Ao wazee wabishi sijaona😊..ndacha anafuata😊....na muitafute intvw 1 ndacha na uyo daniel mwankemwa wakichuana wenyew kwa wenyewe kuhusu siku ya sabato..noma sana umo ndani
ATI kipimo Cha waisilamu kujuwa kama wako sawa ama hawako sawa, wawaulize wakristo, hahahaha. Yani binadamu anaweza tafsiri maandiko anavotaka yeye bars kimemfaa!!. Kwanamna hii tofauti zitaendelea kwamaana kila mtu anauwezo wakutafsiri atakavyo. Mbona muwalaumu ndacha na wenzake wakati nyinyi mnafanya wanacho kifanya wao?
Daniel acha uongo. Hakuna aya ndani ya qurani inayowaagiza wakawaulize wakristo juu ya dini yao. Tuwaulize lipi wakati Mayahudi wameghadhibikiwa na wakristo wamepotea njia.
Nyinyi wakristo sio ahlu-lkitaab. Ahlu-lkitaab ni watu walioteremshiwa "Taurat" nao ni watu wa nabii Mussa, wengine ni walioteremshiwa "Injiil" nao ni wafuasi wa nabii Issa( huyo mnayemuita Yesu) nyinyi mnasoma biblia. Hii biblia kateremshiwa nabii yupi? Waliotakiwa kuulizwa ambao ni ahlu-lkitaabu sio nyinyi msipotoshe maandishi mkatafairi mnavotaka nyinyi wenyewe tupo
hivi wewe Daniel unadhani uongo ndio unajenga au unajidharaulisha hakuna Aya iliyosema waulizwe wakristo Tena tuwaulize kama eti kama Imani yetu iko sawa hujui lolote msikiti wa masjid al,aksa ndio uliojengwa ma suleiman
Nyinyi wakristo sio ahlu-lkitaab. Ahlu-lkitaab ni watu walioteremshiwa "Taurat" nao ni watu wa nabii Mussa, wengine ni walioteremshiwa "Injiil" nao ni wafuasi wa nabii Issa( huyo mnayemuita Yesu) nyinyi mnasoma biblia. Hii biblia kateremshiwa nabii yupi? Waliotakiwa kuulizwa ambao ni ahlu-lkitaabu sio nyinyi msipotoshe maandishi mkatafairi mnavotaka nyinyi wenyewe tupo
Daniel acha uongo. Hakuna aya ndani ya qurani inayowaagiza wakawaulize wakristo juu ya dini yao. Tuwaulize lipi wakati Mayahudi wameghadhibikiwa na wakristo wamepotea njia.
Ao wazee wabishi sijaona😊..ndacha anafuata😊....na muitafute intvw 1 ndacha na uyo daniel mwankemwa wakichuana wenyew kwa wenyewe kuhusu siku ya sabato..noma sana umo ndani
Nawafuatilia vizuri sana,. Kwa hakika hii ni kazi njema. Mungu awabaRiki.
Sabato iliumbwa kwa ajili ya mwanadamu lakini mwanadamu hakuumbwa kwa ajili ya sabato Mk 2:27:28
Naombeni mwojiane na ndacha kuhusu sabato. Ili mtu weke sawa wanafunzi wa YESU KRISTO
Hamuna mpya wafuwasi wa wauwaji wa yesu
Dini zote miyeyusho tu
Nyinyi hamuna elimu
hakuna muislamu mnaweza kumpata kwa hoja zenu mfu labda muwalipe au wale wasiojua kitu kabisa lakini bibilia ina mgongano sana
Sasa wakristo wana kipi cha kuulizwa waulizwe wanaojua ni wanachuoni sio nyie hata mungu wenu hamumjui
Tena Sisi wainje tuona uwongo wenu ya masomo ambaye wenu,
Wauni
Hizo dini za kuanzisha na kina martin luther kina elen g white mwanamke wa kisabato halafu mnasema mna dini nyie watu mnachekesha sana
ATI kipimo Cha waisilamu kujuwa kama wako sawa ama hawako sawa, wawaulize wakristo, hahahaha. Yani binadamu anaweza tafsiri maandiko anavotaka yeye bars kimemfaa!!. Kwanamna hii tofauti zitaendelea kwamaana kila mtu anauwezo wakutafsiri atakavyo. Mbona muwalaumu ndacha na wenzake wakati nyinyi mnafanya wanacho kifanya wao?
Aaa we kafiri mwongo yani tukuulize hata kuchamba hujui
Daniel acha uongo. Hakuna aya ndani ya qurani inayowaagiza wakawaulize wakristo juu ya dini yao. Tuwaulize lipi wakati Mayahudi wameghadhibikiwa na wakristo wamepotea njia.
Mnakemea mapepo kwa jina la yesu lakini kulisha mikate mitano watu 10000 kwa jina la yesu amuwezi!
Wanaweza
@@ramadhanmahongole9293 yunaweza hatujaamua tu
Yesu aliondoka duniani akawacha wanafunzi si walimu
Kwani akina nani waliambiwa wakawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu kama hao wanafunzi wa yesu hawawezi kuwa walimu
Nyinyi wakristo sio ahlu-lkitaab. Ahlu-lkitaab ni watu walioteremshiwa "Taurat" nao ni watu wa nabii Mussa, wengine ni walioteremshiwa "Injiil" nao ni wafuasi wa nabii Issa( huyo mnayemuita Yesu) nyinyi mnasoma biblia. Hii biblia kateremshiwa nabii yupi? Waliotakiwa kuulizwa ambao ni ahlu-lkitaabu sio nyinyi msipotoshe maandishi mkatafairi mnavotaka nyinyi wenyewe tupo
hivi wewe Daniel unadhani uongo ndio unajenga au unajidharaulisha hakuna Aya iliyosema waulizwe wakristo Tena tuwaulize kama eti kama Imani yetu iko sawa
hujui lolote msikiti wa masjid al,aksa ndio uliojengwa ma suleiman
Acha uongo
Wewe mpuuzi@@daudimichael7338
Kwa hiyo mfalme nebkadneza hakuwahi kuvunja hilo hekalu? Kweli waislamu mnadanganywa
Tena Sisi wainje tuona uwongo wenu ya masomo ambaye wenu,
Nyinyi wakristo sio ahlu-lkitaab. Ahlu-lkitaab ni watu walioteremshiwa "Taurat" nao ni watu wa nabii Mussa, wengine ni walioteremshiwa "Injiil" nao ni wafuasi wa nabii Issa( huyo mnayemuita Yesu) nyinyi mnasoma biblia. Hii biblia kateremshiwa nabii yupi? Waliotakiwa kuulizwa ambao ni ahlu-lkitaabu sio nyinyi msipotoshe maandishi mkatafairi mnavotaka nyinyi wenyewe tupo
Daniel acha uongo. Hakuna aya ndani ya qurani inayowaagiza wakawaulize wakristo juu ya dini yao. Tuwaulize lipi wakati Mayahudi wameghadhibikiwa na wakristo wamepotea njia.