MUUZA SAMAKI ANUSURIKA KUUWAWA ZANZIBAR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Polee Fatma. Mwenyezimungu. Akufanyie shifaa upone haraka
Hasbunallah waniimal wakiil. Hasid huyo. Allah amuadhibu na yeye hapa duniani na kesho akhera. Amiin yaa rabb
Allah akufanyie wepesi dada angu utapowa kwa uwezo wa Allah inshaallah
Subhana Allah zanzibar inaogopesha ukenda serekalini hakuna haki watu hawana imani kuzulumu kwenda mbele mmeijaza watu halafu hamuwawezi
Tumechanganyika na Ugeni hp kikifanyika kitu wale wageni ndo wanatuharibia ashv so kama zamani kusameyana kwa nn ?
Ilo kweli wanyamwez aooo wanatuharibia Zanzibar yetuu lkn subr soon tuu kitatbulika watarudi kwaooo mnyamwezi yasitutie ila mbaya mashenz ayoo hakuna Mzanzibari mwenye roho km ioo waondokeee wanyamwez
Umeona Eeeee wageni hao wanao ingia kutoka Bara
Anza kwanza kuwatoa wazanzibari waliokua bara kisha nawanyamwez ndio waondoke alafu zenji kunabakabila yakutoka bara mengi lakin mnawasakama wanyamwez peke Yao kwahiyo waondoke wanyamwez hao wengine wabaki? Waambien ndugu zenu walioko bara warudi kwanza naona umejisahau kama nanyie mpo kule ovyoo dhambi yaubaguz itakumaliza wewe roho chafu acha itakupeleka jehanam yamoto maku wewe msengerema wewe naunanyegezi wewe
Inaogopesha koz of uingiaji wa watu tofauti,
Pole sana dada ALLAH akufanyie wepesi upone kwa haraka maumivu ya moto unayopitia nayahisi dah
Subhanallah Allah atakuaff huyu mmasai mshenzi mkubwa
Mungu amjalie apone
Subhanallah mtihani gani huo kutaka kumuua mwenziwe kwa roho mbaya wallahi na yeye musimuache salama huyo ni muuaji loooh 😭😭😭😭😢😢
subhanallah, wanawake wamefikia hatua hiyo sasa!
allah akujalie shifaa dada pole na stahamili na mitihani.
Allah amjaliyee shifaa mgonjwa.
Subhannallah.
Wanawake ni mama zetu nao wamemiminiwa huruma asilimia 75
Katika ubongo wao wakati sisi wanaume tumepewa asilimia 25 tu.
Iweje tena uxanyike ukatili kama huu. Nahisi pans kitu nyuma ya pazia sio kesi ya viatu ambsya ameshalipwa pesa zake.
Turudi kwa Allah tupendane. Tusameheane na rusaidiane.
Hasira ni hasara sasa mtuhumiwa yuko ndani na pengine afungwe.
Na usingizi ataukosa huyo.
Polesana bifatma mungu atakuponya
Pole sana ndg yang Allahah atakuafu ishaa Allah
Pole sana mama Allah akujaalie upowe na akupe afya njema
Kuna Binadam Wanarombaya Zaid ya Wanyama wakali Dah Allah Atujalie salama Na Uyo Alietaka Kumuua mwenzake achkuliwe sheria Kali na yeye
Hasbiya Allah Waneema Lwakil..Pole sanaa Dada na wazazi pia..HUYO ni MUUWAJI AKAMATWE.yakizidi angesema YAAMULIWE
Kumbe wote ni wabongo mmoja mmasai mmoja wa kusilimu Allah awape wepesi wa imani
Pole sana ni hivi alivyo fanyaa afanyiwe mana muoshwa huoshwaa hamna kufungwaa Ni maji ya moto tu naye yanamuhusu tena Yale ya kuku asaa
Kahika alkisas haki
SUBHANAALLAH jaman mbna binadamu tumekuwa na roho mbaya hivi roho chafu 😢😢
Mwanamke mshenz sana tena afungwe jela
SUBHANALLAH uyo mama na yeye afanyiwe ivo ivo
Hata mm naomba patelekwe maji ya moto na yy amwagiwe tuone Kuna mtu mwengine atamwagia mwenzake maji ya moto ujinga tu ,binadam gani wasosameheana ilhali kila siku tunamkosea mungu na anatusamehe
Afanyiwe ivo ivo wala asipewe tibaa mpaka afeee.
Pole sana mdg wang. Allah ndie hakim wa haki ,halali wala hasizii, allah atakuponesha mdg wng
Hata kama ingelikuwa Ana hatia kiasi gani jmn sheria zipo. Mbali zaidi sisi n wanadamu tuoneane huruma jamani. Dada pole sana Mungu akuponye jmn
Subhanallah 😭😭allah amjalie shifaa inshallah
Kesho kutwa anatoka huyo, tunaomba mtuletee muendelezo wa hii kesi isiwe hapo tuu, maana Zanzibar tunaijua
Innalillah wainna ilaih rajiun😢😢😢😢dunia yet hiii ila afungw asitoke maisha
Dad pol mungu akutie nguvu utapona Kwa uwezo wamola
Innallaha Maaswabirina
Pole sana dada Fatma
Hasbiyallah mungu atakuhukumia wamasai mbwa
Unaungua kidogo tu wakati unapiga maumiv makali jee ivi mgongo wote jamani 😢😢 na yeye amwagiwe maji tu ya moto kisha kesi endelee mana alidhamiria kuuwa uyo asiachiwe kifungo cha maisha afungwe
Pole sana dada naomba Mungu akuponye haraka
Pole sana ndugu yangu
Pole san dada
Pole sana, Mwenyezi Mungu akuponye insha Allah 😭
Pole sana dada Mungu atakuponya
Pole sana Allah atakuwafu inshaaAllah.
pole jamn
Pole sana dada .uyo mualifu afungwe
Mmmmh pole San dada mungu atakuponya 2🎉🎉🎉
Serikali ichukuwe hatuna Kali sanaaaaaana.duhhhh.unyama wa mwisho
Huyu afungwe tu tena miaka ata 10 na akitoka asafiridhwe kwao tu asiikanyage tena Zanzibar 😢
Mimi naona sio deni tuu kuna kisasi alio kuwekea huo mama na malipo ni hapa chini ya dua
Subhana Allah
Subhanallah jmn wanawake wanachuki mbaya sana hawana uvumiliv sivi tunavotakiwa tuishi kusameheana ni jambo Muhim sana na inaleta upendo na huruma Leo elf 6 umesababisha milioni 6 gharama yake.
Subuhanallah. .mtihani huyoanarohombaya. Tatizo nini mpakaatake kumquat mwenzie jamani poleni sana inauma
Subhanallah
Nae akamwagie tu hili dada lina.rohombaya sana sna sana asa so mtu asa
Huyo dada ashura namjua ana roho mbaya Sana huyo namjuwa vizur achukuliwe hatua Kali Hana ubinaadamu
Hv huyu ashura jmn ananini lkn, ni mbara au mzanz
Mtihan kwakweli Allah atuongoze atupe imani ihsani na huruma atuondolee miyoyo ya kinyongo na chuki atujalie upendo Yarabbih tusalim salama 😢
Kila kitu ni mungu ndio anapanga..inshallah mungu atamuafu..ameen😢😢
Jamni hiyo tena deni tu mbona tunaonesha filam wnatufundisha nn ss hayo machafu au hasira je watt wetu wachujue mifano gani wakidaiana na watt si wanayaona hy jamani bora tukiwa n jambo vyombo vya sheria vipo subhannallah Allah atuhifadhi na shetani mbaya wa namna hii na hasira ni hasara
Subhnanallah,Allah amjaalie afya njema aamyin,poleee yke mgonjw
Pole😢
Duh! Huyo ana roho mbaya kuliko hata nyoka anaemgonga mtu kisha kumuacha afe.
Subhanallh
Allahuakbar
Subhanallllah hatari sana
Pole Sana dada😢😢😢
Mtihan mungu ampe afuen mgonjwa insh allah hyo msenge alofnya ilo tukio wamfunge t hana binaadamu duh hyo dad simjui ila tukio hilo limenium mnooo 😢
Tatizo ndugu zetu wa damu Zanzibar haikuwa hivi tukisema tunaambiwa wabaguzi
Mungu atamusimamia
Wanawake tuna matatizo san wallah ten kalipo na bado anarud ten w mungu wangu w wanawake hao
Pole sanaaa hasbunallah
Maskin wee Allah atufanyiye wepes ishallah atapona kipenz znz njema atakae aje
Mungu ukufanyie wepesi upone
anafaa kufugwa hata myaka 20 au zaid
Sio kila Tukio linalotokea zanzibar kuwa walio fanya ni wazanzibar hapa na sisemi ivo kuwa wazanzibar hawakosea hapana wao nao wanamazaifu yao lakin tunaposikia habari kama hizo tujaribu kuchunguza kwanza ikisha tuweke mizani sawa sawa
Hapo kuna mambo nyuma ya pazia bana
Sisi wazanzibar roho zetu mbaya sana.
Huyo ni mmasai sio mzanzibar usitutie kwenye roho mbaya
Mbona unakurupuka?! Hebu chunguza kwanza.
Ni ww tu mzanzibara, kwamba hujasikia alisema yy ni mmasai au?
Hatari sana huyo dada hana huruma mbaya sheria ichukue maamuzi afungwe
Mungu amsaidie apone maana moto huwa unachoma ndani kwa ndani hilo jeraha ni kubwa sana😢😢
Mwachie Allah atakulipa
Wenye Ndugu Mtu Kama Uyo Dawa Moja2 Kummaliza Kwa Sitahili Yeyote Ile Afai Kabisa Kuonekana Na Familia Nzima Ikiwa Mnajua Faida Ya Familia Yako Bila Kujali Wewe Nani Lakini Familia
SUBHANAALLAH mbona binaadamu mmekosa utu
Pole sana dada
Wabongo waondolewe ni wanyama sana an Zanzibar hakuna Fatima Christina waondolewe wote
Me nahisi ipo namba, usikute wameibiana hata na Wana haoo looh kiatu tu ukamkatili mwenzio
Muuwaji subuhana llah
Uyo akamatwe anyongwe hadharani na km hatofungwa ukipoa njoo nikupeleke sehem nayy akapew lakupewa ateseke nalo looh laanatullah uyo mwanamk mbwa asa kwenda kumtia mwenzak ulemavu wa maisha
Jaman moto unawasha mm nimepungua kidongo tu na pas zinauma hatar je huyo mgogo mzima je
Pole fatuma christian ronaldo
Fatma Charles vs masai, kwanini mlikua na nyinyi mnaona dalili za mauaji hamkupeleka taarifa ktk vyombo vya sheria
Rais wa Zanzibar hakikisha haki ya huyu dada inapatikana...kwani wewe ndiye unaebeba matatizo ya Wazanzibari hivyo ukishindwa utabeba jukumu Kwa Allah FIDDUNIA WAL-AKHERA....Tunakupenda Sanna Sanna RAIS WETU...
Duh huy wa kufungwa jela maisha
☝️💔😭
Mungu wangu.A yule muuaji amejikomoa kabisa
Wazanzibar hakuna tabia hio yakutaka kutoana roho kawa pesa ndogo
Mwanamke kama huyo anaroho mbaya Sana hawezi kuishi kwasalama tena
Wanawake ni wakatili sana
Ifungeni hiyo mama maisha
Akiii pole dada nimetokwa na machozii Allah aku ponye
Masikini jamaniiiiiiii Kuna watu makatili hivi...znz hatukuwa na mambo haya inasikitisha huuu unyama mkubwa Sana Sheria Kali ichukukiwe ili lisitikee Tena tokeo BAYA sana sanaaa serikali isi
Wabongo hao Sio wazanzibar original hapo
Wabongo makatiki duu wana roho mbaya
Ndio zanzibar lkn huyu aliemuunguza maji ni mmasai hapa hamna wamasai
Alieunguzwa pia mbongo. Musiseme znz hamna imani ni wageni makatili
😂😂😂
Jamani huyo dada na yeye afungwe hata maisha
Dhaman yanini ndani maisha
Iyo kesi ifatiliwe
Katili sana mshenzi mkubwa, haki itendeke.
Mwenyezi mungu atakulipia 😂 na yeye ndo akili gani iyo imani inatoka
Naikumbuka Zanzibar ya wakati ule
Polesana dada
Ndio maana wazanzirbari hawawataki washenzi hawa znz kwa mambo kama haya ...haya mambo kwao kitu cha kawaida kuwaana, kuiba.etc..
WATANGANYIKA HAWANA HURUMA NA IMANI ZAO MBOVU UHUNI NI AMALIZ ZAO MBOVU 😢😢😢😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Piga astakafiru watu wote wametok Imani sio mbara wala mzanzibar ukiwa nafsi yako safi basi ni safi basi iwe safi watu Awana imani😢
Nyie mnatomba Mikundu ya Watoto mna Imani gani na mashetani yenu😂