Ambwene Mwasongwe. Nilipiga picha nusu kwakuwa suruali yangu ilikuwa imeungua chini! UDSM CCT.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ค. 2022
- Karibu usubsribe Channel maalumu kwaajiri ya video fupi tu. CHURCH MEDIA4K.
• Dakika 10 na Mch. Hana... .Video na Audio hizi zinahusu Matukio, Mafundisho na Mahubiri Yaliyotolewa Katika Ibada zinazofanyika UDSM CCT Chaplaincy (CCKD)
Ushuhuda wako umenigusa Sana moyo wangu, najikuta kuwa na nguvu mpya ya kumtafuta MUNGU wangu, natamani nifike hatua hiyo uliyopo mtumishi wa MUNGU, Ubarikiwe sana.
Mtumishi wa Mungu Ambwene.nahitaji nikuone Siku moja.tukae tuzungumuze mawili matatu.ili maratena uhimize huduma yangu.maana ushihuda wako unanitia moyo.niko Est DRC.mjini Goma.
Alléluia sifa kwa Mungu wetu,maana ushuhuda zako zinakua ni mafundisho makubwa kwa maisha yangu.Kweli umeitwa na Mungu
Amina Baba umeitwa,Hata mimi nilinyanyasika na nyumba za kupanga kama 2 hivi nilipohamia ya 3 nikawa nalala chini wiki nziima huku namlilia Mungu siku ya mwisho nikamwambia Mungu hii nyumba ni ya mwisho usiponibariki nyumba yangu basi niue tu! Nikitoka hapa niende kaburini au kwenye nyumba yangu,nimechoka kukutumikia na huku nateseka na manyumba ya watu,Mungu ni mwaminifu nilitoka ile nyumba nikaingia kwangu mwaka wa 6 sasa! Sifa na Utukufu ni kwake🙏
Ubarikiwe mtumushi
Mungu naomba usikiie maombi mungu ulinde ndoa zetu japo kuwa tunapitia mangumu sana na majaribu mengi mungu simama ututetee mungu akubariki kaka amwene
Mungu basi azidi kukutendea mema kwa maisha yako,hata nasisi atujalie neema yake kusudi tushikamane nayeye
Naomba nami Leo Mungu anikumbuke katika safari yangu mara nyingi twachoka safarini lakini yupo Mungu wa embwene Leo hii namwita ashuke anene nami pia nataka kubarikiwa I tap the blessings man of God 🙏
Let it be in the Name of Jesus
Mimi nimeanza kumjua kaka kipindi anatembea na gitaaaa lake nilikuwa napenda voko yake mda sana na imani yake ipo juuu sana barikiwa sana kaka sisi tumebarikiwa sana kupitia nyimbo zako
Ulimfahamu hukumjua ,Anamjua Mungu na Mama yake na mke wake tu
Najikuta natokwa na machozi 😭 much love from CONGO 🇨🇩♥️
Amina mtumishi ubarikiwe nakuwa kiimani niposikiliza nyimbo zako
Amina
Huu wimbo niliusikia wakati bado sijaokoka ila niliupenda, namshukru Mungu aliyeniokoa na kunifanya nielewe zaidi
Endelea mbele dada
BWANA MUNGU, nashukuru kwa hapa nilipo na nitakapokuwepo kesho kama itakupendeza kwakuwa asubuhi yangu, mchana wangu na usiku wangu ni Neema tu.
Mungu akubariki Sana mtumshi wa Mungu umenitia moyo upya
@@franklinnnko7132 Amina mtumishi
Ubarikiwe mtumishi, upate maisha marefu yenye furaha na amani tele nabarikiwa Sana na nyimbo za na storii za maisha yako.... Na ninajifunza kitu pia katika maisha yangu 🙏
Mungu akubarik sana kaka kwa huduma ya uimbaji wa mguso
Mtumishi ubarikiwe nakupenda sana na nyimbo zako zinakuwa na mguso na mafunzo barikiwa sana Ameen
Amina mtumishi Bwana Yesu akubarik
Mungu azid kukutunza mtumishi wa Mungu nyimbo zako Huwa zinanibarik San 🙏
😥😥ubarikiwe mtumishi wa MUNGU🛐🛐🛐🛐🛐
Natamani kulia mungu naomba na na mimi unitie moyo kushenda majarbuuuuu here yesu naomba nisaidie
Mungu Ujibu haya ya moyo wa mtumishi wako. Ameni
Amina mtumishi ubarikiwe saana hakika mungu anakutumia nyimbo zako zinatuimarisha mno
Ubarikiwe sana mtumishi wa mung nyimbo zako znaokoa na zina uPako wa mung
MUNGU AZIDI KUKUINUWA UNATUBARIKI SANA NA AKUSIMAMIE ADUI NI WENGI LAKINI UTASHINDA🙏🙏🙏
Nimebarikiwa Sana kupitia huu wimbo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimenguswa sana nahuu wimbo
Ndugu yangu Asante kustahimili,nashuhudi uzima kila akutumiapo Baba,songa mbele Nami nasonga mbele.Tumebeba msalaba,ulihudumia maisha yangu,barikiwa ndugu
Majaribu ni mtaji ndo wimbo ulonifanya mfuasi wako zaidi ya miaka 16 iliyopita. Mungu aliyekuchota porini nikakujua huku Kenya akubariki .
Mungu nyoosha mapito yangu
Barikiwa sana Mt ambwene
Barikiwa sana baba napenda sana huduma yako
Namshukuru Mungu mtumish kupitia wimbo huu nilikata tamaa lakin nimehudiwa na nimemuonaMungu kiwango Cha iman kimeongezeka
Natamani nifike mahali ambapo anatakanifike mungu
Barikiwa sana mtumishi kweli haikuwa rahisi
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na nyimbo zako nisikilizapo namuona Mungu akinitetea kupitia nyimbo zako, Mungu akuongezee kipawa.
Mungu mwenyewe alikuita kweli mjungaji ubarikiwe sana nyimbo sa baraka
Barikiwa sana naelewa uimbaji wako
Mungu akubariki Sanaa na aendelee kukutumia shambani mwake
amen nikisikiliza nyimbo zako najifunza mengi sana nazidi kuwa na imani sana na mungu
Ushuda huu unanikumbusha mbali sana ubarikiwe amenuh 🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu katika huduma yako
Oh Mungu ni mukubwa sana
Mungu akusimamia mtumish akutie nguvu katka Kila jambo unalofanya Amen
Uzidi kubarikiwa zaidi ndugu yangu
Ameeeeen ukiiimba tu na inuka kwenye Imani amene
Ambwene .Bwana Yesu asifiwe naomba namba yako nahitaji kukuuliza swali moja tu
Mungu wangu Mungu wangu Mungu wangu nakuomba ukaibariki huduma ya Mtumishi Ambwene ktk viwango vya juu sana kwani ni mvuvi wa watu wakujue zaid
Sauti yako inainua imani yangu najikuta napiga hatua kila baada ya kuisikiliza sauti yako naamini sauti yako si yako tu Bali ndani yake yupo yule MZEE WA SIKU ubarikiwe sana mtumishi ninapokata tamaa yaani nisikiapo sauti ya yako nainuka tena. Nasema kwa herufi kubwa UBARIKIWE KATIKA KRISTO YESU WA NAZARETH ALIYE HAI.
Ushuhuda wako umenitia nguvu kaka ambwene ubarikiwe sana
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe Sana in kanisa liko sehemu gan mtumishi
Barikiwa mtumishi wa mungu bwana awe Kila kitu kwako.
Mungu akubariki naguswa nanyimbo zako
Mungu akubariki Sana nakupenda mtumishi wa mungu unanibariki sana
Barikiwa Kalumbu mtumishi wa Mungu huwa nakuombea sana
Mungu akubariki mtumish zaidi na uwe juu siku zote, Ameen.
Ubarikiwe sana
mungu akupe Maisha malefu
Yesu akutunze daima mtumishi
We Mungu nakushukuru,najua unasababu kuu .Mtumishi Mungu akutunze
Woow! God bless u! From Rwanda nakusikiliza hapa
Nabarikiwa sana kaka Ambwene, Mungu wangu wa Mbinguni azidi kukuinua🙏
Barikiwa sana mtumishi
Nimelia saana Ushuhuda huu
Nakupenda sana
Asante Sana ushuhuda huu niimani yenye nguvu ya mungu ndani yake
Namimi nimeanza Safari yakuimba mwakahuu niombee Sana mtumishi kazi yamungu inavita Sana
Aminaa mtumishi wa Mungu unanibariki sanaa
Asante sana mtumishi wa mungu ubarikiwe 🙏🙏🙏💞💞
Ubarikiwe Mnooo!!
Barikiwa mtumishi
Mapito ya mtoto wa mungu hakika huaga magumu so ushindi wake huwa mkubwa sana kwa utukufu wa Jehovah
Hakika nimeguswa mungu akubarik
Amina abwene
Aleluyah, Mungu atuinue kadri apendavyo
Umesema kweli,ni jambo la ajabu kuona watu wazima na wazee wameachia vijana ndiyo wamtukuze Mungu, wao ndiyo wanaimbiwa
Wewe ni Mentor wangu hakika.
balikiwa sana mtumishi wa mungu
Napenda sana nyimbo zako
Nabarikiwa sana na huduma Yako amen
Mtumishi Mungu akubariki na akuwezeshe
Nabalikiwa na huduma yako karibu iringa
Baba nimekuelewa hapo kunakitu kimeingia kwangu ahsante
Nahitaji pia unisaidie kufika pale napotaman kufika katika huduma yangu
Nime barikiwa kabisa
wimbo huo huwa unanibariki sanaaaaa
Mungu akubariki Mtumishi kwa matashi mema
Mungu mkubwa kwako mtumish azid kukupauhodali
Amina
Be blessed Mungu azidi kukuinua na akulinde
Amina baba
Amina Kaka mungu aendelee kukutunza
Amina Sana Sana Tena sana
Nabarikiwa sana🙌
Mungu ni mwema Wakati wote 🙏🏻🙏🏻
Mungu kama ulivyoweza kuwajaza wengine nguvu yako, nami unijaze ili nitumike kwako kama lilivyo kusudi lako ndani mwangu🙏
Amina Mtumishi huduma yako ina nguvu za Mungu
Nakupenda Sana ambwene
Ubarikiwe sana
Napenda ingeendeleaga Mungu mwema sanaa
Yesu kupitia wimbo huu nitie Nguvu univushe
Amen amen,umenitiya moyo
Ushuhuda huo is very clear
Barikiwa sana
Amen Might God of power
My favorite singer
Nakutengemeya mungu wangu
Nimebarikiwa