MUUZA SAMAKI ANUSURIKA KUUWAWA ZANZIBAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 305

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 3 หลายเดือนก่อน +7

    Polee Fatma. Mwenyezimungu. Akufanyie shifaa upone haraka

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 3 หลายเดือนก่อน +12

    Hasbunallah waniimal wakiil. Hasid huyo. Allah amuadhibu na yeye hapa duniani na kesho akhera. Amiin yaa rabb

  • @safiaali6318
    @safiaali6318 2 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akufanyie wepesi dada angu utapowa kwa uwezo wa Allah inshaallah

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 3 หลายเดือนก่อน +16

    Subhana Allah zanzibar inaogopesha ukenda serekalini hakuna haki watu hawana imani kuzulumu kwenda mbele mmeijaza watu halafu hamuwawezi

    • @SuleymanSaid
      @SuleymanSaid 3 หลายเดือนก่อน

      Tumechanganyika na Ugeni hp kikifanyika kitu wale wageni ndo wanatuharibia ashv so kama zamani kusameyana kwa nn ?

    • @user-iw4ym5lt4s
      @user-iw4ym5lt4s 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ilo kweli wanyamwez aooo wanatuharibia Zanzibar yetuu lkn subr soon tuu kitatbulika watarudi kwaooo mnyamwezi yasitutie ila mbaya mashenz ayoo hakuna Mzanzibari mwenye roho km ioo waondokeee wanyamwez

    • @SuleymanSaid
      @SuleymanSaid 3 หลายเดือนก่อน

      Umeona Eeeee wageni hao wanao ingia kutoka Bara

    • @joycedimoso8648
      @joycedimoso8648 2 หลายเดือนก่อน

      Anza kwanza kuwatoa wazanzibari waliokua bara kisha nawanyamwez ndio waondoke alafu zenji kunabakabila yakutoka bara mengi lakin mnawasakama wanyamwez peke Yao kwahiyo waondoke wanyamwez hao wengine wabaki? Waambien ndugu zenu walioko bara warudi kwanza naona umejisahau kama nanyie mpo kule ovyoo dhambi yaubaguz itakumaliza wewe roho chafu acha itakupeleka jehanam yamoto maku wewe msengerema wewe naunanyegezi wewe

    • @user-ff7hl3mh3h
      @user-ff7hl3mh3h 2 หลายเดือนก่อน

      Inaogopesha koz of uingiaji wa watu tofauti,

  • @user-cj2kl7cd9k
    @user-cj2kl7cd9k 3 หลายเดือนก่อน +4

    Pole sana dada ALLAH akufanyie wepesi upone kwa haraka maumivu ya moto unayopitia nayahisi dah

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf 3 หลายเดือนก่อน +10

    Subhanallah Allah atakuaff huyu mmasai mshenzi mkubwa

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu amjalie apone

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 3 หลายเดือนก่อน +6

    Subhanallah mtihani gani huo kutaka kumuua mwenziwe kwa roho mbaya wallahi na yeye musimuache salama huyo ni muuaji loooh 😭😭😭😭😢😢

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 3 หลายเดือนก่อน +3

    subhanallah, wanawake wamefikia hatua hiyo sasa!
    allah akujalie shifaa dada pole na stahamili na mitihani.

  • @SurprisedOmbreSky-qg6dk
    @SurprisedOmbreSky-qg6dk 3 หลายเดือนก่อน +5

    Allah amjaliyee shifaa mgonjwa.

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 หลายเดือนก่อน +5

    Subhannallah.
    Wanawake ni mama zetu nao wamemiminiwa huruma asilimia 75
    Katika ubongo wao wakati sisi wanaume tumepewa asilimia 25 tu.
    Iweje tena uxanyike ukatili kama huu. Nahisi pans kitu nyuma ya pazia sio kesi ya viatu ambsya ameshalipwa pesa zake.
    Turudi kwa Allah tupendane. Tusameheane na rusaidiane.
    Hasira ni hasara sasa mtuhumiwa yuko ndani na pengine afungwe.
    Na usingizi ataukosa huyo.

  • @user-eo1xv9ki7l
    @user-eo1xv9ki7l 3 หลายเดือนก่อน +4

    Polesana bifatma mungu atakuponya

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah4384 3 หลายเดือนก่อน +4

    Pole sana ndg yang Allahah atakuafu ishaa Allah

  • @user-pl8qx6xx1y
    @user-pl8qx6xx1y 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana mama Allah akujaalie upowe na akupe afya njema

  • @ZahraAlly-wq4ku
    @ZahraAlly-wq4ku 3 หลายเดือนก่อน +10

    Kuna Binadam Wanarombaya Zaid ya Wanyama wakali Dah Allah Atujalie salama Na Uyo Alietaka Kumuua mwenzake achkuliwe sheria Kali na yeye

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hasbiya Allah Waneema Lwakil..Pole sanaa Dada na wazazi pia..HUYO ni MUUWAJI AKAMATWE.yakizidi angesema YAAMULIWE

  • @user-xh6mt8xj9d
    @user-xh6mt8xj9d 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe wote ni wabongo mmoja mmasai mmoja wa kusilimu Allah awape wepesi wa imani

  • @user-hm5jl1kh2t
    @user-hm5jl1kh2t 3 หลายเดือนก่อน +8

    Pole sana ni hivi alivyo fanyaa afanyiwe mana muoshwa huoshwaa hamna kufungwaa Ni maji ya moto tu naye yanamuhusu tena Yale ya kuku asaa

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 3 หลายเดือนก่อน +12

    SUBHANAALLAH jaman mbna binadamu tumekuwa na roho mbaya hivi roho chafu 😢😢

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mwanamke mshenz sana tena afungwe jela

  • @thedon8467
    @thedon8467 3 หลายเดือนก่อน +6

    SUBHANALLAH uyo mama na yeye afanyiwe ivo ivo

    • @user-pw2dv9fr6r
      @user-pw2dv9fr6r 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hata mm naomba patelekwe maji ya moto na yy amwagiwe tuone Kuna mtu mwengine atamwagia mwenzake maji ya moto ujinga tu ,binadam gani wasosameheana ilhali kila siku tunamkosea mungu na anatusamehe

    • @balqisabdullah6200
      @balqisabdullah6200 2 หลายเดือนก่อน

      Afanyiwe ivo ivo wala asipewe tibaa mpaka afeee.

  • @safiasaleh215
    @safiasaleh215 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mdg wang. Allah ndie hakim wa haki ,halali wala hasizii, allah atakuponesha mdg wng

  • @user-fh4cf6qx9u
    @user-fh4cf6qx9u 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hata kama ingelikuwa Ana hatia kiasi gani jmn sheria zipo. Mbali zaidi sisi n wanadamu tuoneane huruma jamani. Dada pole sana Mungu akuponye jmn

  • @user-st2ig6ds3f
    @user-st2ig6ds3f 3 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah 😭😭allah amjalie shifaa inshallah

  • @aliissahaji33
    @aliissahaji33 3 หลายเดือนก่อน +17

    Kesho kutwa anatoka huyo, tunaomba mtuletee muendelezo wa hii kesi isiwe hapo tuu, maana Zanzibar tunaijua

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t 3 หลายเดือนก่อน +2

    Innalillah wainna ilaih rajiun😢😢😢😢dunia yet hiii ila afungw asitoke maisha

  • @MerryBaltazari-zv9gf
    @MerryBaltazari-zv9gf 2 หลายเดือนก่อน

    Dad pol mungu akutie nguvu utapona Kwa uwezo wamola

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 3 หลายเดือนก่อน +1

    Innallaha Maaswabirina

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada Fatma

  • @lastborn7810
    @lastborn7810 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hasbiyallah mungu atakuhukumia wamasai mbwa

  • @rayouaabdallah1394
    @rayouaabdallah1394 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unaungua kidogo tu wakati unapiga maumiv makali jee ivi mgongo wote jamani 😢😢 na yeye amwagiwe maji tu ya moto kisha kesi endelee mana alidhamiria kuuwa uyo asiachiwe kifungo cha maisha afungwe

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada naomba Mungu akuponye haraka

  • @user-ny2fu8bu2u
    @user-ny2fu8bu2u 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana ndugu yangu

  • @user-vl6hd4lb6s
    @user-vl6hd4lb6s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole san dada

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana, Mwenyezi Mungu akuponye insha Allah 😭

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada Mungu atakuponya

  • @MwanahamisiAlly-yx2tt
    @MwanahamisiAlly-yx2tt 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Allah atakuwafu inshaaAllah.

  • @NasraHussein-jf5qx
    @NasraHussein-jf5qx 2 หลายเดือนก่อน

    pole jamn

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada .uyo mualifu afungwe

  • @jumakarani1
    @jumakarani1 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh pole San dada mungu atakuponya 2🎉🎉🎉

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 3 หลายเดือนก่อน +3

    Serikali ichukuwe hatuna Kali sanaaaaaana.duhhhh.unyama wa mwisho

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu afungwe tu tena miaka ata 10 na akitoka asafiridhwe kwao tu asiikanyage tena Zanzibar 😢

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi naona sio deni tuu kuna kisasi alio kuwekea huo mama na malipo ni hapa chini ya dua

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 3 หลายเดือนก่อน +1

    Subhana Allah

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 3 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah jmn wanawake wanachuki mbaya sana hawana uvumiliv sivi tunavotakiwa tuishi kusameheana ni jambo Muhim sana na inaleta upendo na huruma Leo elf 6 umesababisha milioni 6 gharama yake.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 หลายเดือนก่อน +1

    Subuhanallah. .mtihani huyoanarohombaya. Tatizo nini mpakaatake kumquat mwenzie jamani poleni sana inauma

  • @twinkledestar4277
    @twinkledestar4277 3 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanallah

  • @user-ks6wj1uf9k
    @user-ks6wj1uf9k 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nae akamwagie tu hili dada lina.rohombaya sana sna sana asa so mtu asa

  • @nassornassor3417
    @nassornassor3417 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo dada ashura namjua ana roho mbaya Sana huyo namjuwa vizur achukuliwe hatua Kali Hana ubinaadamu

    • @mariashilinde291
      @mariashilinde291 3 หลายเดือนก่อน

      Hv huyu ashura jmn ananini lkn, ni mbara au mzanz

  • @zukhannassor1346
    @zukhannassor1346 3 หลายเดือนก่อน

    Mtihan kwakweli Allah atuongoze atupe imani ihsani na huruma atuondolee miyoyo ya kinyongo na chuki atujalie upendo Yarabbih tusalim salama 😢

  • @fahadthereal23
    @fahadthereal23 3 หลายเดือนก่อน

    Kila kitu ni mungu ndio anapanga..inshallah mungu atamuafu..ameen😢😢

  • @user-sx9hz2xq8o
    @user-sx9hz2xq8o 3 หลายเดือนก่อน +3

    Jamni hiyo tena deni tu mbona tunaonesha filam wnatufundisha nn ss hayo machafu au hasira je watt wetu wachujue mifano gani wakidaiana na watt si wanayaona hy jamani bora tukiwa n jambo vyombo vya sheria vipo subhannallah Allah atuhifadhi na shetani mbaya wa namna hii na hasira ni hasara

    • @khamishassan4807
      @khamishassan4807 3 หลายเดือนก่อน

      Subhnanallah,Allah amjaalie afya njema aamyin,poleee yke mgonjw

  • @Laizer3
    @Laizer3 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole😢

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j 3 หลายเดือนก่อน +2

    Duh! Huyo ana roho mbaya kuliko hata nyoka anaemgonga mtu kisha kumuacha afe.

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 3 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanallh

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 3 หลายเดือนก่อน

    Allahuakbar

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanallllah hatari sana

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Sana dada😢😢😢

  • @user-cp1js7ku9r
    @user-cp1js7ku9r 3 หลายเดือนก่อน

    Mtihan mungu ampe afuen mgonjwa insh allah hyo msenge alofnya ilo tukio wamfunge t hana binaadamu duh hyo dad simjui ila tukio hilo limenium mnooo 😢

  • @user-wl8ng3pj5r
    @user-wl8ng3pj5r 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo ndugu zetu wa damu Zanzibar haikuwa hivi tukisema tunaambiwa wabaguzi

  • @JametAlex
    @JametAlex 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atamusimamia

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wanawake tuna matatizo san wallah ten kalipo na bado anarud ten w mungu wangu w wanawake hao

  • @rizikinassor5618
    @rizikinassor5618 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sanaaa hasbunallah

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w 3 หลายเดือนก่อน +1

    Maskin wee Allah atufanyiye wepes ishallah atapona kipenz znz njema atakae aje

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu ukufanyie wepesi upone

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 หลายเดือนก่อน +4

    anafaa kufugwa hata myaka 20 au zaid

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud1157 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sio kila Tukio linalotokea zanzibar kuwa walio fanya ni wazanzibar hapa na sisemi ivo kuwa wazanzibar hawakosea hapana wao nao wanamazaifu yao lakin tunaposikia habari kama hizo tujaribu kuchunguza kwanza ikisha tuweke mizani sawa sawa

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo kuna mambo nyuma ya pazia bana

  • @mbaroukhamza8508
    @mbaroukhamza8508 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sisi wazanzibar roho zetu mbaya sana.

    • @laisamaujud1157
      @laisamaujud1157 3 หลายเดือนก่อน +5

      Huyo ni mmasai sio mzanzibar usitutie kwenye roho mbaya

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mbona unakurupuka?! Hebu chunguza kwanza.

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni ww tu mzanzibara, kwamba hujasikia alisema yy ni mmasai au?

  • @salamasaleh7077
    @salamasaleh7077 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari sana huyo dada hana huruma mbaya sheria ichukue maamuzi afungwe

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu amsaidie apone maana moto huwa unachoma ndani kwa ndani hilo jeraha ni kubwa sana😢😢

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte5415 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwachie Allah atakulipa

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wenye Ndugu Mtu Kama Uyo Dawa Moja2 Kummaliza Kwa Sitahili Yeyote Ile Afai Kabisa Kuonekana Na Familia Nzima Ikiwa Mnajua Faida Ya Familia Yako Bila Kujali Wewe Nani Lakini Familia

  • @fatumakidoa4006
    @fatumakidoa4006 3 หลายเดือนก่อน

    SUBHANAALLAH mbona binaadamu mmekosa utu

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada

  • @user-uy5ue2tz6g
    @user-uy5ue2tz6g 2 หลายเดือนก่อน

    Wabongo waondolewe ni wanyama sana an Zanzibar hakuna Fatima Christina waondolewe wote

  • @saadazubeiry8918
    @saadazubeiry8918 3 หลายเดือนก่อน +1

    Me nahisi ipo namba, usikute wameibiana hata na Wana haoo looh kiatu tu ukamkatili mwenzio

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v 3 หลายเดือนก่อน +1

    Muuwaji subuhana llah

  • @UmmaymaSalum
    @UmmaymaSalum 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo akamatwe anyongwe hadharani na km hatofungwa ukipoa njoo nikupeleke sehem nayy akapew lakupewa ateseke nalo looh laanatullah uyo mwanamk mbwa asa kwenda kumtia mwenzak ulemavu wa maisha

  • @user-fh3np5yk9g
    @user-fh3np5yk9g 2 หลายเดือนก่อน

    Jaman moto unawasha mm nimepungua kidongo tu na pas zinauma hatar je huyo mgogo mzima je

  • @SaidAli-sg1qd
    @SaidAli-sg1qd 3 หลายเดือนก่อน

    Pole fatuma christian ronaldo

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 3 หลายเดือนก่อน +1

    Fatma Charles vs masai, kwanini mlikua na nyinyi mnaona dalili za mauaji hamkupeleka taarifa ktk vyombo vya sheria

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 3 หลายเดือนก่อน

    Rais wa Zanzibar hakikisha haki ya huyu dada inapatikana...kwani wewe ndiye unaebeba matatizo ya Wazanzibari hivyo ukishindwa utabeba jukumu Kwa Allah FIDDUNIA WAL-AKHERA....Tunakupenda Sanna Sanna RAIS WETU...

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4r 3 หลายเดือนก่อน +1

    Duh huy wa kufungwa jela maisha

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 หลายเดือนก่อน +1

    ☝️💔😭

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu wangu.A yule muuaji amejikomoa kabisa

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wazanzibar hakuna tabia hio yakutaka kutoana roho kawa pesa ndogo

  • @user-kq7mp8qz9e
    @user-kq7mp8qz9e 3 หลายเดือนก่อน

    Mwanamke kama huyo anaroho mbaya Sana hawezi kuishi kwasalama tena

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wanawake ni wakatili sana

  • @OmarAme-hd3fd
    @OmarAme-hd3fd 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ifungeni hiyo mama maisha

  • @user-ou2rx7ln4w
    @user-ou2rx7ln4w 3 หลายเดือนก่อน

    Akiii pole dada nimetokwa na machozii Allah aku ponye

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 3 หลายเดือนก่อน +19

    Masikini jamaniiiiiiii Kuna watu makatili hivi...znz hatukuwa na mambo haya inasikitisha huuu unyama mkubwa Sana Sheria Kali ichukukiwe ili lisitikee Tena tokeo BAYA sana sanaaa serikali isi

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 3 หลายเดือนก่อน +3

      Wabongo hao Sio wazanzibar original hapo

    • @SwalafyAct-ks5gz
      @SwalafyAct-ks5gz 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wabongo makatiki duu wana roho mbaya

    • @zulfahaji91
      @zulfahaji91 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio zanzibar lkn huyu aliemuunguza maji ni mmasai hapa hamna wamasai

    • @zulfahaji91
      @zulfahaji91 3 หลายเดือนก่อน +1

      Alieunguzwa pia mbongo. Musiseme znz hamna imani ni wageni makatili

    • @annamussa185
      @annamussa185 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @HamamAli-lu3eo
    @HamamAli-lu3eo 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani huyo dada na yeye afungwe hata maisha

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dhaman yanini ndani maisha

  • @SaleIddi
    @SaleIddi 3 หลายเดือนก่อน

    Iyo kesi ifatiliwe

  • @stonetown578
    @stonetown578 3 หลายเดือนก่อน +1

    Katili sana mshenzi mkubwa, haki itendeke.

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m 2 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi mungu atakulipia 😂 na yeye ndo akili gani iyo imani inatoka

  • @ibrahimalharthi4599
    @ibrahimalharthi4599 3 หลายเดือนก่อน

    Naikumbuka Zanzibar ya wakati ule

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 3 หลายเดือนก่อน

    Polesana dada

  • @zahra5267
    @zahra5267 2 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana wazanzirbari hawawataki washenzi hawa znz kwa mambo kama haya ...haya mambo kwao kitu cha kawaida kuwaana, kuiba.etc..

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 3 หลายเดือนก่อน +3

    WATANGANYIKA HAWANA HURUMA NA IMANI ZAO MBOVU UHUNI NI AMALIZ ZAO MBOVU 😢😢😢😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

    • @AirfaAirfa-ic8sr
      @AirfaAirfa-ic8sr 3 หลายเดือนก่อน +3

      Piga astakafiru watu wote wametok Imani sio mbara wala mzanzibar ukiwa nafsi yako safi basi ni safi basi iwe safi watu Awana imani😢

    • @geey7893
      @geey7893 3 หลายเดือนก่อน

      Nyie mnatomba Mikundu ya Watoto mna Imani gani na mashetani yenu😂