PART 6 BISHOP MOSES KULOLA ALIFARIKI DUNIA BANK AKIWA NA LAKI 2 TU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 85

  • @veronicakaroli-un4zc
    @veronicakaroli-un4zc 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu wangu uliyeumba Mbingu na nchi nakushukuru kwajili ya maisha ya Moses kulola, sijafanikiwa kumuona akiwa hai ila mafundisho yake nayaona, natamani kusudi la Mungu aliloniitia nilitimie kabla sijafa

  • @wilsonsaid9171
    @wilsonsaid9171 9 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe Mungu mwenye kuogopwa katika sifa naomba lile kusudi la mimi kuwepo ulimwenguni litimie maadamu ni mchana.

  • @Babavicktoria
    @Babavicktoria หลายเดือนก่อน +5

    Nimefatilia tangu mlipoanza na kumbe Mchungaji Moses Kulola aliacha mtoto wake wa kiroho ambaye anafundisha na kuonya sawasawa na Neno la Mungu... Mchungaji Abiud Misholi

  • @catherinemhlangamwakapugi1865
    @catherinemhlangamwakapugi1865 11 หลายเดือนก่อน +4

    Huu ni Ushuhuda unaonyesha ukuu wa Bwana nautii wake Mtumishi wa Mungu ame stahimili magumu aliyo apitia ili roho za watu ziokolewe...I salute him...God give us this courage to bring others to you...Amen

  • @leilasaimjomba4246
    @leilasaimjomba4246 11 หลายเดือนก่อน +67

    Hata Mimi kwetu tulikua waislam but huyo mzee alimuombea my sister uwanja wa reli Arusha nilikua mdogo but my sister aliponywa na sisi sote tukawa wakristo mimi niko Kenya kwa Injlili yake nimesimama

  • @sanchezrose1560
    @sanchezrose1560 11 หลายเดือนก่อน +5

    Shalom watumishi wa Mungu ningependeza kabla ya kuanza ushuhuda muwe mnaanza kwa maombi ingependeza zaidi Ahsante

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 หลายเดือนก่อน +3

    Moses Kulola alikuwa mhubiri nguli na maarufu sana namkumbuka alikuwa anakuja kanisa la TAG KITETE TABORA Watu walikuwa wanajaa sana sanaaaa

  • @MARYABDALLAH-sd9gi
    @MARYABDALLAH-sd9gi 9 หลายเดือนก่อน +2

    Daaaaaaaaah
    Kwa kweli huyu ni shujaa WA Imani....
    Ingawa nilikuwa mdogo saaaanaa but nilikuwa namkubali saanaaa.....
    Alifariki nikiwa na miaka kumi....
    All in all niseme Mungu asante Kwa zawad ya uhai wake

  • @teyllalugazia
    @teyllalugazia 11 หลายเดือนก่อน +6

    Nimefatilia shuhuda hizi, huyu mzee alikuwa na Roho wa MUNGU, Kazi aliyoifanya hadi naogopa. Mungu atukuzwe kwa ajili yake mana aliyatoa maisha yake kwa Kristo

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu kwa kutuletea ushuhuda wa Mzee wetu mpendwa sana M. KULOLA!

  • @VIJANAWAYESU12
    @VIJANAWAYESU12 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli moses kolola alikiwa mtumishi wa MUNGU katika roho na ukweli ndungu yangu usikate tamaha Kuwa kama baba alivyo Kuwa katika kazi yake amen kweli

  • @GlesiMakaye
    @GlesiMakaye 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie ahasante Kwa ushuhuda wa Mzee wetu

  • @FloridaSyombua
    @FloridaSyombua 11 หลายเดือนก่อน +1

    Amen,,naona roho wa Mungu ndani yako mtumishi anaye ongea kwa niaba ya babako,,,hakika yuko Mungu mwenye uwezo,,Jina la bwana Yesu litukuzwe...ningelipenda Mungu nimtumikie Mungu jinsi hii

  • @simonzabron5487
    @simonzabron5487 21 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi wa Mungu aliwekeza peponi

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt 11 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani watumishi wa Mungu mbarikiwe sana kwa ushuhuda mzuri sana samahani watumishi wa Mungu naomba kuuliza garama ya kwenda Israel kwa hela ya kitanzania ni shilingi ngapi

    • @frankngajilo7137
      @frankngajilo7137 11 หลายเดือนก่อน +1

      KUFANYA NINI WEWE SHIKA INJILI ITANGAZE SANA INATOSHA ,TUNAABUDU MUNGU WA WAISRAEL SIO ARDHI YA ISRAEL ,TUNAMPENDA MZEE KULOLA SIO FAMILIA YA KULOLA AU NYUMBA YAKE

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 หลายเดือนก่อน

      Huelewi alichouliza pole​@@frankngajilo7137

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 11 หลายเดือนก่อน +1

    Amina naendeleya kufyatiliya ni ushuhuda mzuri sana

  • @emmahbooooo
    @emmahbooooo 11 หลายเดือนก่อน

    Ameeen Ameeen mtumishi ubarikiwe sana kwa ushuhuda.

  • @isayajovith5226
    @isayajovith5226 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hakika ktk shuhuda hii kunamengi ya kujifunza pamoja na kutiwa moyo kwa Kila asikiaye na kuamua kujifunza ktk hii 🙏🙏🙏

  • @PatrickNyaonge-h3r
    @PatrickNyaonge-h3r 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hata Mimi hakuna mtumishi ninayemkubali Kama yeye tijifunze kwake, ebrania 13:7 .by pastor Patrick nyaonge❤

  • @JacklineMaxon
    @JacklineMaxon 11 หลายเดือนก่อน +4

    Hakika MUNGU ni mwema. Ee BWANA YESU KRISTO namimi nitumie Kwa viwango vingine nimechoka na dunia hii.amina

  • @Robert-v8f5e
    @Robert-v8f5e 11 หลายเดือนก่อน +2

    Amina ubarikiwe

  • @EsterbernardoVumo-kn2xv
    @EsterbernardoVumo-kn2xv 11 หลายเดือนก่อน +1

    Amina Kweli Moses Kulola Alikuwa Mtumishi Wa Mungu.

  • @Danielsj-c1o
    @Danielsj-c1o 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kazi ya Mzee kulola kumtii Mungu tulio wengi tumeokoka.Naomba BWANA YESU unisaidie na kuniwezesha kuingia mbinguni nikakutane na Mzee kulola tena

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤ Mubarikiwe mnooo

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wakwanza kuskia amen

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 11 หลายเดือนก่อน +1

    Emen Emen mbarikiwe sana sana ,

  • @macfadyneminja
    @macfadyneminja 11 หลายเดือนก่อน +1

    Amen and Amen asante kwa huu ushuhuda umenijenga kwa kweli. Amen

  • @JudithElias-ig5nb
    @JudithElias-ig5nb 11 หลายเดือนก่อน

    Ameni ameni mbarikiwe watumishi wa Mungu

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 11 หลายเดือนก่อน

    Tuhudumie watumishi wa Mungu kwakwel nmejifunza sana

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya mchungaji Moses kulola nasikiliza mahubiri yake nabarikiwa sana niko kenya

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mbarikiwe sana

  • @hotexmedia2021
    @hotexmedia2021 9 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq
    @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq 10 หลายเดือนก่อน

    YESU atukuzwe kweriiii

  • @tumainijoshua5090
    @tumainijoshua5090 11 หลายเดือนก่อน +2

    Tunaomba namba ya Pasta willy ili kwa sadaka iwe rahisi

  • @numpegemwaipopo7871
    @numpegemwaipopo7871 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi naomba namba yasadaka

  • @56manya
    @56manya 11 หลายเดือนก่อน

    His testimony and all he went through kinda reminds me of Brother Moses Mairah.

  • @alphoncekihwele8641
    @alphoncekihwele8641 9 หลายเดือนก่อน +1

    Oo baba yetu huyu alikuja njombe.nasi tumeokolewa kupitia injili.yake

  • @numpegemwaipopo7871
    @numpegemwaipopo7871 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi naomba namba ya kutuma sadaka

  • @AtsoniAnton
    @AtsoniAnton 5 หลายเดือนก่อน

    Hakika Mungu humpenda anyenyekeaye Mika 6:8

  • @owikesibonike
    @owikesibonike 11 หลายเดือนก่อน +1

    Yoooooo! Mnapenda Niseme? Hakika Namimi Naomba MUNGU anisaidie Nimalize vizuri Na MUNGU Nije Nimuone Tena Bishop Moses Kulola.

  • @floradavid5216
    @floradavid5216 หลายเดือนก่อน +1

    Nikirudi lazima nkatembelee huo mtaa

  • @VIJANAWAYESU12
    @VIJANAWAYESU12 11 หลายเดือนก่อน +1

    BWANA asifiwe kweli moses kolola alikuwa na ubiri katika roho na ukweli kwasababu tanzani wanabii wa uongo ni wengi siku izi za mwisho kweli BWANA atusaidiye katika yote

  • @oscarkalihamwe1621
    @oscarkalihamwe1621 11 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa kweli na mimi nilikuwa mkatoliki mafundisho yake yamenifanya niokoke na baada ya kuokoka nimeponywa magojwa bila kuombewa ila nikuacha dhambiii nakuwa mlokole kitu ambacho ilikuwa ngumuu kuhama katoliki

    • @samwelrobert9687
      @samwelrobert9687 หลายเดือนก่อน

      Ubarikiwe sote tulikuwa huko ila sasa tumeokolewa na dam ya Yesu

    • @christinemchelle4817
      @christinemchelle4817 23 วันที่ผ่านมา

      Nashukuru sana kwa ushuhuda wa mt.wa Mungu Baba yetu,aliyekwisha tangulia Mbinguni.Hata na Mimi ni mmoja wa wakristo tuliookolewa kutokana na mafundisho yake,mnamo mwaka 1972 nikiwa shule ya Mwanza secondary kidato cha 2.Mnamo 1975 tulikutana Dar eneo la Msasani, Drive in,napo alizidi kunipatia dose ya Neno la Mungu.Mungu anihurumie kwa kushidwa kwenda KWA Mama yetu au hata kumpigia simu.

  • @tumainijoshua5090
    @tumainijoshua5090 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mtumishi tunaomba mtuwekee kwenye yutube sehemu ya mahubiri ya mwisho mwishoni ya maisha yr Dr Kulola,ya miaka ya 2010-2013

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 11 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeeen

  • @IkupilikaMwanja
    @IkupilikaMwanja 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba nichangie ujenzi huyo tafadhali..

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 11 หลายเดือนก่อน +2

    Moses kulola alikuwa mtumishi haswa

  • @JacksonLameck-m3y
    @JacksonLameck-m3y 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu.

  • @Bonde_la_baraka_kwaya
    @Bonde_la_baraka_kwaya 11 หลายเดือนก่อน +1

    Andikeni kitabu kitusidie

  • @ThomasShindikwa
    @ThomasShindikwa 8 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 11 หลายเดือนก่อน

    Amina Amina

  • @ScolaMwanjoka
    @ScolaMwanjoka 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nilikuwa na jipu katika sikio lisilopona miaka na miaka mpaka wazazi wakahambiwa huyu ili alone apelekwe India lakini Bishop Moses kulola aliniombea alukuja Mbeya akiwa na mkutano soweto kwa Mchungaji mwaisabila nikapona tangu hapo kidonda kilipotea na kukauka mpaka leo limebaki kovu tu..

  • @ZerbaberKaratasiKaratasi
    @ZerbaberKaratasiKaratasi 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ushuhuda huu ni falaja

  • @Mpandashadrack
    @Mpandashadrack 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba kujua namna ya kuchangia hilo jengo

  • @barakambuzeyonja6935
    @barakambuzeyonja6935 11 หลายเดือนก่อน

    Kama hakuna namba pasi mtuelekeze ni chanika wapi mwenye hata kidogo achangie

  • @annevilembwa4950
    @annevilembwa4950 11 หลายเดือนก่อน

    Mambo ya Mungu fumbo kuna mitihani mingi mno.Je binafsi utapita yote? Tafuta wanaoshika neno hata wakiwa wachache

  • @SheikhJamalJojo-en8dx
    @SheikhJamalJojo-en8dx 11 หลายเดือนก่อน

    ACHENI UONGO AMEKUFA NA MILLION 500 BENK NAILIGAWANYWA MILASI MAMA FROLA AKACHUKUA M100 NDIO NK

    • @NizerMgombele-xn5hb
      @NizerMgombele-xn5hb 11 หลายเดือนก่อน

      Unajaribu kupinga kuwa mzee hakuwa na pesa, unaongelea tsh500 milioni mzee mwenyewe alikuwa hana hata nguo huyo alimpenda mungu kuliko chochote kama unajua toa mchanguo wote wa tsh500/: usirukeruke ndg mara frora alichukua tsh100/: endelea waongo mnatafutwa kuungwa mkono Acha kupotosha hujui kitu pumzika

    • @NizerMgombele-xn5hb
      @NizerMgombele-xn5hb 11 หลายเดือนก่อน

      Ukiambiwa thibitishaTsh500/: benk gani na akaunt gani lini ilitolewa hela hyo mnetegemea mbio mitandaoni humu Acha uongo dogo

  • @mercyjay5595
    @mercyjay5595 หลายเดือนก่อน

    Amen