Wachungaji waikataa bibilia mbele ya waisilamu eastlegh ajabu sana by sheikh Anwar

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 329

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 3 ปีที่แล้ว +14

    Dinii ya haki mbele ya mwenyezi mungu ni uislam

  • @henrynganga8265
    @henrynganga8265 2 ปีที่แล้ว +1

    Wakristo wa kenya wanadai wanamjua yesu kuliko jinsi yesu anavyojijua mwenyewe. Yesu anajiita mwanadamu lakini wao wanakataa yesu sio mwanadamu ni mwana wa mungu na ukiwazidi sana wanasema yesu ni Mungu mwenyewe

  • @Ustadhfeisal
    @Ustadhfeisal 3 ปีที่แล้ว +19

    MaashaAllah am happy seeing my people, Allah awabarikie katika kazi zenu.

  • @Isack_Leo
    @Isack_Leo 3 ปีที่แล้ว

    Aaahhhhaa waislamu mmebobea kwenye ubishi... Ila kumkataa yesu mwisho wenu ni mbaya sana

  • @jumaathman5252
    @jumaathman5252 2 ปีที่แล้ว +2

    Asalam aleikum warahmatullah wabarakatu
    Ndugu zangu katika uislam inshaAllah Allah awabariki na awazidishie hekima kwani nimependa jinsi munavyo waelimisha wakiristo hadi wanaamuwa kusilimu Allah awasimamie kwa kila zenu hatuwa

  • @jeniphersarah2772
    @jeniphersarah2772 3 ปีที่แล้ว

    Msihukumu tuachie mungu agukumu.ju wakristo na waislamu wote tulitoka kwa mungu.na mungu ni mmoja yesu ni mwana wa mungu na zote ni wana wa mungu.na mbele ya mungu wote tuko sawa hakuna muisamu wala Mkristo tuko sawasawa.

    • @dawud6065
      @dawud6065 3 ปีที่แล้ว

      @ Jenipher Sarah
      Hakika sote ni waja wa Mungu lakini utofauti huingia pale munaposema Yesu ni Mungu au ni mtoto wa Mungu.. itikadi hii ni potofu. Yesu ni Mtume (prophet) wa Mwenyezi Mungu na jukumu lake yeye ni kubashiria mema na kukataza Maovu. Mwenyezi Mungu hakuzalisha wala kuzaliwa. Soma dini ndugu tuko na neema ya kuwa juu ya ardhi hii muda huu usijutie baadae kisa na maana ni ignorance. Ujuwe kuhusu uislam hata kwa uchache tu ..zingatia

  • @ladyjamilamohammed2577
    @ladyjamilamohammed2577 2 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah...am proud to a Muslim...Allah tujalie mwisho mwema....

  • @yatatusimu2498
    @yatatusimu2498 3 ปีที่แล้ว +4

    Dawaah hii hapa, maana mwenye kuihitaji yumkini asiulize ... Jaya Salimu Dawaah hii ndugu zanguni ...

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara2789 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah bibilia kitabu cha Paulo kina mapungufu mengi MwenyeziMungu azid kuwajaalia mashekh zetu kw kuwapa dawa wapotevu

  • @mohamedomarrajab6335
    @mohamedomarrajab6335 3 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah Tabaraka Allah,Allah awazidishie na walipe malipo yatakayo zidisha uzani katika mizani ya khairatu zenu in sha Allah.

  • @jazakamuhehe3851
    @jazakamuhehe3851 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awatimie nguv masheikhe wenu

  • @wvimeal2853
    @wvimeal2853 ปีที่แล้ว +1

    Mwalimu.aoshikhe.mwenyezimungu akujalieni.wataelewatu

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 3 ปีที่แล้ว +2

    MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH....kazi safi adhwiim sana

  • @rallyscosmeticandgasaccess4839
    @rallyscosmeticandgasaccess4839 ปีที่แล้ว +1

    Ma asha allah❤💜🤲🤲

  • @hawoibrahim2432
    @hawoibrahim2432 3 ปีที่แล้ว +9

    MASHALLAH, may Allah (S.W) grant you jannah masheikh wetu.

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv4825 3 ปีที่แล้ว +6

    Masha Allah daawa mbele mpaka kiama

  • @bintibakari1995
    @bintibakari1995 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Tabarakkallah ❤👌🏻👌🏻👌🏻

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 ปีที่แล้ว +3

    Shekh Allah akupe khair zako

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 ปีที่แล้ว +6

    Mashallah jazakallah kheir masheikh wetu Allah awajalie janatul firdaus kwa kazi mzuri ya da'waa

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 3 ปีที่แล้ว +6

    Wallah raha sana kua muislam

  • @mohammedsalim7051
    @mohammedsalim7051 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah shehe wetu mimi ni mtanzania nimependa mawaidha yako ALLAH akuongoze na akulinde akuepushe na kila shari

    • @clementcharles9785
      @clementcharles9785 3 ปีที่แล้ว

      Hakili hamuna ote unaosikiliza

    • @gabrielmataro1525
      @gabrielmataro1525 3 ปีที่แล้ว

      Ubishi. Wa. Kubishania. Mungu. Nimakosa. Makubwa. Tena. Hutayarisha. Amani. Shetani. Hulete. Vita. Kwakupitia. Hapo. Kama. Niwavumilivu. Kwanini. Mmoja. Akitukana. Munguwake. Hapo. Uone. Jee. Kunaatakaye. Kuanakifua. Cha. Amamani. Shetani. Tayari. Ashakuja. Yukokati. Kwanini. Kila. Mmojaasihubifi. Kanisanikwake. Shehe. Msikitini kwake. Hebu. Atukane. Hapo. Kamahuamini. Kama. Polisihawajajaaa. Hapo. Kama. Shetani. HajawPiga. Bilakutambua. Kwanza. Mahubiri. Hayo. Hayaruhusiwi. Walishapivana. Miakailiopita. Msim himbue. Shetani. Akawapiga. Bilakujua binadamu. Nikama. Ualikaukalon

    • @mohammedsalim7051
      @mohammedsalim7051 3 ปีที่แล้ว

      @@clementcharles9785 asante sana

    • @mohammedsalim7051
      @mohammedsalim7051 3 ปีที่แล้ว +1

      @@gabrielmataro1525 kwa mwenye akili hutulia na kutafuta ukweli mjinga ndio atataka kuleta vurugu

  • @muktarhussein9807
    @muktarhussein9807 3 ปีที่แล้ว +8

    Masha Allah munafanya kazi ya mitume daawa Mungu awajalie Firadaus al aclaa

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah mashaallah masheikh wetu mungu awajalie heri nyingi hapa duniani na ata akhera inshaallah

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 ปีที่แล้ว

      Aameen ameen ameen sote May Almighty Allah bless you and your family and everything you're doing May Allah put baraka on it

  • @gaddafialjabry
    @gaddafialjabry 3 ปีที่แล้ว +10

    MashaAllah good,,, mhubiri ajifunze from zakir Naik ataweza kujibu kwa hikma zaidi

  • @khalidmata6942
    @khalidmata6942 3 ปีที่แล้ว +10

    Masha Allah may God bless you guys keep doing it....

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 ปีที่แล้ว +1

    Na mungu awazidishie nguvu na uzima ili mzidi kupambana na kuimarisha uislam kwa ajili ya Allah

  • @biintijirebintijire2133
    @biintijirebintijire2133 3 ปีที่แล้ว +5

    MASHA ALALLAH sheikh wetu

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 3 ปีที่แล้ว +4

    jazakallah kazi nzuri masheikh

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah pamja ndgu zetu katika imani

  • @abasmohamud1348
    @abasmohamud1348 3 ปีที่แล้ว +1

    Jazaakallahu kheiran sheikhana
    Asante sana

  • @josemu870
    @josemu870 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mash Alllah

  • @bisharibrahim5177
    @bisharibrahim5177 3 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah hafidaka Allah

  • @sarahali5938
    @sarahali5938 3 ปีที่แล้ว +3

    Alhamdullilah ana Muslimin..

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/rhly5nUZ2Rw/w-d-xo.html guzaa link

  • @rizikiabasshaji6601
    @rizikiabasshaji6601 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah masheikh wet Allah awaongoze

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y 3 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah kazi nzuri

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/rhly5nUZ2Rw/w-d-xo.html guza link

  • @alisaid4649
    @alisaid4649 3 ปีที่แล้ว +4

    Maa Sha Allah Sheikh Anwar

  • @bashirali2385
    @bashirali2385 3 ปีที่แล้ว +4

    MashaAllah kazi mzuri

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah Sawasawa lzm waelewe Allah awazidishie ilmu zaidi mashekh wetu

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf3431 3 ปีที่แล้ว +1

    Mansha Allah Sheekh
    Christians don’t understand Bible
    May Allah guide them all

  • @saidomar941
    @saidomar941 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah mungu awabariki sana

  • @osamamustafa1697
    @osamamustafa1697 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah Allah Awazidishie

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 3 ปีที่แล้ว +3

    Maa shaa Allah Shukran jazilla

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 3 ปีที่แล้ว +2

    Napendaga mawaidha MashaAllah

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/rhly5nUZ2Rw/w-d-xo.html guza link

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 3 ปีที่แล้ว

    Sio kweli ni maneno tu.

  • @nassorokambi3561
    @nassorokambi3561 3 ปีที่แล้ว

    Mazinge

  • @swabirattwas6796
    @swabirattwas6796 3 ปีที่แล้ว +2

    بارك الله لكم🥰

  • @yatatusimu2498
    @yatatusimu2498 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akiwaongoza Mashehe watakuwa watulivu halafu wasikilize jibu analotia Mungu Kwa Maswali haya ....

  • @ngokaomary5123
    @ngokaomary5123 3 ปีที่แล้ว +5

    MashaaAllah tabarakallah

  • @saidosmaney1534
    @saidosmaney1534 3 ปีที่แล้ว +2

    Takbir Allahu Akbar

  • @seiduachu3700
    @seiduachu3700 3 ปีที่แล้ว +6

    Islamic ndio dini ya kweli na haki

  • @safiaabdullahi8021
    @safiaabdullahi8021 3 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah

  • @amaa6353
    @amaa6353 3 ปีที่แล้ว +3

    Mutabishana lakini Mungu ni mmoja

    • @johniemarsha281
      @johniemarsha281 3 ปีที่แล้ว

      Thanks

    • @nowtv2107
      @nowtv2107 3 ปีที่แล้ว

      Ndio ni mmoja hatujakataa lkni kubali hana mtoto na mtoto ni wa Mariam

    • @amaa6353
      @amaa6353 3 ปีที่แล้ว

      @@nowtv2107 kila mtu na imani Yake cha maana ni matendo mazuri mbele ya Mungu mimi ni mtoto wa MUNGU na siezi jiita Mimì ni mtoto wa shetani hiyo ni imani yangu na ninabaki na imani yangu

    • @dawud6065
      @dawud6065 3 ปีที่แล้ว

      @@amaa6353 kama ni hivo basi dini haiezi kuwa moja kutokana na logic yako isiyoeleweka.
      Uislamu hatukubali itakidi yenu potofu kuwa Yesu ni mwana wa Mungu au Yesu ni Mungu...
      (Lakum deenekum waliya deen - For you is you religion and for me is my religion)

    • @dawud6065
      @dawud6065 3 ปีที่แล้ว

      @@amaa6353 wewe sio mtoto wa Mungu ila Mja wa Mwenyezi Mungu

  • @fattmaabdullah8266
    @fattmaabdullah8266 3 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 ปีที่แล้ว +8

    وَمَا يَنۢبَغِى لِلرَّحْمَٰنِ أَن يَتَّخِذَ وَلَدًا
    It is not fitting for the Most Gracious to have a child.
    Quran:Maryam(19:92)

  • @muhidinihomera5922
    @muhidinihomera5922 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah allahuakbaru

  • @williamleshan7423
    @williamleshan7423 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaaqlx

  • @davidwalker2144
    @davidwalker2144 3 ปีที่แล้ว +8

    TEAM ISLAM and TEAM CHRISTIAN will never agree why?
    "And from those who say, "We are Christians" We took their covenant; but they forgot a portion of that of which they were reminded. So We caused among them animosity and hatred until the Day of Resurrection. And Allah is going to inform them about what they used to do."
    (QS. Al-Maaida 5: Verse 14)

  • @musanike3079
    @musanike3079 3 ปีที่แล้ว +1

    MABRUK

  • @ocroafff5527
    @ocroafff5527 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah is this in eastlight?

  • @ndegeisaac6215
    @ndegeisaac6215 3 ปีที่แล้ว +1

    JESUS THE WAY TO LIFE

  • @rehemarehema3258
    @rehemarehema3258 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 3 ปีที่แล้ว

    Vimeumana aisee

  • @shabaniabdu1312
    @shabaniabdu1312 3 ปีที่แล้ว

    Dini sio uisalaam au ukiristo (Uislaam ni lukha ya kiarabu) na ukiristo ni lukha ya kabira moja wapo ya kiyahudi. Dini ni unyenye kevu mbele ya mungu na kufanya mambo mazuri anayo taka binadamu ayafanye ndani ya maisha yao ya kila siku!!!

  • @Hamidi503
    @Hamidi503 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashalla

  • @deksbaba3516
    @deksbaba3516 3 ปีที่แล้ว

    M. A

  • @ashkush-v5w
    @ashkush-v5w ปีที่แล้ว +2

    Eeh waislamu mpaka wamehifadhi bible overhead. Uuui hawa watu ni waajabu😮

  • @kasmilyshalom8869
    @kasmilyshalom8869 3 ปีที่แล้ว

    Haa!haa!kweli hii ni baraghi

  • @deqoyusuf2741
    @deqoyusuf2741 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi sijui ndomaana

  • @yatatusimu2498
    @yatatusimu2498 3 ปีที่แล้ว +3

    Majibu nduguzanguni yaop. Pale ambapo mizaha ya kimjadala itakapoachwa na kuingilia mtoa jibu, basi Nuru itaonekana katika maswali. Huyu muuliza swali alikuwa much GA kulusikai jibu. Ameleta ushindani na si kutaka kujua. Yesu ni mwana wa Mungu. Aya nitawapa ... Tena Mungu mwenyewe anamtamka hivyo! Mnataka Aya rafiki zangu Waislamu humu???

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 3 ปีที่แล้ว +1

    Allahu Akbr jamanini Mashiekh wetu Ustadh Yahya yupo wapi skuizi

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 ปีที่แล้ว

      Yupo tu area

    • @munirashughuli7224
      @munirashughuli7224 3 ปีที่แล้ว +1

      @@salimdaawah123 mpeni Salaam sana Allah awapee nguvu nyote muweze kutuelimisha🤲

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah,,wislamu raha

    • @hudsonolianah5535
      @hudsonolianah5535 3 ปีที่แล้ว

      Waislamu ni wale walimsaliti Yesu. Muhammad alikufa akaliwa na mbwaa. Muna abudu mufu

    • @hawaathumani6948
      @hawaathumani6948 3 ปีที่แล้ว

      @@hudsonolianah5535 wewe ndo ulikufa ukaliwa na mbwa na sio mtume wetu Muhammad swalallahu aleyhi wasalam

  • @nasaaimluheta
    @nasaaimluheta 3 ปีที่แล้ว +2

    Maaaashalllaaah

  • @mirajirajabu3250
    @mirajirajabu3250 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah awabariki sana

  • @rabiba
    @rabiba ปีที่แล้ว +1

    Shaikh Anwar..PLZ GO SLOW...ww ni Shaikh mzuri but be calm

  • @mbarakahmed3305
    @mbarakahmed3305 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona imeisha mapema

  • @nuhchannel4851
    @nuhchannel4851 3 ปีที่แล้ว +1

    M.a sheikh

    • @rajabdanga8590
      @rajabdanga8590 3 ปีที่แล้ว +1

      Mkitaka waelewe muapeleke polepoe mssifanye Kama ushabiki hio ni dini

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 ปีที่แล้ว

      Isha Allah

  • @vitufez843
    @vitufez843 3 ปีที่แล้ว +5

    its not fair to argue with someone who doesn't want you to bring another understanding from another verse,,,,,, instead he`s forcing you to accept what he understands,,,,,,
    and also reading the whole page not a verse will output the intended meaning........

  • @jontecaros3194
    @jontecaros3194 3 ปีที่แล้ว

    Just do good , final

  • @rabbithare381
    @rabbithare381 3 ปีที่แล้ว +13

    24:39 Huyo mchungaji haelewi, basi inamaanisha hata Isaq MTOTO wa Abraham ni MTOTO wa Mungu? Nasema hivo kwa sababu Mungu alituma Gabriel kuambiya Abraham na Sara kuhusu mimba atakayo pata Sara.... SASA kwa vile Maryamu pia kupokeya risala vilevle basi vipi Isaq pia asiwe mwana wa Mungu? Jameni hao wachungaji waache kutupoteza.....

    • @AbdiraufAbdirauf
      @AbdiraufAbdirauf 3 ปีที่แล้ว

      Tafadali soma na u wache mambo ya wachungaji usi potezwe kwa muislamu ujue yesu vizuri sana

    • @AbdiraufAbdirauf
      @AbdiraufAbdirauf 3 ปีที่แล้ว

      Ume fahamu sana lkni usome vizuri

  • @mohamedhussein7997
    @mohamedhussein7997 2 ปีที่แล้ว +1

    Please sheikh compare notes with other sheiks too like Prophesser Othman Mazinge how to tackle like mwana wa kipekee in the bible is found in many other verses to neutralize John 3:16

  • @jemedalijames2079
    @jemedalijames2079 3 ปีที่แล้ว +4

    Hamna kitu Yesu ni mwamba kashinda kifo na mauti mamlaka yote kapewa yeye anabadilisha anafanya upya mtasubiri sana

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 3 ปีที่แล้ว

      watasubiri sana hao waislamu au

    • @dawud6065
      @dawud6065 3 ปีที่แล้ว

      @ Jemedali James
      Waongea na Facts au ni fiction una lay out?
      Ndugu lazima uwe factual hakuna personal interpretation kwa dini. Twafuta maandiko.. usiwe mwingi wa kubishana .. Uislamu ndio dini sahihi. Jibidiishe angalau kuutaka kujuwa kidogo kuhusiana na uislamu kabla hujatoa kauli yako.

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 3 ปีที่แล้ว

      @@dawud6065 thanx mabroo kwa kuongea neno

  • @josephmaina8239
    @josephmaina8239 2 ปีที่แล้ว

    Siyo dini itaenda mbinguni ni matendo Yako mungu ataona kama ulikuwa unafwata hapa duniani so mko capagn ya Mohamed na yesu ATI nani Ako na wafuasi wengi

  • @azizhassan881
    @azizhassan881 3 ปีที่แล้ว +1

    I'd like to join you

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 3 ปีที่แล้ว

    Mwache asome maana ya SINAGOGI nyuma ya bibilia, Sheikh Anwar hao hawana lolote,unapoteza Mda sheikh

  • @ahmedabdirahman8611
    @ahmedabdirahman8611 3 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh mm ungemjibu ya kuwa. Sheria zikebadilika ilipokuja quruani sheria za manabi wa nyuma zimepotea twafuata quruani kwa quruani ndo kitabu CHA mwisho ndo inayo fuatwa ..🇹🇷🇰🇪🇹🇷

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 ปีที่แล้ว +1

      Masha Allah ukweli tumekupata vinzuri shukuran brother

  • @johniemarsha281
    @johniemarsha281 3 ปีที่แล้ว

    Kila mtu na Imani yake na kanisa yake ,as long as umamwamini mungu ,usiitikie mtu asushe Imani yako.na usiwai bishania neno LA mungu

  • @juniorabdi3305
    @juniorabdi3305 3 ปีที่แล้ว +4

    ManshaAllah

  • @omarabdi9376
    @omarabdi9376 3 ปีที่แล้ว +1

    Yeye anajiita nabii na hajui biblia.

  • @joelgodia4000
    @joelgodia4000 3 ปีที่แล้ว

    Wamkanao Yesu kristo pia yeye atawakana bele ya malaika na bele ya mwezi MUNGU

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 3 ปีที่แล้ว +1

      Nenda uko

    • @hafidhhemed1514
      @hafidhhemed1514 3 ปีที่แล้ว +2

      Uislam haumkani Yesu, hauwi muislamu kama haumuamini Yesu kama ni mtume miongoni mwa mitume wenye status ya juu kabisa na sio Mungu wala mtoto wake..

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 3 ปีที่แล้ว +2

      @@hafidhhemed1514 mpe elim uyo

  • @deqoyusuf2741
    @deqoyusuf2741 3 ปีที่แล้ว +1

    Didi iko kwa gogle

  • @gazzowamikazo6987
    @gazzowamikazo6987 3 ปีที่แล้ว

    Waeslam mnaabudu majiini nani ajuiiiii alafu mnaloho ngumu

    • @hafidhhemed1514
      @hafidhhemed1514 3 ปีที่แล้ว

      Hivo ndo mnavofundishwa church, Nani hajui?

  • @wilberchannel5346
    @wilberchannel5346 3 ปีที่แล้ว +1

    Mnaamini eti siku ya mwisho wanaume watapewa mabikira kwanza Mbinguni hakuna kuoana bali ni kumsifu Mungu milele na milele

    • @aishaaby7531
      @aishaaby7531 3 ปีที่แล้ว +2

      Wewe umevulugwa

    • @asadmuhaji2734
      @asadmuhaji2734 3 ปีที่แล้ว +1

      Hujielewii wewe, Allah akuongoze

    • @jirmomohamed7595
      @jirmomohamed7595 3 ปีที่แล้ว +1

      don't provoke just anyhowly coz u ignore wat you knw en if u don't knw just sit down en listen utaambiwa... Islam is the true and pure religion

    • @wilberchannel5346
      @wilberchannel5346 3 ปีที่แล้ว

      @@jirmomohamed7595 Christianity is a very true religion am proud of being a follower of Jesus christ

    • @jirmomohamed7595
      @jirmomohamed7595 3 ปีที่แล้ว

      @@wilberchannel5346 u will come by yourself

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 3 ปีที่แล้ว

    Shekhe mbabaishaji, yohana17:1 utaona habari za mwana shuka mstari 3 anatajwa kwa kwa jina yesu Kristo,njooni mbatizwe acheni kusumbua watu kwa kuwa hawajui maandiko

    • @hassansumera7818
      @hassansumera7818 3 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu katika Adam, Kama unaona Kuna ubabaishaji watafute kwa namba ya wat'sup 0727431691

    • @shabbymakapaneshabby5000
      @shabbymakapaneshabby5000 3 ปีที่แล้ว

      @@hassansumera7818YOJANA 17; 3 YESU Anasema tutamjua MUNGU Wa kweli na YESU KRISTO Uliyemtuma

    • @essaumpuma2981
      @essaumpuma2981 3 ปีที่แล้ว

      @@shabbymakapaneshabby5000 Somakwanza 17:1 unaona maneno hayo aliyasema yesu akiinua macho yake akielekea mbinguni,akasema baba, saa imekwisha kufikia mtukuze mwanao

    • @shabbymakapaneshabby5000
      @shabbymakapaneshabby5000 3 ปีที่แล้ว

      @@essaumpuma2981 sijakuelewa

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 3 ปีที่แล้ว

    Hao sio wachungaji waislam wanaelewa wachungaji vizuri sana

  • @judithmakuto3612
    @judithmakuto3612 3 ปีที่แล้ว

    0pen Your eys, Wakristo Msipotoshwe,Yesu yuaja

  • @ariseblessedafrica1607
    @ariseblessedafrica1607 3 ปีที่แล้ว

    If heaven will be for Islam and wakristo only heaven must be very small.
    Be spiritual , connect with God
    Asha Religions yote. Connect with God.

  • @mohamedabdiofficial3206
    @mohamedabdiofficial3206 3 ปีที่แล้ว +1

    Sinagogi ni msikiti

  • @tonnyanthonys2159
    @tonnyanthonys2159 3 ปีที่แล้ว

    Jesus is lord and HE IS the only way.

  • @mosesgikongo5307
    @mosesgikongo5307 3 ปีที่แล้ว

    Msibishane na wasiomjua mwana yaani wampinga kristo,hao wote ni waislamu ni game wanacheza wachananeni na wao,kwanza wamwamini YESU,YESU ndiye njia na uzima wa milele