TUACHE MAZOEA TUWATUMIENI WANAZUONI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2023
- Kaimu SHEIKH WA MKOA WA DSM SHEIKH WALID IBN SHEIKH ALHAD OMAR akiwaomba Wapenzi wa Mtume Mohammed (s.a.w) kuacha mazoea ya kuwaalika msharif kwenye Hadhara za Mtume (s.a.w) kwa kuwapa kufanya dua na fatiha na kuondoka bila kusema chochote na kuridhika
Mashallah shukran sana sheik wangu asalaam alaykum warahmatullahi wabarakat
maneno makubwa allah akujaalie khery na umri mrefu ili tuweze kustafidi maneno yako
Jazakallahu khayran kwa mawaidh yenye faida.
Kwa hekima hizi utafika mbali Inshaallah