIK

  • @DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc
    @DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc 11 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @alisaidabdallah1480
    @alisaidabdallah1480 ปีที่แล้ว +1

    Swadaktar sheikh walid

  • @shamsishaaban6695
    @shamsishaaban6695 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh maneno mazuri sanna haya

  • @mahmoudsultan4019
    @mahmoudsultan4019 ปีที่แล้ว +1

    MashaaAllah

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 ปีที่แล้ว +1

    Walaikum salam warahamatullahi wabarakatuh

  • @shabaniissa3464
    @shabaniissa3464 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 ปีที่แล้ว +4

    Swala la madhehebu kaka umenena.sawa sawa

    • @manilabonalumanula9210
      @manilabonalumanula9210 ปีที่แล้ว +1

      Madhehebu ndani ya dini yoyote ni upinzani na biashara na hayo hayatakiwi sisi wote ni wamoja.

    • @pppppp4195
      @pppppp4195 ปีที่แล้ว

      ​@@manilabonalumanula9210 Allah akubarik

  • @abuuwaziri4656
    @abuuwaziri4656 ปีที่แล้ว +2

    Allah Akuifadhi 🤲

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 ปีที่แล้ว

    Msimamo thabiti, Alhamdulillah!

    • @allycomm1553
      @allycomm1553 ปีที่แล้ว

      Hakuna msimamo apo anakusanya mpaka makundi yaliopotea ktk njia y sawa kwak yy hakuna shda hana tofaut n yule alie mkaim

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 ปีที่แล้ว

    Huku kukaa chini kunaumiza mgongo sana hasa kwa watu wazima, labda ndio sababu hawakai muda mrefu kusikiliza mawaidha

    • @adonis-bx7ht
      @adonis-bx7ht ปีที่แล้ว

      We mchokozi kweli 🤣🤣. Hawa wamezoea kukaa chini tangu wadogo hata majumbani wengine hata wawe matajiri vipi hukaa kunako mabusati.

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 ปีที่แล้ว

      Hata kukaa kwenye mabenchi kuna umiza makalio,fata yako

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 ปีที่แล้ว

      @@adonis-bx7ht wanaua migongo yao, ndio maana wazee wengi wa kiislamu wakitembea wamepinda migongo sababu ni kukaa chini misikitini

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 ปีที่แล้ว +1

    Mm najiuliza huyu shekhe wwalidi atapishwa lini kuna nn kwani kuna sheria gani kwani inayofanya asiapishwe mnamchunguza kwani shekhe walidi hamumjui ?kama hamumjui bado ss tunamjuwa sasa tunaomba mumuapishe kuna nn kwani? Nakuomba baba yangu mufti

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 ปีที่แล้ว

      Kwanza hakuna kuapishwa pili ni kawaida wote walopita wanapewa kama ukaimu baada ya miezi sita anatangazwa tena na mufti kuwa shekhe wa mkoa hivyo wali si geni wakti utafika na itakua

    • @athumanomary8144
      @athumanomary8144 ปีที่แล้ว

      Shekh mkuu na mufty wa tz tunakuomba kiongozi wetu haujakosea kumteuwa shekh Walid kukaimu ushekh wamkoa shekh ninakuomba umkabidhi full kuwa shekh wamkoa wa dar

  • @husseinbutoyi8675
    @husseinbutoyi8675 ปีที่แล้ว

    اكتبِ المقاديرِ❌ اكتبِ المقاديرَ✅

    • @abubakartengeza1978
      @abubakartengeza1978 ปีที่แล้ว +1

      نطق الشيخ كلمة مقادير بدون الألف واللام وزاد في الكلمة ياء المتكلم وقال اكتب مقاديري. كن منصفا يا حبيبي. بارك الله فيك

    • @iddishame6596
      @iddishame6596 ปีที่แล้ว

      Sasa ndio nini

    • @ZuleikhaAbdallah
      @ZuleikhaAbdallah ปีที่แล้ว

      ​@@abubakartengeza1978 Asante sheikh abuubakar tengeneza
      Nakujua tangu uhai wa sheikh Muhammad bakar tanga shamsil maarifil islamiyya

  • @ramadhanlipendelee3496
    @ramadhanlipendelee3496 ปีที่แล้ว +2

    Hivi Mtume Muhammad (SAW) alikuwa dhehebu gani na mimi nifuate.

    • @abdulmfaumemohamed6977
      @abdulmfaumemohamed6977 ปีที่แล้ว +2

      Muislam

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 ปีที่แล้ว +1

      Swali hili linakufunua kuwa hujui mambo mengi sana.kaa darasanni

    • @omarkhamis4804
      @omarkhamis4804 ปีที่แล้ว

      Jua maana ya dhehebu mwanzo

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว

      @@husseinally5550 jibu swali, mtume alikuwa dhehebu gani?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +1

      @@omarkhamis4804 jibu swali mtume alikuwa dhehebu gani?