MAKONDA: "Ni Aibu Mwanajeshi au Askari kuwa Masikini" TUMIENI FURSA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 14

  • @hefintus
    @hefintus 20 วันที่ผ่านมา +7

    Huyu jamaa atakuja kua Rais kwenye hii nchi,haya maneno yangu naombeni myaweke mahali Kuna siku isiyokua mbali sana.

  • @lisokimecholobi9451
    @lisokimecholobi9451 18 วันที่ผ่านมา

    Mkuu umetisha mungu azidi kukuweka

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kwanini wakuu wa mikoa mengine msiwe kama huyu mwamba hapa, wakuu wa mikoa mnakwama wapii, chukueni hiii spirit muiokoe nchi, nchi inahitaji maendeleoo, tuko nyuma sana, tuko nyuma ya muda.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 15 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤💯 Tanzanian icon

  • @user-jf1sq7lk4g
    @user-jf1sq7lk4g 20 วันที่ผ่านมา +2

    Good job

  • @francohaule-ci7ii
    @francohaule-ci7ii 20 วันที่ผ่านมา +2

    Umenifanya nifurahi

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 15 วันที่ผ่านมา

    💪

  • @JacksonMtese-gn4so
    @JacksonMtese-gn4so 20 วันที่ผ่านมา

    I think this is similar to UPDF

  • @mariamshabani7107
    @mariamshabani7107 20 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤

  • @athumanikadaika5817
    @athumanikadaika5817 20 วันที่ผ่านมา +2

    Jembe kazini.

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 20 วันที่ผ่านมา

    Sasa jeshi likifanya biashara na sisiraia tufanye Nini unakuta jeshi linafanya biashara ya baa siyo vitu adimu hata matofali viwanda vya tofali ni vingii kuliko wateja pia baa siyo hitaji la msingi Wala ukumbi wa harusi tuachieni sisi raia jamani na Kodi zetu ndio zinazo walipa yie Sasa mnatunyanga Tena wateja acheni serikali ikusanye Kodi isifanye biashara pamoja na vyombo vya ulinzi

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko8000 20 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @johnnziku5810
    @johnnziku5810 20 วันที่ผ่านมา +1

    Good

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 20 วันที่ผ่านมา

    Hii approach ya makonda kwa miradi mikubwa ya serikali ni kama ya JPM..kutumia vikosi vya jeshi. Kwa mpango huo ni vigumu pesa kuja kwa wananchi...makampuni wananchi itumike kufanya miradi mikubwa..watalipa kodi,wataajiri vijana, watauza vyakula nk ili kuongeza mzunguko wa pesa mtaani