PART 6 BISHOP MOSES KULOLA ALIFARIKI DUNIA BANK AKIWA NA LAKI 2 TU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ก.พ. 2024

ความคิดเห็น • 68

  • @leilasaimjomba4246
    @leilasaimjomba4246 5 หลายเดือนก่อน +50

    Hata Mimi kwetu tulikua waislam but huyo mzee alimuombea my sister uwanja wa reli Arusha nilikua mdogo but my sister aliponywa na sisi sote tukawa wakristo mimi niko Kenya kwa Injlili yake nimesimama

  • @wilsonsaid9171
    @wilsonsaid9171 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe Mungu mwenye kuogopwa katika sifa naomba lile kusudi la mimi kuwepo ulimwenguni litimie maadamu ni mchana.

  • @catherinemhlangamwakapugi1865
    @catherinemhlangamwakapugi1865 5 หลายเดือนก่อน +4

    Huu ni Ushuhuda unaonyesha ukuu wa Bwana nautii wake Mtumishi wa Mungu ame stahimili magumu aliyo apitia ili roho za watu ziokolewe...I salute him...God give us this courage to bring others to you...Amen

  • @MARYABDALLAH-sd9gi
    @MARYABDALLAH-sd9gi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaaaaaaah
    Kwa kweli huyu ni shujaa WA Imani....
    Ingawa nilikuwa mdogo saaaanaa but nilikuwa namkubali saanaaa.....
    Alifariki nikiwa na miaka kumi....
    All in all niseme Mungu asante Kwa zawad ya uhai wake

  • @sanchezrose1560
    @sanchezrose1560 5 หลายเดือนก่อน +4

    Shalom watumishi wa Mungu ningependeza kabla ya kuanza ushuhuda muwe mnaanza kwa maombi ingependeza zaidi Ahsante

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu kwa kutuletea ushuhuda wa Mzee wetu mpendwa sana M. KULOLA!

  • @VIJANAWAYESU12
    @VIJANAWAYESU12 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli moses kolola alikiwa mtumishi wa MUNGU katika roho na ukweli ndungu yangu usikate tamaha Kuwa kama baba alivyo Kuwa katika kazi yake amen kweli

  • @FloridaSyombua
    @FloridaSyombua 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amen,,naona roho wa Mungu ndani yako mtumishi anaye ongea kwa niaba ya babako,,,hakika yuko Mungu mwenye uwezo,,Jina la bwana Yesu litukuzwe...ningelipenda Mungu nimtumikie Mungu jinsi hii

  • @isayajovith5226
    @isayajovith5226 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hakika ktk shuhuda hii kunamengi ya kujifunza pamoja na kutiwa moyo kwa Kila asikiaye na kuamua kujifunza ktk hii 🙏🙏🙏

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amina naendeleya kufyatiliya ni ushuhuda mzuri sana

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani watumishi wa Mungu mbarikiwe sana kwa ushuhuda mzuri sana samahani watumishi wa Mungu naomba kuuliza garama ya kwenda Israel kwa hela ya kitanzania ni shilingi ngapi

    • @frankngajilo7137
      @frankngajilo7137 4 หลายเดือนก่อน

      KUFANYA NINI WEWE SHIKA INJILI ITANGAZE SANA INATOSHA ,TUNAABUDU MUNGU WA WAISRAEL SIO ARDHI YA ISRAEL ,TUNAMPENDA MZEE KULOLA SIO FAMILIA YA KULOLA AU NYUMBA YAKE

  • @EsterbernardoVumo-kn2xv
    @EsterbernardoVumo-kn2xv 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amina Kweli Moses Kulola Alikuwa Mtumishi Wa Mungu.

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wakwanza kuskia amen

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk 5 หลายเดือนก่อน +2

    Amina ubarikiwe

  • @emmahbooooo
    @emmahbooooo 5 หลายเดือนก่อน

    Ameeen Ameeen mtumishi ubarikiwe sana kwa ushuhuda.

  • @hotexmedia2021
    @hotexmedia2021 2 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @user-do4qs8vx2s
    @user-do4qs8vx2s 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaidie ahasante Kwa ushuhuda wa Mzee wetu

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 5 หลายเดือนก่อน +1

    Emen Emen mbarikiwe sana sana ,

  • @user-in6eg5np7l
    @user-in6eg5np7l 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nimefatilia shuhuda hizi, huyu mzee alikuwa na Roho wa MUNGU, Kazi aliyoifanya hadi naogopa. Mungu atukuzwe kwa ajili yake mana aliyatoa maisha yake kwa Kristo

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤ Mubarikiwe mnooo

  • @tumainijoshua5090
    @tumainijoshua5090 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi tunaomba mtuwekee kwenye yutube sehemu ya mahubiri ya mwisho mwishoni ya maisha yr Dr Kulola,ya miaka ya 2010-2013

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbarikiwe sana

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 5 หลายเดือนก่อน

    Tuhudumie watumishi wa Mungu kwakwel nmejifunza sana

  • @JudithElias-ig5nb
    @JudithElias-ig5nb 5 หลายเดือนก่อน

    Ameni ameni mbarikiwe watumishi wa Mungu

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 5 หลายเดือนก่อน

    Amina Amina

  • @user-qu1ut5ri2z
    @user-qu1ut5ri2z 2 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @user-by1sv4xg8l
    @user-by1sv4xg8l 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba nichangie ujenzi huyo tafadhali..

  • @numpegemwaipopo7871
    @numpegemwaipopo7871 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi naomba namba yasadaka

  • @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq
    @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq 3 หลายเดือนก่อน

    YESU atukuzwe kweriiii

  • @tumainijoshua5090
    @tumainijoshua5090 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba namba ya Pasta willy ili kwa sadaka iwe rahisi

  • @Bonde_la_baraka_kwaya
    @Bonde_la_baraka_kwaya 4 หลายเดือนก่อน +1

    Andikeni kitabu kitusidie

  • @VIJANAWAYESU12
    @VIJANAWAYESU12 5 หลายเดือนก่อน

    BWANA asifiwe kweli moses kolola alikuwa na ubiri katika roho na ukweli kwasababu tanzani wanabii wa uongo ni wengi siku izi za mwisho kweli BWANA atusaidiye katika yote

  • @numpegemwaipopo7871
    @numpegemwaipopo7871 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi naomba namba ya kutuma sadaka

  • @alphoncekihwele8641
    @alphoncekihwele8641 3 หลายเดือนก่อน

    Oo baba yetu huyu alikuja njombe.nasi tumeokolewa kupitia injili.yake

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 5 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeeen

  • @macfadyneminja
    @macfadyneminja 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amen and Amen asante kwa huu ushuhuda umenijenga kwa kweli. Amen

  • @owikesibonike
    @owikesibonike 4 หลายเดือนก่อน

    Yoooooo! Mnapenda Niseme? Hakika Namimi Naomba MUNGU anisaidie Nimalize vizuri Na MUNGU Nije Nimuone Tena Bishop Moses Kulola.

  • @Mpandashadrack
    @Mpandashadrack 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba kujua namna ya kuchangia hilo jengo

  • @barakambuzeyonja6935
    @barakambuzeyonja6935 4 หลายเดือนก่อน

    Kama hakuna namba pasi mtuelekeze ni chanika wapi mwenye hata kidogo achangie

  • @annevilembwa4950
    @annevilembwa4950 5 หลายเดือนก่อน

    Mambo ya Mungu fumbo kuna mitihani mingi mno.Je binafsi utapita yote? Tafuta wanaoshika neno hata wakiwa wachache

  • @oscarkalihamwe1621
    @oscarkalihamwe1621 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa kweli na mimi nilikuwa mkatoliki mafundisho yake yamenifanya niokoke na baada ya kuokoka nimeponywa magojwa bila kuombewa ila nikuacha dhambiii nakuwa mlokole kitu ambacho ilikuwa ngumuu kuhama katoliki

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 5 หลายเดือนก่อน

    Moses kulola alikuwa mtumishi haswa

  • @Jackline-ki7zl
    @Jackline-ki7zl 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika MUNGU ni mwema. Ee BWANA YESU KRISTO namimi nitumie Kwa viwango vingine nimechoka na dunia hii.amina

  • @user-hq5fq8dv8s
    @user-hq5fq8dv8s 4 หลายเดือนก่อน

    Ushuhuda huu ni falaja

  • @user-uc4zu4sj9i
    @user-uc4zu4sj9i 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu.

  • @user-eh2ys2we4s
    @user-eh2ys2we4s 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa kazi ya Mzee kulola kumtii Mungu tulio wengi tumeokoka.Naomba BWANA YESU unisaidie na kuniwezesha kuingia mbinguni nikakutane na Mzee kulola tena

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya mchungaji Moses kulola nasikiliza mahubiri yake nabarikiwa sana niko kenya

  • @56manya
    @56manya 5 หลายเดือนก่อน

    His testimony and all he went through kinda reminds me of Brother Moses Mairah.

  • @ScolaMwanjoka
    @ScolaMwanjoka 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nilikuwa na jipu katika sikio lisilopona miaka na miaka mpaka wazazi wakahambiwa huyu ili alone apelekwe India lakini Bishop Moses kulola aliniombea alukuja Mbeya akiwa na mkutano soweto kwa Mchungaji mwaisabila nikapona tangu hapo kidonda kilipotea na kukauka mpaka leo limebaki kovu tu..

  • @SheikhJamalJojo-en8dx
    @SheikhJamalJojo-en8dx 4 หลายเดือนก่อน

    ACHENI UONGO AMEKUFA NA MILLION 500 BENK NAILIGAWANYWA MILASI MAMA FROLA AKACHUKUA M100 NDIO NK

    • @NizerMgombele-xn5hb
      @NizerMgombele-xn5hb 4 หลายเดือนก่อน

      Unajaribu kupinga kuwa mzee hakuwa na pesa, unaongelea tsh500 milioni mzee mwenyewe alikuwa hana hata nguo huyo alimpenda mungu kuliko chochote kama unajua toa mchanguo wote wa tsh500/: usirukeruke ndg mara frora alichukua tsh100/: endelea waongo mnatafutwa kuungwa mkono Acha kupotosha hujui kitu pumzika

    • @NizerMgombele-xn5hb
      @NizerMgombele-xn5hb 4 หลายเดือนก่อน

      Ukiambiwa thibitishaTsh500/: benk gani na akaunt gani lini ilitolewa hela hyo mnetegemea mbio mitandaoni humu Acha uongo dogo