#TUZO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2020
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
God bless you so much BABA YANGU NABII MKUU GEARDAVIE
Baba bwana Yesu, asifiwe, baba tunaomba maombi ya kufunguliwa, nimetoa sadaka ila sijasikia maombi juu yangu, .naomba msaada wa maombi
Amen napokea Uhuru wangu kuanzia leo Bwana Yes nisaidie hakuna kuteseka tena
Mimi naitwa peter nyaguti kutoka kenya, natamani nifike kwa Nabii mkuu ninafuraha nikiangalia tv najiskia kama roho yangu inarudi
Hongereni sana kwenu watu wa Dodoma
Napokea kwa jina la Yesu
unastahili Tuzo Nabii Mkuu Baba yangu wewe ni tunu kwetu
Natamani nami siku moja kuja kusimama katika madhabahu yako mtumishi
Yaaan nabii hasaidiii mpk utoe sadka kweli mjin shule
Naliinua jina Lako Yesu
Upako wa viwango vyajuu ,Amen.
Upako unainua unapandisha 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪kiwango
Many,many ,many, abundant BLESSES bestowed upon you by the LIVING GOD: JOYOUS DAYS MAN GOD. SENIOR PROPHET GEORDAVIE. THANK YOU JESUS AND AMEEN
Nyinyi nima shetani kwa hizo biashara mnazo fanya manabii wauongo mnyama yupo duniani now
Too Much baba ,be blessed
Amina mtumishi wa Mungu hata mimi pia natamani siku moja nifike Ni mbali lakini kwa Mungu si mbali kupafikia ooo natamani mno
Haleruyaa
Mh!
Huko ni kumwabudu mtu, siyo MUNGU!
Watu wanashida na mafanikio sio Mungu. Hapa ndio tabu kubwa ilipo
Kilaaminiye nakubatizwa ataokoka marko 16 ,15
To God be the Glory
Blessings Blessings Blessings
Super dadyeeee penda sna baba yangu unafanya kazi kubwa sna jamni
Shelehe hii sikumoja itakuwa mbele ya Mungu, watu wa Mungu wanapofushwa mcho roho wa Mungu amesha wakimbia mda mlefu sasa nawaonya kama bado hekima ingari nafanya kazi maana ngumvu hizi sio nguvu ya Mungu bila kuwaficha manabii hawa watakiona kipigo mbele za Mungu.
Ngumvu za shetani zinashelekewa? Ukiona mtu anagagaa chini wanaume kwa wanaume jua hizo ni nguvu za giza siwafichi sikumoja mtaikumbuka msg hii. Mtu akiwa na mapepo anaombewa haswa sio kama namna hio
Yesu alisema baadhi ya mapepo yanatoka kwa maombi na hatachakura uche sasa mtu maneno mawili eti mtu amefunguriwa!!! Wekeni tahathali. Watu wangu wamekufa kwakukosa malifa.
Imani ibakie kuwa yakwako,wewe hujawahi kukutana na mungu akakuonyesha physically, kwamba MTU anafungukaje,upako unazidiana na uwezo unazidiana wewe kama unaweza kutumia masaa24 kumfungua MTU wengine wapo wamabarkkiwa kutumia sekunde,ndomana hata mashukeni wanafunzi wanazidiana uwezo,kunaanayefundishwa mda huohuo ameshika mwingine mapaka arudie mara b40, wewe amini unachokijua kuhusu mungu,na mungu Ndiye atakayetoa hukumu siku yamwisho mana hakuna Mwenye mamlaka yakuhukumu MTU duniani isipokua yeye mwenyewe,
Wacha Mungu ajidhihirishe kwa watu wake na hakuna mtu wa kupotosha hapo Kama huamini hiyo ndiyo level yako
Mimi naomba nifunguliwe njia. Nimeteseka na maisha sana. Mungu naomba unipee mume mwaka huu
Ehe Mungu wa Israel Kama ulivyo wafungua hawa nami kupitia hushuhuda huu naomba kufunguliwa
Barikiwa San baba
Nawaonea wivu jamani duuu wapi lake za mbeya na mchungaji Richadi Iyanga
Natamani sana jamani nifunguliwe daaah
Sisikii jina la Yesu kutajwa
Ni kweli kabisa ila Nabi mkuu ni Yesu tu
GOD is good 🙏🙏
🙏,Ameeen..
Uyu ndiye mungu aliye hai baba yangu mungu aliye ndani yako ni mkuu sana
Haleruyaaaaaa
amina baba
Nabarikiwa Sana kuanzia leo sitaonewa tena mimi na family yangu
Baba kwa sisi wenetupo mbali itakuwaje baba nabi tusaidiye na sisi baba🙏🙏🙏
Amen 🙏
Yesuuuuu power
I connect
Soit béni prophète de nation. Venez aussi au Congo RDC on besoin de vous
Amina
Ameeen
Na mm napokea nikiwa Mombasa Kenya
Amen 🙏 Amen
Amen
Nabii,nàtamani,nikufikie,Nina,shida,nyingi,Sana,,Niko,kenya
Amen Amen
Aponisaa nabihi
HALLELUJAH
Amen
Ameen 😭😭😭😭😭😭
🙏🙏 Ilikuwa siku ya baraka sanaaaa, kwa kuwekwa mahuruuu
Ameen
Aleluya
New wine
My goodness
Nisedie na mm baba ninashida najitado kutafuta lakin sifanikiwi
John..chega
Mbavu zangu Mimi jaman🤣🤣🤣 iman yg ciamn
Hallellujah Hallellujah Daddy
Mh mbona sisikii jina lenye mamlaka la Yesu Kristo likitamkwa
Ndugu yangu ni uchawi huu
@@solomonrwabose7600 kkkkk
Naomba msaada ila niko mbali marekani
Jambo nabi nahitaji niongeye na wewe tapa namba yako je
Tunataka ongeya na mutumwa
Yesu alitpa jna lake lenye mamlaka ili kila mtu aokolewe kwalo sasa hyo hatumii jna la yesu huyo ni mganga kama waganga wengine waumin wake mmpotea anatiket ya kuzim
Yesu yuko wapi apo jamani ..
Natamani nifike kwa kanisa uko pande gani, arusa ama darasalam
ila tudanganyike mpaka lini nyinyi mashetani mutachomwa moto
Ameni
Acha tuone mengi kwakweli
Poleni wana wa mungu kwa msaada 0682446651 najuwa mnakiu ya kuurithi ufalme wa mungu lakini hapo bado ila kama mmefata miujiza na baraka za kibinadamu sawa lakin c,,,,,,,,,,
Mbona hausemi kwa Jina la Yesu? Je, unayafanya hayo kwa jina la nani? Ushindwe kwa JINA la YESU?
Heri wew uliyebaina kwamba hata jina la Yesu halitajwi, lkn kinachotafutwa hapa ni mafanikio ya muda
Heri wew uliyebaina kwamba hata jina la Yesu halitajwi, lkn kinachotafutwa hapa ni mafanikio ya muda
@@mwitamagesa1034 kwr
Jesus Christ
Mungu ni mwema
Shalom, utumishi ni safari ndefu sana. Kuna wengine wataamini nguvu halisi za Mungu na wengine hawataamini lakini sisi tunaamini kuwa Nabii Mkuu Dr.Geordavie ni Mtu wa Mungu na ametumwa na Mungu. Kuna mambo mengi sana yamefichwa katika ulimwengu wa roho na hauwezi kabisa kuyatambua kwa kutumia Theologia ila shule ya Roho Mtakatifu pekee ambayo ni adimu na ngumu sana kwani Roho huchagua kama apendavyo yeye. Tangu nimekutana na Baba mwaka 2015 nikitokea Makanisa yanayoaminiwa kwamba ndiyo yana Mungu wa kweli nikiwa mgonjwa katika mwili wangu lakini baada ya kukutana na nguvu hii nilipona kabisa na maisha yangu ya wokovu yamekuwa imara zaidi kuliko mwanzo. Mwenye masikio na asikie. Shalom
Huna Lolote we shetani tuuuu... Watu wanakuheshimu baadala wamuheshimu Mungu... Una mabodyguards baadala ulindwe na malaika...
Eti Una nguvu Kuliko mwingine unamzidi hata Mungu kweli??? Watu wanakuita baba kwa minajiri ipi??? Jehanum is waiting for you
Na swala la mtumishi kuitwa baba ni kwa sabbu yeye ni baba wa kiroho kumbuka popote alipo onekana mungu Kuna mtu aliyesabbisha mungu kuwa pale ndio maana tunasema mungu wa Musa, mungu wa elia ,mungu wa yakobo, mungu wa ibrahimu mungu alimwambia ibrahimu wewe utakuwa baba wa imani kwa hiyo hata huyu mtumishi Joe anaitwa baba wa imani wa kiroho kwa mujibu wa Bible.
I connect
Amina
Amen