MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ย. 2023
  • MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...
    Katika Bunge lililomalizika hivi karibuni ambalo lilipata fursa ya kujadili kuhusu madudu ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Mbunge wa Jimbo la Kisesa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhaga Joelson Mpina alikuwa mkali mno akitaka hatua kadha wa kadha zichukuliwa na wale wote wanahusika katika ubadhirifu, ufisadi na wizi wa fedha na mali za umma.
    Mpina alikwenda mbali zaidi akimtaka Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa wafunguliwe mashataka ya uhujumu uchumi akidai wamefanya ubadhirifu katika mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), roti ya tatu na nne.
    \
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 149

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 หลายเดือนก่อน +10

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 8 หลายเดือนก่อน +23

    Mzalendo na datazake hazina mashaka Mungu aendelee kukulinda Shujaa wetu👏

  • @chadogsichela3528
    @chadogsichela3528 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mpina mungu akubariki sana kwakuse ukweli mtupu ujumbe umefika 👍

  • @onesmomalifedha4709
    @onesmomalifedha4709 8 หลายเดือนก่อน +38

    Kwanini useme anahoji kwakuwa amekosa uwaziri.Hayo niyako sisi tunamtambua kama mzalendo na mpigania ukweli

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 8 หลายเดือนก่อน +1

      yasni haw watu wanaiba halafu wanatuletea hoja dhaifu at ameachwa washenzi sana

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia 8 หลายเดือนก่อน

      Mchonganishi huyu

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 8 หลายเดือนก่อน +2

      @@alphadreammedia Mchonganishi Wa Nini?Kwa Nini Watanzania Hamtaki Ukweli?Mtakuta Makao Yenu Kule Mbinguni.

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio ni kweli kwa kuwa kakosa uwaziri, unaona kabisa kuwa hata kama hoja zake zina tija lakini zimejaa hasira na chuki, mbona alipokuwa waziri lugha yake ilikuwatofauti na sasa? Wana siasa joho Lao ni kigeugeu, akipata uwaziri leo atabadilika kama kinyonga.

    • @fedealfred5385
      @fedealfred5385 6 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@sskondopoleani9616 huyo hajawah kuzingua na kama Kuna sehem alizingua alipokuwa wazir bas ni sheria zetu ziliitaj ivoo😂😂

  • @juliusmhelo
    @juliusmhelo หลายเดือนก่อน +7

    Kama tungekuwa na wa bunge 10 tu, kama wewe nchi yetu inge enda mbali sana, Mungu akulinde kila wakati

  • @ignasmwamwenda3154
    @ignasmwamwenda3154 8 หลายเดือนก่อน +9

    Mzalendo na mpenda haki unatufaa sana, Mungu akulinde.

  • @mlyambisipaul8399
    @mlyambisipaul8399 8 หลายเดือนก่อน +16

    Ndiye tegemeo kwa sasa

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 3 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu mwamba amechagua njia ngumu sana kisiasa anahitaji maombi. Viongozi kama hawa ni wachache sana

  • @francismlembwa2733
    @francismlembwa2733 8 หลายเดือนก่อน +15

    Kiongozi mzr ni yule anayesema ukweli dhidi ya waovu

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 8 หลายเดือนก่อน +11

    Napenda sana huyu mpina

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akulinde ruaga mpina usiwe kigeu geu kama msukuma ni mfanya biashara katika siasa

  • @fadhilikombe3338
    @fadhilikombe3338 8 หลายเดือนก่อน +3

    Lugha Mpina ni kiongozi mzalendo na wala haonyeshi kutofurahishwa na kukosa Teuzi Kwasababu yote anayosema kuhusu Mwigulu na wakina Mbarawa ni kweli na yapo wazi. Mwigulu ni jambazi mkubwa sana wa fedha za umma, tangu siku alipoteuliwa mimi sikuwahi kuwa na imani na fedha za Umma mpaka leo na mpaka aondoke kwenye hiyo Sekta.

  • @tolatinofaustine
    @tolatinofaustine 8 หลายเดือนก่อน +5

    Yuko vizuri hana uchawa

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 8 หลายเดือนก่อน +4

    MWANDISHI INAONESHA BADO RUDI DARASANI TENA ,UNASOMA TAARIFA KAMA CHIZI YANI MTU ASISEME UKWELI ETI ANATOKA CHAMA CHA CCM ,KWANI UKIWA CCM HUTAKIWI KUSEMA UKWELI ? WEWE NA MUHARIRI WAKO WOTE NI MADUNDUKA WATUPU HAMNA KITU KICHWA I ,

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupoja 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubariki mpi

  • @reubendofu1760
    @reubendofu1760 8 หลายเดือนก่อน +4

    Naungana na Nasimama na Mheshimiwa Mpina Kwa namna anavoisimamia na kutekeleza Majukumu yake ya kibunge na hii ndo Inatakiwa kbsaa endelea kutusemea wanyonge na endelea Kwa Kasi zaidi tuko pamoja na ww na tunakuombea Saana

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mh. Mpina ni Mmoja Kizazi cha Mabadiriko, na ambao akili uongoza mdomo, si mdomo kuongoza akili. Labda hatuja zoea aina ya hoja zake, lkn kwann wasomi wa PHD, kumuona tatizo. Elimu itupeleke kwenye ku elimika, Tanzania isipo badirisha namna ya kutenda, hakuna maendeleo tutafikia kwani WAHUNI, WEZI NA WAHUJUMU UCHUMI Watakula ndoto za Watanzania. Mpima you have my support 100%+

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or หลายเดือนก่อน +3

    Ukiona kiongozi katoka kanda ya ziwa jua mmepata chuma

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ukisema ukweli nchi hii unauwawa, kama wao hao mafisadi hawatakufa, RIP JPM

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 25 วันที่ผ่านมา

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p 21 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezi mungu yuko pamoja nawe

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nyinyi wa bunge wala msituchanganye kabisa. Alikuwepo bashe aliikalia kooni selikali mwisho wa siku aliteuliwa mpka leo kmyaa? Sasa mpina akipewa uwazili maneno kwisha

    • @Jambo693
      @Jambo693 8 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa.
      Hawa jamaa hucharuka sana wakiwa hawajateuliwa uwaziri au nafasi yoyote ile serikalini.lakini wakitupiwa fupa kimyaaa wanan'gon'gona hawana habari tena na hao wananchi wanaojidai wanawatetea. Mtaji wa mwanasiasa ni mwananchi asiyejitambua.

  • @charlesrwabutaza2551
    @charlesrwabutaza2551 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona umetoa maelezo tofauti na kichwa cha habari,,,

  • @jitihadazacharia8890
    @jitihadazacharia8890 8 หลายเดือนก่อน +6

    Ameamua kuukataa ubunge Ili aseme ukweli

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 8 หลายเดือนก่อน +1

      Lkn mpaka Sasa hivi wapo nje lkn wananchi wakawaida Ata sindano tu anafungwa

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 8 หลายเดือนก่อน +1

      Sabaha mpaka Sasa yupo jela hawa wenginge mbona hawachukuliwi hatua

    • @anosiata8242
      @anosiata8242 8 หลายเดือนก่อน

      @@Bikhafijasabaya ameshinda kesi sasa hivi Yuko huru.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 26 วันที่ผ่านมา

    Oooh allah tupe mwanga na tupe ulinzi yarabi

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde mpina

  • @daudimabumba2887
    @daudimabumba2887 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutangulie

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mpina shikilia hapo hapo, wangonge tunakutefemea msena kweli.

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mzalendo wa kweli LUHAGA MPINA MUNGU AKULINDE

  • @manaxelukama2926
    @manaxelukama2926 หลายเดือนก่อน

    MH:MPINA🔥🔥🔥🔥🧠🧠🧠🧠

  • @ejfilm2118
    @ejfilm2118 27 วันที่ผ่านมา

    Muda Ni mchache ongeza speed kwenye kutoa report hizi

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 8 หลายเดือนก่อน

    Sio msumari ila ni mtendaji mzur kwa serikali
    Kuiushaur serikali ipasavyo unakuwa tena msumari? Mnataka kumchonganisha na serikali
    Nilienda korea kusin maendeleo yote yalitokana na kuchukua stern measure ikiwemo kuwanyonga na kuwafilis
    Leo korea is very advanced nation
    Lets take Action😢
    Naona kuwa kiongoz.mkuu na kuchukya legacy ya magufuli kwa baadae chama.changu mupen ushirikiano ana kitu

  • @obadiahnkwale124
    @obadiahnkwale124 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba kwel kwel,namfatilia sana

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 8 หลายเดือนก่อน +2

    Yani nchi hii watu wakikosa unamtafutia neo pumbavu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa watakamatwaje wakati serikali wote wezi watakamatwa na naniiii

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hamna mwiba hapo .wote wanapika kande Moja .tatizo hamna maamuzi yanayo chukuliwa mtabwata tu mpaka basi

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 8 หลายเดือนก่อน

      Hakuna hatua zinazo chukuliwa,kama w😢ananchi tufanye nini?kama ni vipigo tunapigwa,Watanzania tunapigwa,watoto wetu wanapewa mkopo wa tsh 200,000/-wa elimu ya juu.hongera Mpina.

  • @user-uq2gn8xr4v
    @user-uq2gn8xr4v 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde usirudi nyuma

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n 18 วันที่ผ่านมา

    sio kwamba CCM hakuna viongozi wazuri
    nipaletu ukiingia ccm lazima ung'olewe meno

  • @mcjackpettydady9435
    @mcjackpettydady9435 8 หลายเดือนก่อน +1

    MWANDISHI UNATUKOSEA SANA UNASEMAJE KUA BAADA YA KUKOSA UWAZIRI WHY

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 หลายเดือนก่อน

    Honourable Mpina

  • @joelandekile3933
    @joelandekile3933 2 หลายเดือนก่อน +1

    HII CHANEL IMEANZA KUKWAMA SADA HUYO BINT JAU SANA

  • @user-jm7fh9ey5y
    @user-jm7fh9ey5y 10 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli MPINA una machungu Sana na nchi hii (TZ)kuwa makini. Wanaweza kukuua hao mafisadi. Kwa kua, mkuu wa. Nchi hii Tz anasapoti MAFISADI.

  • @georgeamry7545
    @georgeamry7545 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiwa na akili nying katikati ya wajinga unaonekana tofauti mungu wetu nyupo

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 8 หลายเดือนก่อน +1

    Tunajua amesha msaliti magufuli

  • @DicksonJaphet-fq7ov
    @DicksonJaphet-fq7ov หลายเดือนก่อน

    Luhaga mpina 🎉🎉🎉

  • @user-py5wl5kp9g
    @user-py5wl5kp9g 8 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania wengi niwakusahau shida sana tusipige kura wate tatizo Tanzania wengi niwajinga sana

  • @DaviesKwiyeya
    @DaviesKwiyeya 8 หลายเดือนก่อน

    Unafaa kua raisi wa miaka inayokuja mungu ni mwema atulinde ili tushuhudie unavyoshinda uraisi wa nchihii

  • @SaidyNassoro-be7gj
    @SaidyNassoro-be7gj หลายเดือนก่อน

    Sawa

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpina wape ukweli japo mchungu,wakosowe tu

  • @chezariboy
    @chezariboy 8 หลายเดือนก่อน

    Mpina uko sahihi, but jiunge na akina mbowe, lisu, heche, msigwa, ndo utafariji watu wenye uelewa. Huwezi kumlaumu mchawi wakati unakaa home kwake.

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 8 หลายเดือนก่อน

    Kwa cheo Chake Cha ubunge na katiba ilivyoo mpina pekee awez kuwafanya chochote Hao mbwaa

  • @furahinimbise7969
    @furahinimbise7969 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo ndiye mpina kijana wa kamanda jpm

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hili lisaut la uyu mdada sku zote linaboa af linaongea hewa

  • @stephenbasso6512
    @stephenbasso6512 8 หลายเดือนก่อน

    Luhaga Mpina , kamanda wa ukweli wa CCM. MTANZANIA NA MZALENDO WA UKWELI . MPINA TUNAIMANI NA WEWE. KAZA MWENDO KAKA YETU

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uwe unaacha wao waongee

  • @GeofreySenka
    @GeofreySenka หลายเดือนก่อน

    Huyu kama kweli

  • @nathanielmkuki3048
    @nathanielmkuki3048 8 หลายเดือนก่อน

    Ni vibaya kuhoji serikali? Kama mnaona mkimpa uwaziri atanyamaza, mpeni muone kama atanyamaza.

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 หลายเดือนก่อน

    Msema ukweli hatakiwi

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 หลายเดือนก่อน

    Ninachojua TANZANIA haina WAZARENDO😢😢 SIASA NIMCHEZO MCHAFU SANA

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mpina yukosafi

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 8 หลายเดือนก่อน

    Mpina ndo mbunge pekee yake Kwa bunge hili la serikali ya mtu anayeitwa mama wengine wote ni Chawa tu wa huyo mama

  • @danielkanso
    @danielkanso หลายเดือนก่อน

    Kwenye bunge la sasa Tunaye wabunge wachache tu hasa mpina ndiye mbunge pekee na mzalendo

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu mlinde mpina

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 หลายเดือนก่อน

    Mpina sio mnafiki hata kdg. Huyu akipata urais watamtambua wazembe. Magu akasome kwa Mpina

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 8 หลายเดือนก่อน

    Anaongea ukweli sio kuficha mambo ya ma ccm

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 8 หลายเดือนก่อน +7

    Tengua kauli, sio baada ya kuachwa bali Mpina ni Mzalendo

    • @aud548
      @aud548 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @Hasnspop
      @Hasnspop 8 หลายเดือนก่อน

      3:36 anatombwa huyo

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 3 หลายเดือนก่อน

    Anapata ujasiri kwa kuwa anasema ukweli

  • @user-oc2ul4lk4g
    @user-oc2ul4lk4g 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu anafaa❤

  • @williambukuku3493
    @williambukuku3493 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo ndo mbunge halisi,anayesimamia maslahi ya uma,sio maslahi ya viongizi.

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 8 หลายเดือนก่อน

    Mwenyewe nashangaa kuona viongozi wabathiru Bado wapo mtaani wanakula Bata.

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 3 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wengi ni chawa!

  • @severinimkini4116
    @severinimkini4116 8 หลายเดือนก่อน

    Tuwe na watu Kama Mpina inchi ya TANZANIA itsnyooka.

  • @thobiasmasabile-cw9xo
    @thobiasmasabile-cw9xo 8 หลายเดือนก่อน

    Huyubndio kiongozi Sasa sio wanao sema Kila siku nikusifia tu ukweli ubaki kua ukweri mpina nikiongozi bola

  • @peterkibiriti5601
    @peterkibiriti5601 3 หลายเดือนก่อน

    Ye mwenyewe mwizi

  • @juliokid9217
    @juliokid9217 14 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa hagombanii uwaziri ... Ni mzalendo tu

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kiongozi mjasili

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 3 หลายเดือนก่อน

    Umegeuka samaki walana wao kwa wao

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 8 หลายเดือนก่อน

    Mzalendo wa kweli haogopi

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb หลายเดือนก่อน

    Mhesima mpina ni mzalendo wa nchi hii

  • @user-zd3ds6vt7u
    @user-zd3ds6vt7u 7 หลายเดือนก่อน

    Hao akinamsukuma ndiyo aliyowasema makonda kuwa kwamagu walijifanya kuwa upandewake alipoondoka wakageukia kwahuyu aliyepo wshivi niwafanyabiashara kama ulivyosema anatuaibisha wasukuma hatuko hivyo hatuna tamaa,pili tunamachungu nanchi nahuruma pia

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope 2 หลายเดือนก่อน

    mpina bba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 หลายเดือนก่อน

    Wakomeshe usiwaogope Mawaziri mwizi Mkubwa Nchemba

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 8 หลายเดือนก่อน

    Siku aliteuliwa mwigulu nilisema mama amefeli kbs sasa msitefyte mchawi mwingine mwigulu na January nape mbarawa

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 8 หลายเดือนก่อน

    Mpina hoyeeeee

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 8 หลายเดือนก่อน

    Mwiguru ni mwizi anatamaa na uraisi

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 8 หลายเดือนก่อน

    DADA WW NI MWANDISHI MJINGA WHY UNAMRISHA MANENO KUWA ANAHOJI KWAKUWA KAKOSA UTEUZI,HV NYIE WANDISHI WA BONGO MBONA MNAKUWA MACHAWA BADALA YA KUMSIFU KWA UJASIRI WA KUHOJI JUUU YA KODI ZETU WANYONGE,UNAONGEA UJINGA KUHUSU TEUZI HEBU KUWEMI DIRECT

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 8 หลายเดือนก่อน

    Ipo siku mungu atashuka kuiongoza Tanzania ipo siku tu,

    • @nyerere1259
      @nyerere1259 8 หลายเดือนก่อน

      Au bas

  • @user-jl1rw6ij7j
    @user-jl1rw6ij7j หลายเดือนก่อน

    Luhanga pina

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona mnakosa ubunifu? Mnatuletea mambo ambayo ni kiporo halafu mnategemea mfanikiwe! Acheni uvivi wa kufikiri jamanini. Mshereheshaji hata Kiswahili chenyewe hajui. Tanzania tutaendelea kupotea kwenye maendeleo na medani zake.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa viongozi ni wachache sana kama Sokoine Mrema hadi Magu

  • @ClementLushino
    @ClementLushino 2 หลายเดือนก่อน

    Mkweli apendwe na walarushwa, Mawaziri mzingo Nape, Mchemba, Makamba wabinafsi

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 8 หลายเดือนก่อน

    Mh, mbunge wetu mpina endereeni hivyo hivyo MUNGU yupo na wewe na kwa sababu watanzania tunakuombea

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndo anafaa sasa nipo chadema lakin huyu mwamba san

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 2 หลายเดือนก่อน +1

    1 Mwiguru Mchemba
    2 January Makamba
    3 Nape Nauye
    Kwa kweli hao watu ...,...,..
    Mungu ainggilie kati.

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani 23 วันที่ผ่านมา

    Saiz bunge limebaki la kupiga meza amulud tena nyie

  • @ElizabethSanga-yy7oc
    @ElizabethSanga-yy7oc 8 หลายเดือนก่อน

    No

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 หลายเดือนก่อน

    Mpina anatakiwa awe rais Tanzania❤

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 หลายเดือนก่อน

    We Mwigulu wew unapendwa wap baba??????

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 8 หลายเดือนก่อน +4

    Ila anahoji kwa kuwa hajapata teuzi hivi mwandishi unaelewa kazi yako kweli?
    Au unaona Watanzania millions 60 hatuna akili?
    Please please jitafakarini kwanza kabla hamjaleta ripoti zenu kqenye media sijapenda

    • @augustinejobmkongwa7599
      @augustinejobmkongwa7599 8 หลายเดือนก่อน

      Nakupa elimu kuanzia Leo kazi ya Mbunge ni kuhoji serikali lakini ukiteuliwa na kuwa Waziri wewe ni sehemu ya serikali, kazi yako sio kuhoji tena unatakiwa ujibu hoja za wabunge. Anachofanya Sasa hivi ni sahihi. Tatizo hapa wengi wanapenda Ukiteuliwa uendelee kuhoji, Sasa unamhoji nani badala ya kutekeleza kazi ulizopewa.

    • @godlovemrosso5973
      @godlovemrosso5973 8 หลายเดือนก่อน

      @@augustinejobmkongwa7599 upo sahihi na huo ndio mtizamo wangu pia

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 8 หลายเดือนก่อน

    Kwanza ni fundi pili anajua