Ameen napokea uponyaji wangu leo,kibali,nyota yangu, biashara iliyokufa irudi. roho yakukataliwa naikomesha, roho ya mafarakano naikomesha kwa jina la Yesu Ameen asante baba kwa Maombi mazuri ameen
In the name of Jesus Christ 🙏 walai this prayer is powerful if you have faith mm nmekua naumwa na tumbo but finally nmepokea uponyaji 🙏❤️ mungu apewe sifa milele 🙏🙏 najua ata ashabadilisha ndoto yangu 🙏
Amen Nakomesha Magojwa katika familia yangu madungu sangu Na madada yangu kuotaa Ndoto mbaya Nafunja yote katika jina la yesu mungu wagu Niondolea hayo yote Nirundishie Maisha mypa Nyota yangu ingare katika maisha yangu yote Amina God bless you my man of God🙏🙏🙏🙏🙏
Nakomesha ndoto za kujirudiarudia hali ya kusumbuliwa na nguvu za Giza zishindwe,ndoto za kurudi shule zishindwe,Kuota kufanya mapenz viishe,roho ya umaskini itoke kwa Jina la yesu
Bwana Yesu nakushukuru kwa kukomesha vyote vilivyo kuwa vinanitesa.Nakurudishia utukufu mateso hayatanirudia tena. Nah 1:9 ktk JINA LA YESU KRISTO AMEN AMEN AMEN
Kwa jina la Yesu nakomesha roho za magonjwa juu ya familia yangu, hasa mwanangu na mama yangu. Magonjwa yaondoke na yasirudi Tena. Ni katika jina la Yesu Kristo Naomba. Amen 🙏
Naomba mjuuku wangu afunuliwe awwze kuongea mungu nakataa magonjwa ya kujiludialudia mungu nilinde biashala yangu isiludi nyuma tena nisonge mbele wanangu wafaulu kama walivyofaulu wengine mungu nisaidie
asant mungu kwa maombi aya nakomesha magonjwa yalioshikilia tumbo langu ktk jina la yesu magonjwa yasiotaka kupona ktk jina la yesu naamini nimepona kesi ya magonjwa amina
Jehova naomba ukomeshe nagonjwa yanayo jirudia kwa watoto wangu na pia roho ta kukosa pesa kwa familia yangu..yaaninaomba kazi permanent kw mume wangu ili tusiteseke tena kwa jina la yesu
Kwa jina la yesu navunja nguvu za ibilisi!; zinazoharibu :; afya yangu;! Ufahamu wangu!; na UCHUMI WANGU;! Shida zote hizo kwa JINA LA YESU HAZITARUDI TENA;!
Ee yesu naomba uniponge na mateso na vita katika maisha yangu kwenye huduma yangu ya uwimbaji kwenye ndoa na kwenye uchumi ee Yesu nitoe kwenye dhoruba hii ya kujirudia nimechoka naenda lakini narudishwa nyuma nakataa Kwa JINA LAYESU KRISTO Nitetee mfalme wa amani
Naamini Kwa jina la yesu magojwa na laana zote na ndoto mbaya za kunirudisha nyuma si shundwe Kwa damu ya yesu Kristo amina
Nimekomesha makosano yanayo jirudia katika ndoa yangu nimekomesha kwa jina la yesu naomba uniombee
Nakomesha hofu n waiwasi moyoni mwangu kwa jina la yesu kristo🙏
Amina nakomesha ma agano mabaya yanayo jiludia katka maisha yangu roho zauharibifu mashambulizi na mavamizi kwa jina la yesu kiristo 🙏🙏🙏🙏
Ameen napokea uponyaji wangu leo,kibali,nyota yangu, biashara iliyokufa irudi. roho yakukataliwa naikomesha, roho ya mafarakano naikomesha kwa jina la Yesu Ameen asante baba kwa Maombi mazuri ameen
Nakomesha hofu , wasi wasi na sauti zinajirudia kichwani kwangu katika Jina la Yesu Amen
Nimepokea uponyaji kupitia maombi haya ubarikiwe mtumishi kwa maombi
nakomesha ndoto mbaya zinazojirudia zinazoashilia kukwama kucheleweshwa kurudi kuachwa ni magonjwa kwa damu ya yesu Amen
Nakomesha magonjwa kwenye familia zetu,ajali,ulevi na wizi kwa jina la YESU. Mtumishi maombi yako sana
In the name of Jesus Christ 🙏 walai this prayer is powerful if you have faith mm nmekua naumwa na tumbo but finally nmepokea uponyaji 🙏❤️ mungu apewe sifa milele 🙏🙏 najua ata ashabadilisha ndoto yangu 🙏
Amen Nakomesha Magojwa katika familia yangu madungu sangu Na madada yangu kuotaa Ndoto mbaya Nafunja yote katika jina la yesu mungu wagu Niondolea hayo yote Nirundishie Maisha mypa Nyota yangu ingare katika maisha yangu yote Amina God bless you my man of God🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu nisamehe makosa yangu nakaata rohoza kunyonga kupitia kwajinalayesu hizoroho ziniondokee kupitia kwajinalababa nalamqana nalaroho mutakatifu
❤❤❤❤Amina Muñgu akubariki Mtumishi ubarikiwe sana Nina Imani nimepona ❤❤❤
Nakomesha ugonjwa wangu usio Julikana unaojirudia rudia kupitia jina la yesu kristo Mnazareti aliye hai 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen kwa damu ya Yesu nimekombolewa asante Mungu
Mungu unipiganie sana kwa hili asante Yesu amina
Nakomesha roho za magonjwa katika Maisha yangu na kwa watoto wangu na mume wangu
ubarikiwe mtumish. Mungu amenionekania amen
ubarikiwe mtumish. Mungu amenionekania amen
ubarikiwe mtumish. Mungu amenionekania amen
ubarikiwe mtumish. Mungu amenionekania amen
Amen amen mtumishi mungu baliki kwaku tupa maombi
Nakomesha magonjwa katika jina la Yesu
Nakomesha visirani kazini in Jesus name 🙏 wanipatie amani
Nakomesha ndoto za kuludi Kijijin kiroho kwa jina la Yesu ndoto za kuludi shule kwa jina la Yesu nakomesha roho za kucheleweshwa kwa jina la Yesu🙏
Nakukomesha plesha inayo jirudia kwa jina la yesu na kw ADAMU ya YESU
Amen MUNGU akubariki sana mtumishi
Amen Amen amen pastor wacha mungu akutie nguvu
Nakomeshesha magonjwa yanayonisumbua, nakomesha kila ndoto mbaya zinazoniandama nakomesha umasikini na mateso kwenye maisha yangu🙏
Ameni kila baya limekoma Mungu mwema 🙏🙏🙏
Nakomesha ndoto za kujirudiarudia hali ya kusumbuliwa na nguvu za Giza zishindwe,ndoto za kurudi shule zishindwe,Kuota kufanya mapenz viishe,roho ya umaskini itoke kwa Jina la yesu
Mungu akubariki sana pastor
Ameen nakomesha Figo Inn utumbo kushindwa kupumua kwajina layesu😢
Naomba mungu anilinde Mimi nauzao wangu
Amen napokea 🙏
Nakomesha yoho ya magojwa inajirundia na monitoring spirit in the mighty name of Jesus
Bwana Yesu nakushukuru kwa kukomesha vyote vilivyo kuwa vinanitesa.Nakurudishia utukufu mateso hayatanirudia tena. Nah 1:9 ktk JINA LA YESU KRISTO AMEN AMEN AMEN
Amina baba nasikia kufunguliwa katk jina la yesu
Nakomesha ndoto za majini kimapenzi zinazo jirudia mara Kwa mara kisirani roho ya kukataliwa ipigwe na moto wa yesu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimekua nikiota nafua imejirudia mara tatu, barikiwa sana pastor
Ñataka nipone tatizo la ndoto za kujirudia kwenye maisha yangu na watoto wangu leo litoke kwa damu ya yesu ñataka CHEDI apewe jibu ashinde mtihan leo
Amina napokea🙏
Thanks for prayers man of God.
Mungu naomba nipone magojwa yote yanayo ludiya ludiya
Eee Yesu nikumbuke Baba unapodhuru wengine namimi usinipite
Kwa jina la Yesu nakomesha roho za magonjwa juu ya familia yangu, hasa mwanangu na mama yangu. Magonjwa yaondoke na yasirudi Tena. Ni katika jina la Yesu Kristo Naomba. Amen 🙏
Amin
Asante mungu Kwa maombi ila nakomesha magonjwa yanayojirudia Kwa watoto watu yakome kabisa kuanzia leo in Jesus name 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ukakomeshe ajali za kujirudirudia za kuteleza na kuvunjika Kwa Damu ya Yesu iniponye. Ameen
Napokea kwa damu ya yesu
Naomba mjuuku wangu afunuliwe awwze kuongea mungu nakataa magonjwa ya kujiludialudia mungu nilinde biashala yangu isiludi nyuma tena nisonge mbele wanangu wafaulu kama walivyofaulu wengine mungu nisaidie
Ubarikiw sana papa
asant mungu kwa maombi aya nakomesha magonjwa yalioshikilia tumbo langu ktk jina la yesu magonjwa yasiotaka kupona ktk jina la yesu naamini nimepona kesi ya magonjwa amina
Nakomesha ndoto madhabau za giza sinazojirudia nikiwa shule nafanya mitihani nafuga njiwa naota napaa navunja hayo madhabau katika jina la yesu Amen
Ubarikiwe mchungaji
Hee mungu kilahahina zote zamatatizo zishindwe kwa damu ya yesu
Moto kwa damu ya Yesu
Nashukuru sana kwa maombi hayo
Ndoto zakuota nanguka nakemea kwajina la yesu
Bwana yesu shusha damu yako ikomeshe matatizo ya watoto wangu na familia yangu katika jina la yesu,....
Nakomesha ndoto zinazo jirudia kwa jina la yesu
Naomba nipone izi ndoto zinazokaa zinajirudia, naomba kuondolewa izi shida zinazokaa zinajirudia kwangu, naomba niondolewe changamoto zinazokaa zinajirudia namateso kwangu, amina🙏🙏
Hili teso halitarudi tena katika Jina LA Yesu amen
Mimi tatizo lakuto fanikiwa kiuchumi haliishi linajirudia sifanikiwi
Niombee mtumishi
Niombie mtumishi wa mungu umasikini madeni kudharauliwa magojwa ndio vimetutawala naomba Amani na uzima
Asante yesu kwa ajili ya maombi ya uponyaji naamini nimepona ktk jina lako amini
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA NAPOKEA KWA JINA LA YESU christo amen
Asante mtumishi
Nakemea roho ya kurudi nyuma kimaendeleo roho ya kukataliwa na roho wa madeni na mkomesha kwajina la yesu
Naomba mumwombee mume wangu anatumiwa na maadui kutukana jirani pia kukosesha amani ya familia yakome yasijirudie tena kwa jina la yesu
Ameen nakomesha magonjwa kwenye maisha yangu na watoto wangu kwa jina la Yesu
Kwa jina la Yesu nakomesha kiungulia na mgongo maumivu yanayojirudia, Mungu alishamiponya sitaki kurudi kwenye mateso ya nyuma, bwana Yesu nionekanie
Asante Yesu
Amen napokea kufunguliwa roho ya kucheleweshwa na kukataliwa
Amen naomba uniombee mtumishi wa mungu mimi na shida inanirudia rudia
Ameeni nakomesha kila magojwa yanayonifatilia kwajina la yesu asante mtumishi wa mungu
Ameeni nakomesha magonjwa kwa mama angu naamini atapona🙏
Asante yesu tunabalikiwa kuptia mtumishi wako Amina Amina
I receive I receive I receive 🤲
Amina nakomesha hali ya presha na mateso katika uzaz wangu Mungu akatende miujiza yake safari hii niweze kupata mtoto salama kwa jina la Yesu🙏
Mungu ingilia jehova mjengo wangu katika Jina LA Yesu amen
Mngu akubariki
Ee Mungu niponye Afya yangu na Afya ya mama angu mzaz kwa jina la Yesu Ameeen.
Nakomesha mateso ya kifua Cha mke wangu afunguliwe kiafiya apone kifua namafua Amina kwaimani
Nakomesha kabisa mateso yanayo jirudia kwa jina la yesu
Navunja madhabahu zote za kuzimu zilizonenwa kwa ajili ya maisha yangu na familia yangu, changamoto zinazonikabili zishindwe kwa jina la YESU
Mungu baba yangu naomba ukomeshe mateso yangu amen
Amen mtumishi
Amina sitafukuzwa kazi wala kusimamishwa kazi kwa jina la Yesu
Napokea kwa jina yesu kristo mwana wa Mungu aliye Hai 🙏🙏
Pastor kumbuka watoto wetu pia
Kwa jina la Yesu Naomba Mungu akomeshe kumtoa huyu mtu ambaye anasumbua maisha yngu asimumize Bali aendelee na maisha yke
asante nimepoana nilikuanaumwa chiniyauchiwangu kupitiyamaombinimepona
Jehova naomba ukomeshe nagonjwa yanayo jirudia kwa watoto wangu na pia roho ta kukosa pesa kwa familia yangu..yaaninaomba kazi permanent kw mume wangu ili tusiteseke tena kwa jina la yesu
Kwa jina la yesu navunja nguvu za ibilisi!; zinazoharibu :; afya yangu;! Ufahamu wangu!; na UCHUMI WANGU;! Shida zote hizo kwa JINA LA YESU HAZITARUDI TENA;!
Amina
Nakomesha magonjwa ya kujirudia kwenye mwili wangu kwa jina la yesu kristo🙏🙏
Mungu ukawakomeshe watesi wangu ktk eneo langu la kazi naifunika kazi yangu kwa damu ya Yesu
Eeee mungu naomba ukomeshe magonjwa yote yanayo jirudia kwa jina LA yesu
Nakomesha shetan anaecheza na maisha yangu
Ee yesu naomba uniponge na mateso na vita katika maisha yangu kwenye huduma yangu ya uwimbaji kwenye ndoa na kwenye uchumi ee Yesu nitoe kwenye dhoruba hii ya kujirudia nimechoka naenda lakini narudishwa nyuma nakataa Kwa JINA LAYESU KRISTO Nitetee mfalme wa amani
Kwadam ya yesu akomeshe pepo layuliki ugojwa wamifupa
amén piya n'a miye iyi magojwa isinirundiliye tena n'a katala ka bisa mungu uniponye papa unisaidiye kwa île lego
Amen nakomesha matatizo yote yanayojiludia kwa jina la yesu kwnya familia yangu