Wakristo wa kenya wanadai wanamjua yesu kuliko jinsi yesu anavyojijua mwenyewe. Yesu anajiita mwanadamu lakini wao wanakataa yesu sio mwanadamu ni mwana wa mungu na ukiwazidi sana wanasema yesu ni Mungu mwenyewe
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatu Ndugu zangu katika uislam inshaAllah Allah awabariki na awazidishie hekima kwani nimependa jinsi munavyo waelimisha wakiristo hadi wanaamuwa kusilimu Allah awasimamie kwa kila zenu hatuwa
Msihukumu tuachie mungu agukumu.ju wakristo na waislamu wote tulitoka kwa mungu.na mungu ni mmoja yesu ni mwana wa mungu na zote ni wana wa mungu.na mbele ya mungu wote tuko sawa hakuna muisamu wala Mkristo tuko sawasawa.
@ Jenipher Sarah Hakika sote ni waja wa Mungu lakini utofauti huingia pale munaposema Yesu ni Mungu au ni mtoto wa Mungu.. itikadi hii ni potofu. Yesu ni Mtume (prophet) wa Mwenyezi Mungu na jukumu lake yeye ni kubashiria mema na kukataza Maovu. Mwenyezi Mungu hakuzalisha wala kuzaliwa. Soma dini ndugu tuko na neema ya kuwa juu ya ardhi hii muda huu usijutie baadae kisa na maana ni ignorance. Ujuwe kuhusu uislam hata kwa uchache tu ..zingatia
@@nowtv2107 kila mtu na imani Yake cha maana ni matendo mazuri mbele ya Mungu mimi ni mtoto wa MUNGU na siezi jiita Mimì ni mtoto wa shetani hiyo ni imani yangu na ninabaki na imani yangu
@@amaa6353 kama ni hivo basi dini haiezi kuwa moja kutokana na logic yako isiyoeleweka. Uislamu hatukubali itakidi yenu potofu kuwa Yesu ni mwana wa Mungu au Yesu ni Mungu... (Lakum deenekum waliya deen - For you is you religion and for me is my religion)
TEAM ISLAM and TEAM CHRISTIAN will never agree why? "And from those who say, "We are Christians" We took their covenant; but they forgot a portion of that of which they were reminded. So We caused among them animosity and hatred until the Day of Resurrection. And Allah is going to inform them about what they used to do." (QS. Al-Maaida 5: Verse 14)
Dini sio uisalaam au ukiristo (Uislaam ni lukha ya kiarabu) na ukiristo ni lukha ya kabira moja wapo ya kiyahudi. Dini ni unyenye kevu mbele ya mungu na kufanya mambo mazuri anayo taka binadamu ayafanye ndani ya maisha yao ya kila siku!!!
Majibu nduguzanguni yaop. Pale ambapo mizaha ya kimjadala itakapoachwa na kuingilia mtoa jibu, basi Nuru itaonekana katika maswali. Huyu muuliza swali alikuwa much GA kulusikai jibu. Ameleta ushindani na si kutaka kujua. Yesu ni mwana wa Mungu. Aya nitawapa ... Tena Mungu mwenyewe anamtamka hivyo! Mnataka Aya rafiki zangu Waislamu humu???
its not fair to argue with someone who doesn't want you to bring another understanding from another verse,,,,,, instead he`s forcing you to accept what he understands,,,,,, and also reading the whole page not a verse will output the intended meaning........
24:39 Huyo mchungaji haelewi, basi inamaanisha hata Isaq MTOTO wa Abraham ni MTOTO wa Mungu? Nasema hivo kwa sababu Mungu alituma Gabriel kuambiya Abraham na Sara kuhusu mimba atakayo pata Sara.... SASA kwa vile Maryamu pia kupokeya risala vilevle basi vipi Isaq pia asiwe mwana wa Mungu? Jameni hao wachungaji waache kutupoteza.....
Please sheikh compare notes with other sheiks too like Prophesser Othman Mazinge how to tackle like mwana wa kipekee in the bible is found in many other verses to neutralize John 3:16
@ Jemedali James Waongea na Facts au ni fiction una lay out? Ndugu lazima uwe factual hakuna personal interpretation kwa dini. Twafuta maandiko.. usiwe mwingi wa kubishana .. Uislamu ndio dini sahihi. Jibidiishe angalau kuutaka kujuwa kidogo kuhusiana na uislamu kabla hujatoa kauli yako.
Siyo dini itaenda mbinguni ni matendo Yako mungu ataona kama ulikuwa unafwata hapa duniani so mko capagn ya Mohamed na yesu ATI nani Ako na wafuasi wengi
Sheikh mm ungemjibu ya kuwa. Sheria zikebadilika ilipokuja quruani sheria za manabi wa nyuma zimepotea twafuata quruani kwa quruani ndo kitabu CHA mwisho ndo inayo fuatwa ..🇹🇷🇰🇪🇹🇷
Shekhe mbabaishaji, yohana17:1 utaona habari za mwana shuka mstari 3 anatajwa kwa kwa jina yesu Kristo,njooni mbatizwe acheni kusumbua watu kwa kuwa hawajui maandiko
@@shabbymakapaneshabby5000 Somakwanza 17:1 unaona maneno hayo aliyasema yesu akiinua macho yake akielekea mbinguni,akasema baba, saa imekwisha kufikia mtukuze mwanao
Msibishane na wasiomjua mwana yaani wampinga kristo,hao wote ni waislamu ni game wanacheza wachananeni na wao,kwanza wamwamini YESU,YESU ndiye njia na uzima wa milele
Dinii ya haki mbele ya mwenyezi mungu ni uislam
Wakristo wa kenya wanadai wanamjua yesu kuliko jinsi yesu anavyojijua mwenyewe. Yesu anajiita mwanadamu lakini wao wanakataa yesu sio mwanadamu ni mwana wa mungu na ukiwazidi sana wanasema yesu ni Mungu mwenyewe
MaashaAllah am happy seeing my people, Allah awabarikie katika kazi zenu.
th-cam.com/video/Q03u3OvmHxg/w-d-xo.html
Waislamu hamuwezi elewa bibilia
@@ephrathjanderson7999 wacha mzaha kaka🤣
@@ephrathjanderson7999 ila wakristo muna manabii wengi sana mpaka mitaani
Aaahhhhaa waislamu mmebobea kwenye ubishi... Ila kumkataa yesu mwisho wenu ni mbaya sana
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatu
Ndugu zangu katika uislam inshaAllah Allah awabariki na awazidishie hekima kwani nimependa jinsi munavyo waelimisha wakiristo hadi wanaamuwa kusilimu Allah awasimamie kwa kila zenu hatuwa
Msihukumu tuachie mungu agukumu.ju wakristo na waislamu wote tulitoka kwa mungu.na mungu ni mmoja yesu ni mwana wa mungu na zote ni wana wa mungu.na mbele ya mungu wote tuko sawa hakuna muisamu wala Mkristo tuko sawasawa.
@ Jenipher Sarah
Hakika sote ni waja wa Mungu lakini utofauti huingia pale munaposema Yesu ni Mungu au ni mtoto wa Mungu.. itikadi hii ni potofu. Yesu ni Mtume (prophet) wa Mwenyezi Mungu na jukumu lake yeye ni kubashiria mema na kukataza Maovu. Mwenyezi Mungu hakuzalisha wala kuzaliwa. Soma dini ndugu tuko na neema ya kuwa juu ya ardhi hii muda huu usijutie baadae kisa na maana ni ignorance. Ujuwe kuhusu uislam hata kwa uchache tu ..zingatia
MashaAllah...am proud to a Muslim...Allah tujalie mwisho mwema....
Dawaah hii hapa, maana mwenye kuihitaji yumkini asiulize ... Jaya Salimu Dawaah hii ndugu zanguni ...
Masha Allah bibilia kitabu cha Paulo kina mapungufu mengi MwenyeziMungu azid kuwajaalia mashekh zetu kw kuwapa dawa wapotevu
Masha Allah Tabaraka Allah,Allah awazidishie na walipe malipo yatakayo zidisha uzani katika mizani ya khairatu zenu in sha Allah.
Mungu awatimie nguv masheikhe wenu
Our6e85
Mwalimu.aoshikhe.mwenyezimungu akujalieni.wataelewatu
MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH....kazi safi adhwiim sana
Ma asha allah❤💜🤲🤲
MASHALLAH, may Allah (S.W) grant you jannah masheikh wetu.
Masha Allah daawa mbele mpaka kiama
Mashallah Tabarakkallah ❤👌🏻👌🏻👌🏻
Shekh Allah akupe khair zako
Mashallah jazakallah kheir masheikh wetu Allah awajalie janatul firdaus kwa kazi mzuri ya da'waa
Masha Alla
Wallah raha sana kua muislam
Mashaallah shehe wetu mimi ni mtanzania nimependa mawaidha yako ALLAH akuongoze na akulinde akuepushe na kila shari
Hakili hamuna ote unaosikiliza
Ubishi. Wa. Kubishania. Mungu. Nimakosa. Makubwa. Tena. Hutayarisha. Amani. Shetani. Hulete. Vita. Kwakupitia. Hapo. Kama. Niwavumilivu. Kwanini. Mmoja. Akitukana. Munguwake. Hapo. Uone. Jee. Kunaatakaye. Kuanakifua. Cha. Amamani. Shetani. Tayari. Ashakuja. Yukokati. Kwanini. Kila. Mmojaasihubifi. Kanisanikwake. Shehe. Msikitini kwake. Hebu. Atukane. Hapo. Kamahuamini. Kama. Polisihawajajaaa. Hapo. Kama. Shetani. HajawPiga. Bilakutambua. Kwanza. Mahubiri. Hayo. Hayaruhusiwi. Walishapivana. Miakailiopita. Msim himbue. Shetani. Akawapiga. Bilakujua binadamu. Nikama. Ualikaukalon
@@clementcharles9785 asante sana
@@gabrielmataro1525 kwa mwenye akili hutulia na kutafuta ukweli mjinga ndio atataka kuleta vurugu
Masha Allah munafanya kazi ya mitume daawa Mungu awajalie Firadaus al aclaa
Mashaallah mashaallah masheikh wetu mungu awajalie heri nyingi hapa duniani na ata akhera inshaallah
Aameen ameen ameen sote May Almighty Allah bless you and your family and everything you're doing May Allah put baraka on it
MashaAllah good,,, mhubiri ajifunze from zakir Naik ataweza kujibu kwa hikma zaidi
th-cam.com/video/Q03u3OvmHxg/w-d-xo.html
True.. hekma inahitajika
Akona hikma za kutosba hakuna different yeye na sh zakir m.a
@@AbdiraufAbdirauf tofauti ni kubwa Sana Kaka
Masha Allah may God bless you guys keep doing it....
Aameen ameen ameen all of us
th-cam.com/video/Q03u3OvmHxg/w-d-xo.html
P
Ppl
Lpll
Pp0
Na mungu awazidishie nguvu na uzima ili mzidi kupambana na kuimarisha uislam kwa ajili ya Allah
MASHA ALALLAH sheikh wetu
jazakallah kazi nzuri masheikh
Mashaallah pamja ndgu zetu katika imani
Jazaakallahu kheiran sheikhana
Asante sana
Mash Alllah
Masha Allah hafidaka Allah
Alhamdullilah ana Muslimin..
th-cam.com/video/rhly5nUZ2Rw/w-d-xo.html guzaa link
Mashallah
Mashaallah masheikh wet Allah awaongoze
MashaAllah kazi nzuri
th-cam.com/video/rhly5nUZ2Rw/w-d-xo.html guza link
Maa Sha Allah Sheikh Anwar
MashaAllah kazi mzuri
Mashallah Sawasawa lzm waelewe Allah awazidishie ilmu zaidi mashekh wetu
Amiin amiin amiin
th-cam.com/video/rhly5nUZ2Rw/w-d-xo.html yanii daawa fully
Mansha Allah Sheekh
Christians don’t understand Bible
May Allah guide them all
Aameen ameen ameen
Mashaallah mungu awabariki sana
Amiin amiin amiin
Mashallah Allah Awazidishie
Maa shaa Allah Shukran jazilla
Napendaga mawaidha MashaAllah
th-cam.com/video/rhly5nUZ2Rw/w-d-xo.html guza link
Sio kweli ni maneno tu.
Mazinge
بارك الله لكم🥰
Mungu akiwaongoza Mashehe watakuwa watulivu halafu wasikilize jibu analotia Mungu Kwa Maswali haya ....
MashaaAllah tabarakallah
Takbir Allahu Akbar
Islamic ndio dini ya kweli na haki
Tumswalie mtume...
Masha Allah
Mutabishana lakini Mungu ni mmoja
Thanks
Ndio ni mmoja hatujakataa lkni kubali hana mtoto na mtoto ni wa Mariam
@@nowtv2107 kila mtu na imani Yake cha maana ni matendo mazuri mbele ya Mungu mimi ni mtoto wa MUNGU na siezi jiita Mimì ni mtoto wa shetani hiyo ni imani yangu na ninabaki na imani yangu
@@amaa6353 kama ni hivo basi dini haiezi kuwa moja kutokana na logic yako isiyoeleweka.
Uislamu hatukubali itakidi yenu potofu kuwa Yesu ni mwana wa Mungu au Yesu ni Mungu...
(Lakum deenekum waliya deen - For you is you religion and for me is my religion)
@@amaa6353 wewe sio mtoto wa Mungu ila Mja wa Mwenyezi Mungu
Mashaallah
وَمَا يَنۢبَغِى لِلرَّحْمَٰنِ أَن يَتَّخِذَ وَلَدًا
It is not fitting for the Most Gracious to have a child.
Quran:Maryam(19:92)
Mashallah allahuakbaru
Mashaaqlx
TEAM ISLAM and TEAM CHRISTIAN will never agree why?
"And from those who say, "We are Christians" We took their covenant; but they forgot a portion of that of which they were reminded. So We caused among them animosity and hatred until the Day of Resurrection. And Allah is going to inform them about what they used to do."
(QS. Al-Maaida 5: Verse 14)
MABRUK
Mashallah is this in eastlight?
JESUS THE WAY TO LIFE
he is the alpha and omega
@@kimelirono5084 na amebebwa kama wewe miezi tisa
Asante sana
Vimeumana aisee
Dini sio uisalaam au ukiristo (Uislaam ni lukha ya kiarabu) na ukiristo ni lukha ya kabira moja wapo ya kiyahudi. Dini ni unyenye kevu mbele ya mungu na kufanya mambo mazuri anayo taka binadamu ayafanye ndani ya maisha yao ya kila siku!!!
Hii story yako umetowa wapi?
Mashalla
M. A
Eeh waislamu mpaka wamehifadhi bible overhead. Uuui hawa watu ni waajabu😮
Haa!haa!kweli hii ni baraghi
Mimi sijui ndomaana
Hujui nini?
Majibu nduguzanguni yaop. Pale ambapo mizaha ya kimjadala itakapoachwa na kuingilia mtoa jibu, basi Nuru itaonekana katika maswali. Huyu muuliza swali alikuwa much GA kulusikai jibu. Ameleta ushindani na si kutaka kujua. Yesu ni mwana wa Mungu. Aya nitawapa ... Tena Mungu mwenyewe anamtamka hivyo! Mnataka Aya rafiki zangu Waislamu humu???
Allahu Akbr jamanini Mashiekh wetu Ustadh Yahya yupo wapi skuizi
Yupo tu area
@@salimdaawah123 mpeni Salaam sana Allah awapee nguvu nyote muweze kutuelimisha🤲
MashaAllah,,wislamu raha
Waislamu ni wale walimsaliti Yesu. Muhammad alikufa akaliwa na mbwaa. Muna abudu mufu
@@hudsonolianah5535 wewe ndo ulikufa ukaliwa na mbwa na sio mtume wetu Muhammad swalallahu aleyhi wasalam
Maaaashalllaaah
Allah awabariki sana
Shaikh Anwar..PLZ GO SLOW...ww ni Shaikh mzuri but be calm
Mbona imeisha mapema
M.a sheikh
Mkitaka waelewe muapeleke polepoe mssifanye Kama ushabiki hio ni dini
Isha Allah
its not fair to argue with someone who doesn't want you to bring another understanding from another verse,,,,,, instead he`s forcing you to accept what he understands,,,,,,
and also reading the whole page not a verse will output the intended meaning........
Ok aoieursljd
Just do good , final
Hahaaaaa
24:39 Huyo mchungaji haelewi, basi inamaanisha hata Isaq MTOTO wa Abraham ni MTOTO wa Mungu? Nasema hivo kwa sababu Mungu alituma Gabriel kuambiya Abraham na Sara kuhusu mimba atakayo pata Sara.... SASA kwa vile Maryamu pia kupokeya risala vilevle basi vipi Isaq pia asiwe mwana wa Mungu? Jameni hao wachungaji waache kutupoteza.....
Tafadali soma na u wache mambo ya wachungaji usi potezwe kwa muislamu ujue yesu vizuri sana
Ume fahamu sana lkni usome vizuri
Please sheikh compare notes with other sheiks too like Prophesser Othman Mazinge how to tackle like mwana wa kipekee in the bible is found in many other verses to neutralize John 3:16
Hamna kitu Yesu ni mwamba kashinda kifo na mauti mamlaka yote kapewa yeye anabadilisha anafanya upya mtasubiri sana
watasubiri sana hao waislamu au
@ Jemedali James
Waongea na Facts au ni fiction una lay out?
Ndugu lazima uwe factual hakuna personal interpretation kwa dini. Twafuta maandiko.. usiwe mwingi wa kubishana .. Uislamu ndio dini sahihi. Jibidiishe angalau kuutaka kujuwa kidogo kuhusiana na uislamu kabla hujatoa kauli yako.
@@dawud6065 thanx mabroo kwa kuongea neno
Siyo dini itaenda mbinguni ni matendo Yako mungu ataona kama ulikuwa unafwata hapa duniani so mko capagn ya Mohamed na yesu ATI nani Ako na wafuasi wengi
I'd like to join you
You're welcome
Mwache asome maana ya SINAGOGI nyuma ya bibilia, Sheikh Anwar hao hawana lolote,unapoteza Mda sheikh
Sheikh mm ungemjibu ya kuwa. Sheria zikebadilika ilipokuja quruani sheria za manabi wa nyuma zimepotea twafuata quruani kwa quruani ndo kitabu CHA mwisho ndo inayo fuatwa ..🇹🇷🇰🇪🇹🇷
Masha Allah ukweli tumekupata vinzuri shukuran brother
Kila mtu na Imani yake na kanisa yake ,as long as umamwamini mungu ,usiitikie mtu asushe Imani yako.na usiwai bishania neno LA mungu
ManshaAllah
Yeye anajiita nabii na hajui biblia.
Wamkanao Yesu kristo pia yeye atawakana bele ya malaika na bele ya mwezi MUNGU
Nenda uko
Uislam haumkani Yesu, hauwi muislamu kama haumuamini Yesu kama ni mtume miongoni mwa mitume wenye status ya juu kabisa na sio Mungu wala mtoto wake..
@@hafidhhemed1514 mpe elim uyo
Didi iko kwa gogle
Waeslam mnaabudu majiini nani ajuiiiii alafu mnaloho ngumu
Hivo ndo mnavofundishwa church, Nani hajui?
Mnaamini eti siku ya mwisho wanaume watapewa mabikira kwanza Mbinguni hakuna kuoana bali ni kumsifu Mungu milele na milele
Wewe umevulugwa
Hujielewii wewe, Allah akuongoze
don't provoke just anyhowly coz u ignore wat you knw en if u don't knw just sit down en listen utaambiwa... Islam is the true and pure religion
@@jirmomohamed7595 Christianity is a very true religion am proud of being a follower of Jesus christ
@@wilberchannel5346 u will come by yourself
Shekhe mbabaishaji, yohana17:1 utaona habari za mwana shuka mstari 3 anatajwa kwa kwa jina yesu Kristo,njooni mbatizwe acheni kusumbua watu kwa kuwa hawajui maandiko
Ndugu yangu katika Adam, Kama unaona Kuna ubabaishaji watafute kwa namba ya wat'sup 0727431691
@@hassansumera7818YOJANA 17; 3 YESU Anasema tutamjua MUNGU Wa kweli na YESU KRISTO Uliyemtuma
@@shabbymakapaneshabby5000 Somakwanza 17:1 unaona maneno hayo aliyasema yesu akiinua macho yake akielekea mbinguni,akasema baba, saa imekwisha kufikia mtukuze mwanao
@@essaumpuma2981 sijakuelewa
Hao sio wachungaji waislam wanaelewa wachungaji vizuri sana
0pen Your eys, Wakristo Msipotoshwe,Yesu yuaja
Yesu mgani because Yesu ni wengi
@@salimdaawah123 acha kunyamazisha watu.
If heaven will be for Islam and wakristo only heaven must be very small.
Be spiritual , connect with God
Asha Religions yote. Connect with God.
Sinagogi ni msikiti
Jesus is lord and HE IS the only way.
Msibishane na wasiomjua mwana yaani wampinga kristo,hao wote ni waislamu ni game wanacheza wachananeni na wao,kwanza wamwamini YESU,YESU ndiye njia na uzima wa milele
Kanye uko