SHEIKH ALHAD AZUA GUMZO MSIKITINI AKITOA SHUKRAN, MAZISHI YA SHEIKH ADAM AHMAD

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Mazishi ya Sheikh Adam Ahmad, Msikiti wa Kichangani Magomeni Dar Es salaam. Yalifanyika tarehe 19/07/2024, alifariki tarahe 18/07/2024 Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Na amezikwa Makaburi ya MwinyiMkuu Magomeni Mapipa.
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    TH-cam: / @babdeomiladu

ความคิดเห็น • 40

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 2 หลายเดือนก่อน +3

    SHEKHE wa Mkoa Piga Dua sanaaa Allah atakulipa kila la kherry na Utafika mbali ondoa hofuuu❤❤❤❤❤

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 2 หลายเดือนก่อน +8

    Na maisha yetu, wala usinipe dhulma ya walio dhulumu yameondolewa kwetu, kwa kuwa sisi tunajifunga nyinyi kama mnavyojifunga, basi mjue anayemjia na adhabu, naye atadhalilika. Mola, ni nini kitokacho kwa mwenye kushuka, isipokuwa kinachukua pamoja na matamanio yake, Ikiwa Mola wangu yuko juu ya Mislaq, ni kwamba Mola wangu yuko juu yao wote الم الم الم الم Na uadilifu wa Yaaqub aliyekufuru na akaizuilia njia ya Mwenyezi Mungu peke yao, hao ndio njia zao. Hiyo ni sadaka ya Mwenyezi Mungu kwa watu wanaofanana nao. kwa hivyo wao ni baada yako, lakini watakuwa wao kwa wao. Na mkishinda, Mwenyezi Mungu akubariki Walichukia aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu, basi akabatilisha vitendo vyao, ewe Mwenyezi Mungu, muangamize kila dhalimu, dhalimu dhalimu juu ya ardhi na chini ya mbingu, kwa ajili ya Muhammad, swalah na salamu za Mwenyezi Mungu zimshukie yeye na familia yake na maswahaba zake Uamuzi wa maneno na ubainifu kuhusu waja wako wema na hukumu baina yao kwa haki, uadilifu, na uadilifu walimwengu.☝☝🤲🤲☝☝

  • @MwanaidiJuma-hw8tb
    @MwanaidiJuma-hw8tb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh walid Allah akupe afya njema na umri mrefu nakupenda ❤❤❤❤❤

  • @ramadhanaldawiyya8659
    @ramadhanaldawiyya8659 2 หลายเดือนก่อน +2

    MIMI NAMPENDA SANA SANA SANA SHEIK ALHAD,NAMPENDA KWA AJILI YA ALLAH ( S.W),NATAMANI SANA SIKU NIONANE NAE INSHA ALLAH NIKIWA NA FAMILY YANGU,NA PIA KUMUOMBEA DUA MWANANGU MDOGO.NINAHAMU MWANANGU AWE MFASAHA,MAARIFA,Taqwa,ELMU,ubunifu NA UVUMILIVU KAMA WA SHEIKH ALHAD

    • @saidsafari2814
      @saidsafari2814 2 หลายเดือนก่อน

      Allah yupi?

    • @Mahmud-g1p
      @Mahmud-g1p หลายเดือนก่อน

      Mashallah ipo siku Allah atatimiza ndoto yako

    • @Mahmud-g1p
      @Mahmud-g1p หลายเดือนก่อน

      Mashallah ipo siku Allah atatimiza ndoto zako

  • @AdamYussuf-bd6sh
    @AdamYussuf-bd6sh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuweni na adam na mashekhe usimhukumu mtu wewe na mimi tuombe matendo mazuri na mwisho mwema ukiona mwenzako kateleta mfate mrekebisha siyo kumdhalilisha kwenye mtandao tuiogope siku ya mwisho wewe na mimi inshaallah.

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 2 หลายเดือนก่อน

    shekh kishki ni mtu wa nyiradi mashallah

  • @kondomrisho8776
    @kondomrisho8776 2 หลายเดือนก่อน

    Ulimi ulimi ulimi ulimi 😢😢

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 2 หลายเดือนก่อน

    Inna lillahy wainna lillahy rajiuun

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 2 หลายเดือนก่อน

    Daah anamdhalilisha kwenye watu wengi hivo Allah amsamehe uyo jamaa

  • @omarimavura8407
    @omarimavura8407 2 หลายเดือนก่อน

    Tabia za kuoa na kuacha mabinti za waislamu ni Uharibifu sana, Sijui wanatumia Fatwa zipi.
    Dah

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu anaonekana bado ana kinyongo na sheikh Walid ambaye kwasasa ni sheikh wa Mkoa

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 2 หลายเดือนก่อน

      Hujaona walivyopeana mafumbo kuhusu kutembea na bastola😂

  • @RamadhaniAlly-wu8wv
    @RamadhaniAlly-wu8wv 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umesema kweli anatamani neema ya mwenzake imtoke utani hapa si mahala paka. Anakinyongo

  • @KassimMiagi
    @KassimMiagi 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu sio mzima kiukweli😂

  • @IssaHamisi-z2v
    @IssaHamisi-z2v 2 หลายเดือนก่อน +3

    Shekhe unaziguwa

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou 2 หลายเดือนก่อน

    ALHADI NAMKUMBUKA KWA ZILE KAULI ZAKE ZA KUKUFURU ALIPOSEMA MAKUFULI NI BORA KULIKO NABII ISSA NA MTUME WETU MJHAMMAD,,,DAA ANANIPA WAKATI MGUMU KUWEZA KUWAMINI HUYU NI SHEHE,NA PALE ALIPOSEMA ALELUYA ALELUYA NI SAWA KUSEMA LAILAHA ILA LLA,,DUU HUYU JAMAA ALHADI ANATIA KJCHEFU CHEFU NA ULE UGOMVI WAKE NA SHEHE WETU KIPENZI MUHAMMAD ALIPOMWAMBIA MSHAMBA KAMKARIBISHA YEYE HAPA MJINI NA ALIKUJA NA MFUKO WA RAMBO KUTOKA KIJIJINI

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hasad mbaya jamani

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 2 หลายเดือนก่อน

    Amemvunjia heshima

  • @amanisalum1638
    @amanisalum1638 2 หลายเดือนก่อน +5

    Sasa huyu mtu kwenye shukran analeta upuuzi wa Bastola inahusu Nini?
    Tatizo alidhania kile cheo atazikwa nacho.
    Ana kijicho,husda na fitani.

    • @SultanMohamed-q9z
      @SultanMohamed-q9z 2 หลายเดือนก่อน +1

      Usimkosoe hakusema kwa nia ya ISTIDHAI hao wanajuana halafu hao ni ndugu hakusema BAYA HAPO

    • @SultanMohamed-q9z
      @SultanMohamed-q9z 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wote hao ni ndugu zangu wamepokeza kijiti tuu CHEO NI DHAMANA Kila mtu ana haki ya kuwa KIONGOZI Kama ana sifa zinahitajika.

    • @nouraynaasheikhunkabir3749
      @nouraynaasheikhunkabir3749 2 หลายเดือนก่อน +2

      Watu wa kisiju tunajuana utani ni jadi yetu

    • @IssaHamisi-z2v
      @IssaHamisi-z2v 2 หลายเดือนก่อน

      @@amanisalum1638 nimemdharau kwa maneno yake ya kijinga mbele ya viongozi wakuu wadini halafu ndani ya simanzi kubwa ya msiba tena msiba mkwe wake akili hazikufanya kazi kwa pale aisee

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 2 หลายเดือนก่อน

      Yan husda inamtokota Yan anashindwa kujizuia baada ya mwenzio kutoa history yake nae anajikosesha sifa na Imani

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 หลายเดือนก่อน

    Inapendeza.mashehe wetu mshikane ,na penye itlafu zisiwe endelevu

  • @HassaniMteteni
    @HassaniMteteni 2 หลายเดือนก่อน +2

    Binafsi hapo sjaona baya Kwanzaa kasema wao wanajuana

    • @IssaHamisi-z2v
      @IssaHamisi-z2v 2 หลายเดือนก่อน

      @@HassaniMteteni ndugu tizama watu wapo katika hali gani halafu pia ni mkwe wake

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo bint wa Sheikh Adam ulimuacha muda mrefu kila siku unaoa na kuacha

  • @HusseinSaguti-sj9nh
    @HusseinSaguti-sj9nh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naaende zake
    Alitumiwa vbaya sn

  • @saidsalim4524
    @saidsalim4524 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa kichwani mwake nahisi kumejaa funzaa

  • @muhudhariomari9238
    @muhudhariomari9238 2 หลายเดือนก่อน

    لا تتبع الجنازة بصوت ولا نار

  • @ramadhandiwani3410
    @ramadhandiwani3410 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu alhadi katania lkn kama anajambo kwa mwenzie

  • @hishamally4846
    @hishamally4846 2 หลายเดือนก่อน

    Mambi nakshi manii

  • @HaririHamisi
    @HaririHamisi 2 หลายเดือนก่อน

    muislam mwenzako akikosea mpe udhuru hata mara 70

  • @mwaramially2651
    @mwaramially2651 2 หลายเดือนก่อน

    Hajitambui huyu na nafasi hana tena abaki na husda zake tu

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chuki zanini wewe Alhaadi