MTOTO WA MIAKA KUMI NA MOJA AFANYA TUKIO LA AJABU ZANZIBAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 34

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 4 หลายเดือนก่อน +12

    Jaman mtoto mzuri usikimbie tena nyumbani sawa

    • @kadijahajali3918
      @kadijahajali3918 4 หลายเดือนก่อน +3

      Hii

    • @mwanakombopopo5117
      @mwanakombopopo5117 4 หลายเดือนก่อน +2

      Sawa

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 4 หลายเดือนก่อน

      @@kadijahajali3918hii to

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 4 หลายเดือนก่อน

      @@mwanakombopopo5117 👏

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 4 หลายเดือนก่อน

      Tafadhal Al fataha mdhibitini mtoto dunia mbaya

  • @stonetown578
    @stonetown578 4 หลายเดือนก่อน +6

    SubhanaAllah, Allah atamhidi wazazi dua'a muhimu kwa watoto wetu.

  • @SbOm-b7k
    @SbOm-b7k 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana dada yetu hii ni Moja ktk changamoto au mtihani Allah aliokupatia, lkn tue wapole pale watoto wanapokosea, tuwafunze kiutaratibu n kutumia maneno yakibusara ambayo hayatvunja moto Wala kutaka kufanya jambo baya zaidi ya Hilo ,Allah akupe nguvi zakuutunza ulezi wako

  • @omarkhamis3909
    @omarkhamis3909 4 หลายเดือนก่อน +5

    Alilo lifanya sio labusara ila nyny waandishi jifunzeni basi japo kidogo kuwasilisha taarifa kama hapo laajabu nilipi alolifanya lakutoroka nyumbani kwao au ?

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 4 หลายเดือนก่อน

      Ebwana khabari za vyombo vya kwetu ukifuatilia nyingi ni za ajabu sana there so clumsy.

    • @omarkhamis3909
      @omarkhamis3909 4 หลายเดือนก่อน

      @@FahadAbubakari ah kweli nduguyangu halafu unaambiwa niwasomi na wanavyeti mtihani mtupuuuu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 4 หลายเดือนก่อน

      @@omarkhamis3909 khabari nyingi tuzionazo zapewa nafasi sizo yani wakati naamini Kuna Habari nyingi tu zakuweza kuripoti

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 4 หลายเดือนก่อน

      Mtoto wa miaka 11 kutoroka nyumbani kwao siku 10 unaona ni jambo la kawaida tu kwako

  • @faridbinjumaonlinetv9258
    @faridbinjumaonlinetv9258 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo hatuna malezi ya siasa inaonekana Kuna adhabu kali asipoenda chuo au skuli ndio mana kitu ambacho sio kizurinkabisa kwa mtoto wangapi wanakubaliana na mimi

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 3 หลายเดือนก่อน

    Maskin Mtoto mzur Mashallah Ni uoga wazaz tupunguze ukali Kwa watoto wetu ili ikitokezea Mtoto kafanya kosa akiogope kukimbia jaman Amenitilisha huruma Maskin 😭😭😭Allah akuhifadhi Habiby😭😭😭🤲

  • @AminakengaKenga
    @AminakengaKenga 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nina mtoto wangu yuko ivyo ivyo toka ana miaka 8 mpk sasa ana 20 kuna tatizo amuwahi mapema sio hali ya kawaida

  • @NadhiraNa-vm5hs
    @NadhiraNa-vm5hs 4 หลายเดือนก่อน +3

    Uyu mtoto alikosea lakini anahakil Sana kakili kisa lake

  • @rizikichike
    @rizikichike 3 หลายเดือนก่อน

    Ni mtundu tu huyo mtoto ni kama mdowangu tu ni kizaazaa watoto wa kiume kulea ni kazi

  • @MerryBaltazari-zv9gf
    @MerryBaltazari-zv9gf 3 หลายเดือนก่อน

    Duh jamani wazaz tuna pitia changa moto san

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dogo mbona mtundu tuu ila kwa mambo ya kubakwa hamna

  • @Nadraalimwalim
    @Nadraalimwalim 3 หลายเดือนก่อน

    Ilikuwa afuatiliwe huko skuli na chuoni kwanini haendi isije ikawa kuna kijambonndicho kinachomkimbiza eidha adhabu au mengineyo

  • @MariamKhamis-c3j
    @MariamKhamis-c3j 4 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢😢 mtoto Mazur jaman usiondoke nyumban unatuumiza wazaz wako

  • @AminiMuhammed-pi6dx
    @AminiMuhammed-pi6dx 4 หลายเดือนก่อน

    Kama alikuwa anapata huduma ya chakula kwa watu anao wajua walishindwaje kumpa ripoti mama yake au kumkamata

  • @yussufmohammed9299
    @yussufmohammed9299 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna ndy ww hpo ushafnya unaonekan ww Kiranjaaa fulan mjanja mjanja hv

  • @MaryamNassor-l7y
    @MaryamNassor-l7y 4 หลายเดือนก่อน

    huna Ada buKwanini ukimbie kwenu uende kwa mtu unae jua umsimbue mama yk

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 4 หลายเดือนก่อน

    Kuweni makini watamgeuza kua hanisi kwanza kampimeni hajabakwa

  • @MaryamNassor-l7y
    @MaryamNassor-l7y 4 หลายเดือนก่อน

    usirudie ukutoroka kwenu huko unakisia kwenda

  • @HALIHAMISI
    @HALIHAMISI 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa hilo ni jambo la ajabu hilo

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 4 หลายเดือนก่อน

    Familia ikombali wapi mbali hapa Tanzania? Hata Mbeya sio mbali. Sababu ya kutokumtafuta sio kuwa wewe mwanamke. Ukisema hivyo ndio ushajijengea kuwa sio mpambambanaji maisha ya kuwa mimi mwanake hili siwezi kulifanya ni lile tu alilokataza Allah basi. Hizo ni fikra mgando.

    • @zulfahaji91
      @zulfahaji91 4 หลายเดือนก่อน

      Mzazi mwenyewe umemzona lkn afya yake

    • @ايتيتووينويو
      @ايتيتووينويو 4 หลายเดือนก่อน

      Hayaja wakuta hao wanaropoka utumboo kwani hawajamuona mama yake hapo na mwenyewe kajieleza kuwa baba wa mtoto hakuwepo na yeye hajiwezi kwenda popote kulingana na afaya yake sasa hapo nini hujaelewa

    • @Zanzibar-LandOfBlacks
      @Zanzibar-LandOfBlacks 4 หลายเดือนก่อน

      Acheni kujidanganya na fikra za superwomen, awe mpambanaji ulitaka amtafute usiku na mchana?! Kwamba akihangaika usiku na mchana ndo atakuwa mpambanaji. Ndio hapo unapokutwa na jambo badala ya kuomba msaada usaidiwe ukajifanya superwomen na lisiwe lolote.