WACHUNGAJI WAPAGAWA WALIVYOONYESWA YESU ALIVYOSUJUDU NDANI YA BIBLIA YA KINGEREZA . MAZINGE. KENYA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 387

  • @yussufbagobago6707
    @yussufbagobago6707 ปีที่แล้ว +3

    Mwenyezimungu akupe maisha marefu she wetu H O Mazinge na walotangulia mbele ya haki M/mungu awape Nuru kwenye makaburi Yao Amiii

  • @mikatejunior1362
    @mikatejunior1362 ปีที่แล้ว +2

    Pumzika kwa amani shekhe yahaya

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 3 ปีที่แล้ว +13

    Uislaam dini ya haki subhanallah allahu akbar

  • @saidkinyogoli6611
    @saidkinyogoli6611 3 ปีที่แล้ว +58

    Said Ricco, Yahya Hosea, Mbwana Mohamed, Muhingo Allah awarehemu awasamehe makosa yenu Amin

  • @ismilecheseremkip361
    @ismilecheseremkip361 ปีที่แล้ว +6

    Mazinge you're the best may you live longer ALLAH TO BLESS YOU

    • @user-rs9ws1om8b
      @user-rs9ws1om8b 11 หลายเดือนก่อน

      Angekuwa best angemfikia pesa Mwampisa

  • @PirfaImanipirfa
    @PirfaImanipirfa 5 หลายเดือนก่อน +2

    Eeh !!! Mwnyz mungu mjalie mjaa wako mwisho mwema na umuingize peponi na si mwengine ila habib mazinge, ameufanya uislamu upendeze zaidi, na si mamlaka yake bali kwa nehema yako ww Allah 🤲🤲😭☝️🕋

  • @musakutisha306
    @musakutisha306 3 ปีที่แล้ว +11

    Yahaya Allah akupe Jannah 😢😢🙏

  • @HashilElhamdan
    @HashilElhamdan 3 ปีที่แล้ว +11

    Allah amrahamu Yahaya na atukutanishe nae pepo ya Firdaous Insha Allah....

  • @fadhanamunishi6220
    @fadhanamunishi6220 3 ปีที่แล้ว +14

    Mashaallah Allah amrehemuShekh Yahya

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 3 ปีที่แล้ว +8

    MashaaAllah sheikh mazinge Allah akusimamie naakupe umri mrefu

    • @aishadaba7045
      @aishadaba7045 3 ปีที่แล้ว

      Aaaamin kwa soote jamian muslimin 🤲

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 ปีที่แล้ว +8

    Mashallah sheikh mazinge mungu akupe afya na umri mrefu

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah jazzakum kheri mashekhe wetu najivunia sana kuhusu nyie

  • @dottokulwa7075
    @dottokulwa7075 ปีที่แล้ว +4

    Ukweli hakuna niliekua nampenda kama yahya allah ampe pepo namkumbuka sana naninamuombea mazige allah aendelee kumuweka hai nakumpa afya njema yeye na familia yake

  • @sabrakhamis4585
    @sabrakhamis4585 3 ปีที่แล้ว +6

    Allah ibarik fiikum..Amin ya rabii

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 3 ปีที่แล้ว +9

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

    Yahaya, Said Ricco (Mungu awafutie madhambi yenu), mliipigania dini ya Allah Kwa nguvu kubwa!! Makaburi yenu yawe ni mabustani katika mabustani ya peponi!! Amen!!

  • @mbarackkalinge333
    @mbarackkalinge333 2 ปีที่แล้ว +4

    Allah nakuonba umuhifazi shekhe wetu yahya

  • @bilalheri9055
    @bilalheri9055 2 ปีที่แล้ว +2

    Ameen thumaa ameen yaraabil alaamin Mungu Ampee jannah shekh yahya kumbe alishatangulia mbele za hakii na waislamu wote waliotangulia mbele za hakii Mungu awalaze mahali pema peponi

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Inshallah

  • @saidaali3818
    @saidaali3818 3 ปีที่แล้ว +11

    Mashallah Islam ni dini ya haki

  • @PirfaImanipirfa
    @PirfaImanipirfa 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah awajalie ma sheikh wangu imani petro, Yahya na wengine wote upesi ktk makaburi yao😭😭😭😭🤲🕋☝️

  • @rayhanrashid3928
    @rayhanrashid3928 3 ปีที่แล้ว +6

    Maashaa Allah Tabarakallah

  • @pambatec
    @pambatec ปีที่แล้ว

    Allah awahifadhi nyote mnaofanya juhudi za kuitangaza dini ya uislamu

  • @user-cd2ej4re5k
    @user-cd2ej4re5k 18 วันที่ผ่านมา +1

    Asalamualeikum warahamatulahiwa barakatuh S, ❤️ A, ♥️ W, ♥️ waisilamu nawakubali takibiri Allahu akibaru 😂😂😂😂

  • @faizajingu5933
    @faizajingu5933 2 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah wape dawa shehe mazinge Allah akuzidshie mema inshallah 🙏🙏🙏

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l 3 ปีที่แล้ว +8

    Wakristo wana hila sana,toleo la zamani Luka 4:8 limeandikwa "msujudie bwana Mungu wako...."
    Toleo jipya wamerekebisha wamelitoa neno "msujudie" wameandika "utamtumikia bwana Mungu wako...."
    Wamefanya hivi kwa sababu neno kusujudu linatupa nguvu Waislamu kuwa sisi tunasujudu,hao hawasujudu.

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 3 ปีที่แล้ว

      Rashid dini isio yako unaizungumziaje?
      Hujui msingi wake wala maana yake,unchojua ni dini ya haki,hta haki yenyewe huitambui,akili yako imeenda wapi?

    • @user-my9hc6uf9l
      @user-my9hc6uf9l 3 ปีที่แล้ว +1

      @@isaacsengunda3099Nikuulize wewe akili yako imeenda wapi mpaka unafuata dini ambayo kila kukicha kitabu chake kinatiwa mikono??
      Nilidhani utaamka.kumbe ndio kwanza unavuta shuka!

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 3 ปีที่แล้ว

      @@user-my9hc6uf9l kitabu gani kinatiwa mikono,,
      Wewe ymeshikilia lugha tu,na hata kusoma hujui,umebaki kusubiri usomewe na waarabu,wakudanganye ukajitoe muhanga,ujinga huo,mara IS,BOKO HARAMU,JANJAWID,TALEBAN,nk,,nk,,huo ni ujinga na ushenzi

    • @saramss7262
      @saramss7262 3 ปีที่แล้ว

      Rashid liangaliye vizurii Tena

    • @saramss7262
      @saramss7262 3 ปีที่แล้ว

      @@isaacsengunda3099 hawaa waabudu majini hata muongee Nini hio CIO DINI HATA MSEMEJEEEEE YESU NI BWANA NA MWOKOZI WETU

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 3 ปีที่แล้ว +2

    Masha allahy Mashekh wetu mungu Awaongoze katikamafundisho Munaowafundisha Awawenzetu ameen . Ken Juma Ameelewa lakn Anaogopa kusemaukweli Mbelezawatu . Uwezisema Yesu ni mungu Wataki yeye ni mwanadamu kama wengine . Kaulizwa Kama yesu Ni mungu Je Alipokua Tumbona Mwa mariam Je mungu wake Mariam Nae Alikua nani Akaogopea kujibu lakn wameelewatu

  • @saidbrek9817
    @saidbrek9817 2 ปีที่แล้ว +3

    Allah awasamehe awarehemu awape pepo Ameen

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว +12

    Yahaya pumzika kwa Amani Allah akujalie janna

  • @fathimabh1487
    @fathimabh1487 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa Allah mwennyezi mungu amrehemu alifanye kabri lke liwenanuru inshaa Allah 😭

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 3 ปีที่แล้ว +8

    Allah akulipeni kwa juhudi mzifanyazo. Tuko pamoja inshaAllah

  • @naamanomarimohamed9364
    @naamanomarimohamed9364 2 ปีที่แล้ว +1

    Amin Thuma Amin

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 ปีที่แล้ว +9

    Mashaallah masheikh wetu mungu awajalie na afya njema nguvu nyingi ili mzidi kutangaza dini ya haki

  • @YusufKithi
    @YusufKithi 3 วันที่ผ่านมา

    Watu wa chunge sana na hiv vitabu vya dini hapo ndo kwenye mtihani kwani tutaingia motoni kwa ujinga wetu wenyewe, hivi mwenyez mungu Alishindwa kutufanya ss bnadam kua kitu kimoja,rangi moja,imani moja ila kuna watu watafaulu kwenye huu mtihani nae ni yule alietenda mambo mema na yakumpendeza Allah .(Good deed's.vyenginevyo n bure

  • @shabanathuman6848
    @shabanathuman6848 3 ปีที่แล้ว +5

    Allah awarehemu

  • @munzshabby4521
    @munzshabby4521 3 ปีที่แล้ว +2

    Good work masheikh wangu mola awabariki k

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 2 ปีที่แล้ว +3

    Hakika mashekhe zetu Allah awatunze awape mwisho mwema

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu awaifadhi pema peponi inshaallah Amiin

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 3 ปีที่แล้ว +13

    I miss Yahya alot, Allah amrehemu

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 ปีที่แล้ว +1

    maashaALLAHu wahadhiri we2 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 ปีที่แล้ว +3

    This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA

  • @Jabaman207-ue6sk
    @Jabaman207-ue6sk 4 หลายเดือนก่อน

    Mazingeeeeee

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 3 ปีที่แล้ว +4

    kazi nzuri jamani rudisheni mihadhara raha kweli

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv4825 3 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah

  • @kameliaalbusaidy5459
    @kameliaalbusaidy5459 2 ปีที่แล้ว +2

    MashaALLAH ma shekhe wetu. ALLAH Awazidishie hiyo ilm na kuwafundisha wenzetu the right path. Naomba kama itawezekana hizi video clips zikamilishwe. Zinamalizika kabla hamjamaliza kuongea hii mada. Inatuacha kutaka kujua nini matokeo yake ya mwisho

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j ปีที่แล้ว

    Mansha Allah

  • @AliMohamed-ny2op
    @AliMohamed-ny2op 3 ปีที่แล้ว +3

    Allah akujazie hasanaat nyingi shekhe letu

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 ปีที่แล้ว

    Mkristu kamili habishani Kwa sababu akishaamini kuwa Yesu ni Mungu mengine hayana nafasi.Hao sio wakristu

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallhaaa allha awalehemu

  • @harethojelle6485
    @harethojelle6485 2 ปีที่แล้ว

    Manshaallah Mahabibu wetu we are proud of all of u

  • @user-mu2ej3kq8r
    @user-mu2ej3kq8r 3 หลายเดือนก่อน

    Allahuakbar

  • @mudichezo8127
    @mudichezo8127 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awarehemu wote walitangulia

  • @maryamsaidmuhammad7761
    @maryamsaidmuhammad7761 2 ปีที่แล้ว

    Shehe mazinge Allah akupe nguv ,afya njema na uzd kuwapa elimu ya Allah

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 2 ปีที่แล้ว

    Maa sha allah.zamani sana callif Nairobi

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 ปีที่แล้ว +7

    Nilikuwa nikisikia Shee Mazinge akiwataja sn km Yahya, Ricco na wengineo na leo ndio nawaona ktk muadhara wa kitambo ktk TH-cam

  • @hajirinibakari25
    @hajirinibakari25 3 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh mazinge kunajamaa anachafua hali ya hewa kwenye tv ya davista mata anapotosha. Juu ya uislamu anadai alsha kua sheikh sasa maneno anayo yaongea anapotosha kweli kweli

  • @apangomombasa9230
    @apangomombasa9230 3 ปีที่แล้ว +2

    MA SHA ALLAH

  • @bilalheri9055
    @bilalheri9055 2 ปีที่แล้ว

    Mungu amjallie shekh Mazingee umri na afya njema

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awalipe kheir na hawasameedhabi zao waliotangulia mbele ya Aki , ayabadilishe mabaya yao kuwa mema

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 ปีที่แล้ว +7

    Wachungaji wamefeli kabisaaaa

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 2 ปีที่แล้ว

    Mazinge uko juu baba💪💪💪

  • @user-ou5pp9yw4k
    @user-ou5pp9yw4k 7 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j ปีที่แล้ว

    Mazinge nakupenda bure wew umeufanya w'islam upendeze zaidi

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 2 ปีที่แล้ว +2

    Maa Shaa Allah, Shukran Ma Sheikh.

  • @YusufKithi
    @YusufKithi 3 วันที่ผ่านมา

    Zama hizi dini ndo zimebaki lkn imani hakuna imebaki tu masilahi si kwa wacristo wala waisilam

  • @moviekaa
    @moviekaa ปีที่แล้ว

    Mazinge kamvuruga pastor 😂😂😂 safi sana 👏👏👏

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 ปีที่แล้ว

    Yesu ni Mtu na ni Mungu pia.
    * Mkristo kamili KAZI yake sio kubishana kwani anajua hata eweje Yesu ni Mungu*

  • @shaikhgul5492
    @shaikhgul5492 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @ashaomary5558
    @ashaomary5558 ปีที่แล้ว

    Inalillah wainailah rajiun

  • @user-ul2mi3je7c
    @user-ul2mi3je7c ปีที่แล้ว

    Shehe sulaiman nkata

  • @user-sh9mn1ir5q
    @user-sh9mn1ir5q 8 หลายเดือนก่อน

    Sii kila mchungaji au askofu, aliye na uwezo wa kuwajibu hawa waislamu

  • @ismailmustafa2649
    @ismailmustafa2649 2 ปีที่แล้ว

    Assalam alaikum ? BAraka LLahu fiikum
    Salamui zetu toka hapa Hoima Uganda nikikumbuka wakati mulipo tutembeleya miaka ya 1990s

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v 10 หลายเดือนก่อน

    Yesu hajafundisha kwamba ukisujudu ndo utauona ufalme wa mbinguni
    Acheni kuchanganya mambo
    Mu biblia haina za kuomba ziko nyingi
    Points mbili za Yesu Kristo ni hizi::
    1 Acheni dhambi ufalme wa Mungu unakaribia tubuni mkaokoke
    Yohana 3
    3 Yesu akajibu, akamwambia, amin,amin, nakuambia mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu .
    6 Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili, na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
    Amen !!!
    swali imezaliwa kwa mara ya pili

  • @mabaazizitigermnyama5254
    @mabaazizitigermnyama5254 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah 🙏🙏🙏🙏

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 ปีที่แล้ว +1

    Saimu Gwao Umafaa sana kusasupportiwa

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j ปีที่แล้ว

    Allah azidi kuapa afya ma professional

  • @amurimzungu-tn4jf
    @amurimzungu-tn4jf ปีที่แล้ว

    Wakenya mola akuongozeni yaani kumezidi dini za maajabu kupita kiasi na wanawasikiliza sana hao maskofu wao wapotevu mpaka wanawaulisha ibadah z maajabu wamewaambiwa wafunge hadi kufa yaani walioingia matatizoni wengi watu maskini wa vijijini huko yaani kenya inamtihani mkubwa sana Bila ya uislamu kenya wataangamia kila siku

  • @jesmirmohamed3467
    @jesmirmohamed3467 2 ปีที่แล้ว

    yahaya Allah akupe jannah inshaallah kutoka kenya

  • @ntandumathayo3257
    @ntandumathayo3257 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwahio waislamu mmeamua kumuhubiri yesu

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 3 ปีที่แล้ว

      Wanamhubiri kwa jinsi yoyote na hawapokei nguvu

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว

      wameamua kumuhubiri yesu kukwakua wakristo hamna zaidi ya kuimba kwaya na miujiza ya uongo

  • @abdidude4167
    @abdidude4167 ปีที่แล้ว

  • @Junior-rl2hj
    @Junior-rl2hj 3 ปีที่แล้ว +5

    Mazinge oyeeeee

  • @salehaltooq5829
    @salehaltooq5829 2 ปีที่แล้ว

    Allahumma ameen

  • @masamasa2387
    @masamasa2387 3 ปีที่แล้ว +1

    Allahu Akbar

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 ปีที่แล้ว +5

    Kama kuna ma pastor wengne waje maana hawa kidogo sana😂😂😂🤣

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 2 ปีที่แล้ว

    Mwambiye nibaahati kupata ata iyo yesu kasujudu katawaza kasali musikitini wakijuwa wazungu wake ma papa nawangereza watafuta kwamana wamefuta mengi tu ya Mungu na manabi niwoooote waislilam isipokuwa awo walofanya mupanho wa bibiliya kwa hiyo nibahati kupata neno layesu kufanana na waisilam ao musa Allah atupe pepo waisilamu inshaallah

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 2 ปีที่แล้ว

    poleni sana wakristo

  • @sharrifidris3422
    @sharrifidris3422 3 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaha... said rico ameuliza swali nzuri "kwani unataka kumnunua mtoto"?

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 2 หลายเดือนก่อน

    Hapa angekuwepo Christian Prince pangekuwa bomba sana

  • @livingstoneberege3348
    @livingstoneberege3348 3 ปีที่แล้ว +2

    ALLAH SIYE MUNGU

    • @omarymsagati2588
      @omarymsagati2588 3 ปีที่แล้ว

      toa andiko

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 ปีที่แล้ว +2

      POLE Sana, Tatizo MUNGU wako ni Binaadamu na ALLAH siye Binaadamu wala KIUMBE chochote na HAZAI wala HAZALIWI wala hana Mama wala bibi wala Babu.

    • @livingstoneberege3348
      @livingstoneberege3348 2 ปีที่แล้ว

      NINAMJUWA MUNGU KULIKO NINYI WAISLAMU NIPENI ANDIKO NDANI YA BIBLIA KUWA ALAH mungu WA AISLAMU NI MUNGA KUHUSU KUSEMA MUNGU WETU NI BINADAMU NI KWA SABABU YA UPOFU WENU KWAKUWA MAANDIKO HAMYAJUWI MNAJIFUNZA BIBLIA KWA SABABU YA KUPINGA WALA HATAKI KUELEWA (YESU NI MUNGU ) MWANADAMU NIYE MFANO WA MUNGU WALA SIYO MUNGU NI MFANO WA MWANADAMU mwanzo 1;28-28. waebrania 1:1 -3 wafilipi 2;6-9 yohana 14:7-10. 1timotheo 3; 16 luka 24;25-28. yohana 17;4-5 Ezekiel 34:11. malaki 3;1-2

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 ปีที่แล้ว

      @@livingstoneberege3348 USIKU mwema.

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 ปีที่แล้ว

      @@livingstoneberege3348 🤣🤣🤣IMANI Ni HATARI SANA.

  • @user-fw1qo8ve9k
    @user-fw1qo8ve9k 11 หลายเดือนก่อน

    Ustdhi majini

  • @yusuphmsukwa4108
    @yusuphmsukwa4108 2 ปีที่แล้ว

    Nyie hapo mmoja mamba mwingine kenge ,ss niwaulizeni wote je iwapo kuku ni jamii ya ndege na samaki atakuwa ni jamii gani? .....

  • @marrymwacha9262
    @marrymwacha9262 2 ปีที่แล้ว

    Allah hawarehem

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว +1

    Jifunz quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @pelesilazaro4312
    @pelesilazaro4312 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awasaidie Sana mungu alituleta duniani kuihubil injili kwa Kila kiumbe lakini nyie mpo kwa kubishana mna fikili ubushi utawapeleka wapi

    • @mohamedsalim7271
      @mohamedsalim7271 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna kubishana ni kuelimishana kaka....,ila inatengemea na uelewa wako,....au sio,peace one love brother....,achana nao wawekane sawa...

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 3 ปีที่แล้ว +2

    Mwonekeno huu si wa sasa wa al alamaa mazinge,akhi imekuwaje kidevu kimekuwa kama barbu? Allah akupe nguvu ya kubaki ktk haki,kazi mliyo ifanya nikubwa sana

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 ปีที่แล้ว

    Nyakati 2-7-3.

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 3 ปีที่แล้ว +2

    Kuna zama zilipita ukimwona Mazinge unatulia tuli.....alikuwa amewiva kineno

  • @ericalexandre2166
    @ericalexandre2166 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo lenu munapenda ubishi na sio kuelekezana, apo munasoma wenyewe kuhusu Yesu alipo anza kuona uchungu kwa ajili ya Kifo chake ila nyinyi hao hao munasema Yesu hakufa. Yaani endeleeni kupoteza tu mda

    • @user-sc4iv7qp9b
      @user-sc4iv7qp9b 2 ปีที่แล้ว

      wabishi ni wakristo maana biblia yenyewe inawafanya wawe wabishi kutokana na mafundisho yake ya kugonganagongana mfano kama pale andiko linasema yesu ni mungu na wakati huyohuyo yesu anawaambia wakristo wamwabudu wao sasa apo wataacha kuwa wabishi ..?! na kuna sehemu nyingi tu ndani ya biblia zinapingana mfano;
      Yesu ni Mungu na Mungu hafi na wala hajawahi kufa lakini Yesu alikufa msalabani mpaka akalia kumuita Mungu wake tena dah! sijui mungu wanagapi jamani wakristo mnawaabudu!!

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 ปีที่แล้ว

    Mathayo 21-12

  • @sosdododo5653
    @sosdododo5653 3 ปีที่แล้ว +1

    Hawa makristo hawana hoja wala hawana wajualo hawataki kufwata biblia wakisomewa wanaikata tena biblia hawasomewi quran

  • @adamjumaaa1521
    @adamjumaaa1521 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana