you probably dont give a shit but does someone know of a tool to get back into an Instagram account?? I was stupid lost the login password. I appreciate any tricks you can give me.
Mh raisi hii ni zaidi ya bunge coz wachangiaji wote wanachangia kwa maslahi mapana ya taifa, lakini wabunge wanachangia kwa mirengo ya vyama vyao na matumbo yao, mh Raisi naomba uwe unakutana na hawa watu hata mara mbili kwa mwaka utayapata mengi na nchi itanyooka tu
@MagufuliJP. Kazi unayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yako. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️
Mi naona TRA waondolewe wote na badala yake wapelekwe wafanyakazi Toka benki kuu na Wizara ya Fedha na wanajeshi Kuna network hapo dawa Ni kufumua wote
We are domant that's why we don't understand him, halafu haturiziki kuibaiba tuuu na rushwa tunapenda fujo na uongo kutoka mataifa na watu walionunuliwa na wazungu
@@annassuleiman4508 una muona jamaa kama hana hakili vile ila ukweli tume Pata rais tuliye muhitaji na kumu ongezea muda wa miaka ata 5 ni kitu cha muhim sana maana tunapaswa kujenga nchi ya wazarendo na wa kujenga ni huyu jamaa unless tuna rudi kwa upigaji tena
@@adrianmanja7540 China washamaliza, Xi Jiping hatakuwa na ukomo wa kutawala, huenda akatawala maisha ( China clears way for Xi Jiping to rule for life) huku ukisema unaonekana punguani.
Mzee utaumiza kichwa chako bure serikalini kote kumejaa urasimu jambo lakufanyika siku moja na kwisha linachukua miezi kadhaa. Hawawezi kwenda na kasi yako. Sasa chagua wanaoweza kuamua jambo maramoja
Kuna kitu nagundua kwamba kuna watendaji wa serekal ambao lengo lao nikmhujumu Rais na kuharibia ikiwezekana watengeneze mambo hovyo ili kupoteza matumaini ya wananchi kwa Rais.
Amahakika choo kitabaki kuitwa chootu hata ukishafishe nakukitia manukato yadunia mzima badokitaendelea kuitwa chootu kamwe hakitaitwa chumba kulala kwahio baba wasaidizi ndio wanaoiuwa nchi hii
Rais gani mkweli kuliko huyu munayemuhitaji wana-TZ? Rushwa nyingi na kubwa nchini TZ ni kati ya TRA na wafanyabiashara. Wako wapi wafanyabiashara wakweli mbele ya rais? Wafanyabiashara hamfai kabisa!!
Ooooh! Sawa. Je ile sababu imeshatenguliwa? Juzi nikawa napeleka mchele Nairobi kilo 70 tu, just like chakula cha home, mbona nilinyang'anywa pale Namanga???? I'm talking by fact. Sipo kisiasa,... Hali ni tofauti na inavyoelezeka na kuwa reported... #Raphael Martin & Marc
Anatafuta kura maana akishatuona wananchi kama punda mm nasema hayo kwasababua kasema mafao kutoa lkn hadi leo watumishi wake hawajakubali na yy mwenyewe hajauliza agizo lake limetekelezwa kwa kiasi gani kwa watu wake
Joseph Majinge tatizo nini kutafuta kura, sisi tutamchagua kama tulivyonchagua. Kutafuta kura ndio kazi ya kila anaesubiri kuchaguliwa uchaguzi mmoja ukiisha ujipange kwa mwengine.
Huna aibu wewe. Kazi anayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yake. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️
Raisi wangu uko sahihi na upo vizuri, Mungu ibariki Tanzania, Amen
We must clean the house! 👍
Well informed talking with numbers.....like this!
Well said Mr. President "we must clean the house" wafanyabiashara tuondoe uoga Rais ana nia njema ila watendaji wachache ndo wanamuangusha.
Definitely we have the President
Absolutely..msemakweli mpenzi wa Mungu.
Put the house in order Sir! We need this so much for the betterment of this beautiful homeland... #Thankyousir#
you probably dont give a shit but does someone know of a tool to get back into an Instagram account??
I was stupid lost the login password. I appreciate any tricks you can give me.
Huyu jamaa kama ananishawishi I love u my president
Well done Druv you hit to the point
Watanzania wenzangu nazidi kuwaomba tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu
Tunawaombea wenye weledi tu.Kama ili lijemedali kuu dk Magu.Mingine ni mifisi tu!
Rais wetu Mungu Akulinde na Akupe Afya njema.
Rais John Pombe Magufuli.....hatumuelewi sababu ya uvivu wetu na ugoigoi!
Clause Msemwa hay bwan
Goigoi wewe
Mh raisi hii ni zaidi ya bunge coz wachangiaji wote wanachangia kwa maslahi mapana ya taifa, lakini wabunge wanachangia kwa mirengo ya vyama vyao na matumbo yao, mh Raisi naomba uwe unakutana na hawa watu hata mara mbili kwa mwaka utayapata mengi na nchi itanyooka tu
@MagufuliJP. Kazi unayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yako. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️
Hakyamungu sijawahi kutegemea majibu mazuri namna hii kutoka kwa magufuli tangu Leo Mimi nimeamua kurudisha imani yangu kwa RAIS magufuli
swalehe msemo umechelewa brother 😂😂😂😂 watuu tulimuelewa kitaaaaambo
Naiona Tanzania yetu mbali sana.
Mungu aendelee kukusimamia.
Rais wetu uko vizurii kweki baadhi ya wasaidizi wako wanakuangusha jamani.Washughurikiwe haraka hao
Tanzania would have been the next Germany jameenii mnapangilioo. from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mi naona TRA waondolewe wote na badala yake wapelekwe wafanyakazi Toka benki kuu na Wizara ya Fedha na wanajeshi
Kuna network hapo dawa Ni kufumua wote
Umeongea vizuri
Well said brother
Haswa wanajeshi
Kweli tumezoea kuwalaumu sana TRA hata mimi nawalaumu lakini ukweli lazim niseme sanasana brokers pia nii tatizo sana
mzeee kweli mzee
Fear is a great enemy
Sisi sijui vipi....tunamtesa raising kha!
Clause Msemwa safi magufuli
We are supposed to clean the house
Huyu mzee yuko vzr,tungepata viongozi 100 kama hawa ni miaka 5 ulaya inaomba msaada tanzania
Uhanisio, do you know ulaya? Unadhani ulaya ni Dodoma , paka wee
😂😂nakubalii
HONGERA SANA MUHESHIMIWA RAIS NIPO GERMANY ILA NAKUELEWA SANA JPM
Mzungumzaji wa construction industry hongera sana MUNGU akubaliki kwa nia njema na nchi.
Siyo akubaliki sema akubariki
Nashukulu sana maria
R na L imeasili sana tarime na ww ni wa hiyo kanda maalumu
@@eaglecrown3872 sema nashukuru siyo nashukulu
@@zakariamaria9397 hahahahaaa Tata mura Tarime kabisaaaaa
kwa kweli nimeshamaliza kumchagua rais mwaka ujao. Magufuli ni mfano wa kuigwa
Safi Sana Majibu ya His Excellency to the Point ....
You are doing well Mr Presidents but your assistants are spoiling you
9:00 that is my President. ILI NIWASAIDIE WENGINE KUFANYA KAZI HARAKA😘
Miaka mia Uncle Magu
Good
TRA ni kikwazo kikubwa, dili zao! RUSHWA CANCER
TRA ni kikwazo kikubwa sana tunaomba uingalie kwa undani Sana,.
asiye mpenda huyu raisi ujue ni mchawi.
100%
Kabisa
😂😂😂
Kabisa
Will we ever have such in Kenya....ever? Huku ni usiri, ubadhirifu na utepetevu kwa agencies za umma, na corruption!
Wakenya tunafaa kupigwa viboko...ni ujinga ya kujiwekelea tunachagua hao wakora... sasa tujilaumu na tuvumilie kuwa wakenya
Haijawahi kutokea.! Mh Rais uko sawa sana
We are domant that's why we don't understand him, halafu haturiziki kuibaiba tuuu na rushwa tunapenda fujo na uongo kutoka mataifa na watu walionunuliwa na wazungu
Acha siasa talk business.you one of the failures
My President Love
Safi sans
Clean the house indeed uncle Magu
Tupo wafanya biashara tatizo milongolongo mingi bandarini
Jaribu kuelewa nimezunguza nn sijamwambia mtu yyt kutompigia kura mtu anaeona yy anamfaa tatizo mnakurupuka kuchangia mada
Kama ulivyokurupuka wewe
Now days RAIS anaongea friendly sana,tukienda hivi tutafanikiwa sana
Ally Mohamed ,Toka zamani huwa anaongea hivi,sema wewe tuu masikioni uliweka pamba!!
Safi sana uncle. Ubarikiwe sanaaaa
Rais mimi naomba kwakua umeanza ziara za nje ya nchi uende na wafanyabiashara mbalimbali wapate nafasi
Bb Wataifaaliwahi kusema ikulu nimahlapatakatifu naraisi anaekwendaikulu asije kupageuzakuwa pango LA walanguzi nakwabahtinzuli tumempta laisi mtaktifu naasiye pafanya ikulu Kuwa pango lawalanguzi sasawtz kwanini laisikm huyu ndoto yabbwataifa zinatimia kwanini tusimpe nchi aongoze mpka 2045?kmawatz tunaakili tmamu hki kichwa c chakukiacha mpka2045
kati ya haya magonjwa mawili unaumwa ugonjwa gani?? chagua moja hapa: Ukichaa na Uwendawazimu
@@annassuleiman4508 una muona jamaa kama hana hakili vile ila ukweli tume Pata rais tuliye muhitaji na kumu ongezea muda wa miaka ata 5 ni kitu cha muhim sana maana tunapaswa kujenga nchi ya wazarendo na wa kujenga ni huyu jamaa unless tuna rudi kwa upigaji tena
@@adrianmanja7540 China washamaliza, Xi Jiping hatakuwa na ukomo wa kutawala, huenda akatawala maisha ( China clears way for Xi Jiping to rule for life) huku ukisema unaonekana punguani.
Magu Jembe! Km hutaki kalale,huyu Ni Jembe
safi sana.
Mzee utaumiza kichwa chako bure serikalini kote kumejaa urasimu jambo lakufanyika siku moja na kwisha linachukua miezi kadhaa. Hawawezi kwenda na kasi yako. Sasa chagua wanaoweza kuamua jambo maramoja
Kweli kabisa. Namonea huruma sana Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa Magufuli,♥️🇹🇿🌻👏🏽
Tahasisi za Huma Zina ihangusha serekali wafanya kazi awamo
Ulasimu umwingi
Mbwana Mungia hongera presindent magufuli
Kuna kitu nagundua kwamba kuna watendaji wa serekal ambao lengo lao nikmhujumu Rais na kuharibia ikiwezekana watengeneze mambo hovyo ili kupoteza matumaini ya wananchi kwa Rais.
We have the best president sijui tunakwama wap yani hatuna shukrani
Kama anaongea kiingereza kizur hadi raha
Huyu angeongoza angalau 20 years.
your workers they are thinking only how to fill their pocket and nothing els
Tanzania itaendelea kwa kuwa Raisi Tulie nae anauchungu na Tz
Hongera Magufuli
Penye nia pana njia nakuamini Magufuli
Mzee zidi kufumua hawa wapiga dili.
RAIS YUPU SAWA, TATIZO WAFANYI KAZI WA SERIKALI
Amahakika choo kitabaki kuitwa chootu hata ukishafishe nakukitia manukato yadunia mzima badokitaendelea kuitwa chootu kamwe hakitaitwa chumba kulala kwahio baba wasaidizi ndio wanaoiuwa nchi hii
Magufuli mwanzo mwisho
kwa ufupi hayo mapendekezo zenu sitozipitisha mpaka mmpunguze unafiki wenu hahaha
Smart
Alivyokuwa anapiga pusha kweje kampeni watu wengi hawakumuekewa ila sasa watu wanamuelewa
Jembe la Tanzania. Nakuombea Uwe raisi wa milele.
Tangazo tuu lishakula bandoo,,,😣
Nani akulishe
Rais gani mkweli kuliko huyu munayemuhitaji wana-TZ? Rushwa nyingi na kubwa nchini TZ ni kati ya TRA na wafanyabiashara. Wako wapi wafanyabiashara wakweli mbele ya rais? Wafanyabiashara hamfai kabisa!!
Ndo nimeelewa haja ya kumwacha JPM atawale 2035...anaweza.
Mbona Sumbawanga wakitaka ku export mahindi serikali inaweka zuio?
Mh magufuli kumbuka na wanaoacha kazi,wapate mafao yao sio wanaofukuzwa tu.
.
Tanzania utekelezaji bado uko slow
Mbowe Roho inamuuma ataongea nini Uchaguzi ujao Magufuli changamoto anazitatuwa
Which is that?😂😂😂 law of contractitation ???
🙄🙄🤔😁😂😂
Go googl that shit niiga🙄🙄
Hivi aliyezuia mazao yasisafirishwe nje ya nchi ni nani? Au mm ndo sielewi?
Usijifanye juha kalulu, elewa lengo là zuio lilikua ni nini, na wakati wa zuio hali ya mazao ilikuaje, jiongeze sio kila kitu uambiwe
Mvivu kufikilia wewe ndugu yangu na ndio shida ya Wa Tanzania tulip wengi
Ooooh! Sawa. Je ile sababu imeshatenguliwa? Juzi nikawa napeleka mchele Nairobi kilo 70 tu, just like chakula cha home, mbona nilinyang'anywa pale Namanga???? I'm talking by fact. Sipo kisiasa,... Hali ni tofauti na inavyoelezeka na kuwa reported... #Raphael Martin & Marc
Umesahau mlipomlazimisha atangaze baa la njaa???? Kina Temu wengi ni wapumbavu .
Km mahindi yapo mpk reserve mbn unga umepnd
Tatizo sio TRA..tatizo ni MFUMO MZIMA ulioasisiwa na CCM
Unaongea pumba na kitu usichojua, unajua
Pumbavu kabisa umasikini una kusumbuwa
Anatafuta kura maana akishatuona wananchi kama punda mm nasema hayo kwasababua kasema mafao kutoa lkn hadi leo watumishi wake hawajakubali na yy mwenyewe hajauliza agizo lake limetekelezwa kwa kiasi gani kwa watu wake
Joseph Majinge tatizo nini kutafuta kura, sisi tutamchagua kama tulivyonchagua.
Kutafuta kura ndio kazi ya kila anaesubiri kuchaguliwa uchaguzi mmoja ukiisha ujipange kwa mwengine.
siyo dhambi kutafuta kura
Huna aibu wewe. Kazi anayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yake. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️
Wewe kweli joseph majinga
Mpumbavu mkubwa