MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ย. 2023
- MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...
Katika Bunge lililomalizika hivi karibuni ambalo lilipata fursa ya kujadili kuhusu madudu ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Mbunge wa Jimbo la Kisesa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhaga Joelson Mpina alikuwa mkali mno akitaka hatua kadha wa kadha zichukuliwa na wale wote wanahusika katika ubadhirifu, ufisadi na wizi wa fedha na mali za umma.
Mpina alikwenda mbali zaidi akimtaka Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa wafunguliwe mashataka ya uhujumu uchumi akidai wamefanya ubadhirifu katika mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), roti ya tatu na nne.
\
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Mzalendo na datazake hazina mashaka Mungu aendelee kukulinda Shujaa wetu👏
Mpina mungu akubariki sana kwakuse ukweli mtupu ujumbe umefika 👍
Kwanini useme anahoji kwakuwa amekosa uwaziri.Hayo niyako sisi tunamtambua kama mzalendo na mpigania ukweli
yasni haw watu wanaiba halafu wanatuletea hoja dhaifu at ameachwa washenzi sana
Mchonganishi huyu
@@alphadreammedia Mchonganishi Wa Nini?Kwa Nini Watanzania Hamtaki Ukweli?Mtakuta Makao Yenu Kule Mbinguni.
Ndio ni kweli kwa kuwa kakosa uwaziri, unaona kabisa kuwa hata kama hoja zake zina tija lakini zimejaa hasira na chuki, mbona alipokuwa waziri lugha yake ilikuwatofauti na sasa? Wana siasa joho Lao ni kigeugeu, akipata uwaziri leo atabadilika kama kinyonga.
@@sskondopoleani9616 huyo hajawah kuzingua na kama Kuna sehem alizingua alipokuwa wazir bas ni sheria zetu ziliitaj ivoo😂😂
Kama tungekuwa na wa bunge 10 tu, kama wewe nchi yetu inge enda mbali sana, Mungu akulinde kila wakati
Mzalendo na mpenda haki unatufaa sana, Mungu akulinde.
Ndiye tegemeo kwa sasa
Huyu mwamba amechagua njia ngumu sana kisiasa anahitaji maombi. Viongozi kama hawa ni wachache sana
Kweli
Kiongozi mzr ni yule anayesema ukweli dhidi ya waovu
Napenda sana huyu mpina
Mungu akulinde ruaga mpina usiwe kigeu geu kama msukuma ni mfanya biashara katika siasa
Lugha Mpina ni kiongozi mzalendo na wala haonyeshi kutofurahishwa na kukosa Teuzi Kwasababu yote anayosema kuhusu Mwigulu na wakina Mbarawa ni kweli na yapo wazi. Mwigulu ni jambazi mkubwa sana wa fedha za umma, tangu siku alipoteuliwa mimi sikuwahi kuwa na imani na fedha za Umma mpaka leo na mpaka aondoke kwenye hiyo Sekta.
Yuko vizuri hana uchawa
MWANDISHI INAONESHA BADO RUDI DARASANI TENA ,UNASOMA TAARIFA KAMA CHIZI YANI MTU ASISEME UKWELI ETI ANATOKA CHAMA CHA CCM ,KWANI UKIWA CCM HUTAKIWI KUSEMA UKWELI ? WEWE NA MUHARIRI WAKO WOTE NI MADUNDUKA WATUPU HAMNA KITU KICHWA I ,
Mungu akubariki mpi
Naungana na Nasimama na Mheshimiwa Mpina Kwa namna anavoisimamia na kutekeleza Majukumu yake ya kibunge na hii ndo Inatakiwa kbsaa endelea kutusemea wanyonge na endelea Kwa Kasi zaidi tuko pamoja na ww na tunakuombea Saana
Mh. Mpina ni Mmoja Kizazi cha Mabadiriko, na ambao akili uongoza mdomo, si mdomo kuongoza akili. Labda hatuja zoea aina ya hoja zake, lkn kwann wasomi wa PHD, kumuona tatizo. Elimu itupeleke kwenye ku elimika, Tanzania isipo badirisha namna ya kutenda, hakuna maendeleo tutafikia kwani WAHUNI, WEZI NA WAHUJUMU UCHUMI Watakula ndoto za Watanzania. Mpima you have my support 100%+
Ukiona kiongozi katoka kanda ya ziwa jua mmepata chuma
Msukuma mmepigwa
Ukisema ukweli nchi hii unauwawa, kama wao hao mafisadi hawatakufa, RIP JPM
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mwenyezi mungu yuko pamoja nawe
Nyinyi wa bunge wala msituchanganye kabisa. Alikuwepo bashe aliikalia kooni selikali mwisho wa siku aliteuliwa mpka leo kmyaa? Sasa mpina akipewa uwazili maneno kwisha
Kweli kabisa.
Hawa jamaa hucharuka sana wakiwa hawajateuliwa uwaziri au nafasi yoyote ile serikalini.lakini wakitupiwa fupa kimyaaa wanan'gon'gona hawana habari tena na hao wananchi wanaojidai wanawatetea. Mtaji wa mwanasiasa ni mwananchi asiyejitambua.
Mbona umetoa maelezo tofauti na kichwa cha habari,,,
Ameamua kuukataa ubunge Ili aseme ukweli
Lkn mpaka Sasa hivi wapo nje lkn wananchi wakawaida Ata sindano tu anafungwa
Sabaha mpaka Sasa yupo jela hawa wenginge mbona hawachukuliwi hatua
@@Bikhafijasabaya ameshinda kesi sasa hivi Yuko huru.
Oooh allah tupe mwanga na tupe ulinzi yarabi
Mungu akulinde mpina
Mungu akutangulie
Mpina shikilia hapo hapo, wangonge tunakutefemea msena kweli.
Mzalendo wa kweli LUHAGA MPINA MUNGU AKULINDE
MH:MPINA🔥🔥🔥🔥🧠🧠🧠🧠
Muda Ni mchache ongeza speed kwenye kutoa report hizi
Sio msumari ila ni mtendaji mzur kwa serikali
Kuiushaur serikali ipasavyo unakuwa tena msumari? Mnataka kumchonganisha na serikali
Nilienda korea kusin maendeleo yote yalitokana na kuchukua stern measure ikiwemo kuwanyonga na kuwafilis
Leo korea is very advanced nation
Lets take Action😢
Naona kuwa kiongoz.mkuu na kuchukya legacy ya magufuli kwa baadae chama.changu mupen ushirikiano ana kitu
Mwamba kwel kwel,namfatilia sana
Yani nchi hii watu wakikosa unamtafutia neo pumbavu
Sasa watakamatwaje wakati serikali wote wezi watakamatwa na naniiii
Hamna mwiba hapo .wote wanapika kande Moja .tatizo hamna maamuzi yanayo chukuliwa mtabwata tu mpaka basi
Hakuna hatua zinazo chukuliwa,kama w😢ananchi tufanye nini?kama ni vipigo tunapigwa,Watanzania tunapigwa,watoto wetu wanapewa mkopo wa tsh 200,000/-wa elimu ya juu.hongera Mpina.
Mungu akulinde usirudi nyuma
sio kwamba CCM hakuna viongozi wazuri
nipaletu ukiingia ccm lazima ung'olewe meno
MWANDISHI UNATUKOSEA SANA UNASEMAJE KUA BAADA YA KUKOSA UWAZIRI WHY
Honourable Mpina
HII CHANEL IMEANZA KUKWAMA SADA HUYO BINT JAU SANA
Ni kweli MPINA una machungu Sana na nchi hii (TZ)kuwa makini. Wanaweza kukuua hao mafisadi. Kwa kua, mkuu wa. Nchi hii Tz anasapoti MAFISADI.
Ukiwa na akili nying katikati ya wajinga unaonekana tofauti mungu wetu nyupo
Tunajua amesha msaliti magufuli
Luhaga mpina 🎉🎉🎉
Watanzania wengi niwakusahau shida sana tusipige kura wate tatizo Tanzania wengi niwajinga sana
Umeona eee
Unafaa kua raisi wa miaka inayokuja mungu ni mwema atulinde ili tushuhudie unavyoshinda uraisi wa nchihii
Sawa
Mpina wape ukweli japo mchungu,wakosowe tu
Mpina uko sahihi, but jiunge na akina mbowe, lisu, heche, msigwa, ndo utafariji watu wenye uelewa. Huwezi kumlaumu mchawi wakati unakaa home kwake.
Kwa cheo Chake Cha ubunge na katiba ilivyoo mpina pekee awez kuwafanya chochote Hao mbwaa
Huyo ndiye mpina kijana wa kamanda jpm
Kabsa
Hili lisaut la uyu mdada sku zote linaboa af linaongea hewa
Luhaga Mpina , kamanda wa ukweli wa CCM. MTANZANIA NA MZALENDO WA UKWELI . MPINA TUNAIMANI NA WEWE. KAZA MWENDO KAKA YETU
Uwe unaacha wao waongee
Huyu kama kweli
Ni vibaya kuhoji serikali? Kama mnaona mkimpa uwaziri atanyamaza, mpeni muone kama atanyamaza.
Msema ukweli hatakiwi
Ninachojua TANZANIA haina WAZARENDO😢😢 SIASA NIMCHEZO MCHAFU SANA
Mpina yukosafi
Mpina ndo mbunge pekee yake Kwa bunge hili la serikali ya mtu anayeitwa mama wengine wote ni Chawa tu wa huyo mama
Kwenye bunge la sasa Tunaye wabunge wachache tu hasa mpina ndiye mbunge pekee na mzalendo
Mungu mlinde mpina
Mpina sio mnafiki hata kdg. Huyu akipata urais watamtambua wazembe. Magu akasome kwa Mpina
Anaongea ukweli sio kuficha mambo ya ma ccm
Tengua kauli, sio baada ya kuachwa bali Mpina ni Mzalendo
😂😂😂😂😂
3:36 anatombwa huyo
Anapata ujasiri kwa kuwa anasema ukweli
Huyu anafaa❤
Huyo ndo mbunge halisi,anayesimamia maslahi ya uma,sio maslahi ya viongizi.
Mwenyewe nashangaa kuona viongozi wabathiru Bado wapo mtaani wanakula Bata.
Viongozi wengi ni chawa!
Tuwe na watu Kama Mpina inchi ya TANZANIA itsnyooka.
Huyubndio kiongozi Sasa sio wanao sema Kila siku nikusifia tu ukweli ubaki kua ukweri mpina nikiongozi bola
Ye mwenyewe mwizi
Huyu jamaa hagombanii uwaziri ... Ni mzalendo tu
Kiongozi mjasili
Umegeuka samaki walana wao kwa wao
Mzalendo wa kweli haogopi
Mhesima mpina ni mzalendo wa nchi hii
Hao akinamsukuma ndiyo aliyowasema makonda kuwa kwamagu walijifanya kuwa upandewake alipoondoka wakageukia kwahuyu aliyepo wshivi niwafanyabiashara kama ulivyosema anatuaibisha wasukuma hatuko hivyo hatuna tamaa,pili tunamachungu nanchi nahuruma pia
mpina bba
Wakomeshe usiwaogope Mawaziri mwizi Mkubwa Nchemba
Siku aliteuliwa mwigulu nilisema mama amefeli kbs sasa msitefyte mchawi mwingine mwigulu na January nape mbarawa
Mpina hoyeeeee
Mwiguru ni mwizi anatamaa na uraisi
DADA WW NI MWANDISHI MJINGA WHY UNAMRISHA MANENO KUWA ANAHOJI KWAKUWA KAKOSA UTEUZI,HV NYIE WANDISHI WA BONGO MBONA MNAKUWA MACHAWA BADALA YA KUMSIFU KWA UJASIRI WA KUHOJI JUUU YA KODI ZETU WANYONGE,UNAONGEA UJINGA KUHUSU TEUZI HEBU KUWEMI DIRECT
Ipo siku mungu atashuka kuiongoza Tanzania ipo siku tu,
Au bas
Luhanga pina
Mbona mnakosa ubunifu? Mnatuletea mambo ambayo ni kiporo halafu mnategemea mfanikiwe! Acheni uvivi wa kufikiri jamanini. Mshereheshaji hata Kiswahili chenyewe hajui. Tanzania tutaendelea kupotea kwenye maendeleo na medani zake.
Hawa viongozi ni wachache sana kama Sokoine Mrema hadi Magu
Mkweli apendwe na walarushwa, Mawaziri mzingo Nape, Mchemba, Makamba wabinafsi
Mh, mbunge wetu mpina endereeni hivyo hivyo MUNGU yupo na wewe na kwa sababu watanzania tunakuombea
Huyu ndo anafaa sasa nipo chadema lakin huyu mwamba san
1 Mwiguru Mchemba
2 January Makamba
3 Nape Nauye
Kwa kweli hao watu ...,...,..
Mungu ainggilie kati.
Saiz bunge limebaki la kupiga meza amulud tena nyie
No
Mpina anatakiwa awe rais Tanzania❤
Stupid
We Mwigulu wew unapendwa wap baba??????
Ila anahoji kwa kuwa hajapata teuzi hivi mwandishi unaelewa kazi yako kweli?
Au unaona Watanzania millions 60 hatuna akili?
Please please jitafakarini kwanza kabla hamjaleta ripoti zenu kqenye media sijapenda
Nakupa elimu kuanzia Leo kazi ya Mbunge ni kuhoji serikali lakini ukiteuliwa na kuwa Waziri wewe ni sehemu ya serikali, kazi yako sio kuhoji tena unatakiwa ujibu hoja za wabunge. Anachofanya Sasa hivi ni sahihi. Tatizo hapa wengi wanapenda Ukiteuliwa uendelee kuhoji, Sasa unamhoji nani badala ya kutekeleza kazi ulizopewa.
@@augustinejobmkongwa7599 upo sahihi na huo ndio mtizamo wangu pia
Kwanza ni fundi pili anajua