Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • HAYA HAPA MATUKIO MATANO YALIYOTIKISA KATIKA MKUTANO WA JPM NA WAFANYABIASHARA
    June 7, 2019 ilikuwa ni siku ya tofauti sana kwa wafanyabiashara nchini ikiwa ni baada ya Rais Magufuli kuamua kukutana nao Iku,lu jijini DaR ES Salaam kwaajili yakufanya mazungumzo huku kipaumbele kikiwa ni kusikiliza kero zao.
    Kama ilivyokuwa Ada mazungumzo hayo yalikwenda salama salmini ndani ya masaa 9 Rais Jpm na baadhi ya wafanyabiashara walioziwakilisha Halmashauri zao walikuwa na wakati mzuri kweli kweli kwaajili yakuhakikisha mambo yanakwenda sawa katika biashara zao pamoja na maslahi ya nchi kwa upande wa kodi.
    MTAZAMAJI HAPA NIMEKUANDALIA MATUKIO MA5 YALIYOTIKISA KATIKA MKUTANO WA JPM NA WAFANYABIASHARA
    Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
    GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

ความคิดเห็น • 409

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 ปีที่แล้ว +56

    Sio siri nimpenda sana magu lakni allah amupenda zaidi😭😭

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 3 ปีที่แล้ว +2

      Mimi Rafiki Yangu Alinipigia Simu Usiku Kama saa 23:30 Ananiambia kwamba JPM wetu Mzalendo Amefariki dah roho iliniuma Sana to be Honest Nililia Sana , Durban Yaan Wacongoman na Waburudi wanatuheshimu Sana Kwa sababu Ya JPM Na vitu Vya Maendeleo anayoyafany a Hapa Nchini Kwetu Tanzania

    • @clinton3168
      @clinton3168 2 ปีที่แล้ว +1

      Nani kasema Alla alimoenda zaid

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 3 ปีที่แล้ว +300

    Like kwa tunao rudia kuangalia hotuba za JPM

    • @malimarobert8698
      @malimarobert8698 3 ปีที่แล้ว +2

      Na Mimi pia nagalia mikutano ya jpm

    • @messihenry9431
      @messihenry9431 3 ปีที่แล้ว +3

      Vlb

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 ปีที่แล้ว

      @@messihenry9431 magu mwendazake mjinga tu hao hao wanaishi kama malaika yeye atawashusha waishi kama mashetani.
      Sasa hapo anajiosha dikteta huyo marehemu.

    • @raymondjohn1876
      @raymondjohn1876 3 ปีที่แล้ว +3

      Magufuli nilaisi wakipekeeeee🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

    • @dianaelias517
      @dianaelias517 3 ปีที่แล้ว +1

      Milo usituletee chuki zako za kibwege,uliku mwiz,au ulitumbuliwa au vyeti fake

  • @rajabmahungu9493
    @rajabmahungu9493 2 ปีที่แล้ว +8

    This is very fantastic ofcourse you was born to lead go baba is our daily song God paradise u

  • @RuttaJames-kh5jx
    @RuttaJames-kh5jx 8 หลายเดือนก่อน +36

    2024 wangapi tunaenderea kumucheki mzee

  • @moshikilimanjaro5660
    @moshikilimanjaro5660 5 ปีที่แล้ว +61

    " Mungu akulinde baba, na kukutunza ukweli utabaki kuwa kweli, Mungu ibaraki Tanzania.

    • @sharifasaid4068
      @sharifasaid4068 5 ปีที่แล้ว

      Fatima. Karum

    • @merryjulius4098
      @merryjulius4098 5 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @zahrasaleem4259
      @zahrasaleem4259 3 ปีที่แล้ว

      Amin yarabi amin mungu atuekee mtetezi wetu

    • @barakawabuge5285
      @barakawabuge5285 3 ปีที่แล้ว +1

      Inna lilahi wa inna ilahi rajiun.. Nlimpenda sanaa Magu toka kenya hadi wa leo sijarecover

  • @princessagy1552
    @princessagy1552 3 ปีที่แล้ว +24

    I'm really going to miss JPM..mchapa kazi

    • @paulondiek1345
      @paulondiek1345 3 ปีที่แล้ว +2

      I miss him already

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 3 ปีที่แล้ว

      @@paulondiek1345 Asante sana Ndugu Yangu comment Yako tuu lnaonyesha Tu wewe Mzalendo

  • @emmabroy1209
    @emmabroy1209 3 ปีที่แล้ว +21

    Ama kweli MUNGU atabaki kuitwa MUNGU milele na milele raisi wangu nilikupenda sana na ndani ya miaka niliopo duniani nilikua nikitamani kuwa na raisi Kama huyu ambae anaipenda nchi na watu wake wote ila hatuna la kusema maana upendo wetu kwako imedhihilika Ila MUNGU kakupenda zaidi pumzika salama Nam Kama mwanaichi wa kawaida nilioko duniani nahidi kufuata nyayo zako za kumtegemea MUNGU pumzika salama Baba

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 ปีที่แล้ว +41

    Huyu mzee kaniacha hoi. Eti wanagawana kama wamechanga wow! Hii kali.

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 5 ปีที่แล้ว +59

    @MagufuliJP. Hongera Sana Kazi unayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yako. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️

    • @uepbuburundi2288
      @uepbuburundi2288 3 ปีที่แล้ว

      viswer

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 ปีที่แล้ว

      @@uepbuburundi2288 wacha akajibu mashtaka mbele ya Mungu huko ahera dikteta huyo.

  • @MoN_KaDO
    @MoN_KaDO 3 ปีที่แล้ว +38

    Wangapi tumerudia kumuangalia Hayati magufuli? R.I.P BABA

    • @shinguhunge9177
      @shinguhunge9177 ปีที่แล้ว

      Selikar hii sichoki kuisikiliza yaani nahisi bado inaongoza

    • @Adamally-k4d
      @Adamally-k4d 4 หลายเดือนก่อน

      Sichokagi kumskiliza na kummombea.
      Mwenyezimungu akustirie mazambi yako huko ulipo🙏🏿
      Na akulindie familia yako.🙏🏿

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 ปีที่แล้ว +32

    Dada nimeisikiliza yote yaani umesummerize vizuri sanaa

  • @godwin5884
    @godwin5884 2 ปีที่แล้ว +23

    Still watching R I P FATHER

  • @angelthomas7290
    @angelthomas7290 5 ปีที่แล้ว +12

    Mungu akulinde Rais wetu

  • @restitutalucia9009
    @restitutalucia9009 2 ปีที่แล้ว +6

    Inaumiza sana kuangalia. President of my life eti.

  • @timothysamweli8808
    @timothysamweli8808 3 ปีที่แล้ว +21

    Still watching in 2021 march, from U.K REST IN POWER JPM

  • @hamadnganzo7761
    @hamadnganzo7761 5 ปีที่แล้ว +24

    Tanzania ilichelewa sana kumpata Rais wa aina hii.Wafujaji watamkoma Msukuma huyu.

  • @kibiritikisuj228
    @kibiritikisuj228 5 ปีที่แล้ว +7

    Mungu Akubariki Mh.JPM

  • @edigamwagala7463
    @edigamwagala7463 5 ปีที่แล้ว +33

    Beautiful ones are born in Tz. Magufuli is beautful one

    • @reubenbusanji2904
      @reubenbusanji2904 5 ปีที่แล้ว +3

      Ediga Mwagala handsome not beautiful

    • @mawazomawazo959
      @mawazomawazo959 5 ปีที่แล้ว +2

      Wabunge hawana jipya,zaidi yavijembe. Wafanyabishara oyee.

    • @fredchuwa8445
      @fredchuwa8445 2 ปีที่แล้ว +1

      TUTA KUKUMBUKA SANA JPM

  • @felicianluvanda9672
    @felicianluvanda9672 5 ปีที่แล้ว +5

    Lukuvi hakika ni mtu mmoja afanyaye kazi nzuri mno....wengine baadhi nishida kwa mzee wetu.....msukuma ni balaaa nawenzio hao wanajikanyaga kanyaga tu hoja hazipo na mzee anataka changamoto wao ni hoi daaaaaaaaa! Kwakweli mzee pressure lazima aje apate

    • @lindameibaku939
      @lindameibaku939 ปีที่แล้ว

      Naumia Sana mpaka Sasa. Jpm ulikuwa mtetezi wa watanzani. Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @mosesedwardmagembe9657
    @mosesedwardmagembe9657 3 ปีที่แล้ว +8

    Baba! Tutakukumbuka daima.

  • @mr.remedy2128
    @mr.remedy2128 5 ปีที่แล้ว +19

    JPM RESPECT

  • @kabaiyukyasnider6797
    @kabaiyukyasnider6797 4 ปีที่แล้ว +12

    Uyu mzee Mahenge yuko innocent sana, 😂😂😂😂😂 kutoa rushwa tunatoa😂😂😂

  • @ernestsaguti6690
    @ernestsaguti6690 5 ปีที่แล้ว +12

    Hapa ndio nimesikia ukweli kutoka moyoni. Tukienda hivi nchi hii itaenda.

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 ปีที่แล้ว +16

    Asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @lameckkamana122
    @lameckkamana122 5 ปีที่แล้ว +11

    Mwadishi taarifa yako umeipanga vizuri sana.

  • @Mrpromotiongroup
    @Mrpromotiongroup 8 หลายเดือนก่อน +4

    2024 watching. Magufuli

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 5 ปีที่แล้ว +6

    huyu wa mbeya kiboko. asante kwaukweli wako wote. barikiwa

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akusamehe sana magufuri history yako ni vigumu sana kufutika ulikuwa rais wa mfano africa nzima na hata tokea wa aina yako

  • @nshomamayungu2326
    @nshomamayungu2326 5 ปีที่แล้ว +11

    Jamani mungu akupe maisha marefu sana baba yetu magufuri

  • @edwardmdee5669
    @edwardmdee5669 3 ปีที่แล้ว +3

    I love you Daddy mh John Joseph pombe magufuri

  • @mudykisangi8926
    @mudykisangi8926 5 ปีที่แล้ว +21

    Raisi anajitahidi kuwa krb na wananchi/ wafanyabiashara lkn wasaidizi wake kenge KBS.
    Hongera mh. Lukuvi uko vzr

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 5 ปีที่แล้ว +12

    Mh Raisi bora ukutane na hawa wafanya biashara mara kwa Mara, hii ni zaidi ya bunge hawa wanatoa ya moyoni

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 3 ปีที่แล้ว +7

    Kwa kweli kila ninapo isikia sauti ya mwamba wetu jpm machozi yananitoka tu hadi leo hii amejaa kwenye ufaham wangu haaaa RIp baba nitakukumbuka daima.

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 5 ปีที่แล้ว +18

    Huyu rais the best in world!!

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 ปีที่แล้ว +39

    Hahaha. Huyu magu wakati mwingine huniacha hoi

    • @olosokwaniolosokwani4800
      @olosokwaniolosokwani4800 4 ปีที่แล้ว +4

      Mungu akubariki sana rais wetu wa jamuhuri wa muungano wa tanzania mungu akubariki udumu miaka 300 nakupenda sana unapo simamia haki ya wanainchi wako ubarikiwe sana

    • @olosokwaniolosokwani4800
      @olosokwaniolosokwani4800 4 ปีที่แล้ว

      L

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 4 ปีที่แล้ว +3

      Yaani mimi ananimalizaga utadhani comedian 🤣🤣🤣🤣

  • @sadickathuman8068
    @sadickathuman8068 3 ปีที่แล้ว +12

    Kama unangali 2021 sema r l p

  • @gracegaspal1167
    @gracegaspal1167 3 ปีที่แล้ว +4

    Samia hakia ya Mungu mikutano yake sijui km atapata watu wengi hivi.

  • @gerardyoung1707
    @gerardyoung1707 4 ปีที่แล้ว +4

    Magu nampenda sana

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 3 ปีที่แล้ว +19

    The true leader of Africa, R.I.P JPM 😪😭

  • @vedastusukovzrmrnaykiyoger5978
    @vedastusukovzrmrnaykiyoger5978 5 ปีที่แล้ว +6

    utasikia mengi sana, yapo mengi huku chini

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 ปีที่แล้ว +25

    Napenda hoja za msukuma . Akitoa hoja hadi raha. Yuko vizuri yani hoja zake ziko nkoki.

    • @raymondjohn1876
      @raymondjohn1876 3 ปีที่แล้ว +1

      Nikama yukohai daaaaaa inauma saana😭😭😭😭😭😭

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 5 ปีที่แล้ว +16

    Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bofu

  • @تاتوجمعه
    @تاتوجمعه 3 ปีที่แล้ว +7

    Mungu amlaze mahali pema peponi😭😭

  • @salehemkomwa4400
    @salehemkomwa4400 5 ปีที่แล้ว +37

    tuongoze miaka 30 mambo yatanyooka

    • @DrFatmaKhanPanAfrikan
      @DrFatmaKhanPanAfrikan 5 ปีที่แล้ว +8

      Pamoja sana!!!👍🏽👍🏽👍🏽 Magufuli Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻

    • @elimishanyamoga1301
      @elimishanyamoga1301 5 ปีที่แล้ว

      Kapimwe akili ww unayeshinikiza mtu kuvunja katiba

    • @machaineomahe6697
      @machaineomahe6697 5 ปีที่แล้ว +1

      kwa sheria ipi we kuku???

    • @stellapeter1261
      @stellapeter1261 5 ปีที่แล้ว +3

      Bora rais wetu uendelee kuwaita na kuongea na wananchi wako kuliko kuendelea kutengemea bunge letu ambalo ki ukweli unajionea yanayoendelea!!!!

    • @richardmuhina1284
      @richardmuhina1284 5 ปีที่แล้ว +1

      Ukweli mh rais tunaumia sana na hawa jamaa wa tra

  • @jumamaganga5064
    @jumamaganga5064 5 ปีที่แล้ว +9

    ety kwa miez minne viwanda 10 😁😁😁hata kama sijui viwanda ila niache2 bora tu hata ulinyimwa

  • @raziambwana2145
    @raziambwana2145 5 ปีที่แล้ว +3

    Safi Rais wangu MTU akiamuwa kuleta wawekezaji akapiga chake nakodi ikalipa kunaubaya gn sinipesa za wachina hizo wairudishe Tu hati hiyo .

  • @nabiimwanjela3960
    @nabiimwanjela3960 3 ปีที่แล้ว +3

    Maisha ndani ya Yesu

  • @nicklassshaypanga8794
    @nicklassshaypanga8794 3 ปีที่แล้ว +3

    Rais wanguuuuu wa nguvuuuuu💪💪💪💪

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 ปีที่แล้ว +11

    Mh rais tre Wametufiris reo wafanya Biashara tunarubaruba tu mhe rais

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 ปีที่แล้ว +11

    Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu wote kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 3 ปีที่แล้ว +3

    We miss you president

  • @mwilesimbeye9486
    @mwilesimbeye9486 5 ปีที่แล้ว +43

    T. R. A wafanyakazi wengi ni wachaga na kama unavyojua wachaga wanavyopenda hela wao wanapata nyingi na serikali inapata kidogo.
    Mh Rais atumbue wakubwa wa T. R. A kodi ikiwa halali inalipika ila kodi ikiwa nusu ya mtaji ni ngumu kulipa.

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 5 ปีที่แล้ว +4

      Nakumbuka wakati tumaliza chuo,ile harakati za kutafuta kazi....kuna baadhi ya sehem ukiomba kazi unaambiwa kabisa km we sio mchaga usipoteze muda!
      Tra,crdb bank nk....
      Tena kuna mdada alikuwa na certificate anatuambia kuanzia babu yake wote wapo tra

    • @reubenbusanji2904
      @reubenbusanji2904 5 ปีที่แล้ว

      her jamani

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 5 ปีที่แล้ว +1

      Ubaguzi plus wivu

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 5 ปีที่แล้ว

      @@christinewomanoffaith5479 kweli?

    • @santrumlay3952
      @santrumlay3952 5 ปีที่แล้ว +1

      Wivu tuu

  • @patrickmgoya130
    @patrickmgoya130 5 ปีที่แล้ว +6

    Nampenda huyu mzeee san jamaniii

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 ปีที่แล้ว +4

    Magufuli Oyeeeee

  • @kalidushimathias7236
    @kalidushimathias7236 5 ปีที่แล้ว +3

    Nice

  • @kdpretoria780
    @kdpretoria780 3 ปีที่แล้ว +3

    Hatutokuja kupata raisi kama huyu jamani

  • @sonymusa5333
    @sonymusa5333 5 ปีที่แล้ว +3

    Nampenda raisi

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 ปีที่แล้ว +6

    Yaani baba wa mbea alinimaliza ni msema kweli zaidi ya masai 🤣🤣🤣

  • @euniceoguri1284
    @euniceoguri1284 3 ปีที่แล้ว +18

    The great leader he was,rip JPM the best leader I have ever come across....hope others will follow your footsteps.Uongozi wako ulikuwa ni wa kipekee I have not come across like you.

  • @jumaabdalah5705
    @jumaabdalah5705 5 ปีที่แล้ว +3

    Good good huyu ndiye Rais

  • @BrunoKarangali
    @BrunoKarangali 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupokee jpm kipenzi

  • @gmavoice1893
    @gmavoice1893 3 ปีที่แล้ว +1

    Mweshimiwa Rais napia Baba yetu ,Tuna amini unachofanya, Ila pia ili swala la mkuwa wilaya kuchapa raia naomba ulifuatilie atakama mtukakosa Sheria ichukuliwe,nasiyo Raia aliye pewa madaraka kuanza kuadhibu wananchi na hii inaleta udhalilishaji wawana nchi atakama kakosea nidhahiri sana kumchukulia sheria zilizo wekwa,naomba Muheshimiwa uangalie ili.watu wachukuliwe sheria zilizowekwa siyo kuchapa watu na KU Post mitandaoni Tuna kuamini Sana Rais wetu,Mungu akulinde.

  • @rogathengowo1099
    @rogathengowo1099 5 ปีที่แล้ว +7

    Wanawake tupige kazi jaman naona suti na mabichwa makubwa tuu hapo

  • @VioletLazaro-p2h
    @VioletLazaro-p2h 7 หลายเดือนก่อน +1

    2024 bado naangalia, R.I.P my president

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 ปีที่แล้ว +15

    Napenda jpm hadi raha.jpm majariwa ni kiboko yao. Hawana mchezo . Wako siliasi . Watanzania tuwaombee waishi milele.

  • @AliHaji-w1x
    @AliHaji-w1x 6 หลายเดือนก่อน

    Chema hakidumu mwenyez mungu mlaze mahali pema mtetez wetu

  • @eliyawilliammagesamarwa8413
    @eliyawilliammagesamarwa8413 5 ปีที่แล้ว +6

    Hongera tata jpm

  • @gablielmuhenya3325
    @gablielmuhenya3325 5 ปีที่แล้ว +21

    Huyu ndie Rais tulie muomba kwa Mungu ongoza miaka 40 Baba ili tupate Tanzania mpya

    • @zakiarashed144
      @zakiarashed144 3 ปีที่แล้ว +2

      Inauma sana😭😭😭😭

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 ปีที่แล้ว

      @@zakiarashed144 iume nini wewe kwa huyo dikteta mkuu sukuma gang? Mwache moto wa milele umuangazie

  • @neemamateso4422
    @neemamateso4422 5 ปีที่แล้ว +1

    Dah!!! hatari sana

  • @gm7045
    @gm7045 5 ปีที่แล้ว +1

    Interesting

  • @hezronpamas4138
    @hezronpamas4138 4 ปีที่แล้ว +1

    Hatariii

  • @kevinpelomgeni1445
    @kevinpelomgeni1445 3 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣🤣🤣🔥🔥Magu hoyeeee❤️🔥🔥🔥👌👌✌️✌️

  • @lucasalexanderr
    @lucasalexanderr 5 ปีที่แล้ว +4

    ndio mzee baba...lekebisha nchi

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 ปีที่แล้ว +5

    Jamani mstukumbushe mtangazaji kibonde

  • @martiniphilipo5229
    @martiniphilipo5229 6 หลายเดือนก่อน

    Am really interested with your spearch

  • @abdulsalum2852
    @abdulsalum2852 5 ปีที่แล้ว +5

    Maneno mengi tunayajuwa yote hayo

  • @frankhaule3021
    @frankhaule3021 4 ปีที่แล้ว +2

    Ila Mambo yanaonekana na Ila sisi wengine tunakipato chini ya tsh 500 kwa siku je unatusaidiaje nafikiri tuwe na tasmini halisi ya Mali tunazo zimiliki ndipo tuweze kupewa Kama tuna sifa ya kulipa.

  • @Ramadhanimsingwa
    @Ramadhanimsingwa 3 ปีที่แล้ว +4

    Raisi huyu nilimpenda sana heshima ilirudi katika taasisi za serikali na tulilipwa stahiki Mungu akupe kila la kheri

  • @mwamengele
    @mwamengele 3 ปีที่แล้ว +4

    RIP MWAMBA

  • @devothafilbert2347
    @devothafilbert2347 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli TRA waangaliwe.. Yani unaanzisha biashara ndogo unaambiwa kodi ambayo hailipiki.. Na hawaangalii biashara wanajikadiria tu kodi mezani bila kuon biashara na kufuatilia muenendo wa biashara..

  • @Maulidism
    @Maulidism 3 ปีที่แล้ว +2

    The Genius R. I. P

  • @mmetaasimba6893
    @mmetaasimba6893 4 ปีที่แล้ว +1

    Tunakupenda raid wetu

  • @alexmafuvyi3337
    @alexmafuvyi3337 5 ปีที่แล้ว +4

    Kwamia 30 mimipia nakubali nimaoniyangu niaupendo na enji yangu huyu nikama mau the tum (china)

  • @frednyangwechi774
    @frednyangwechi774 2 ปีที่แล้ว +1

    Alikuwa mzuri kweli hayupo kama yeye kwa sasa....

  • @gabrielmbunda5731
    @gabrielmbunda5731 5 ปีที่แล้ว +3

    Nakupongeza sana mh.Raisi unajenga Tanzania mpya tuliyo ingoja kwa muda mrefu sana

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 3 ปีที่แล้ว +1

    The greatest African President Magufuli

  • @kelvinmwakatobe2174
    @kelvinmwakatobe2174 6 หลายเดือนก่อน

    MUNGU amlaze mahali pema peponi amen

  • @miraclekanigwe5567
    @miraclekanigwe5567 3 ปีที่แล้ว +1

    Cool

  • @philipocharles713
    @philipocharles713 2 ปีที่แล้ว +1

    Endelea kupumzika Rais wetu mpendwa😭😭😭😭😭

  • @christinasolomon8156
    @christinasolomon8156 5 ปีที่แล้ว +4

    Rais wetu mpendwa MAGUFUL tatz lingne tunafngiwa maduka kila j mos kwa masaa 3 hap haihtaj dgree ya uchm ukwel ni kwamba nch inapoteza fedha nying kwa mwaka hivy tunaomba hili uliangalie na ww kauli mbiu yak ni HAPA KAZI TU.

  • @lilianlupeke8040
    @lilianlupeke8040 2 ปีที่แล้ว

    Daah, nitakukumbuka daima

  • @kandidusmiho366
    @kandidusmiho366 5 ปีที่แล้ว +45

    2015-2020-2025-2030 yote yako ili tisonge mbele

  • @bahatimnanka1778
    @bahatimnanka1778 2 ปีที่แล้ว +1

    Tutakukumbuka milele M/MUNGU atusamehee watanzania

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 3 ปีที่แล้ว +2

    Yaaaani Rais wetu mpendwa Dr.JPM tutakukumbuka daima utendaji wako ulikuwa very unique, Pumzika kwa Amani baba yetu

  • @hemediabdala2760
    @hemediabdala2760 8 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli tumekukumbuka sana mungu àkuweke peponi kwani hatutakusahau jpm Ric

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 5 ปีที่แล้ว +4

    Mi na Mzee wa Mbeya tu hoi

  • @kibakiba7836
    @kibakiba7836 3 ปีที่แล้ว +2

    Alikua balaa

  • @mkombozifreshoil
    @mkombozifreshoil 6 หลายเดือนก่อน +1

    R.I.P Father

  • @ashuranyalusi7312
    @ashuranyalusi7312 5 ปีที่แล้ว +4

    TAKUKURU waanze na huyohuyo

    • @Ramadhanimsingwa
      @Ramadhanimsingwa 3 ปีที่แล้ว

      Uhuru Wa kuongea upo kikatiba haya anza na Cag ripoti ya 2021

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 3 ปีที่แล้ว +1

    Rip mwamba tunakukumbuka sana