#breakingnews
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Wafanyabiashara zaidi ya 800 wanaodai majina yao hayamo kwenye orodha ya watakaorejea katika Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamekusanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kujiandikisha, kisha wakaandamana kwenda ofisi za CCM kulalamika.
Wafanyabiashara hao ni miongoni mwa waliohamishiwa kwenye masoko mbalimbali baada ya kuungua Soko la Kariakoo, kupisha ukarabati na ujenzi wa jingo jipya la ghorofa sita.
Soko la Karialoo liliungua Julai 2021 na kuteketeza mali karibu zote za wafanyabiashara.
Kutokana na hilo, Serikali ilitoa zaidi ya Sh28 bilioni kwa ajili ya kulikarabati na kujenga soko hilo dogo.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Kenya
Make kwanza ncheke😂😂😂😂😂watu wanaanza kupambania haki zao sasa
Ila mimi ni mjinga eti napendai kuona watu wamevurugwa hivi oyooooo
Ssamia,pole sana,mwaka huu unayo kazi.Vijana mliowasomesha na kisha mkawanyima ajira,sasa wameamua kujiari kwa njia ya maandamano.Ondoa Chalamila awafuate wasanii wenzie akina wema na Steve huko Korea.
Tuwe tunapeana taarifa kua siku flani tunakiamsha jamani... Sasa ninyi mnakiamsha pekeenu mbona mnakuwa wachoyo ivo jamani? Me nawatamani sana hawa viongozi yani nawatamani kama nyama yakuchoma.
Nakuaminia na ulivo mtata utawaonesha Kenya kua wao pale walikua wanacheza
Nafurahia sana hii Hali ili watu wawe na akili na ufahamu.
Mkiambiwa ccm siyo hamuelewi
Naamini WATANZANIA kuna siku moja tu wataja amka kama kenya, Na hiyo siku haipo mbali.😅😅😅😅😅😅
mkileta mambo ya kenya mtagongwa kwa mujbu wa shelia
Hakuna mtu ataishi milele hapa duniani . Watauwa watagonga wangapi ?@@YassinRajabu
Wewe mshanba kweli mzee...
Tena WACHAGA ndo watakua wakwanza kuwasha moto kwenye hii nchi maana wale walisha amkaga zaman sanaa kabla ya watanzania wengine. na nyie mnao jifanya serikali mtaonyeshwa kwamba nyie ni mavi kunuka tu.
Acheni ujinga Kama hawataki kufanya biashara na sisi tunayataka maeno hayo tufanye biashara
tunajua nyumayenu kunawana siasa lakini tambueni amani nibola kuliko soko ccm oyee oyeeeeee kidumu chamapinduzi kidumuuu
Tunatambua nyuma yako Kuna wezi wa jasho la wananchi, tambua amani ya kuibiana ni ushenzi..! Haki yetu Oyeeeeee!
Kidimuuuuuuuuuuuuuuu
Nani kama mama
Sie tupo na furaha za kiiiiiiiii na chama
Mnaumiza watu na kodi kedekede,kumbe pesa yenyewe mnawapa akina makinda wanafanya siasa za kitoto,wanagwa pesa ovyo.Mkuu wa mkoa anasema kila arusi alipia Ukumbi.Jmn ,kweli huyo anajitmbua?Chalamila ndiyo kabisa !!Fukuzilia mbali wanatuletea umagufuli nani ana shida staili hiyo .Serikali inakumbatia vibaka, mara huyu anabaka,mara huyu analawiti.
Sasa hapo magufuli amefikaje jieshimu huyo mtu mwache apumzike
Duh huu mwaka ni shida,
kazi ipoo
MagenZ wa Kariakoo sio
Ushauri.Yule DC wa Temeke mpe huu mmoa.Chalamila mpe mtaji akalime nyanya Iringa kwao.DC Magoti mpe mkoa Arusha.Makonda ukikosa pa kumpele mpeleke kizuizi panamfaa.
Shida sio viongozi, fursa iliyoko kariokkoo,haikidhi mahitaji ya raia. Ukumbuke kufunga na kufungua soko uwezekano wa kuondoana kutakotakana kunyanganyana fursa.
Hii lini mbona Leo nilikuwa hapa crdb vijana sijaona huu umati
Vyombo husika wameshindwa kujua kiini cha migomo hii badala yake wanasingizia masuala ya ushawishi wa kisiasa. Watu wanachodai ni haki!
ngoja tafuneni chuma icho magufuli hayupo acha manyangau watukomeshe😊
Kulikoni tena akariakoo
Unatishaje watu kariakoo.Unakalia uchawa.mwaka mtachmba wima.
WATENDAJI OMBENI USHAURI,HILI SI JAMBO LA PHD.
Something wrong
Waleta fujo
Mim kiushaur serekali wajarib kuwasikiz hawa watu nin wanatk ili kazi iendeleee hapa pana tatz kw hawa raiya sio wabaya bali kuna kitu serekal inahis Hakipo saw kw hawa watu ndio inahaki ya kubalidili kile kilichokuw hakipo saw lakini busara itumike zaidi kw mstakabali wa pande zote mbili
Je hawa wote ni wafanya biashara?au ndio sisi tuofuta msafara wa mamba
nyie Kenge mnavuluga Amani mnajifanya wakenya ee mta gongwa kwa mujbu wa Shelia
Sorry nadhan ni haki kuandamana kwa amani ,,,bila kuvuruga aman ya nchi ,,ila Kam ikitokea vurugu basi serikari inawajibu wa kuwajibika
Hao si watoto si wajinga na si wahuni. Kuna jambo hapo
Wapigwe hao
Viongozi dalili hizi sio nzuri hata kidogo tuyamalize mapema haya.Challamila ana kosa gani kwa mnao mshambulia? Namuona kama kijana mmoja anayejitahidi kadri ya uwezo aliojaliwa na Mungu.
Mmmhhh pole
Wanashinikizwa na wanasiasa,
Hapana tumetoka sokoni kupisha ukarabati baada ya ajari ya moto sasa hivi hawataki kuturudisha wameuza vizimba kwa watu wao
mnataka haki gani nyie kenge
Hawa ni Raia sio kenge, sehemu muhimu ya maisha imeguswa. Bila ya watu kula wakashiba ni wabaya kuliko kenge. Swali ukishiba jiulize jirani au ndugu yako kashiba ili nawe ushibe kwa amani yako