ANGALIA Muhammad Bachu AKIJIBU MASWALI KITAALAMU||HUWEZI KUAMINI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2022

ความคิดเห็น • 280

  • @maulidmussa8969
    @maulidmussa8969 2 ปีที่แล้ว +10

    allah akulipe khery sheikh bachu, inshallah

  • @abdallahmwakasege5405
    @abdallahmwakasege5405 ปีที่แล้ว +7

    Huyu sheikh, naweza pata mawazisiano nae. Amenyooka sana mashallah. Nampenda kwa ajili ya dini

    • @jkifutu7936
      @jkifutu7936 8 หลายเดือนก่อน

      Number zake nenda mbagala uta zipata

  • @djumapiliamina1139
    @djumapiliamina1139 10 หลายเดือนก่อน +1

    Barakallahu fikh sheikh Muhammed bachu

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 2 ปีที่แล้ว +3

    Wallaah ndugu zangu hizi ni zamaa mbaya sanaa Turudini kwa Allaah na tulazmiane na njia ya salaf katika Aqiyda, katka ibada mbalimbali, na muamalat mbalimbali...Allaah asiwakithirishè hawa kina muhammad bacho...

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 2 ปีที่แล้ว +5

    Ndugu yangu mwislamu. Ningependa ungelekea kwa njiya za kunufaisha binadamu na waislamu. Sisi waislamu tuna matatizo mengi sana. Siku zetu duniyani Ni chache. Kesho or baada ya wakati mfupi tutasafiri. Mola amekupa gift ya kuzungumza. MaashaaAllah. Wacha kupoteza wakati wako kwa firaq, Makundi na groups. Sote sisi Ni waislamu. Namuomba Mola akupe elimu yenye baraka

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 ปีที่แล้ว

      Huna HOJA.hivi si ndio kufundisha au afundishe unayoyataka

    • @nassorkhamis6233
      @nassorkhamis6233 7 หลายเดือนก่อน

      Dawa yako ni mfumo wa kiyahudi

    • @abeliever6823
      @abeliever6823 7 หลายเดือนก่อน

      Ndugu. Si sawa kuapizana. Allah akupe na atupe hidaaya

  • @halimamohamed4842
    @halimamohamed4842 ปีที่แล้ว +2

    Shukran sn Shekh Allah akulipe khri❤

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 ปีที่แล้ว +1

    Muhamed bachu unafahamika Kaka upo vizurii Sana MashaAllah

  • @iddimkulu2791
    @iddimkulu2791 2 ปีที่แล้ว +3

    بارك الله فيك

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 2 ปีที่แล้ว +2

    Barakh Allah Khair sheikh

  • @fabiboy4010
    @fabiboy4010 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah, @mohammed bachu ww ni sheikh ambae unatumia hekma na elimu kwa kadri allah alivokuwezesha lkn kuna watu wengine wanaendekeza jazba kuliko elimu

  • @kassimajmus2010
    @kassimajmus2010 2 ปีที่แล้ว +3

    Sh.Muhammad fanya kazi ukiamini Allah yukopamoja na ww

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 2 ปีที่แล้ว

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @mkude
    @mkude ปีที่แล้ว +1

    ALLAH Akulipe kila LA kheir sheikh mohamed Bachu

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 ปีที่แล้ว +6

    Sheikh Mohammad! Nimekusikiliza sanaa na vizuuri,nimekupata.

  • @ibrahimramadhan6076
    @ibrahimramadhan6076 2 ปีที่แล้ว +1

    جزاك الله خيرا يا اخي

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o 2 ปีที่แล้ว +1

    ماشا ء الله ماشا ء الله أمين يا رب العالمين 🤲ansante sana

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 2 ปีที่แล้ว +7

    MASHA'ALLAH ,Sheykh wetu Muhammad bachu

  • @shafially879
    @shafially879 2 ปีที่แล้ว +3

    Tabia nzuri ni katika uchamungu, mwenye tabia nzuri kakushinda katika dini!

  • @user-gt5hx7cz1d
    @user-gt5hx7cz1d 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah 🙏🏿

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c ปีที่แล้ว +1

    Mashallah al akhy

  • @omarbakaralit1087
    @omarbakaralit1087 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah akulipe kher

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni kweli hatupaswi kabisa kuhukumiana kwa maneno maana mtu anaweza akasema kitu kwa nia nzur lakin kwa jazba zetu tukapokea kivingine, na kiukweli manhaj ya sunnah waljamaa ndio pekee ya kufuatwa na masuala ya jazba na kukatana na kudhalilishana kwenye mitandao ni mabaya sana na ndio yaloenea sana.

  • @omarysalum6754
    @omarysalum6754 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Allah akuhifadhi kw kufuata nyayo za baba

  • @midahalomwanga9328
    @midahalomwanga9328 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah allahumma barik alaihi

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 2 ปีที่แล้ว +3

    Assalaam Alaykum
    Very sad. Extremely sad. We waste energy on fighting each other. We are filled with arrogance. It is as if we are guaranteed to enter Janna. We look down upon anyone with different views. Subhaanallaah. May Allah guide us. I wish we could use our energy into what benefit our fellow Muslims. Instead of fighting each other. Very sad wallahi.

    • @abdallahmgaya7521
      @abdallahmgaya7521 ปีที่แล้ว

      They are not fighting each other, but they debate and from their debate we get Islamic knowledges, so don't worry @A Believer

    • @selemanmartin
      @selemanmartin ปีที่แล้ว

      Sisi ni waswahili kiingereza hakina sababu hapa

  • @abdulhamidbakar2461
    @abdulhamidbakar2461 2 ปีที่แล้ว +2

    Subhana llah yaaarab naomba utusamehe mazamb yetu kwasababu wakati mwengne hatujui twazungumza nn maswali yanajibiwa kiushabik na hii haifai ktk dini tunajisahihisha ss wenyewe ameshawaona watu wasufi ni watu wa kuabudia makaburi kwavletu hawapo kwenye aliekuwepo yy kijana punguza kiburi na tuna muomba mwenyezimingu akupe hidaya umeenda mbali sana

  • @sarahhashim6298
    @sarahhashim6298 2 ปีที่แล้ว +1

    mungu akulipe heli wambie aho tumekuelewa sana mr yani usiache

  • @alves_photo5346
    @alves_photo5346 2 ปีที่แล้ว +2

    Maashallah

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah shekhe wetu Muhammad bachu Mungu akuzishiye ilmu zaidi inshaallah kutoka kenya khadija said Nahdi mld

  • @hassanbakar9278
    @hassanbakar9278 2 ปีที่แล้ว +4

    Baaraq Allah Sheikh
    Allah akulipe Ujira Stahili

  • @Zanzibar-LandOfBlacks
    @Zanzibar-LandOfBlacks 2 ปีที่แล้ว +5

    Nimetatizika kuona uwepo wa ndimi mbili. naomba ufafanuzi.
    vipi kuhusu maneno ya Shaykh Albusiri aliposema katika shairi lake qaswida burdah aliposema mathalan
    " sina wa kumkimbilia ispokuwa ww(Nabii Muhammad (s.a.w), wakati wa kutokezea matatizo makubwa" tukisema kwa mfano wa matatizo hayo makubwa ni kule kuhitaji kufanyiwa hisabu siku ya kiyama baada ya kusubiri mda mrefu katika uwanja wa hesabu kama alivyojaribu kutoa maana hiyo sheikh shaarani, basi hatutokuta shirki katika maneno hayo, bilashaka tutakimbilia kuleta maana hiyo kwa kuwa tunamfahamu Albusiri alkuwa ni katika ahlusunna wala hatukuti popote alipoandika maneno ya wazi ya shirki kiasi kwamba tuilazimishe kauli kama hii kuwa ni ya shiriki ifinane na hiyo!
    nilichokifahamu, ili iletwe maana yenye shirki katika baadhi ya mistari ya shairi la shaykh Al busiri, imma kwa kuulizwa yeye mwenyewe albusuri amekusudia maana gani katika maneno hayo au paletwe ushahidi kwamba aliwahi kusema maneno ya wazi yenye shirki yanayofanana na hayo.
    Swali.
    Ikiwa vitakosekana vyote viwili hivyo, ni kwann tunakimbilia kutoa maana yenye shirki katika maneno ya albusiri?
    N.B: sikuwa nalijua hilo shairi la albusiri mpaka nilpokusikia wwe ukisema kuna shirki ndani yake. nimelipitia, sijakuta isipokuwa mistari yenye utata, ambayo mwenye kutaka maana isiyo na shirki atapata, bali na mwenye kutaka maana yenye shirki atapata.
    Assalaam alaikum.

    • @jumakingambe4323
      @jumakingambe4323 10 หลายเดือนก่อน

      KAMA KUNA USHAHIDI WA HADITHI KAMA SIKU YA QIAMA KUNA WATU WATAMFUATA MTUME AWASAIDIE NA ATAWASAIDIA HILO LITAKUWA SI SHIRKI. ILA KAMA HAKUNA HII NI SHIRKI

  • @asifznz
    @asifznz 2 ปีที่แล้ว +5

    Barak Allahu alayk

  • @kalumboukororo5505
    @kalumboukororo5505 2 ปีที่แล้ว +2

    Ninachokijua mimi mtume wetu akuwa shia wala sarafi wala suni ninachojua alikua muislamu tu hayo ni mambo yenu tu Allah atujaalie umoja amina nakama kunayeyote anajua. Mtume wetu alikua sarafi au shia au sarafi anambie aliacha sunna wajukuu zake hassani na hussen na uislamu salama kbsa

    • @nassirquran2988
      @nassirquran2988 7 หลายเดือนก่อน

      Unajua maana ya salaf?

  • @godfreywasike1687
    @godfreywasike1687 2 ปีที่แล้ว +1

    Ustadh Njoo Kenya Nairobi Kuna baadh ya mitaa Majadida wamejaa

  • @fawaaidzakielimu4858
    @fawaaidzakielimu4858 ปีที่แล้ว

    Usiseme kitaalamu Bali SEMA Kielmu, Hvo

    • @TawfiqHaji
      @TawfiqHaji 4 หลายเดือนก่อน

      Kitaalamu na kielimu si ndo hivohivo kaka angu,mbona unamkosoa bure ilhali yuko sawa,taalamu maana kiujuzi ,kiufundi,kielimu zaidi,elimu ndo hivohivo ni neno la kiarabu tuu,usikosowe km hujui na muangalie nani unamkosowa insha,allah.🙏🤫🤫🤐

  • @abuusalafy7956
    @abuusalafy7956 2 ปีที่แล้ว +2

    We Ni mgonjwa

  • @abuutamliikhaothmaan7244
    @abuutamliikhaothmaan7244 2 ปีที่แล้ว

    Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu hii tunaomba itengenezwe short clip ili ienee kweny magroup yawasap

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 ปีที่แล้ว

    Duh mtihani

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 ปีที่แล้ว

    Allah amesema Waislam sote ni ndugu lkn Leo tunabaguana kwa usalaf na madheheb mengine wakat sote ni laailaha illa llah Muhammad rasoulullah bado tunaitaj jitihada sana ktk kusoma Dini .

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimependa wallahi majibu yako

  • @shekhmansoor5421
    @shekhmansoor5421 2 ปีที่แล้ว +2

    Ila shekh mimi ninge furahi saana ungekuja huku kwetu kenya kambini Turkana count.
    Japo kwa siku chache

  • @azizabakari5137
    @azizabakari5137 2 ปีที่แล้ว

    Hakik shekh bachu upo vzr

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwani kuna ulazima wa kuendelea kujadili masaala ya ikhtilafah hamuoni mnaikuza fitnaaa

  • @abuuabdillahsalafimhapa3839
    @abuuabdillahsalafimhapa3839 2 ปีที่แล้ว +2

    huyu kijana kapinda vibaya allah amuongoze

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv ปีที่แล้ว

    Makafiri

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 2 ปีที่แล้ว

    Mawahabi shida sana,mbona wanaoenda kuwaombea dua maiti makaburini mnawalazimisha kuwa wanawaomba maiti,bila ya kuwauliza na mkasikiliza ukweli wao au uwahabi ndio kuwazushia watu tu.

  • @sadatlucas4045
    @sadatlucas4045 2 ปีที่แล้ว

    Unatakiw kuwa Humble Bachu...

  • @abdallahjuma4397
    @abdallahjuma4397 2 ปีที่แล้ว

    Ama kweli Allah humuongoza amtakae pamoja na baba yake kuwa katuka haq lakin Allah hajamkadiria ndugu yetu yapasa tumubee.. Sasa hata ukimsikiliza hupat maelezo ya kielimu..Nasaha zangu Soma ndugu Yangu mambo ya kutafsri kiarabu sio Dini ya akhy..Waarabu wanajua kiarabu lakin pia wanasoma soma ndugu bado kijana mdogo soma soma soma soma
    Allah akuongoze katika haq

  • @lyzoel-suleiman6746
    @lyzoel-suleiman6746 2 ปีที่แล้ว

    shekh nan amsema swarf na nahwu haidhuru katika aqida ?

  • @abuusamuhath487
    @abuusamuhath487 2 ปีที่แล้ว

    Asalam alaikum, sheikh naomba ni. Yako

  • @hamadibausi9543
    @hamadibausi9543 10 หลายเดือนก่อน

    Nilichokigundua kutoka kwa huyu sheikh Bachu ni kwamba:
    1. Ni mtu wa kujifakharisha
    2. Ni mtu wa ria ktk elimu
    3. Anaongozwa na kibri
    4. Ni mtu mwenye dharau sana.
    Namuombea kwa ALLAH amuondoshee hiv vitu basi atakuwa mtu mzuri sana wa da'awa km alivyo sheikh Kishki

    • @MALELEMBARIMO
      @MALELEMBARIMO 12 วันที่ผ่านมา

      Punguza mihemko

  • @haidaribakari6817
    @haidaribakari6817 2 ปีที่แล้ว +3

    Kama nihivyo mbona unawaradi mashekh wenzio wanapo kosea bila kuwauliza makusdio ?

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 2 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh Mohammmad Bachu nakuelewa sana kwa uwazi wako na ukweli. Ndio maana hawakupendi.

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni fitina wa kugawa watu oogomvi ugomvi kila. Siku hana hata ilimu ya kuwafahamisha

  • @jaffersimba8566
    @jaffersimba8566 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bachu ulishawahi kumfuata Sheikh wa Kisufi ukamuuliza kama anaabudu kaburi akakujibu nfio anaabudu Mkaburi...!!?

  • @abuudhilqarnayn5180
    @abuudhilqarnayn5180 2 ปีที่แล้ว +3

    Akh punguza Riyaa, halafu umejawah na kutaka umaarufu na baba ako hakuwa hivo, MCHE ALLAH

    • @Muhammad_Nassor_Bachu_.
      @Muhammad_Nassor_Bachu_.  2 ปีที่แล้ว +2

      Ikiwa mtu anaweza kuiona Riyaa ya mtu basi watu wataiona kwako, maana hii comment yako huenda ni Riyaa😎

    • @ibrahimpande7052
      @ibrahimpande7052 2 ปีที่แล้ว

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. Swadaqta Akhy

    • @sadatlucas4045
      @sadatlucas4045 2 ปีที่แล้ว

      Allah amuongoze huyu jamaa

    • @abuudhilqarnayn5180
      @abuudhilqarnayn5180 2 ปีที่แล้ว

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. Una mtihan sana, wewe kiboko yako ni al akh Abul Abbas Muhammad Rashid, NDIE ANAKUTWANGA TWANGA NYUNDO

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 2 ปีที่แล้ว

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. wewe huna isipokua riaa tu ..mm naamini sh bachu ingekuepo engekutwanga makofi kwa upuuxi wako huu

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 9 หลายเดือนก่อน +1

    Suala unasema maulidi hayakuwepo Enzi za Bwana MTUME wala MASAHABA..JE UROJO ULIKUWEPO Tunaula sio bidaa.

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 ปีที่แล้ว

    Hahahahahahaha
    Maashaa Allaah

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 ปีที่แล้ว +2

    Km huyu ingeeishika sunna kweli Basi wengi wengekubeza

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 ปีที่แล้ว

    Tobbaaaaa

  • @abuuqatada9791
    @abuuqatada9791 2 ปีที่แล้ว +4

    Ujidanganya nafc kaka wwe wew ni hizb tu

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 ปีที่แล้ว

    Ktk siku nilizuelewa shkh mhmd Bach basi nikupitia hii kalma

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 9 หลายเดือนก่อน

    Wapi Bwana MTUME alipanda azam marine

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 ปีที่แล้ว +5

    Majadida hawana hekma ktika kulingalia Da3wa.

    • @mohdaliothman174
      @mohdaliothman174 2 ปีที่แล้ว

      Nini maana ya hekima

    • @mkude
      @mkude ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa hawana hekma wala adabu,wallahi wanakauli chafu sanaaaa.

  • @AbdlyhajLuhondo-id7zi
    @AbdlyhajLuhondo-id7zi 8 หลายเดือนก่อน

    Hamnakazi nyinyi kwa nyinyi

  • @ibrahimseif7859
    @ibrahimseif7859 ปีที่แล้ว

    Mashee wenge wanapenda sana pesa ndio maana wanazalishana

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 2 ปีที่แล้ว +2

    Makundi ni bid'a, kumbe nyinyi mna taasisi, ilikuwa sijawaelewa

  • @shekhmansoor5421
    @shekhmansoor5421 2 ปีที่แล้ว +6

    Mimi hatakama iwe nini sisomi kwa jadida yeyote wataniambukiza chuki zao

    • @thulaniduku3218
      @thulaniduku3218 2 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa akhy
      Majadih wana chuki sana

    • @mkude
      @mkude ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa hawana adabu na wanakauli chafu sanaaaa

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv ปีที่แล้ว

    Sasa wafundisha kitu gan

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 2 ปีที่แล้ว

    kwamba kuna jitihad ya taasisi..na jitihadi za nurdin kishki...sasa Allaahul mustaanu ...jithd gan ndio raajih kwako kulingana na dalili wabanishie watu kwan haiwezkn haqq zikawa mbili ... ihurumie nafsi yko

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 2 ปีที่แล้ว

    Ndio utaalamu huu au utumbo

  • @issahrashid6319
    @issahrashid6319 2 ปีที่แล้ว +4

    Shekh apo ulisema Uvundo umekosea ucseme maneno km hayo tumia hekma na waombe radhi km waislam wenzako

    • @MohammedSaid-qr1zn
      @MohammedSaid-qr1zn ปีที่แล้ว +1

      Allah amrehem shekhe nasoro Bachu bado tunapata manfaa kupia yeye kwa rehma za Allah.

    • @hassanjuma869
      @hassanjuma869 ปีที่แล้ว

      Kwanini aombe radhi

  • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
    @SaidimaulidiMaulidi-lf9de 11 หลายเดือนก่อน

    Huna elimu yoyote umejawa kibuli na huna adabu kwa wakubwa zako,kwa usheh wako ni bora niikose hiyo elimu,huna adabu huna hekima Tanzania mzima hupendwi kwa tabia zako mbaya,unakokwenda kubaya...

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 ปีที่แล้ว +2

    Uyu jamaaa muongo huyu Yani kusema Ivo tu imam ndo ukaacha hao masalafy hili Ni vundo kweli

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 ปีที่แล้ว

    Anao wenzake anawaondosha njiani

  • @abuurayyaan4306
    @abuurayyaan4306 2 ปีที่แล้ว +1

    Unatumia nguvu kubwa sana kutetetea baathwil

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 10 หลายเดือนก่อน

      Mbona hueleweki kutetea haki au batil 😕😕😕😕

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 2 ปีที่แล้ว

    kwa vigezo vya shehe hao waisilamu wa pongwe ni kama mahawarij hamna tofauti kabisa.

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV 2 ปีที่แล้ว

      Inaonekana waislamu wengi uwezo wetu ni mdogo Sana wa kufikiri ukweli tubadilike tumebeba chuki Sana kuliko uhalisia

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv ปีที่แล้ว

    Usifabye upu mbavu

    • @MALELEMBARIMO
      @MALELEMBARIMO 12 วันที่ผ่านมา

      Mihemko punguza 😂

  • @abuumaryam7970
    @abuumaryam7970 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ulikua HAJAWIRA hujawahi kua SALAFI baada ya kukushinda uhajawira ukaamua kurudi kwenye uhizbi

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv ปีที่แล้ว

    Wewe ni mgonjwa

  • @user-hw5zu2vc3m
    @user-hw5zu2vc3m 11 หลายเดือนก่อน

    kwani al imaam Ahmad alipoulizwa kuhusu husain Alkaraabisy alisemaje ?

  • @mohamedmnango3660
    @mohamedmnango3660 2 ปีที่แล้ว +1

    Fasiri uliyotoa kuhusu Ahlusunna Waljamaa inapatikana kitabu gani

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 2 ปีที่แล้ว +5

    Dah, dini mnaifanya ushabiki, kuingizana na kutoana kwenye sunna na usalafi kwa matakwa yenu.hahahah

    • @user-qk8bs3sz3h
      @user-qk8bs3sz3h 9 หลายเดือนก่อน

      Vita ni vyema tuambiiane ukweli maulidi ni bidhaa uzushi ulio wazi

  • @user-iu1dt1xg3k
    @user-iu1dt1xg3k 10 หลายเดือนก่อน

    Mbona kama wame edit

  • @HanifaSheha-wm7dn
    @HanifaSheha-wm7dn 11 หลายเดือนก่อน

    O

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 11 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtoto wa bachu hana hikma zaidi ya utovu wa adabu

  • @AllyAbdallah-kw3yf
    @AllyAbdallah-kw3yf 11 หลายเดือนก่อน

    Duuh, huyu kijana inaonekana haijui manhaji inatakiwa amtafute mwalim akasome tena,maana sijui haya majibu anayyajibu kwa ufaham wa nain katika wanawachuon

  • @swalehemusakiluwa9405
    @swalehemusakiluwa9405 2 ปีที่แล้ว

    Duh yani ukimuuliza mtu tu akikubali unamkufurisha ni mwanachuoni gani alisema hivyo ,,
    Kuna kitu kinaitwa موانع التكفير sasa chunga sana usikurupuke

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv ปีที่แล้ว

    Wewe unaumwa towa mawaidha acha hayo hasidiyi kitu katika uwisilamu

  • @akhykassim
    @akhykassim 2 ปีที่แล้ว

    Sasa huyo kishki anahusika nn hapo?

  • @abdallahbahry6583
    @abdallahbahry6583 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu kijaana kwa kutafta umaarufu tu mejitahid amefanikiwa

  • @user-uv6en7xu6c
    @user-uv6en7xu6c 11 หลายเดือนก่อน

    shekhe google uyo

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 ปีที่แล้ว +2

    Misufi kwwli inauzi maana hapa mtaani wapo kila siku wanaswali swala za tasbihi na mania

    • @kassimajmus2010
      @kassimajmus2010 2 ปีที่แล้ว

      Mtaani wapi

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว

      Hahaa misufi

    • @kassimajmus2010
      @kassimajmus2010 2 ปีที่แล้ว

      @@hanifatanzania7258 naona umefrahi

    • @omarimamboleo6990
      @omarimamboleo6990 2 ปีที่แล้ว

      kuwa naadabu misufi kina nani angemuuliza babaake kilichomfanya atolewe mlango wa nyuma br 19 nikitu gani?

  • @munyanezaismail7642
    @munyanezaismail7642 2 ปีที่แล้ว

    Sasa mbona naona unamtetea kishki na huku ukijisahaulisha mawqif ya maulamaa ya waliotangulia kuhusiana na watu wa bidaa? Na ili hali Imaamu Ahmad ameulizwa ukiona mtu anatembea na mtu wa bidaa ufanyeje? Akasema mnasihi, wakasema je ikiwa hakumuacha ? Akajibu: muunganishe nae ( yaani na mtu wa bidaa ).

  • @sadikisemwali4516
    @sadikisemwali4516 2 ปีที่แล้ว

    We hujitambui bado ama unafanya kibri wala bado huujui usalafi

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtu ambaye anafitra sahihi hawez kumuelewa huyu mtu kama atamsikilza vzuri...anafanya fanya talbsi talbsi ktk mazngzo yake....

  • @jumamussa5580
    @jumamussa5580 2 ปีที่แล้ว

    mm anapenda mutuekee wazi zaidi hivi hao Salafi waliotangulia waligawana makundi iweje leo Salafi wako makundi pana nini hapa ?

    • @neemafatu471
      @neemafatu471 2 ปีที่แล้ว

      Umaarufu na maslahi hakuna jengine ndugu yangu.

  • @yasirkhan_tz
    @yasirkhan_tz ปีที่แล้ว +1

    Shekhe ww niwamchongo hujuwe unacho kisema swali majibu nivitu viweli tafauti

    • @MALELEMBARIMO
      @MALELEMBARIMO 12 วันที่ผ่านมา

      Punguza mihemko

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 8 หลายเดือนก่อน +1

    Tafuteni elimu ......msiwe watu wamalumbano bachu elimu ni BAHARI elewa hilo ...

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 2 ปีที่แล้ว +2

    Innallilah wainna ilaih rajiun watu wanaofuata manhaj salaf anawaita uvundo je ww je unawasema wezako hawana nidhamu je wewe una nidhamu Allah akuongoze katika kufuata sunnah japo nakuona kama una Sifa fulani ivi

    • @ZuhraMiraji
      @ZuhraMiraji ปีที่แล้ว

      Allah akuongoze hujui unachokifanya uvundo mwenyew
      Najivunia kuwa salaf swaleh

  • @muhsinsalim6257
    @muhsinsalim6257 11 หลายเดือนก่อน

    Nakuuliza umesoma wapi ww?????