Simulizi Ya Kweli (Nazareth Amulike) Aliye Tuliza Kupitia Ambwene Mwasongwe
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2021
- Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
TH-cam : www.youtube.com...
#ChomozaTv#2021 - บันเทิง
Ndugu watanzania na ulimwengu mzima MITHALI 4:6 mungu alituaidi akasema usimwache nae atakusitiri na umpende nae atakulinda,na mithali 4:8 hapa mungu anafika mbali zaidi anasema umtukuze nae atakutukuza na atakupatia heshima ukimkunbatia,WATANZANIA NA ULIMWENGU TUMPENDE MUNGU SANA SANA ILI ATUPE ULINZI KWASABABU ATUJUI YALIOKO MBELE YETU SHETAN ALINYANG'ANYWA MAMLAKA AKUNYANGANYWA MAARIFA KWAIO ANAJUA MAFANIKIO YETU YALIOKO MBELE KWAIO UA ANAANDAA UARIBIFU JUU YAKO KWA KUEKA MITEGO YAKE.shetan anaona yalioko mbele YETU kabla sisi atujaona anajua mipangò YETU.mithal 4:27 kumcha bwana kunaongezà siku zamtu
Amen 🙏
Amen
Mazingira ya kesi, Ushahidi, Sheria za kazi zilinibana, mpaka mkewangu akaniambia kama umefanyaaa kili kosa tujue moja 😭😭😭😭😭😭😭 Yesu wa nadhareth akukumbuke daima mpendwa 🙏🏽
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
I feel you mtumishi😭😭tumepitia kwenye kesi za kusingiziwa na inauma sana MUNGU UTUKUMBUKE NA HAKI ZETU ZIENDELEE kustawi🙏
Hakika Mungu ni kwa ajili ya wote wenye mwili. Asante kwa ushuhuda umenijenga.
Namfaham Sana huyu kijana kambi alofanyia kazi ndiko nilikokulia, pamoja na kuwa askari pia alikuwa muuguzi hospital, kanichoma sindano Sana huyu Jamaa coz nilikuwa na shida ya kifua nikiwa mtoto, nimefurahi kuona yuko huru tena. kimsingi nilisikitika alipopata hayo matatizo hakuna alokuwa akiamini kwakuwa tabia yake ilionekana kuwa njema, lakini nani ajuaye kesho ya mtu? Jibu ni mungu peke, Pole Sana Nazareth majaribu ni mtaji umechagua njia njema kutumika na mungu barikiwa Sana.
Dah
L
L0
Asante sana ndugu yangu nimeishapoa
Amen
Shetani ni muonevu sana kwa kweli Mungu aku compasatie kila ulichopoteza familia na miaka yako yote uliyoipoteza Mungu anatosh Kaka. 🌹🌹
Aisee , listening to this , Nabaki tu kumshukuru Mungu . Binadamu tunapita kwenye changamoto sana ila Mungu anatusimamia. Asante sana kwa ushuhuda huu .
Kwel kabisa nakukumbaka sana tulikuwa wote segerea
Mweeeh... Isya nkisu sikutamya mweeee....
Mungu anabaki kuwa Mungu, barikiwa sana mtumishi, hayo ndio mapito, iliwe uwe dhahabu lazima moto uwepo, Mungu azidi kukuinuwa
THE STRONGEST MAN NAZARET, UYU MTU KAPITIA MITIHANI MIZITO MNOOO
Pole saana kaka hii ndio nchi yetu na uwongozi wake, njoo tuungane kudai katiba mpya na tume huru
Jamani dah maisha haya watu wanaozea jela bila hatia pole sana kaka yetu kwa kufiwa na mkeo na mwanao na dada yako Mungu aendelee kukufariji dah nimeumia sana na kisa chako
Pole sana kwa mapito Mungu yeye ajua sbb kwa nini uliyapitia hayo
Bado ninamshangaa Mungu kwakwli,,marajibu yapo kutufunza kwakweli pole baba angu namshukuru Mungu ww ni mzima.
Dah ! Painfully story! God is living and glory to almighty.
Kwa maelezo hayo hatuna Sheria za kazi
Nakupenda sana Nazareth...
Pole sana kaka kumbe hu wimbo nismlizi ya kweli pole sana katika hayo yote yana Mungu
Umenikumbusha kaka naza niliumia sana pole endelea kumtumikia mungu
Pole kwa mapito ila katika hayo yote ashukuriwe Mungu awezae yote
Aisee pito Zito Sanaa pole Sana Mtumishi
Ambwene Mungu akubariki sana
Ainuliwe Mungu wetu alie juu
Daaa inaumiza sana
Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza, kukupatia riziki kubwa zaidi ya hiyo kazi
Basi umeniliza sanaa
Pole bamdogo naza
😭😭😭😭😭nmelia dar pole pole sanaa
Pole San kaka,, dhahab ili ing'ae lazm ipite kweny Moto hakik wew Ni dhahabu🙏
Mshukuru Mungu kwa yote..Pia amekuonyesha njia sahihi ya kuiendea..Mtumikie Mungu kwa moyo wako wote na kwa akili yako yote...
Ukiona lakwako zito jaribu kujifunza kwa wenzako🙆♀️
Mungu aendelee kukutetea
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Nimelia mimi
😭 Mungu atabaki kua Mungu
Nyie huyu kaka miye ananiliza, kila nikiona Story yake napata huzuni sana,nawaza kama hatuna wapelelezi wanayoijua kazi yao je ni wangapi wako gerezani kwa makosa yasiyowahusu,Mungu aingilie kati awatetee mwenyewe watu wake.
😭😭😭😭 duh Mungu akutie nguvu!!! So sad
To God be the Glory...🙏
Nimelia sanaaaa😭😭😭Ila mama Samia aingilie Kati ili Apate haki zake kwa sababu kuna watu wanajua kujieleza sana wanawaeleza viongozi taarifa mbayaaaaaa yaani shetani Ana nguvu
Dhuu!! Pole sana babaangu kweli mapito yapo duniani jamani likikukuta utadhani upo pokeako kumbe wenye mapito ni wengi sana
Nazareth ninayekufahamu ulipitia haya kweli. Dah! Pole kaka yangu jamani. Nimeumia sana. Songa mbele usitembee na taarifa mbaya kichwani wewe ni mtumishi
Mtafute umtie moyo kama unamjua natumai atafurah sana
I feel it but pole sana
Huyu Mungu ni mkuu sana. Sifa na utukufu ni kwake
Kiukwel Hayo mambo ya kubamnikiziwa kesi yanauma sanaaa namimi niliuziwa kesi na police cplo jemsi wa kituo Cha kati mwanza nakusababisha kuzurumiwa milioni 7 stasahau Ila ashukuliwe mungu wa mbinguni nikitoka baadae ya kusota butimba mwanza
pole sana kaka😭😭😭
Huyu jamaa ninamfahamu kabisa nilipokuwa Askari gereza la segerea nilikuwa nae kabisa na alikuwa kiong ozi katika misa as mahabusu na alikuwa jamaa poa sana mwenye kusali sana, hakika Mungu yu mwema sana atukuzwe sana bwana wa majeshi
Ndagha nkamu, akapango kikulisya fijho😭😭
Kapango kasisya bhandu bha ntwa
Aisee ,MUNGU NI MWEMA
NAMFAHAMU SN NAZARETH NI KAKA ANGU TUMEKUA NAE KIJIJI KIMOJA NA TUMESOMA NAE SHULE YA MSINGI TALATALA ILIYOPO KYELA MBEYA HALAFU NI FAMILY FRIEND NAFURAHI KUSIKIA YUPO HURU SN
Kaka naza pole kwa yote zidi kumuomba mungu
Hongera brother.. Wachache wanaweza kuvaa kiatu chako
Dah mungu huyu acha binadamu aitwe binadamu ,ndo maana binadamu mdogo but anatengenezewa mabomu makunwa
Nan kama mama, 😭😭😭
Ndagha nkamu, akapongo kikulisya fijho 😭
Ulipitia rafiki yangu
Pole Sana uyo polisi aliyekutaja ndiye chanzo cha kupoteza familia yako
Miaka 9 mahabusu!mmmm
Nakumbuka hii story na kaka Isaya mwakiswalele naye aliunganishwa kwenye hiyo kesi
Ushuuda huu umenitowa machozi
Na yy alikamatwa pia?
Nimeumia san hii story ingekuwa vyem upewe fidia .
Shetani alinyänganywa MAMLAKA AKUNYANGANYWA MAARIFA kwaio anaona yalioko mbełe yako kwamana iyo wewe unaepanga mipango mizuri Leo,kesho, kila siku shetan anaiona nae anapanga jinsi yakuzuia na kuiaribu kwakutumia ma agent kupitia ajał ,magonjwa,kwenda jela, magomvi,MITHALI 4:6 usimwache nae atakusitiri,umpende nae atakulïnda .
Yaani shetani akiamua kukutesa anakutesa mno. Hii mi roho ya mateso ambayo ilikupata kukupoteza
Msaada namba za hoyo mwinjilisti
Tatizo kubwa hii yote ni ukosefu wa kamera km ungekuwa huku bs ukweri ungejulikana
Jomon 😭😭😭
Pole sana mtumishi wa mungu uli pitiya majanga mengi makubwa sana mungu aha chii walio wake bila kuwa futa machozi lazima awape faraja ya moyo umeku mbukwa kwa lolote lile tumsifu mungu wetu kabisa
Sifa utukufu na heshima ni kwake Muumba wa mbingu na nchi.
Pole saana Naza Mungu akutiye nguvu ,,ktk maisha yako ,, .kifo cha mkeo kiliniuma saana nafika Muhimbili nawakuta ndio wanamzungushia PAZIA LA kijani
Wewe ni mtumishi wa MUNGU mkubwa sana shetani alijalibu kuondoa hatma yako akashindwa .ubalikiwe mtumishi wa MUNGU kwenye huduma yako
KWAHYO kumbe hata mm naweza kuzaa mtoto nkamuita dar es Salam 😅 au
Yes...Au ukamuita ubungo upendavyo
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu