MSINILETEE UMADHEHEBU TU OFISINI/WALID NI YULEYULE TU/ SITAKI KUNYENYEKEWA KABISA/NAOMBENI DUA ZENU.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 มี.ค. 2023
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Mimi ni mkristu kwa hapa kweli Shehe uko vizuri sana , na Mungu akupe maisha marefu.
Allah akuhifadhi sheikh. Maneno ya hekima kubwa. Ukijishusha, Allah hukupandisha.
Mashallah Shekh Walid napenda sana Mawaidha yako
Allah akunze na akupe Nguvu
2nd Nampongeza Muft wetu kwa kukuona
Allah Awape Afya njema wote Viongozi wetu 🙏🏾🙏🏾
Huyu shekhe nimempenda sana
Sio mropokaji kama Alie pita
Allah Akupe Afya njema shekh Walid
Nampongeza Muft wetu kwa kukuona
Kwanza nakupa hongera shekh kwa nafasi hiyo na ninakuombea Allah akuhifadhi na cheo hicho na a kujaalie hekima busara ktk cheo hiko, akukinge na hasa di za watu na majini .
Allah akufanyie wepesi Sheikh Walid
Huyu ni shehe kweli...
Ndani ya Maneno yake nimepata Radha ya haki, unyenyekevu, utu, uchaji wa Mwenyezi Mungu, n.k Kwa utakatifu.... Iwe heri Kwa watz
Hongeren waislamu mmepata chuma
Allah akuzidishie maarifa ili uzidi kutufahamisha inshaallah
Mashallah sheikh walid ❤❤
Mashaallah, Allah akutilie wepesi katika kazi yako shekh Walid.
MashaAllah azidi kumpa afya, azidi kuwaongeza Waislam
Mashaallah alhamdullilah alla akupe siha njema
Allahumma Amiin
Mashaallah sheikh waliid tabarak rahman maneno mazuri
حياك الله يا شيخنا الجليل الحبيب شيخ وليد
Mashallah tabarakallah swadkta 🙏 💯 💯 💯 💯
Ma shaa llah in shaa llah tunakuombea
Mola takuafiqia inshallah
Mashaa'Allah mwenyez Mungu akuhifadhi na mitian katika hii dunia na akupe subra afya njema na akufariji nafsi yako yarabiy ❤️
Sheikh Walid hakika MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE sana MWENYEZI MUNGU akikupa MTIHANI AKUJAALIE na jibu la MTIHANI ahsante kwa mwaaidha ya kuipokea ramadhani ndani ya nyoyo zetu Wala SI miili yetu MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE KILA la KHERI a hakimu
Masha Allah,ujumbe mzuri
MashaaAllah Allah akuepushe na hasira
Jazaka Allah khaira shekh walid
Tatizo la huyu na aliyepita ni busara huyu anabusara kubwa sana mashallah
Barak Allah feeq
Sheikh ulishawai kuzungumzia masuhr y kutaja sifa za wtu kumbe ukidhapt madarak ni lazima utaje sfa za watu
Ma Shaa Allah
Wa Alaykum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh. Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. ALLAHU BAARIK
😢
Safi sana
Swadaktar sheikh walid
Sheikh maneno mazuri sanna haya
MashaaAllah
Walaikum salam warahamatullahi wabarakatuh
Alhamdulillah
Swala la madhehebu kaka umenena.sawa sawa
Madhehebu ndani ya dini yoyote ni upinzani na biashara na hayo hayatakiwi sisi wote ni wamoja.
@@manilabonalumanula9210 Allah akubarik
Allah Akuifadhi 🤲
Msimamo thabiti, Alhamdulillah!
Hakuna msimamo apo anakusanya mpaka makundi yaliopotea ktk njia y sawa kwak yy hakuna shda hana tofaut n yule alie mkaim
Huku kukaa chini kunaumiza mgongo sana hasa kwa watu wazima, labda ndio sababu hawakai muda mrefu kusikiliza mawaidha
We mchokozi kweli 🤣🤣. Hawa wamezoea kukaa chini tangu wadogo hata majumbani wengine hata wawe matajiri vipi hukaa kunako mabusati.
Hata kukaa kwenye mabenchi kuna umiza makalio,fata yako
@@adonis-bx7ht wanaua migongo yao, ndio maana wazee wengi wa kiislamu wakitembea wamepinda migongo sababu ni kukaa chini misikitini
Mm najiuliza huyu shekhe wwalidi atapishwa lini kuna nn kwani kuna sheria gani kwani inayofanya asiapishwe mnamchunguza kwani shekhe walidi hamumjui ?kama hamumjui bado ss tunamjuwa sasa tunaomba mumuapishe kuna nn kwani? Nakuomba baba yangu mufti
Kwanza hakuna kuapishwa pili ni kawaida wote walopita wanapewa kama ukaimu baada ya miezi sita anatangazwa tena na mufti kuwa shekhe wa mkoa hivyo wali si geni wakti utafika na itakua
Shekh mkuu na mufty wa tz tunakuomba kiongozi wetu haujakosea kumteuwa shekh Walid kukaimu ushekh wamkoa shekh ninakuomba umkabidhi full kuwa shekh wamkoa wa dar
اكتبِ المقاديرِ❌ اكتبِ المقاديرَ✅
نطق الشيخ كلمة مقادير بدون الألف واللام وزاد في الكلمة ياء المتكلم وقال اكتب مقاديري. كن منصفا يا حبيبي. بارك الله فيك
Sasa ndio nini
@@abubakartengeza1978 Asante sheikh abuubakar tengeneza
Nakujua tangu uhai wa sheikh Muhammad bakar tanga shamsil maarifil islamiyya
Hivi Mtume Muhammad (SAW) alikuwa dhehebu gani na mimi nifuate.
Muislam
Swali hili linakufunua kuwa hujui mambo mengi sana.kaa darasanni
Jua maana ya dhehebu mwanzo
@@husseinally5550 jibu swali, mtume alikuwa dhehebu gani?
@@omarkhamis4804 jibu swali mtume alikuwa dhehebu gani?