Huyu Ust Shafi Ndio Kiboko Ya Pasta Ndacha Tazama Alivyomgaragaza "Wewe Ndio Ulikuwa Unanitaka Mimi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 95

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 2 หลายเดือนก่อน +6

    Sheikh shafii ni kopi ya kazinge au zaidi ya mazinge mashallah

  • @NoraKedir
    @NoraKedir 2 หลายเดือนก่อน +4

    Shehe shafi😂😂😂 asante kwamana ndaca nimjuwaji. Alhamdulila alanemal islam❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @rajabuchumbi6098
    @rajabuchumbi6098 2 หลายเดือนก่อน +10

    Maziwa bila maji safi shekhe wetu hao ni sikio la kufa

  • @HassanJabir-g2e
    @HassanJabir-g2e 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah sheikh shafi ndacha hatokutafta tena mana umemfundisha

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 2 หลายเดือนก่อน +11

    Masha Allah watanzania wanajua lugha ya Kiswahili, ona vile anavyopita sheikh Shafii hadi raha, tunafurahi unavyomfundisha mtoto mdogo aitwae Ndacha, Mungu akuzidishie ilimu yenye kheir ili uwasomeshe mapastor fake kama Ndacha.

  • @allykhalfan9513
    @allykhalfan9513 หลายเดือนก่อน

    Sheikh shafi ww ni mwalimu wa walimu mungu akulipe kila la kheir

  • @DoctorBondia
    @DoctorBondia 2 หลายเดือนก่อน +2

    Maashallah! Ustazi shafi kwa kweli yupo vizuri sana. Allah akuzidishie kheri. Aaamin

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 2 หลายเดือนก่อน +3

    Maasha Allah ...Vipenz vyetu waliuwakilisha uislam ipasavyo.ALLAH azidi kufunua vifua vyenu kwa siku ya leo na ya mwisho

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila shafii Allah akupe umri umeongea kwa utaratibu nikatamani dadangu apate hii clip juzi tulipingana hadi nikamkatia simu ndacha Anafaa kujua Mungu ni Mungu na hana mwana hana mke ajazaa waislamu ALLAHU Akbari.❤❤🎉

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 2 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi mungu azidi kukupa afyia njema na maisha mazuli duniani na akhera amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu

  • @Mussarmutani
    @Mussarmutani หลายเดือนก่อน

    mashaalla mungu akuongoze shaf

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน +2

    Maashaallh. Allah awape.uhai mlefu wenye heri. Waadhili wetu

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 2 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllaah wa Alhamdulillaah Ustadh Shaffi Allaah akubariki daaimah

  • @mohamedismailmohd7658
    @mohamedismailmohd7658 2 หลายเดือนก่อน

    ❤️Mashallah Wasomeshe waelewe

  • @abdullahiiddi4109
    @abdullahiiddi4109 2 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah shafii Allah awalipe pepo Soteni Kwa juhudi munayo yafanya

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana shafy mungu awangsmize maduwi zako akiepushe na husda zao amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 2 หลายเดือนก่อน

    Masha allah hakika waislam ndio walimu wa elimu ya dini

  • @BaaOmar-j4h
    @BaaOmar-j4h หลายเดือนก่อน

    Mashallah!!

  • @AlYasri-s3t
    @AlYasri-s3t 2 หลายเดือนก่อน +2

    Shafii, shomar pango nakupenda sana kisha na Mazinge

  • @burhanililumo2215
    @burhanililumo2215 2 หลายเดือนก่อน

    Mash Allah, mw/Mungu azidi kuwalinda n awape maisha yaliyo mazuri duniani pia n akher❤❤

  • @AhmadSalim-dm4uk
    @AhmadSalim-dm4uk 2 หลายเดือนก่อน

    Wallaah shafii Allaah akupe umri mrefu kwaajili ya umma wakiislam na hawa wasokua waislam uelewa wako niwa kiwango cha juu sana na shida ya hawa ndgu zetu uelewa wao niwa chekechea. Na inshallaah Mungu ndo anatoa hidaya atamuongoa amtakaye ila ujumbe unafika

  • @ochuMay05
    @ochuMay05 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah.. Allah anauthibitisha Uislam kuwa ndio dini ya Haqq na yeye pekee ndiye anaepasa Kuombwa na Kuabudiwa...Lakini bado Makafiri wataendelea kupinga na kusema kuwa Yesu ni Mungu sijui nani aliyewaroga hawa watu..

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaa Allah Shukrani xana akhui hakika hivyo ndivyo uislam ulivyo mzuri.

  • @ibrahimadab9151
    @ibrahimadab9151 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ustaad Shafii Mungu akubariki maa shaa Allah

  • @HemedSerious
    @HemedSerious 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mtihani sana , Asante sana sheikh shafii Allah akuhifadhi sana

  • @jumakihiyo
    @jumakihiyo 2 หลายเดือนก่อน

    Allah akuzidishie ilmu Sheikh Shafi jazakallah

  • @jumahyaache
    @jumahyaache 2 หลายเดือนก่อน +1

    Allahu akbar shekhe shafii anafafanua vzr mpaka unahisi wivu kwanin wote wasisilimu tu

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 2 หลายเดือนก่อน +10

    Holy Trinity imepikwa... Mungu ni Mmoja! Issa Ibn Maryam ni Mtume...

  • @dinakipingo1905
    @dinakipingo1905 2 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah ustadh Shafii Allah akujaze kheri

  • @smadon5638
    @smadon5638 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha mkenya kalewa na hicho Kiswahili 😂😂😂

  • @mahsneermohammed2107
    @mahsneermohammed2107 หลายเดือนก่อน +1

    Wanaangaika huku mara kule sabab ya kukimbia ukweli

  • @SulexMan-g3t
    @SulexMan-g3t 2 หลายเดือนก่อน

    Shafii hongera sana😅

  • @abuuahmad3238
    @abuuahmad3238 2 หลายเดือนก่อน +6

    Asiyeelewa haya huyo atakuwa ni sikio la kufa...Innalillahi!

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha kwishaaaaaaa

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndyo anafaa kuitwa Doktori tena anatakiwa apewe tuzo ya Nobel ya lugha ya kiswahili ooh no serikali inabidi imtumie kama mwalimu kuwafundisha wazungu kiswahili 🇹🇿

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 2 หลายเดือนก่อน

    Ni seme tu kiukweli umeelezea vizuri sana tena bila kutumia Quran Naamini wenye akili wataelewa tu mdogomdogo. Allah akulinde nakuombea sh. wangu usijepatwa na mitihani ya sifa kama Sule mpaka akapitukia

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 2 หลายเดือนก่อน

    Masha-allah ❤❤❤❤

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 หลายเดือนก่อน

    Allah akbar ❤

  • @ChristopherMalimbwi-pf6uw
    @ChristopherMalimbwi-pf6uw 2 หลายเดือนก่อน

    ALLAH Akbar....amidu huwa wanifurahisha shana

  • @warsameabdi9366
    @warsameabdi9366 2 หลายเดือนก่อน

    Amenikimbusha Ustadhi Saidi Juma Kinyogoli vile amemtandika Ndacha na wenzake Ule mdahalo ngine Miaka miwili iliopita

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kipigo kizito alopigwa ndacha hem acha kupotosha ndacha ndugu yangu wambie watu kua uislam ndio dini

  • @AbubakarKi
    @AbubakarKi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akbar

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 หลายเดือนก่อน

    Hhhahh kwaio sote n Wana waaa I say nyiny wakristo mnazambi mpka mnajishtukia wenyew

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 2 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 2 หลายเดือนก่อน

    Asalam alaykum Mimi naona madam imekwisha tunamuombea Pasta Ndacha aukubali ukweli huu. Ukweli Ndacha ni Mwalimu ila hii mada imekuwa nyeti imemlemea ukweli lazima usemwe.

  • @AhmadijumaJuma-fq2td
    @AhmadijumaJuma-fq2td 2 หลายเดือนก่อน

    Shekhe shafi wewe kiboko wape elimu awo waongo wanaowapotosha wenzao

  • @khamisissa252
    @khamisissa252 2 หลายเดือนก่อน

    Duh yaani mpororo tu Shafi kiboko yao

  • @AmePandu
    @AmePandu 2 หลายเดือนก่อน

    Shekh shafii, as,alaykum wewe ndio kiboko yao

  • @drruhanitz8161
    @drruhanitz8161 2 หลายเดือนก่อน

    NJOO UJIONEE KATIKA PAGE YANGU KAFARA ZA HATARI

  • @mjombawallace4966
    @mjombawallace4966 หลายเดือนก่อน

    Acha ushabik wewe sijaona chochote kutoka Kwa Shafi😂😂😂😂 hayo alisema ni kuelewa kwake tu hakusoma mahali tu 😂😂😂 Ndacha kamuona Kwa kio tu 😂😂😂

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AbasHabimana
    @AbasHabimana 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha ww silimu tu umeishiwa hoja acha kujikausha bwana

  • @MohamedAhmada-ie7ke
    @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wakiristo yesu ni mwana wa Mungu katumwa na Mungu. Ukiuliza Je Mungu ni nani una ambiwa Yesu 😂😂😂 jamaa akili zao hawa atar

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 2 หลายเดือนก่อน

      Hawa nikiambiwa akili zimechanganyika na mavi nakubali

  • @YahyaHash-n2p
    @YahyaHash-n2p 2 หลายเดือนก่อน

    Kiswahili kitaam jamani

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 2 หลายเดือนก่อน

    Kama hawajaelewa hapa basi watakuwa wanamatatizo

    • @RamadhaniMohamedi-de2vc
      @RamadhaniMohamedi-de2vc 2 หลายเดือนก่อน

      Sio awaelewi hao ndio wale kuni ya motoni kuelewa wanaelewa wanafanya makusudi.

  • @manigatz5271
    @manigatz5271 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 wakristo tuna nyooshwa

  • @rajabusira400
    @rajabusira400 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha chubwiii

  • @moshantoj
    @moshantoj 2 หลายเดือนก่อน

    Uliogopa ku upload ile ya mtume Muhammad 😂😂😂😂

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 2 หลายเดือนก่อน

    yaani wasiposilimu jahannam ni haki yao

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 2 หลายเดือนก่อน

    Wakristo wa dunia nzima nawausia msilimu msipo silimu jahanamu inawasubiri

  • @KudraRashid
    @KudraRashid 2 หลายเดือนก่อน

    Wakristo yaan ni makafiri waliyopotea

  • @Temu456
    @Temu456 2 หลายเดือนก่อน +1

    Akuna kitu Apana boxi tupu tu ili

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 2 หลายเดือนก่อน

    Wapendwa upande wa sauti mnatuangusha

  • @ramadhanishabani1644
    @ramadhanishabani1644 2 หลายเดือนก่อน

    Wakristo kiswaili uwa kina wapiga chini sana

    • @fatumakiboto6157
      @fatumakiboto6157 2 หลายเดือนก่อน

      hawajui kixwahili hawo makafili xhehe wetu mungu awabalik

  • @silvesterojanji2007
    @silvesterojanji2007 2 หลายเดือนก่อน

    Umeasa kukatakata kuwa furahisha wezio sio kweli wwe utabatiswa tu

    • @NyirantokiZahara
      @NyirantokiZahara 2 หลายเดือนก่อน

      Yani wewe hata kiswahili bado hujaelewa? Mtu akisha itwa kafiri wala kusikia hawezi kusikia ndo wewe

    • @silvesterojanji2007
      @silvesterojanji2007 2 หลายเดือนก่อน

      @@NyirantokiZaharamaan ya kafiri unajua na km unajua Kati mim mkiristo na wwe mwislmu nani kafiri? Eti sijui kswahili jibu bas km wwe unajua

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa kiswahili Shafii kambana jamaa😅

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo mavi walio lishwa kanisani 😂😂😂😂

    • @hamishasan7737
      @hamishasan7737 2 หลายเดือนก่อน

      Sio lugha sahihi

  • @TheAlman
    @TheAlman 2 หลายเดือนก่อน

    Hahahaaaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂

  • @MosesMwiti-q2r
    @MosesMwiti-q2r 2 หลายเดือนก่อน

    Waislam hawana lolote

    • @rashidibrahim8316
      @rashidibrahim8316 2 หลายเดือนก่อน

      Ndacha Mwalimu wenu kaingizwa cha kike hata Kiswahili cha bibilia hakielewi

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 2 หลายเดือนก่อน

    Hana uwezo wakumshinda ndacha wewe

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi sana waislamu huyu nae ni mwalimu wa dini 😂😂😂😂

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwanini ? Hana V8? Toa hoja sio taarabu

    • @karrimahutta5173
      @karrimahutta5173 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 kama ulichoandika ni kweli basi utakuwa na shida kwenye ubongo 😂😂😂😂

    • @ShafiunaWaziri-vz7bi
      @ShafiunaWaziri-vz7bi 2 หลายเดือนก่อน +1

      Unataka apge suti ndomana mnapgwa pesa na watumishi wenu kanisani kwa sababu amuwezi fikilia ata kidogo

    • @salimobeid1470
      @salimobeid1470 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sikiliza kwa makini mafundisho usije ukawa na lakujibu baada ya kufa na sio ushabiki yesu ni mtume wa wana wa Israel alie mtukufu na kama muislam sisi tunamuamini ni mtume wa Allah na ni mtakatifu kaka chalse uislam ni dini ilionyooka ya ukweli fikiria tena kwa makini usipoteee

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwakiristo bhana KWA wote si wanaombaga MUNGU baba mwaiyo nao ni waungu

  • @justine-2707
    @justine-2707 2 หลายเดือนก่อน

    Auna lolote ww ni mweupe

    • @NyirantokiZahara
      @NyirantokiZahara 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe kafiri kweli

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน

      Ww kwani uwogopi. Nenda basi ukaulize swalilako mashehe wakujibu.iliutulie kafiliww

  • @YahyaHash-n2p
    @YahyaHash-n2p 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah

  • @mohamediddi5126
    @mohamediddi5126 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah ❤