Nimeamini kweli waislam ni mbumbumbu sana! Yaani aya zote hizo mlizosomewa na Mwl Daniel bado hamjaziona? Daniel amejikita katika chimbuko la huyo mtume wenu ,nyie mnasema wapi aya inasema Muhammad ni mtume wa uongo,kwani hayo maandiko mliyosomewa hamuoni kuwa yanamkataa Muhammad???
Wahuni nyie mnaweka clip kwa msemaj wa kikristo mnakata anakuja msemaj wa kiislam mnaacha had mwisho na ukwel hautoondoka Muhammad alilogwa mtume wa mungu hawez kulogwa
Namshukuru Allah kuzaliwa mwisilam Mimi na wazazi wangu
Maulana nakukubali sana. Allah akujaalie umri mrefu wenye manufaa kwako na kwa umma Aamin.
Mm ni muislam Allah ndio mola wangu na Muhammad ni mtume wangu awe alirogwa au hakurogwa namuamini namkubali Allah anifishe nikiwa muislam🤲🏻
Masha Allah Allah awahifadhi mashekhe wetu. Alhamdulillah kuzaliwa muislamu
Maashallah!
Allah awabariki Wahadhiri wote Wakiislam wazidi kuendeleza Neno la ALLAH. (Aamin)
Amiin Amiin Amiin
Ma Sha Allah Ustadh kwa kazi ya kheiry..Allah awajalie mema na afya ili muendelee kupambana na wanafiki
Shukran kwa maustadhi wetu mungu awahifadhi
Mungu akubariki sana mtumishi Daniel
Wahambie ukweli yesu ndie njia ya kweli na uzima 🙏🙏
wakristo hebu jitathmin acheni ushabiki.
mmmh yani majitu inapotea unaimezea majibu lakini aieelewii ata ukiwaelekeza bado
Mashaallah nawapenda masheikh wote kwa ajili ya Allah
Tunajivunia kuwa waislam Allah utujaalie mwisho mwema amin
Insha Allah Wat'Allah
Iman yako ndiyo itakayo kuponya! Dini haitakupeleka peponi bila kufany yampendezayo Mungu.
Njaa mbaya Sana huyu mchungaji hii ni kazi ya kutafutia rizki tu
Nafurahiya sana kuzaliwa katika uisilam ni neeema kubwa sana
Alhamdulillah kuwa kuzaliwa muislam
حفظك الله يا مولانا
Islam is a true religion
Mashaallah
Raha si raha round hii mutaelewa tu uislamu ukiwepo basi hakuna dini yoyote inaweza kuwa juu ya uislamu hata siku moja
Mashallah Allah
Mashallah
Acheni mchezo na muhammad nyinyi.muhammad sio size yenu
@@fadhilaongezaongeza226 hatujamzulia yesu sisi kama nyinyi kumuita mungu wanafiq nyinyi yesu hajasema ye ni mungu.
Waislam takbir
Huyu danieli anajielewa kweli hebu tuachie Muhamadi wetu Baki wewendio muongo maana unaogea vitu usivyo vielewa
Which pr0phecy did muhamed prophecy and it came to pass
Like jesus,Jeremy,isaiah
Raha wallahi
Mbona mmemkata danieli mingemuacha amalize
Tatizo shule waislam ndiomana hakili zime tekwa na shetani
WAPE UKWELI WA UISLAAM HUKO ULAYA WANAPO PATA MISAADA JINSI WANAVIO INGIA WISLAAM NA MWISHO WATAJIKUTA WA AFRICA PEKE YAO WAKRISTO
Wewe hata uka tae muhamad ni mtume wa kweli
Hii tulikuwa nchini msumbiji
mbona vipande vya kisabato havirushwe
Nimeamini kweli waislam ni mbumbumbu sana! Yaani aya zote hizo mlizosomewa na Mwl Daniel bado hamjaziona?
Daniel amejikita katika chimbuko la huyo mtume wenu ,nyie mnasema wapi aya inasema Muhammad ni mtume wa uongo,kwani hayo maandiko mliyosomewa hamuoni kuwa yanamkataa Muhammad???
Huyu daniel ni kichwa mbaya
Nitabaki maka natenda madina
Kamaneno haya hataka nimiiristo unasilimu tu kma hutakua mbishi
Yeni hawaa mikafiriii hatasijuii waekwee fungu lipiii 🤔🤔🤔🤔
😂😂Fungu lakukosa maana wanakosa
@@prettyaysha7892 😂
kabisa ata aielewii imekaa kama mizoga inamezewa majibu lkini imekaa kama mazombii
@@allyhafidhshariff177 Ubishii mwingii tu 🤔
Hivi inakuaje kafiri anashika Quran tukufu hebu tuangalie hili waislamu.
@@fadhilaongezaongeza226
Nipe ushahidi wa hilo
Palma moja
Uzima wako ndio unakufanya uwe na kiburi huwezi kutafrisi quran kama huna vitu visivyopungua vitatu ndugu jiangalie sana
Wahuni nyie mnaweka clip kwa msemaj wa kikristo mnakata anakuja msemaj wa kiislam mnaacha had mwisho na ukwel hautoondoka Muhammad alilogwa mtume wa mungu hawez kulogwa
na ww umeona wapi mungu anakufa !!! yesu c mungu wenu mbona kafa …
Nn t d
Huko nikutojiamini Kwanini mmekata kipande cha Mwalimu wa kikristo na huku alikua na Dkk 30???
Uislam bila Kubebwa hauwendi
Nenda KATAFUTE kwa channel za wakristo kwani si wanarikodi.
@@sharifjuma1220 tena wanavifaa vingi. Vya kurikodi ila wanashidwa kupost kwa sababu kila siku wanaumbuliwa na kushindwa hoja
Christo uongo uislamu ni dini ya haki
Wazungu kilasiku wanasilimu wewe Bado hujaamini kuwa makini ukweli umeuona inabidi uwe muisilamu dini yahaki ni uisilam
@@ibrahimbakari6017 kwa hoja gani nisilimu?
Masha allah