MashaAlllah navyo mpenda sheikh anavyoisoma qur'an na tafsiri yake mm kama mama wa vijana watatu kila nikiswali nawaombwa vijana wangu wote wawe kama yy plz naomba comment hii imfikie sheikh waliid na anitiillie dua kwa hilo❤❤Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah
Masha Allah shekh Walid Mimi ni mshabiki wako sananaaa naitwa Mahmoud Ochy kutoka Rwanda mjini Kigali karibu sana huku kwetu Allah akurinde marazi akupe umri marefu mwenye manufaa akupe mwisho mwema na pepo siku ya mwisho
Walid waambie na viongozi wa nchi siku za siasa wasiuwe wakati washatangaza wazi ccm haikuubwa kushindwa kwa hali yeyote sasa kwa nini wanauwa hawayaamini maneno yao na waislamu wamo wanaoshajiisha mauwaji na kusheherekea mapinduzi (mauwaji)
Allah Akuzidishie elimu na afya njema na akupe umri marefu watu wengi wafaidike kupitiya ma waidha yako sheikh Walid🙏
Amiin 🤲🤲🤲
Yaani daawa imetulia..darsa safi..yaani mtu hatumii hata nguvu...mwamba karelax sana..hakuna mapovu wala nini..na watu tunaelewa vizuri sana..
MashaAlllah navyo mpenda sheikh anavyoisoma qur'an na tafsiri yake mm kama mama wa vijana watatu kila nikiswali nawaombwa vijana wangu wote wawe kama yy plz naomba comment hii imfikie sheikh waliid na anitiillie dua kwa hilo❤❤Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah
Naam sheikh wetu waislam wa myaka his hawaogopi hata Ramadhani allahu Akbaru
Allah akuzidishie mazuri sheikh wetu
Mashaal sheikh walid kweli tunanufaika sana kama tupo hapo darasan m mungu azidi kukupa afya njema ili tuzidi kunufaika zaidi na zaidi inshaal
Mawaidha mazuri ostaz..Asante kwakutukumbusha ..mwenyezimungu atufanyie wepes
Mungu atunusuru na Dhambi zote Aamin.
Amen
Ameen Thumma Amen
Allah akulipe kheri na akudumishe katika kheri
Masha Allah shukuran Sana sheikh Kwan ushasema kweli kabisa maneno ya awakika kabisa
Ma shaa Allah tabalakhallah, nimekuelewa sheikhe wangu, Allah akuhifadhi
Subhanallah 😭😭😭
Sheikhe wetu allah akuhifadhi.
Masha ALLAH Tabarakallah shukran sheikh ALLAH akuhifadh...🤲🤲🤲
Mashallah Allah akufanyie wepesi..akupe siha..
MashaAllah Tabaarakallah
Subhanallah Allah Akulipe ujira uli0 kuW mkubwa le0 Dunian na Kesh0 Akhera Aameen 🤲🤲
Masha Allah shekh Walid Mimi ni mshabiki wako sananaaa naitwa Mahmoud Ochy kutoka Rwanda mjini Kigali karibu sana huku kwetu Allah akurinde marazi akupe umri marefu mwenye manufaa akupe mwisho mwema na pepo siku ya mwisho
ALLAAHUMMA AAMIIN
Mashaa allah shukran sana shekh walid
Mashaallah ❤
Vizuri sheikh walid.mashaallah..
Subhana llah Allah atunusuru
Mashaallah shekhee wetuu
mashaallah
Darusalaama imepata mwalim sahihi...
Lailahailalah
Hapo kwenye inshaaallah nikweli wengi wanaitumia kuondoa ngoma juani ila sio utekekezaji
Wanawake wa sasa ni mtihani ukimbilia kwenye madawati na kugawana mali
Laila hail Allah
Kweli kabisa
Asante sheikh
شكرا جزيل
huyu bwana ni mwalimu wangu
Inshaallah ❤
💯
Taah,taah la lumumba😂 😁😁🏃mmmh leo darsa la maana
Allahu akbar mola atusamehe mazambi yetu yarabi
Mambo
Amiin
Kwa hapa dsm tumepata mwl bora..
Sarafu wanauza bidhaa mtandaoni wanauza condom nini hukumu yake na inamilikiwa na bakhresa kama sikosei nini hukumu yake,?
Bahressa auzu si kweli
Walid waambie na viongozi wa nchi siku za siasa wasiuwe wakati washatangaza wazi ccm haikuubwa kushindwa kwa hali yeyote sasa kwa nini wanauwa hawayaamini maneno yao na waislamu wamo wanaoshajiisha mauwaji na kusheherekea mapinduzi (mauwaji)
Watu walikuwa wachache