Askofu Gwajima nimekupenda bure,wewe ni mwanaume wa vita,alikuchafua na wewe una haki ya kujitetea,big up sana,kati ya wewe na huyo bashite wewe ni bora mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu wenye busara,hujawahi kunywa hata pombe utafanana vipi na mtu mwenye roho mbaya na mbinafsi kama yule?Mungu akusimamie
Ruge umetangulia mbele ya haki pumzika shujaa lkn haya mengine tunamuachia mungu yeye ndo hutoa hukumu na yeye pia ndo mwenye kusamehe #RIPRUGE inauma sana lkn hakuna namna
#Gwajima hata kama unakosea kumsema mtu mmoja muda wote, mbali na dini unatufundisha kitu kikubwa kuwa tuache uoga ndani ya nchi yetu, #Gwajima safi sana, tumia Uhuru wako katika nchi ya baba zako....
mara ooh gwajima fala ,mpumbavu kwahiyo aliye umbuka kwa kutengeneza skendo mpaka kukodi watu,kipindi na mtoto bandia alikua mwerevu siyo!!!!! kwani kama gwajima ni muuzaji wa madawa ya kulevya haya yote yametokea wap? kwanini asingetoa siri za biashara zake syo ndo angemuumbua zaidi kuliko mtoto bandia?
January Peter na alikua kitu kimoja na clouds sasa clouds wamemgeuka huyu katoa dau kubwa zaid kwa yule ruge maana km maandalizi ya kurusha yalikuwepo kisha anadai hakuna balance shoot wamefanyia nyuma ya jengo lao leo wanadia stori walitafuta wao wazi yule mama alipelekwa pale kushoot kipindi jamaa kuchukua clip wakaona kitanuka hawataeleweka ktk jamaa sasa watoke na kusema tumevamiwa
wote hao wanao mchukia makonda wote ndio wauza uga na ndio.wana mpiga vita atumbuliwe ili warudie kazi zao makonda chapa kazi muhim uko na magfuli.hapa kazi tuu
Hizi clip ukizifuatilia zote kwa wenye akili ya kuchambua mambo utagundua na utajua mengi yenye utata,,, RIP Ruge, Master muongoza njia,, ulinisaidia sana lakn bado tunajiuliza ugonjwa wako ulitokana na nn, maana ilikua ghafla sana,,,
Ole wenu mnaowatukana Masihi na Nabii za Mungu kuwakejeli kuwadharau ni mbaya kuwasema vibaya hakika hukumu ya Mungu na fimbo ya Musa na gharika lake adhabu inawakalia amtakwepa tena mapema sana Malaika aletaye mabaya huyoo
Sembe sembe, sembe, sembe,sembe, sembe, sembeee. Makonda kimbiza sembe yote out of TZ, You dislike that individual, kuhusu sembe hiyo siri yako si atujuwi, lakini TZ bila sembe inawezekana, wengi wetu tupopamoja naye ktk hiyo vita ya Ubuyu vyeti or no vyeti who care.
We ni kiongozi wa dini unachofanya ni udhalili wa dini tu, hufai kuwa mchungaji badala yake ni mwanasiasa hlf kumbuka ww ndie chanzo cha yote haya.. Km kiongozi wa dini unakosea kbss upumbavu mtupu
Ila gwajima pole kupiga mikelele yote ile umepuuzwa na mkuu. duuh. watu wabaya. maskini ungekuwa unakemea majini yaliyowavaa waumini wako si ungeyamaliza yote.. mweee!!! pole lazima koo litakuwa linamichubuko tu
Gwajima naomba utueleze kama unapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania. Kati ya waumini wako wote hayupo ata mmoja ambaye ana vyeti feki? Coz akiwepo na analeta Zaka na Sadaka basi ni batili. Jikague wewe na wafuasi wako kwanza ndipo umnyooshe Makonda kidole. Hapo mie nitakuelewa.
husiwe unaubiria wenye vyeti feki fanya uhakiki then ukijitosheleza kuwa ufufuo na uzima haikukumiwi na unachokiubiri then nenda kwa Mheshimiwa Makonda. Sijui kizungu kama wewe ila wanasema Charity begins at home.
Gwajima wewe,unasema mama yule ni kicha mgonjwa wa akili,mgonjwa wa akili anaweza kwenda ustwa wa jami kuandika nilidanganywa,kicha hawezi kuandika askofu
Jaribu kwa mtu si kwamba ni mtenda dhambi Bali ni wakati ambao ni Lazima apitie, wote mnaomsemea mabaya mch gwajima mnakosea na wengine mnathubutu kusema fimbo ya mungu itamkuta, nani anaejua mawazo ya mungu??? Jibu hakuna, mimi namwombea mtumishi wa Mungu mema
Mungu atusaidie sana yani umekua mwanasiasa unaongea 2 fanya yanayokuhusu mzee kwan kupelekwa polisi x jambo la kawaida na wewe ulikuwa suspect sio kwamba n mtumiaji sasa wewe unakalia majungu 2 acha zako wewe
Katika Biblia imeandikwa kwamba msiwaguse masihi wangu.....yaaani don't touch my anotient....so cpendagi kujihusisha na hayo mambo coz lazima tutakuja kulipia tunachofanya...ushauri waacheni masihi wake
hao wachungaji wako wa uraya kwa namna yoyote ni wahusika tu wa dawa za kulevya uraya hakuna wachungaji unadanganya watanzania kwa kutuletea mabepari ichini kwetu.
Jaman watz wenzangu.mbona tumeacha agenda ya msingi tulioanza nayo MADAWA tunashabikia tena kwa kelele za ajabu mengineo?????au ndio tuseme wauza sembe wana akili nyingi na wametushinda??????HAPANA jamani tusikubali kutoka kwenye agenda yetu ya msingi safari hii ama waaache kuuuza ama wahame nchi
ULIFATILIA HUKO KOTE UKIWA NA MALENGO GANI? TAMBUA KUWA HEKIMA YA MUNGU SIO KAMA HIYO, TUNAKUTAMBUA KAMA MTUMISHI WA LUSIFER JITAMBUE WEWE ACHA MAWE YASEME TUTAYAELEWA SIO WEWE MBWA TU MSENGE KABISA GWAJIMA HEKIMA SIFURI
Kazi ya wachungaji ni pamoja na kutia moyo na kufariji pia. Hongera pastor.
gwaji unawaombea clouds wanunue magari na viwanja si ungewaombea wauone ufalme wa Mungu waingie peponi
hahahaha umeonae hata hajatamka ufalme wa Mbiguni
Abdulatif Said wokovu upon kwa njia nyingi
Uamna mtu anaempeleka mtu mbinguni ufalme wamungu unautafuta mwenyewe dear
Great message>>>>> uko vizur Gwajima in your mind
ONLY SMART BRAIN CAN UNDERSTAND THIS GREATEST GUY(GWAJIMA)..
True.
Nikimuangalia luge najikuta nalia kama yupo dunian jaman dah!
gwajima katika ubora wake
Florian Telele dam u got my day😂😂😂
Askofu Gwajima nimekupenda bure,wewe ni mwanaume wa vita,alikuchafua na wewe una haki ya kujitetea,big up sana,kati ya wewe na huyo bashite wewe ni bora mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu wenye busara,hujawahi kunywa hata pombe utafanana vipi na mtu mwenye roho mbaya na mbinafsi kama yule?Mungu akusimamie
gwajima hujawahi kuniangusha,. ww ni born town
waoooh keep it up mr gwajima i am very proud of you my son
Ruge umetangulia mbele ya haki pumzika shujaa lkn haya mengine tunamuachia mungu yeye ndo hutoa hukumu na yeye pia ndo mwenye kusamehe #RIPRUGE inauma sana lkn hakuna namna
Kiukweli mim nmekuelewa sana gwajima...big up na Ukweli tumeujua...mim nakuamin
namwona boss ruge dizain anacheka ivi
Aaaaamen. Aaaaamen. Yesu ni Bwana. Mungu akubariki sana mchungaji kwa maneno yako mazuri, ya busara na hekima. I ❤ youuuuuuuuuuuu.....!
Mtumishi wa Mungu, umeeleweka kwa kiasi cha juu sana kutokana na sakata hili. Pole.
Big up Bishop Gwajima
duuuu yaani nyie camera munazo yaani picha zenu zinaonekani clear
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni big up pastr nme kuelewanme kuelewa
hivi mnaosema gwajima ni mwanasiasa hivi jifikirie mara 2 umetajwa unauza madawa ya kulevya au unambiwa hafanyi hiyo biashara achani zenu
Hahahaaaa mnunue gari mjenge majumbaaa te teteteteeee Amen mchungaji mwana siasa
hongera sana mchungaji
MTU akikulushia mawe usimludishie, yakusanye ujengee daraja kuelekea ktk mafanikio.
Asante sana
#Gwajima hata kama unakosea kumsema mtu mmoja muda wote, mbali na dini unatufundisha kitu kikubwa kuwa tuache uoga ndani ya nchi yetu,
#Gwajima safi sana, tumia Uhuru wako katika nchi ya baba zako....
hongera mh. gwajima
hebu mungu awatangulie wote wenye sakata hili
haya sawa ushamwambia rais tafuta mahali utulie
Hahahaha
ana elewa maana ya neno kichaa ! kichaa ana omba msamaha kichaaa anafundishwa sema umezaa na gwajima ! huu msani km clouds
Mchawi kajaaa msibani..R.I.P kaka
duu kmbe gwajima sio wakitoto aisee kumbee he is that big makanisa 470 nje ya nchii......
Hammer
mara ooh gwajima fala ,mpumbavu kwahiyo aliye umbuka kwa kutengeneza skendo mpaka kukodi watu,kipindi na mtoto bandia alikua mwerevu siyo!!!!! kwani kama gwajima ni muuzaji wa madawa ya kulevya haya yote yametokea wap? kwanini asingetoa siri za biashara zake syo ndo angemuumbua zaidi kuliko mtoto bandia?
January Peter na alikua kitu kimoja na clouds sasa clouds wamemgeuka huyu katoa dau kubwa zaid kwa yule ruge maana km maandalizi ya kurusha yalikuwepo kisha anadai hakuna balance shoot wamefanyia nyuma ya jengo lao leo wanadia stori walitafuta wao wazi yule mama alipelekwa pale kushoot kipindi jamaa kuchukua clip wakaona kitanuka hawataeleweka ktk jamaa sasa watoke na kusema tumevamiwa
media wamesha Ramba Jokery...atakoma mwenye jiji lake aliramba Kopa
Kuna Akili na wahitimu makonda anaakili lakn sio muhitimu
Ruge wangu never forget my lovely friend
Daaah Bosi Ruge anaonekana bado hayuko sawa kabisa.
Pumzika salama ruge
Lilikua ni suala la muda tu, Mwenyezi Mungu kafanya yake.
Kila Mara nikimuona ruge akiongea namuona kama yuko hai jamani inauma,
wote hao wanao mchukia makonda wote ndio wauza uga na ndio.wana mpiga vita atumbuliwe ili warudie kazi zao makonda chapa kazi muhim uko na magfuli.hapa kazi tuu
wanaomtetea makonda wamepata zero
Fatma Alrashdi mmmmmmm aya
yani watu bwana eti mnamuona gwajima mjinga embu fikiri kama ndo ww?
January Peter gwajima kasema uyo mama ni kicha,tena anasema yuko ana andika kicha anaweza kuandika?
Safi sana Gwajima...
Gwajima kagundua kitu kweli mchungaji au asko ni msema kweli bila kuogopa kitu kuhusu madawa na tatizo na bashite
Well said,"Man can not run away from the truth though can only be delayed".
joyc love love hahaha anajimwaga hahaha yani ww mtoto nime kushindwa ww hahaha anajimwaga kama muimba tarabu hahaha jamani atwaleeee
hahaahaaaa ulifwatilia ili iweje mwache apige kazi fwata ya mungu na siku zote MTU wa mungu anasamehe na kuwaombea wanao muuzi lakini kwako ni shida,
Hizi clip ukizifuatilia zote kwa wenye akili ya kuchambua mambo utagundua na utajua mengi yenye utata,,, RIP Ruge, Master muongoza njia,, ulinisaidia sana lakn bado tunajiuliza ugonjwa wako ulitokana na nn, maana ilikua ghafla sana,,,
Jefta Trilionea acha mawazo hasi ghafla kafa na ajali huyo? Unajua kifo cha ghafla wewe.Funguka ki mawazo acha kuwa na negativity.RIP
Mayor wa mwanza, sio dar es salaam mkuu... ENDELEA...
Leo yuu wapi makonda??
Kweli Leo nimeamini mzoga umetoa asari 2021
Ole wenu mnaowatukana Masihi na Nabii za Mungu kuwakejeli kuwadharau ni mbaya kuwasema vibaya hakika hukumu ya Mungu na fimbo ya Musa na gharika lake adhabu inawakalia amtakwepa tena mapema sana Malaika aletaye mabaya huyoo
Kazi ya mchungaji nikutetea pia Taifa wananchi ksb km yeye anajulikana ulimwenguni atakaaje kimya nani atamwelewa ni vizuri aliweke wazi kabisa
Utawala wa makofuli ulitesa watu 😢😢😢
ana mkatisha haraka asionge anajua maswali yatafikia mahali atajingiza ktk 18 siri itoke kwanini usiache amalize mwenyewe
Sembe sembe, sembe, sembe,sembe, sembe, sembeee. Makonda kimbiza sembe yote out of TZ, You dislike that individual, kuhusu sembe hiyo siri yako si atujuwi, lakini TZ bila sembe inawezekana, wengi wetu tupopamoja naye ktk hiyo vita ya Ubuyu vyeti or no vyeti who care.
Ruge umeniuma kk kila la heri uendako
We ni kiongozi wa dini unachofanya ni udhalili wa dini tu, hufai kuwa mchungaji badala yake ni mwanasiasa hlf kumbuka ww ndie chanzo cha yote haya.. Km kiongozi wa dini unakosea kbss upumbavu mtupu
Ila gwajima pole kupiga mikelele yote ile umepuuzwa na mkuu. duuh. watu wabaya. maskini ungekuwa unakemea majini yaliyowavaa waumini wako si ungeyamaliza yote.. mweee!!! pole lazima koo litakuwa linamichubuko tu
Fetry John kabisa
Hahahahaha chizi huyo
duuu gwajima ww ww acha maneno mengi ww hata mungu hapendi kila saa wamsema makonda kwann lakini ww
sasa huyo bashite kashfa aliyompatia mchungaji ndogo?
hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania huo ndo ukweli unataka nini ?
Fikiria kama Bashite angekuwa amekaa next to Gwajima, ingekuwaje?
Hiyo ilikuwa mbaya sana aisee watu kufukuzwa kazi kisa vyeti dah iliathiri wengi sana
mtu akimwaga ugali ww mwaga mboga
Itoshe kusema bashite out kigambon
Kwanini kila jambo la mwanasiasa wote tunamjua lakini wewe unapenda kutolea Maelezo! ®
Good job
ur intelligence and compitent gwajima
Mh wao wapange skendo na sasa watembeleana na kupozana. Ila wenye akili huona mbali.
kwann msubiri mchakato wa madawa yakulevya mfate makonda mpaka aliko soma kwani askofu karuhusiwa kuiteketeza watu ima waumini kwa madawa ya kulevya
Gwajima kwa mbwebwe!!
Lisha chacha baba fanya maubili hapa kazi tu
Gwajima naomba utueleze kama unapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania. Kati ya waumini wako wote hayupo ata mmoja ambaye ana vyeti feki? Coz akiwepo na analeta Zaka na Sadaka basi ni batili. Jikague wewe na wafuasi wako kwanza ndipo umnyooshe Makonda kidole. Hapo mie nitakuelewa.
husiwe unaubiria wenye vyeti feki fanya uhakiki then ukijitosheleza kuwa ufufuo na uzima haikukumiwi na unachokiubiri then nenda kwa Mheshimiwa Makonda. Sijui kizungu kama wewe ila wanasema Charity begins at home.
Asa Bwana Gwajima Kingereza ni kuonyesha amesoma sana au......... Ongea Kiswahili tukuelewe
Nyumba na viwanja?
wape sembe tu.
Rip ruge pumzika kwa amani
😂😂😂😏😏 Ni sheeeedah! Thankx Mr countdown *Millard Ayo* kwa habar
kumbe ruge alikwita ooooh umepa pole na kumwombea ila habari za shujaa wako mh.makonda umezigusa gusa .makonda
umenifurahisha sana mzee.😂😂 nchi yetu imepatwa viongozi wa ajabu kwakweli hali si shwari
Gwajima wewe,unasema mama yule ni kicha mgonjwa wa akili,mgonjwa wa akili anaweza kwenda ustwa wa jami kuandika nilidanganywa,kicha hawezi kuandika askofu
God is good
Jaribu kwa mtu si kwamba ni mtenda dhambi Bali ni wakati ambao ni Lazima apitie, wote mnaomsemea mabaya mch gwajima mnakosea na wengine mnathubutu kusema fimbo ya mungu itamkuta, nani anaejua mawazo ya mungu??? Jibu hakuna, mimi namwombea mtumishi wa Mungu mema
Mungu atusaidie sana yani umekua mwanasiasa unaongea 2 fanya yanayokuhusu mzee kwan kupelekwa polisi x jambo la kawaida na wewe ulikuwa suspect sio kwamba n mtumiaji sasa wewe unakalia majungu 2 acha zako wewe
wasio penda maendeleo utajua 2
hakika ukweli utabaki daima. MUNGU AKUPE HEKIMA KAMA SULEIMAN.
we Gwajima huna jipya fala wewe.
we ni mtumishi wa Mungu au ni kulala waumini na kulopokalopoka umbea kanisani.
mjinga wewe
box ddbb
wew huna cha kuongea unam2kana wew kama nani wew hujiekewi
@@rhodamaganga8308 hana akiri huyo unamuona yup sawa ww kaka angali na watu wa kuwatukana utapata laana bule
askofu umezungukwa na walemavu,maskin,kibao anajilimbikizia Mali huna aibu.Yale uyasemayo ndio yaujazayo moyo wako.kumbe kuomba msamaha mtu ni kulazimishwa.bado heron unaikumbuka .? kweli kisasi kimeujaza moyo wako
hahaha gwajima bhaaanaa noma sana uyu mtu
Katika Biblia imeandikwa kwamba msiwaguse masihi wangu.....yaaani don't touch my anotient....so cpendagi kujihusisha na hayo mambo coz lazima tutakuja kulipia tunachofanya...ushauri waacheni masihi wake
Apigweeeeeeeeeeeeeeee zero hazikubaliki na wanao msupport zero pia
Ndicho kilichokuleta hapo? Jengo limeungua moto waleta upumbafu wako. Msibani waleta mahubiri ya ndoa pumbafu ww
huyu baba ana masifa sijaona mchungaji wa aina hii katika dunia atakua kweli anahusika na madawa
Shona kuma Wewe
Ulisema utofanya siasa 😂 pole
hao wachungaji wako wa uraya kwa namna yoyote ni wahusika tu wa dawa za kulevya uraya hakuna wachungaji unadanganya watanzania kwa kutuletea mabepari ichini kwetu.
Gwajima mnafkii
Gwajima anajiona kama Papa paul vile😂😂😂
Safi Gwajima
makonda tuna kushaaa-------
watanzania kuendelea ni ndoto sana kiukweli,tunajishughulisha na vitu ambavyo si maswala ya msingi,Mwenyezi Mungu tusAidie
DUDU BAYA YUPO PABAYA ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV uone SIKILIZA
maskini ruge alikua mpole sana mpaka anatia uruma
Mbwa wewe hufai kabisa huna hekima, hujitambui, mchochezi na mpumbavu sana ila mwisho upo wewe unajiita nabii
Koromijee
Hotuba ya jumapili itakua kuhusu ziara ya clouds fm...... hao waumini ama wanasiasa
Sijasikia jibu Juu ya div 0 kuwa Na cheti naombeni jibu sasa naona Mchungaji hajalijib!
mathias msumeno kwani division zero haina results slip, jamani hata mambo yanayosemwa tusipuuzie sana, kuna umuhim wa kuunga dots ...
Umeonaeeeeh amebaki anashangaa na sura yake mbya
yaani results slip siyo cheti?
Jaman watz wenzangu.mbona tumeacha agenda ya msingi tulioanza nayo MADAWA tunashabikia tena kwa kelele za ajabu mengineo?????au ndio tuseme wauza sembe wana akili nyingi na wametushinda??????HAPANA jamani tusikubali kutoka kwenye agenda yetu ya msingi safari hii ama waaache kuuuza ama wahame nchi
Upovizuri gwajima
ULIFATILIA HUKO KOTE UKIWA NA MALENGO GANI? TAMBUA KUWA HEKIMA YA MUNGU SIO KAMA HIYO, TUNAKUTAMBUA KAMA MTUMISHI WA LUSIFER JITAMBUE WEWE ACHA MAWE YASEME TUTAYAELEWA SIO WEWE MBWA TU MSENGE KABISA GWAJIMA HEKIMA SIFURI
sponges kwako mchungaji