AMBWENE MWASONGWE FT BOAZ DANKEN & TAG FOREST YA KWANZA - MWANA WA AZALI (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Wimbo huu wa MWANA WA AZALI ni wimbo unaomzungumzia YESU KRISTO kama mwana wa MUNGU na ukuu wa kazi zake zilizofanyika kwa utofauti na wale wengine waliotumwa na MUNGU kabla ya kuja kwake. Ni wimbo wa ibada karibu na ubarikiwe na kazi hii
Audio Producer SAMUEL MBOYA
Video Producer STEVE TOBS MEDIA
Subtitle JAGALI DAVID
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
Mwana Wa Azali ft. Boaz Danken & Praise Team Tag Forest Ya Kwanza - Ambwene Mwasongwe (Lyrics)
Wakaulizana mtu huyu ni nan?
Jina lake nan?
Na ametoka wapi?
Wakashangaa vile anavyosema
Ni tofauti na viongoz wao!!!
Anamamlaka na nguvu ya asili
Je mtu huy si mwana wa yusuph??
Hawakujua ametoka mbingun
Huyu n Mungu pamoja na wanadam
Ni mwana wa mungu……..
Nimwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu…..
Mwana wa ..
Mungu kwel kwel kwel…….
Mungu kwelii kweliiiiii
Anauwezo wotee…….
Yeye hanamwishoo
Ni mwana wa Mungu…
Ni mwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu….
Yeye hajauwaa…
Mungu kwelii kwlii
Anauwezo wote…
Yeye hanamwisho.
Akauliza ninyi mwanisemaje??
Tofaut na watu wa nje”
Wakamjibu…ya kwamba ni kristo
Mpakwa mafuta wa mungu mwenyew
Akauliza ninyi mwanisemaje??
Tofautii na watu wa njee”
Wakamjibu…ya kwamba ni kristo
Mpakwa mafuta wa Mungu mwenyewe
Wewe apo ni mkuu kuliko Eliaaa, maana hauchomi watuu…
Unasamehe hata wale waliokukosea
Kwasabb wewe n Mungu
Upo apa…
Mkuu kuliko,kiongoz Mussa
Yule wa toratii…
Mzigo wako ni mwepesii,
Nira ako ni lainii
Unasamehe hata wenye dhambii
Upo apa….
Mkuu kuliko,Samwel nabii
Yulee wa mafuta
Mafuta yako, unapaka rohon kwa roho mtakatifu
Hupaki mwilinii
Upo apa……
Mkuu kuliko,mfalme Daudi
Aliyekufaaaa…
Ufalme wako hauzuiwi na mda na sehemu wadumu hata milele…
Ni mwana wa Mungu
Mwana wa Mungu
Ni mwana wa Mungu
Mwana wa
Ni mwana wa Mungu
Mungu kweli kweliii
Ni mwana wa Mungu
Yeye hana mwishoo
Katoka kwa Mungu
Mwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu
Mwana wa…
Katoka kwa Mungu
Mungu kwel kweliii
Katoka kwa mungu
Yeye hana mwishoo
Ni mungu mwenyewe..
Mwana wa Mungu
Ni Munguu mwenyewe..
Mwana wa
Ni Mungu mwenyewe..
Mungu kwelii kweliii
Ni Mungu mwenyewe….
Yeye hana mwishoo
Yeye hakuumbwa mwana wa asali
Hana mwanzo wala mwisho
Anazo funguo
Yeye n njia ya kwenda mbinguni
Kama ww unataka kukutana na mbingu
Muanimi…
Fungua moyo wakoo…
Aingie anagonga atawale maisha yako
Ni bwana…
Mwenye uwezoo
Fungua fungua x2
Funguaaa…moyo wakoo
Fungua fungua x2
Fungua….moyo wako
#AmbweneMwasongwe #MwanaWaAzali
Mwana wa Azali Nimefurahi Sana Kaka Siku zote tunajifunza Sana kwako hasa unapomtaja Bwana YESU kwa undani na ufasaha wa Uzuri Wake
Napenda nisiwazoee nisikae karibu na nyie ili niwaheshimu, nipokee mlichopewa na Mungu kwa kiwango kinachostahili.
Nawaheshimu sana watumishi wa Mungu Ambwene na Boaz
Mungu awabariki sanaa
Hakikaa🙌 Bwana azidi kuwatunza nyie watumishi wake.. tunawahitaji sana katika nyakati hizi🙌
MUNGU awabariki sana kwa utumishi huu!
An kuna nyimbo mnaimba mtu aspokuwa na roho mtakatifu hawez kuelewa. MUNGU azidi kuwatumia zaidi.🙌🙌🙌
Kuna tofauti kati ya gospel (injili) music ya kuokoa roho za watu
Na Worship music
This is Gospel tena inasema fungua Moyo wako mwana wa azali aingie..
Am truly blessed
Mungu awabariki mzidi eneza injili.
Hakika nimebarikiwa mno mno kuona namna watumishi wa MUNGU mnavyonyenyekea hata chini na kumwinua huyu YESU
Acha Mungu aitwe Mungu, hakika yeye hana mwisho mwana wa azali, hakika kumtegemea Mungu kunafaida kuu.
Mathayo 16:13 Basi Yesu akaenda pande za Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake akasema, Watu hunena Mwana wa Adamu kuwa ni nani?
14 Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.
15 Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi kuwa ni nani?
16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.
Ameen 🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️
Namuona Mungu halisi kwenye wimbo huu jinsii unaunavyo muelezea kwa Mapana Yesu mwanaAzari barikiwa saana mtumishi
I have to say huyu ndo mwimbaji Kati yawaimbaji walio salia ambao hawaimbi blahblah. Unakuta mtu nimwimbaji anitumia 13min Kuimba tu maneno yasio namaana, eti ni nyimbo za injili. Mungu akupe ikima Ambwene yakutunga nyimbo pamoja na Malaika zake Bwana Yesu.
Baba Yangu Ambwene Ubarikiwe
HIZI NI NYIMBO AMBAZO KAMA HUNA ROHO MTAKATIFU HUWEZI KUONA KAMA UNANGUVU KUBWA NDANI YAKE,,,UNANIBARIKI SANA, 🙏
Sichoki kunisikiliza Mwana Wa Azali Mungu Kakutumia kwaviwango Vyaajabusana Yaaan Dah 🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭 Unanifanya nimfaham zaidi Yesu
Kuna tofauti kati ya gospel (injili) music ya kuokoa roho za watu
Na Worship music
This is Gospel tena inasema fungua Moyo wako mwana wa azali aingie..
Am truly blessed
Mungu azidi kukutumia Kaka Ambwene kumhubiri Kristo. 😭😊
Mungu awabariki mzidi eneza injili.
Barikiwa Mtumishi wa Bwana
Wakaulizana mtu huyu ni nani Jina lake nani na ametoka wapi......ana mamlaka na nguvu ya asili....hawakujua ametoka Mbinguni
Ni mwana wa Mungu ....Mwana wa Azali.....
Me ni kijana ninayekuwa na kristo, chemchem inayotokana na YESU Haiachi nafsi Wala roho Wala moyo salama kama wimbo huu, lazima viguswe Tena vinaguswa kweli.
MUNGU Awabariki sana watumishi wa MUNGU.
Wimbo ukiimbwa na mcha Mungu haichokeshi Leo nimeuruduria Mara 5 Safi Sana mwakilishi wa selikali ya mbinguni
Mwamba uko vizuri sana napenda unavyoiimba biblia unaimba neno la Mungu unahubiri Mungu akutunze
Mwana wa Azali
Mwana wa Azali asieumbwa.....ni Mkuu kuliko Eliya....
Hallelujah Yesu Asifiwe milele
Wewe ni tofauti na wengine Mkuu wa Wakuu. Aaaah ulifanyika laana hili Niwe Aaah 😢 😭
How many are in repeat mode,,
Tanzania yetu inakosa Gospel(injili) music ya kutoa watu katika dhambi
Tumebaki na nyimbo za kusifu na kuabudu tuuu
Am blessed ninapoona kaka Ambwene.. You haven't lost your Gospel injili taste..
MUNGU akusaidie 😭 kuendelea kuhubiri.
Sichoki kusikiliza huu wimbo jaman unanigusa sana,Mungu awabariki naazidi kuwatumia nataman saba milichonacho na mm niwenacho jmn, nawapenda sana wimbo huu umenitoa hatua 1 kwenda nyingine
Woow!🔥🔥Mungu ni mwema
Amazing
Ameen na ww pia jaman. Wooow saut ya radi hongera winbo mtam Sana sanaaa
AKI NI MWANA WA AZALI
Natamani siku moja nikutane tuyy na Abwene toka utoto nimekuwa nikimfuatilia nakuimba nyimbo zake.nindoto yangu Sana .Mungu atimize aja ya Moyo wangu 😢 .napenda kujifunza kwa tai niliye mfananisha nawewe.nakumbuka nikiwa mdogo.upendo.ninamkumbuka mama mmoja .majaribu ni mtaji .tulikotoka nimbali. Nimeachilia and so many songs and now mwana wa azali .be blessed servant of God 🎉
Linapotwa jina Yesu mwana wa Mungu kwa usahihi kama hivi moyo wangu unajawa na roho ya kuabudu tu...Mungu nisaidie nikutaje kwa usahihi #MwanawaAzali
Kaka Ambwene Huu wimbo jamani🙌🙌🙌🙌🙌neno La Mungu tupu.Yani unatupa changamoto vijana kweli.We need to come back to the source rather than singing short choruses
Mungu akubariki Sana mtumishi..... Wewe ni Moja ya waimbaji wanaowakilisha vizuri mbingu..... Asante sana
Kwa kweli ... wazee wa short chorus amen amen amen haleluya haleluya wimbo wote mpk unaisha
th-cam.com/video/PHphQJ15o-0/w-d-xo.html
th-cam.com/video/PHphQJ15o-0/w-d-xo.html
@@emes602😂😂😂😂😂
Yesu kristo Mwana wa Azali na ni Alfa na Omega barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
My Veins are shaking
This name Jesus ❤❤❤
I’m In a bus feeling falling on my knees and worship 😢😢😢😢😢
Bwana AZIDI kutumia kimtambulisha .Barikiwa MTUMISHI
Why did i find this song late? Omg nimesikia kama yesu amenishukia omg😭😭😭 i started crying nikapata na nguvu ya kuomba baada ya kusikiliza hii nyimbo mbarikiwe watumishi wa Mungu
Nimesikiliza nimefuatilia nyimbo nyingi sana ila huu umenizidia nyimbo zote nilizosikliza humu na malaika walioko zamu na wale wasioko zamu wamo na wameimba na humu ndani upako wa ajabu mbingu zinashuka uwepo wa Mungu unatanda. Be blessed More.
Mungu awabariki, Leo nimesikiliza wimbo huu mara nyingi Zaidi na kugundua kuwa, wimbo huu umebeba upako na nguvu ya Roho mtakatifu.
Ameen, Bwana pokeya utukufu, hakika wastahili,
Ubarikiwe masiya wa kristo kwa wimbo uliojaa mafuta ya Roho Mtakatifu
What a worship song is. One of the song that moves us into strong prayer. A moving prayer. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Unauhudumia ulimwengu wote kwa wakati mmoja. Nakupenda mnoooo
Hakika hii neema izidi sana juu yako mtumishi huu ni zaidi ya wimbo
Hongereni kwa kazi nzuri daima Yesu azidi kuwainua viwango hadi viwango. Huu wimbo umenibariki
Mwana wa azali MUNGU akutunze mtumishi unatufaa sana.tunaponywa mioyo kupitia nyimbo zako.
Kaka Mkubwa Mungu Wa Mbinguni Azidi Kuwainua Na Kuwatia Nguvu #Godisreal Boaz Danken Siku Moja Tutafanya Kazi Na Nyinyi Kaka Yangu Mbarikiwe Mno #mwanawaazali
Numbwene mbepo mwikemo uju ikukutula pakusimba inyimbo inunu isi sikwigula inyigi inyigale kyala akutule mwana gwa ntwa
Mwana wa Azali jamaniii...fungua moyo wako aingie, ukimsikiliza jinsi kaka yetu abwene amemuelezea kwa undani ni mzuri mnoo na ukitaka kumjua yupoje Zaid mpe moyo wako🥳🥳 Mungu akutunze sana kaka abwene 🙏🏼🙏🏼
Mungu azidi kukutunza hakika Mafuta ya Roho mtakatifu yako Juu yako na Ndani yako tunabarikiwa na vya ufalme wa Baba yetu
Ambwene mwasongwe kaka penda sana Boaz danken penda sana sasa mungu akuwage naninyi siku zote za huduma yenu❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Huu wimbo umebariki moyo wangu.
Mistar ya nyimbo hii iko vzr sana,sio ya kawaida..stay blessed always
Good morning
@@mdimasongo6262
How are you progressing mr.!?
Nausikiliza kuanzia asbh hadi sasa siuchoki,Ubarikiwe na Yesu
Oh God! All I am allowed to do is just worship the most high God.Blessed be His name forever.More grace servants of God.Indeed I will follow your steps because I am convinced beyond doubt that you follow Christ.
Mwana wa Azali 😭😭🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🤝🤝🤝🤝
Ni mwana wa Mungu,mwana wa azali.Mungu mwenyewe Haleluya!!!
Wimbo unauzito fulani ; fungua , fungua, fungua Moyo Wako..
Yesu awakumbukee wote wanaopitia mapito,yatima,wagonjwaa na wajane pia,,asantee ambwene, you're song it connect me with Jesus Christ
Hatimae Mwana wa Azali nimebarikiwa na kazi hii
Naona maraika kwafuraha wakicheza huu wimbo ❤️
Kuna Nyimbo halafu Kuna upako wa uimbaji. Amina Amina Amana. Pokea sifa zote Mwana wa Mungu , Mwana wa Azali katoka Kwa Mungu Baba amejaa Neema na Kweli
Huu wimbo huu! Muujiza wangu nimeukuta hapa. This kind of music is direct from the Holy Spirit. Explaining the mystery and revelation of Jesus.
Nina Rudia tena kusema kilicho nafsini kuwa NINAONA FAHARI SNA Kwa MUNGU Kutupatia AMBWENE Ambaye Amempa Zawadi ya kutibu wengne kwa jinsi yke... Kaka AMBWENE Twaomba Uhifadhiwe SNA na MWENYE ENZI..
Nyimbo zako Ambwene zimenifusha Sana maaana nakumbka nikiwa kijijini nilikuwa sichoki kusikiliza nymbo zako mpaka saizi sichoki kusikiliza nymbo zako . Ubarikiwe Sana kwakalama yako .
No one is talking to this young man, anayeimba na Ambwene mbali na Boaz aisee kaka umebarikiwa sauti inatoa mapepo kabisa...
Listening from Poland-Warsaw ...Jesus is good
Dar!!!wimbo mzuri mno Mungu aendelee kukutumia siku zote za maisha yako
MUNGU aendelee kukutumia ili nasi tujifunze jinsi ya kufanya ili tufanye kile kinachompendeza MUNGU katika uimbaji. AMEN.
MWANA WA AZALI
HAUNICHOSHI KUUSIKILIZA YAAN NI KUBARIKIWA JUU YA KUBARIKIWA TENA NA TENA
Absolutely mwana wa Azali yupo kwenye stage ananena kupitia watoto wake na mtoto mwana wa azali ambaye aliiufungua moyo wake kwa miaka Lukuki . Huyu mwana wa mungu ndani ya AMBWENE amekuwa na anashuhudia marika yote Tanzania, Afrika, sasa ameiguza dunia . Asante mungu nimeifungua moyo wangu. 🙏
Hunisimamie bwana maana wewe mwana wa mungu kila hadui akija ashindwe
Ni mwana wa Mungu
Mungu mwenyewe🎶
Nawapenda sana Abwene ft Boaz wanakwaya wanavaa vzuri so amyzng YESU kwli ahimidiwe
Hallelujah! BWANA YESU ni Hekima yetu toka kwa Mungu Haki yetu toka kwa Mungu, Utakatifu wetu toka kwa Mungu na Ukombozi wetu kwa Mungu! 1Wakorintho 1:28-31
Barikiwa sana Mtumishi Ambwene na wote ulio nao
Kuna watu wamepewa vipawa vya kutunga...utukufu kwa Yesu
MUNGU akubariki kwa wimbo mzuri Sanaa hakika Mwana wa Azali ni Nuru ing'aayo gizani tena yeye ni Alpha and Omega 🙏🙏
Mafuta yako unapaka Rohoni siyo mwilini wewe Ni mkuu kuliko Elia wewe uchomi watu 😍😍😍😍😍Mwana wa Azali
No one has ever described jesus in this manner through a song , only mature people can understand this song congratulations
Gladys my sister I tell you I am overwhelmed by the describing of Jesus Christ, leave alone the best instrumental accompaniment, the wording of who Jesus is
May God bless you Minister Ambwene ft Boaz
SURE SURE good song indeed
I have been repeating several times to listen the song
Why Jesus in small latter...
@@stephenmakau4410 qppmmp
True
Mungu was mbinguni awainuie kwa ajabu ya pekeee ..Mwana wa azali
My fevorite artist of all the time.... Yaan nyimbo zako daah sinaniinua kila siku 👏👏👏
Ubarikiwe sanaaaa kaka kweli wewe ni mfano ....na haujui namna unavyookoa nafsi zetu zilizo lnama
Sifa na utukufu nikwa mwana wa AZALI
Ambwene Mwasongwe
Umemtaja Yesu kwa undani vile alivyo
Umembainisha na kumtanabaisha alivyo na alicho
This song flows in my veins
Hakika amemtaja kiundan Sana sana sana.yn kiugum mnoo jaman Mungu wa ajabu sana
Kaka ingekuwa vipawa vinaambukizwa, ningeomba uniambukize kipawa cha utunzi, napenda jamani, mpangilio wa maneno,
Barikiwa Kazi njema mnoo kaka
Love from Kenya...Nairobi..utunzi wa nyimbo zako kaka wafutia sana.. congrats bro.
Barikiweni sana mafuta ya Mungu tunapaka Rohoni sio mwilini hapo mmenigusa kweli barikiwen kwa kazi njemaaa. Injili ya kweli iende mbele.
Wimbo unaimba Kwa akili yangu usiku wote...
May God increase you Sir
You make us Understand Our God in a deeper way
Mungu kweli kweli , yeye hana mwisho, nimepanda Kila kitu
Mungu awabariki sana this song is a blessing to me imeniinua kiwango kingine
Injili katika ufunuo wake inaongea na fahamu na nafsi. Yesu Kristo tangu torati hata agano jipya...Mwana wa Azali. Asanteni kukubali kufanyika watumishi wa Mungu. Wengi tunaumega mwingi toka kwenu Ambwene na Boaz
Hiko kipande cha mwisho kama worship got me in tears and speak in tongue frequently 😭😭 nothing can describe the son nothing can describe JESUS,,,MUNGU Awatumie zaidi
Kinatoa machoz
Wimbo nimeungoja saan ooh mwana wa Azali ooh Mungu kweli kwel
Niseme ukwel nyimbo zako zinanigusa sanaaaa mungu akubariki❤❤❤🙏
nimeshinda narudia kusikiliza neno hili hakika ninaendelea kuhudumiwa na kumjua sana Mungu.
Glory! Glory! Nimefungua moyo wangu hakika ameingia nina feel uwepo wake kabisaaa !Mwana wa Azali
Huu wimbo umenipa kutafakali Yesu
The person of Christ. Ni mwana wa Mungu what a blessing
Oooool JESUS .. Hapo mwishoni jmn boaz abwene na huyo kijana dah hatar hatar ... nimebarikiwa
Ila Kaka uliyeingiza sauti ya tatu unajua aiseee❤❤❤
Kwel kabisa
Hakika Anajua.....
Biblia imesomwa vizuri hapa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏👏👏👏💯💯💯💯💯💯💯
My God, my God, this is too much oooh, you deserve honor and glory. Yaani huu wimbo kwa kweli una nguvu ya Mungu. Nimeifuma nikiwa kwenye daladala, nilishindwa kabisa kujizuia kutikisa kichwa changu oooo Jesus, mzidishe mtumishi wako. Nimeshairudia zaidi ya mara tano.
Huu wimbo umenigusa sanaa lakini kumuona Peter Paul Isaac akihudumu ndani ya huu wimbo nimefarijika sanaa najua kwa sehemu ukubwa wa huduma yako umeandaliwa ufike mbali sanaa Peter Paul ndiomaana Mungu kakupa kiwango kikubwa cha unyenyekevu endeleeni kumshika mkono huyo mpendwa watu wa Mungu anamaono makubwa
Mwana wa Azali 🔥🔥🔥
JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS I feel like shouting that name, heeeeey...YESUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
Haleluya !!!Ni mwana wa Mungu,,,mwana wa Azali... powerful,💪
Mungu kweli kweliii
Yeye hana mwisho.
Japo Eliya hakukosea kuwachoma sababu ilikua oda kutoka kwa Mkuu Mungu...
Ni mwana wa Mungu kweli kweli love this song very much it has gospel.
Mwana wa azal
Naomba bwana yesu akajibu maombi yangu kupitia wimbo huu mwez huu❤❤
Amina
Amina nami naungana nawe
AMINA MTUMISHI WA MUNGU,HAKIKA WIMBO HUU UMENIBARIKI TOKA NDANI,NI MWANA WA MUNGU TU
Bonge la wimbo, bonge la lyrics!🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Mwana wa Azali, hakika muda hautoshi kuuelezea uzuri wake.