AMBWENE MWASONGWE FT BOAZ DANKEN & TAG FOREST YA KWANZA - MWANA WA AZALI (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2024
- Wimbo huu wa MWANA WA AZALI ni wimbo unaomzungumzia YESU KRISTO kama mwana wa MUNGU na ukuu wa kazi zake zilizofanyika kwa utofauti na wale wengine waliotumwa na MUNGU kabla ya kuja kwake. Ni wimbo wa ibada karibu na ubarikiwe na kazi hii
Audio Producer SAMUEL MBOYA
Video Producer STEVE TOBS MEDIA
Subtitle JAGALI DAVID
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
Mwana Wa Azali ft. Boaz Danken & Praise Team Tag Forest Ya Kwanza - Ambwene Mwasongwe (Lyrics)
Wakaulizana mtu huyu ni nan?
Jina lake nan?
Na ametoka wapi?
Wakashangaa vile anavyosema
Ni tofauti na viongoz wao!!!
Anamamlaka na nguvu ya asili
Je mtu huy si mwana wa yusuph??
Hawakujua ametoka mbingun
Huyu n Mungu pamoja na wanadam
Ni mwana wa mungu……..
Nimwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu…..
Mwana wa ..
Mungu kwel kwel kwel…….
Mungu kwelii kweliiiiii
Anauwezo wotee…….
Yeye hanamwishoo
Ni mwana wa Mungu…
Ni mwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu….
Yeye hajauwaa…
Mungu kwelii kwlii
Anauwezo wote…
Yeye hanamwisho.
Akauliza ninyi mwanisemaje??
Tofaut na watu wa nje”
Wakamjibu…ya kwamba ni kristo
Mpakwa mafuta wa mungu mwenyew
Akauliza ninyi mwanisemaje??
Tofautii na watu wa njee”
Wakamjibu…ya kwamba ni kristo
Mpakwa mafuta wa Mungu mwenyewe
Wewe apo ni mkuu kuliko Eliaaa, maana hauchomi watuu…
Unasamehe hata wale waliokukosea
Kwasabb wewe n Mungu
Upo apa…
Mkuu kuliko,kiongoz Mussa
Yule wa toratii…
Mzigo wako ni mwepesii,
Nira ako ni lainii
Unasamehe hata wenye dhambii
Upo apa….
Mkuu kuliko,Samwel nabii
Yulee wa mafuta
Mafuta yako, unapaka rohon kwa roho mtakatifu
Hupaki mwilinii
Upo apa……
Mkuu kuliko,mfalme Daudi
Aliyekufaaaa…
Ufalme wako hauzuiwi na mda na sehemu wadumu hata milele…
Ni mwana wa Mungu
Mwana wa Mungu
Ni mwana wa Mungu
Mwana wa
Ni mwana wa Mungu
Mungu kweli kweliii
Ni mwana wa Mungu
Yeye hana mwishoo
Katoka kwa Mungu
Mwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu
Mwana wa…
Katoka kwa Mungu
Mungu kwel kweliii
Katoka kwa mungu
Yeye hana mwishoo
Ni mungu mwenyewe..
Mwana wa Mungu
Ni Munguu mwenyewe..
Mwana wa
Ni Mungu mwenyewe..
Mungu kwelii kweliii
Ni Mungu mwenyewe….
Yeye hana mwishoo
Yeye hakuumbwa mwana wa asali
Hana mwanzo wala mwisho
Anazo funguo
Yeye n njia ya kwenda mbinguni
Kama ww unataka kukutana na mbingu
Muanimi…
Fungua moyo wakoo…
Aingie anagonga atawale maisha yako
Ni bwana…
Mwenye uwezoo
Fungua fungua x2
Funguaaa…moyo wakoo
Fungua fungua x2
Fungua….moyo wako
#AmbweneMwasongwe #MwanaWaAzali
Mwana wa Azali Nimefurahi Sana Kaka Siku zote tunajifunza Sana kwako hasa unapomtaja Bwana YESU kwa undani na ufasaha wa Uzuri Wake
Napenda nisiwazoee nisikae karibu na nyie ili niwaheshimu, nipokee mlichopewa na Mungu kwa kiwango kinachostahili.
Nawaheshimu sana watumishi wa Mungu Ambwene na Boaz
Mungu awabariki sanaa
Hakikaa🙌 Bwana azidi kuwatunza nyie watumishi wake.. tunawahitaji sana katika nyakati hizi🙌
MUNGU awabariki sana kwa utumishi huu!
An kuna nyimbo mnaimba mtu aspokuwa na roho mtakatifu hawez kuelewa. MUNGU azidi kuwatumia zaidi.🙌🙌🙌
Kuna tofauti kati ya gospel (injili) music ya kuokoa roho za watu
Na Worship music
This is Gospel tena inasema fungua Moyo wako mwana wa azali aingie..
Am truly blessed
Mungu awabariki mzidi eneza injili.
Mathayo 16:13 Basi Yesu akaenda pande za Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake akasema, Watu hunena Mwana wa Adamu kuwa ni nani?
14 Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.
15 Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi kuwa ni nani?
16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.
Ameen 🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️
Nimesikiliza nimefuatilia nyimbo nyingi sana ila huu umenizidia nyimbo zote nilizosikliza humu na malaika walioko zamu na wale wasioko zamu wamo na wameimba na humu ndani upako wa ajabu mbingu zinashuka uwepo wa Mungu unatanda. Be blessed More.
Kaka Ambwene Huu wimbo jamani🙌🙌🙌🙌🙌neno La Mungu tupu.Yani unatupa changamoto vijana kweli.We need to come back to the source rather than singing short choruses
Mungu akubariki Sana mtumishi..... Wewe ni Moja ya waimbaji wanaowakilisha vizuri mbingu..... Asante sana
Kwa kweli ... wazee wa short chorus amen amen amen haleluya haleluya wimbo wote mpk unaisha
th-cam.com/video/PHphQJ15o-0/w-d-xo.html
th-cam.com/video/PHphQJ15o-0/w-d-xo.html
@@emes602😂😂😂😂😂
Huu wimbo umebariki moyo wangu.
HIZI NI NYIMBO AMBAZO KAMA HUNA ROHO MTAKATIFU HUWEZI KUONA KAMA UNANGUVU KUBWA NDANI YAKE,,,UNANIBARIKI SANA, 🙏
Baba Yangu Ambwene Ubarikiwe
I have to say huyu ndo mwimbaji Kati yawaimbaji walio salia ambao hawaimbi blahblah. Unakuta mtu nimwimbaji anitumia 13min Kuimba tu maneno yasio namaana, eti ni nyimbo za injili. Mungu akupe ikima Ambwene yakutunga nyimbo pamoja na Malaika zake Bwana Yesu.
Mwamba uko vizuri sana napenda unavyoiimba biblia unaimba neno la Mungu unahubiri Mungu akutunze
Woow!🔥🔥Mungu ni mwema
Amazing
Ameen na ww pia jaman. Wooow saut ya radi hongera winbo mtam Sana sanaaa
Barikiweni sana mafuta ya Mungu tunapaka Rohoni sio mwilini hapo mmenigusa kweli barikiwen kwa kazi njemaaa. Injili ya kweli iende mbele.
Kuna tofauti kati ya gospel (injili) music ya kuokoa roho za watu
Na Worship music
This is Gospel tena inasema fungua Moyo wako mwana wa azali aingie..
Am truly blessed
Mungu azidi kukutumia Kaka Ambwene kumhubiri Kristo. 😭😊
Mungu awabariki mzidi eneza injili.
Mungu was mbinguni awainuie kwa ajabu ya pekeee ..Mwana wa azali
Natamani siku moja nikutane tuyy na Abwene toka utoto nimekuwa nikimfuatilia nakuimba nyimbo zake.nindoto yangu Sana .Mungu atimize aja ya Moyo wangu 😢 .napenda kujifunza kwa tai niliye mfananisha nawewe.nakumbuka nikiwa mdogo.upendo.ninamkumbuka mama mmoja .majaribu ni mtaji .tulikotoka nimbali. Nimeachilia and so many songs and now mwana wa azali .be blessed servant of God 🎉
Nimemwabudu Mungu 🔥🔥🙌😍😍
Me ni kijana ninayekuwa na kristo, chemchem inayotokana na YESU Haiachi nafsi Wala roho Wala moyo salama kama wimbo huu, lazima viguswe Tena vinaguswa kweli.
MUNGU Awabariki sana watumishi wa MUNGU.
Mungu azidi kukutunza hakika Mafuta ya Roho mtakatifu yako Juu yako na Ndani yako tunabarikiwa na vya ufalme wa Baba yetu
No one has ever described jesus in this manner through a song , only mature people can understand this song congratulations
Gladys my sister I tell you I am overwhelmed by the describing of Jesus Christ, leave alone the best instrumental accompaniment, the wording of who Jesus is
May God bless you Minister Ambwene ft Boaz
SURE SURE good song indeed
I have been repeating several times to listen the song
Why Jesus in small latter...
@@stephenmakau4410 qppmmp
True
Kuna Nyimbo halafu Kuna upako wa uimbaji. Amina Amina Amana. Pokea sifa zote Mwana wa Mungu , Mwana wa Azali katoka Kwa Mungu Baba amejaa Neema na Kweli
Mistar ya nyimbo hii iko vzr sana,sio ya kawaida..stay blessed always
Good morning
@@mdimasongo6262
How are you progressing mr.!?
Mungu azidi kukutunza na kukubariki mtumishi wa Mungu. Tunaponywa. 🙌🙌🙌🙌🙏🤝👏
Nyimbo zako Ambwene zimenifusha Sana maaana nakumbka nikiwa kijijini nilikuwa sichoki kusikiliza nymbo zako mpaka saizi sichoki kusikiliza nymbo zako . Ubarikiwe Sana kwakalama yako .
Injili katika ufunuo wake inaongea na fahamu na nafsi. Yesu Kristo tangu torati hata agano jipya...Mwana wa Azali. Asanteni kukubali kufanyika watumishi wa Mungu. Wengi tunaumega mwingi toka kwenu Ambwene na Boaz
Hongereni kwa kazi nzuri daima Yesu azidi kuwainua viwango hadi viwango. Huu wimbo umenibariki
Amen amen amen ni Mungu kweli kweli yeye hana mwisho 🙏🏼🙏🏼Ambwene Mwasongwe, Boaz Danken Mungu awabariki sana
Huu wimbo huu! Muujiza wangu nimeukuta hapa. This kind of music is direct from the Holy Spirit. Explaining the mystery and revelation of Jesus.
Nyimbo nzuri sana,sifa na utukufu zimrudie mwenyewe Bwana Yesu Kristo.be blessings
Mwana wa Azali jamaniii...fungua moyo wako aingie, ukimsikiliza jinsi kaka yetu abwene amemuelezea kwa undani ni mzuri mnoo na ukitaka kumjua yupoje Zaid mpe moyo wako🥳🥳 Mungu akutunze sana kaka abwene 🙏🏼🙏🏼
Wimbo huu unanibariki sana .Mbinu na mtindo wa uimbaji ni wa kipekee .Pokea upako maradufu.
Ubarikiwe masiya wa kristo kwa wimbo uliojaa mafuta ya Roho Mtakatifu
Hakika hii neema izidi sana juu yako mtumishi huu ni zaidi ya wimbo
Dar!!!wimbo mzuri mno Mungu aendelee kukutumia siku zote za maisha yako
MUNGU aendelee kukutumia ili nasi tujifunze jinsi ya kufanya ili tufanye kile kinachompendeza MUNGU katika uimbaji. AMEN.
Hatimae Mwana wa Azali nimebarikiwa na kazi hii
Naona maraika kwafuraha wakicheza huu wimbo ❤️
Ni baraka Kubwa...Barikiwa mtumishi wa Mungu aliye Hai.
Kaka Mkubwa Mungu Wa Mbinguni Azidi Kuwainua Na Kuwatia Nguvu #Godisreal Boaz Danken Siku Moja Tutafanya Kazi Na Nyinyi Kaka Yangu Mbarikiwe Mno #mwanawaazali
Bwana AZIDI kutumia kimtambulisha .Barikiwa MTUMISHI
Ni mwana wa Mungu
Mungu mwenyewe🎶
Kaka ingekuwa vipawa vinaambukizwa, ningeomba uniambukize kipawa cha utunzi, napenda jamani, mpangilio wa maneno,
Barikiwa Kazi njema mnoo kaka
My Veins are shaking
This name Jesus ❤❤❤
I’m In a bus feeling falling on my knees and worship 😢😢😢😢😢
Sichoki kusikiliza huu wimbo jaman unanigusa sana,Mungu awabariki naazidi kuwatumia nataman saba milichonacho na mm niwenacho jmn, nawapenda sana wimbo huu umenitoa hatua 1 kwenda nyingine
Yesu awakumbukee wote wanaopitia mapito,yatima,wagonjwaa na wajane pia,,asantee ambwene, you're song it connect me with Jesus Christ
Acha Mungu aitwe Mungu, hakika yeye hana mwisho mwana wa azali, hakika kumtegemea Mungu kunafaida kuu.
Ambwene mwasongwe kaka penda sana Boaz danken penda sana sasa mungu akuwage naninyi siku zote za huduma yenu❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
🔥🔥🔥🔥 keep it up man of God
Mungu awabariki, Leo nimesikiliza wimbo huu mara nyingi Zaidi na kugundua kuwa, wimbo huu umebeba upako na nguvu ya Roho mtakatifu.
Shkamo Kaka ambwene💓💓💓💓💓💓🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mwana wa Azali 🔥🔥🔥
ili goma bwana duuu 🙌🙌🙌🙌
Ila Kaka uliyeingiza sauti ya tatu unajua aiseee❤❤❤
Kwel kabisa
Hakika Anajua.....
Nausikiliza kuanzia asbh hadi sasa siuchoki,Ubarikiwe na Yesu
Absolutely mwana wa Azali yupo kwenye stage ananena kupitia watoto wake na mtoto mwana wa azali ambaye aliiufungua moyo wake kwa miaka Lukuki . Huyu mwana wa mungu ndani ya AMBWENE amekuwa na anashuhudia marika yote Tanzania, Afrika, sasa ameiguza dunia . Asante mungu nimeifungua moyo wangu. 🙏
Sifa na utukufu nikwa mwana wa AZALI
Wimbo unaimba Kwa akili yangu usiku wote...
May God increase you Sir
You make us Understand Our God in a deeper way
Biblia imesomwa vizuri hapa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏👏👏👏💯💯💯💯💯💯💯
Every time I listen to Ambwene's Songs I get much inspired to know God more and more, I feel Fanuel Sedekia alive again. May God keep refreshing you from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I love you....
th-cam.com/video/PHphQJ15o-0/w-d-xo.html
True
Oooh Yes umekuwa Baraka kwa Tz , this song is spiritual ,tunamjua Mungu kupitia ww Blessed Kaka,i like hapooooo,YEYE HACHOMI , MAFUTA YAKO UNAPAKA ROHONI KWA ROHO MTAKATIFU HUPAKI MWILINI 🙌🙌🙌NI MWANA WA MUNGU MWANA WA AZALI🇹🇿🇹🇿🇹🇿💕💕
Wow! Nimekuwa nikiwaambia watu, kuwa wewe ni story teller. Yaani you have a unique way ya kuandika and sing. Yaani you pull in your audience. May God keep anointing you with His Oily, blessings. Nimebarikiwa mno na huu wimbo.
yeah truth , huyu mtu anaimba matukio
My first time to listen to his songs and am getting in love with them coz they are ministering to my soul.
I tell you this man of God describes Jesus like no other person,🙌🙌🙌🙏
Bwana yesu asifiwe , mtumishi wamungu , huu wimbo umenibariki sana, haswa biti ya kwanza
Mimi nalia tu huu wimbo nimeupenda bure ninyi watu wa Mungu mbarikiwe
Nabarikiwa xana na huduma yako na mungu akuinue zaidi na zaidi
Mungu awabariki sana this song is a blessing to me imeniinua kiwango kingine
Kazi safi sana, pia utunzi ni wa Kiungu. Barikiwa Kaka
Nimeisubiri sana hii nyimbo... Imenibariki sanaaaaa
Oooooooh hallelujah hallelujah mwana wa Azali uinuliwe milele yoteeee 😭😭😭maana wewe unastahili
Hallelujah! BWANA YESU ni Hekima yetu toka kwa Mungu Haki yetu toka kwa Mungu, Utakatifu wetu toka kwa Mungu na Ukombozi wetu kwa Mungu! 1Wakorintho 1:28-31
Barikiwa sana Mtumishi Ambwene na wote ulio nao
Wimbo unauzito fulani ; fungua , fungua, fungua Moyo Wako..
Ni mwana wa Mungu,mwana wa azali.Mungu mwenyewe Haleluya!!!
Wewe wewe!!!, mungu ni mkuu kwako kabisaaa, nyombo zako hunipatia faraja yaajabu,
Tanzania yetu inakosa Gospel(injili) music ya kutoa watu katika dhambi
Tumebaki na nyimbo za kusifu na kuabudu tuuu
Am blessed ninapoona kaka Ambwene.. You haven't lost your Gospel injili taste..
MUNGU akusaidie 😭 kuendelea kuhubiri.
Mungu akubarki Sana Kazi yako n njema Sana Bwana azidi kukuinua na zaidi
Ambwene Mwasongwe
Umemtaja Yesu kwa undani vile alivyo
Umembainisha na kumtanabaisha alivyo na alicho
This song flows in my veins
Hakika amemtaja kiundan Sana sana sana.yn kiugum mnoo jaman Mungu wa ajabu sana
Amina wimbo mzr unaujumbe mzr mbarikiwe sana
Love from Kenya...Nairobi..utunzi wa nyimbo zako kaka wafutia sana.. congrats bro.
Aaaise brother ambwene naona kitu cha tofauti ndani yako hakika namwona Mungu kwenye hii nyimbo hii nyimbo imejaa nguvu za Mungu Sana . Imefrika na mafafanuzi ya undani wa Yesu wetu l love you my brother ambwene Tanzania na Dunia nzima tunaiona nuru ya Mungu ndani yako ikiwa juu ya kiango
What a worship song is. One of the song that moves us into strong prayer. A moving prayer. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Unauhudumia ulimwengu wote kwa wakati mmoja. Nakupenda mnoooo
Mmh, huu wimbo mzuri saaanaaaaa, mnooo, unaleta utulivu fulani hivi maneno yanaingia taratibu.... msucians mmeutendea haki, vocals, leads, mixing, video, mavazi ya waimbaji yako vizuri sana....yaani on point
My fevorite artist of all the time.... Yaan nyimbo zako daah sinaniinua kila siku 👏👏👏
Ubarikiwe sanaaaa kaka kweli wewe ni mfano ....na haujui namna unavyookoa nafsi zetu zilizo lnama
Bro huu wimbo unaudumia Moyo wa Mungu sana,Bwana anapoinuliwa anawavuta wengi waje kwake(waugeukie Msalaba)
Mungu azidi kukusimamisha sana ktk huduma yako,,song is living.
Glory! Glory! Nimefungua moyo wangu hakika ameingia nina feel uwepo wake kabisaaa !Mwana wa Azali
Ameen, Bwana pokeya utukufu, hakika wastahili,
MUNGU akubariki kwa wimbo mzuri Sanaa hakika Mwana wa Azali ni Nuru ing'aayo gizani tena yeye ni Alpha and Omega 🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
The person of Christ. Ni mwana wa Mungu what a blessing
Hiko kipande cha mwisho kama worship got me in tears and speak in tongue frequently 😭😭 nothing can describe the son nothing can describe JESUS,,,MUNGU Awatumie zaidi
Kinatoa machoz
God bless you, umenibariki sana huu wimbo, Mungu awabariki watumishi wake
Nice Song in deed.....Glory to God.
Ooh powerful song 💪🏻Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Niseme ukwel nyimbo zako zinanigusa sanaaaa mungu akubariki❤❤❤🙏
Hongera kwa utume mwema
Kaka wimbo wa baraka sana Mungu alichokupa kikubwa aendelee kukutumia kwa ajili ya kanisa la sasa nimebarikiwa sana ni Mungu mwenyewe mwana wa Azali da very anoint
Yeye Hana mwishoo.....mwana wa Azali
Haleluya !!!Ni mwana wa Mungu,,,mwana wa Azali... powerful,💪
Mungu kweli kweliii
Yeye hana mwisho.
Nawapenda SANA😍😘😘😘😘😘😘
Why did i find this song late? Omg nimesikia kama yesu amenishukia omg😭😭😭 i started crying nikapata na nguvu ya kuomba baada ya kusikiliza hii nyimbo mbarikiwe watumishi wa Mungu
Utunzi alikupa Mungu kwa kweli
Oh God! All I am allowed to do is just worship the most high God.Blessed be His name forever.More grace servants of God.Indeed I will follow your steps because I am convinced beyond doubt that you follow Christ.
Mubarikiwe na Bwana watumishi wa Mungu
My God, my God, this is too much oooh, you deserve honor and glory. Yaani huu wimbo kwa kweli una nguvu ya Mungu. Nimeifuma nikiwa kwenye daladala, nilishindwa kabisa kujizuia kutikisa kichwa changu oooo Jesus, mzidishe mtumishi wako. Nimeshairudia zaidi ya mara tano.
Mungu aendelee kuwatumia watumishi🙌🔥🙏
Every time I listen to ur songs I realize ur levels of knowing God are much higher, some singers sing like they don't know their God but not you brother, through ur songs I have known characters of God that I was not knowing, I have been blessed. Yo are always doing best for ur God may he keep you and protect you endlessly.
He is the man of God... His Lyrics are spiritually composed ✍️✍️✍️
Haleluya Haleluya Haleluya...... Hakika yeye nii MUNGU mwenyewe 😭😭😭 YESU Ni MUNGU Hana Mwisho..... Najifunza kwako Kaka Ambwene since Nina miaka 11 nilianza kusikiliza nyimbo zako Hadi leo Nimejifunza mengi😭😭😭🙆🙆...... MUNGU akutunze tuuu