Tazama Gari La Laki Saba Lilivyompa Sheikh Walid Gari Aina Ya V8 Na ZX Asimulia Mwanzo Mwisho

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM TH-cam @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

ความคิดเห็น • 60

  • @mrishoali1755
    @mrishoali1755 18 วันที่ผ่านมา +1

    MasshaAllah Shegh Walid Usichoke na sisi InshaAllah hatutochoka kufatlia na kuijua dini yet wanazuon wanapungua na sisi tulionyuma yao tunapaswa kukamat ufmbo mkono kwa mkono hadi pepon InshaAllah

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 หลายเดือนก่อน +7

    Mufti Allah akulipe kwa kumuona Shekh Walid Hakika tunanufaika na ndio Bakwata yetu inatakiwa ielekee

  • @abdullakhalfan31
    @abdullakhalfan31 หลายเดือนก่อน +11

    Nakukubali Sheikh Walid Mashaa Allah.

  • @Majhidymhessa
    @Majhidymhessa หลายเดือนก่อน +3

    Ma Sha Allah
    Mollah akuzidishie umri,kweli wewe ni kichwa kwa hesabu hizo na tukiamua kwa yakini waislam tunaweza fika mbali

  • @MAIMUNAABDALA-m4u
    @MAIMUNAABDALA-m4u 14 วันที่ผ่านมา

    Nakupenda San shekh waldy

  • @user-hk4ub8sy3z
    @user-hk4ub8sy3z หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah shekh Walid mola akulinde na hasad za watu na majini.

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah Sheikh Walid, sio yule mtu wa michapo ya kinadada

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 หลายเดือนก่อน +1

    MASHALAH
    SHEKH WALIDI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH

  • @abbasmungia266
    @abbasmungia266 15 วันที่ผ่านมา

    Hikma kubwa Masha Allah

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaa Allah Allha akulipe tutumie mda vzr fursa zipo ilituendelez dini na maisha kwaujumla.

  • @gharibsomali4595
    @gharibsomali4595 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo umeongea ukweli kutafakari muhim na nyinyi mjitambue munaendeshwa kwa misingi gani au munaenda tu kwa vile mumepata sehem ya kula ongea ukweli yasiyo faa

  • @ladooladoo1285
    @ladooladoo1285 29 วันที่ผ่านมา

    Huyu shekhe Maa shaa Allaah napenda uongeaji wake ni mtu simple ukimuona, uongeaji wake taratibu na mwingi wa hekima kuongea kwa mifano halisi kunafahamika zaidi wala hana usabii Allaah Akuhifadhi na Aturuzuku na sisi
    Lakini niwaambie siri ya mafanikio mnajua ni nini? Kumpa mtoto elimu ya kumtambua Mungu kwanza kwa hiyo safari inayobakia inakuwa nyepesi Allaah Atupe hekima ya ulezi kwa vizazi vyetu

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 27 วันที่ผ่านมา

    Daaahu hyu sheikh Allah amemjaalia hekma mno,uwezo mkubwa wa kuzungumza

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 หลายเดือนก่อน +2

    Uchumi, uchumi wa waislam uanzie kwenye madrasa/misikiti . wakati watoto wanasoma dini basi wafundishwe pia namna ya kujipatia kipato. Hii inawezekana kama madrasa ikiwa na maeneo ya adhi wakatumia kufuga( kuku, mbuzi, ngombe,) ama kufanya kilimo kwa mazao ya chakula na biashara (mahindi alizeti, maharage,nk) . Vilevile wafundishwe ujuzi wa computer, mechanics, umeme nk. Hii inawezekana ikiwa watawatumia/kuwaalika wataalam mbalimbali wa Kiislam hata wasio waislam. Kupelekwe mafungu ya fedha kila madrasa iweze kufanya mradi wake, ili wanafunzi wakihitimu wasiwe tegemezi na kudhalilika mtaani ama kujiingiza kwenye mikopo yenye riba, kamati na kujiuza. Inshaallah kila kitu kinawezekana tukitafakari na kuja na fikra za kujiinua kiuchumi.
    Allah awabariki, na Awatimizie malengo haya mazuri masheikh wangu.

  • @jemrezeejemrezee9451
    @jemrezeejemrezee9451 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaaa nifaswaha sana kwenye kuongea mashaAllha

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b หลายเดือนก่อน

    Mabadiliko ya ante na kuwalipa Mishawaka mizuri waalimu wa vyuo na masheikh kazi kubwa sana wanaifanya. Itapunguza kuombaomba na majungu. Wendi siku hizi wamekuwa waganga

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 หลายเดือนก่อน

    Allah azid kkuhifadhi kwa kheri alhamdulilah nakupenda kwa ajili ya Allah. Na ssi yuko tayari kuchangia kwa ajili ya maendeleo ya uslam daima

  • @athumansaid796
    @athumansaid796 หลายเดือนก่อน +5

    Walid wamuache kabsaaaa

  • @KhalidMzala
    @KhalidMzala หลายเดือนก่อน

    Mashaallah Allah awape kiongozi wetu wadini umri mrefu wenye manufaa na afya njema

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 27 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah masheikh zetu kwa kikao kizuri....

  • @kapayaone748
    @kapayaone748 23 วันที่ผ่านมา

    My role model -Masha Allah

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk หลายเดือนก่อน +1

    Maashaallah lazima tuwe na uchumi wetu

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah, Allah akuhifadhi kipenzi chetu shekh Walid Alhad Omar Kawambwa Kinyamkinda😀, hakika wewe ndiyo mtoto wa mjini hasa, tunawaombea na wale ndugu zetu waliokuja mjini awaondoshee husda na roho mbaya tuwe nao pamoja mjini

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 หลายเดือนก่อน +2

    Maneno ya shekh Wald kama kila kiongozi wa kiislamu atayafata waislamu tutakua mbali sana duh!! Ameongea vizuri sana

  • @athumanzanangwa4477
    @athumanzanangwa4477 หลายเดือนก่อน +1

    Nasaha nzuri sana.
    Tuunge mkono kivitendo katika maeneo yetu kwa fursa zilizopo!

    • @allykama3352
      @allykama3352 หลายเดือนก่อน

      Jitambuwe.+badilika+ aca mazoweya=mafanikiyo😊

  • @AmriMzeru
    @AmriMzeru หลายเดือนก่อน +1

    Hili somo nimelipenda

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 หลายเดือนก่อน

    Safi sana shekh umeongea kweli sisi waisilam tumejaa majungu sana

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah umepataja kwetu lusanga.

  • @marijanmussa
    @marijanmussa 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaallah

  • @shabanikitogo6613
    @shabanikitogo6613 หลายเดือนก่อน +1

    Hiki kichwa sio yule aliyekuwa kila siku ikulu kuomba msaada .

  • @SulumaSwaleh
    @SulumaSwaleh หลายเดือนก่อน

    MASHALLAH BIN GHAMMY , ALLAH AKUPE PEPO KWA HURUMA ZAKE.

  • @seifusengondo9170
    @seifusengondo9170 หลายเดือนก่อน +4

    mufti ajaye Shekh Walid

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 หลายเดือนก่อน

      inafaa tupate mtu mwenyebmaarifa mengi sana. ya dunia na dini ... hawa wanafaa kuwa washauri wa mufti katika maeneo fulani fulani....., kwa uelewa wao kuhusu dunia na mambi hayo ndio maana hauwaoni bakwata wakiwa katika shuguli za maendeleo zaidi ya kufungisha ndoa

  • @hashimrwegasira3790
    @hashimrwegasira3790 26 วันที่ผ่านมา +1

    Ta sheikh walid okugamba amazima omukama akubele edini ogishomile nefaida ntugipata kulaba aliwe

  • @abdallahferouz9238
    @abdallahferouz9238 หลายเดือนก่อน

    ماشاء الله وجزاك الله خيرا 🤲❤

  • @user-tj5bf4yy3e
    @user-tj5bf4yy3e หลายเดือนก่อน

    Imenisisimua sana Shekh hongera

  • @athumanzanangwa4477
    @athumanzanangwa4477 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah.
    Shukran sana Sheikh.
    Tuingie kwenye utekelezaji!

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani huyu Sheikh ni hazina hasa

  • @user-zj2xq1od5l
    @user-zj2xq1od5l หลายเดือนก่อน

    Mashaallah man'jan'da wajadah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv หลายเดือนก่อน

    Maa Shaa ALLAH 🇰🇪💚

  • @user-ow6fw2lw7n
    @user-ow6fw2lw7n หลายเดือนก่อน +1

    Soini ata nn nachangia kwa furaha allh akbar jambo ambalo ni kiu yetu siku nyingi

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 หลายเดือนก่อน

    Maasha allah

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 หลายเดือนก่อน

    Walidi ni hazina ya koa wa darsalama na Tanzania angalia tafakkuri hiyo

  • @muhsinchambega
    @muhsinchambega หลายเดือนก่อน

    Jazakallah kheir

  • @hawa6052
    @hawa6052 หลายเดือนก่อน

    Baraka llahu fik

  • @nuhubashiramubashira7233
    @nuhubashiramubashira7233 หลายเดือนก่อน

    Maashalaah maashalaah

  • @SelemaniSelemani-bw4ps
    @SelemaniSelemani-bw4ps หลายเดือนก่อน

    Mashaa allah

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 หลายเดือนก่อน +1

    Umenijenga

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulillah

  • @Munatiyahilwa
    @Munatiyahilwa หลายเดือนก่อน

    ALLAHUMA BAARIK❤

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk หลายเดือนก่อน +1

    itolewe namba ya kuchangia

  • @majaliwaking4500
    @majaliwaking4500 หลายเดือนก่อน

    mashekh hayo ndio yanafanya kupindisha haqqi

  • @GiftKivevele
    @GiftKivevele หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @majaliwahassan2555
    @majaliwahassan2555 27 วันที่ผ่านมา

    Masha allha mungu awasimamie kwenye mawazo hayo hakuna kinacho shindikana kwenye maamuzi

  • @Sajotommy-w1l
    @Sajotommy-w1l 28 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah

  • @AffectionateFood-rz5sv
    @AffectionateFood-rz5sv หลายเดือนก่อน

    Mashaallah