Niliwahi kusikia mtu akisema et Mwl Nyerere alisema kufikia2010 Watanzania wote watakuwa wezi. Hakukosea sana! Siku hizi kila anayeteuliwa anakuwa mwizi. Waaminifu ni wachache sana
Wenda utaleta nuru baba ila tunavunjika moyo kuona campeni ni gharama nying kwa nin watanzania hawataki rushwa sahvi watu wanahitaji kiongozi kama majaliwa tumetokea kukuamin sana ungejaribu kuchukua hata fom pls ya urahis tunaimani na wewe sana
Tunakuomba an kweli hela zetu mnachezea hivi mmhi hapana ila hatuna cha kufanya ila baba tunakuomba pls chukua fom kama mifumo haijabadilika an mmh hapana majaliwa tunajua hata mzee alikua anakuandaa uje kua rais maana mmh
Huwa tunailaumu serikali bure ila mara nyingi inajitahidi tatizo baadhi ya viongozi si waaadilifu. Mahakama ya majizi bora ianzishwe tu. Na sheria kali zitungwe kupambana na majizi
Acha upuuzi wew hii nnch haitakiw iwe hivyo an kuna nnh zinategemea ki2 kimoja zinasonga na sisi kila ki2 tunacho jaman tumeenda tanga kilind hamna hata maji mmh kweli mbaka leo bara bara ina miaka 4 inajengea hata klm 5 hawajamaliza ndo nni
Yaan Mimi kiukweli hua nashindwa nikupe Nini wazili mkuu kwa kazi unayo ifanya nakukubali sana mungu akuongoze vizur kwenye Kaz yako
Weka ndani wote MH waziri mkuu🤝
uyu pm awe rais❤
Niliwahi kusikia mtu akisema et Mwl Nyerere alisema kufikia2010 Watanzania wote watakuwa wezi. Hakukosea sana! Siku hizi kila anayeteuliwa anakuwa mwizi. Waaminifu ni wachache sana
Majizi hayo
TAIFA LIMEJAA WATU wezi sana
An mmi hii serikali ya sita kiongoz tunae muamini mmoja tuu wengne wote hapana wanaturudisha nyuma sana kwa kweli
Wenda utaleta nuru baba ila tunavunjika moyo kuona campeni ni gharama nying kwa nin watanzania hawataki rushwa sahvi watu wanahitaji kiongozi kama majaliwa tumetokea kukuamin sana ungejaribu kuchukua hata fom pls ya urahis tunaimani na wewe sana
Israel komboeni kwa changudoa
Tunakuomba an kweli hela zetu mnachezea hivi mmhi hapana ila hatuna cha kufanya ila baba tunakuomba pls chukua fom kama mifumo haijabadilika an mmh hapana majaliwa tunajua hata mzee alikua anakuandaa uje kua rais maana mmh
Huwa tunailaumu serikali bure ila mara nyingi inajitahidi tatizo baadhi ya viongozi si waaadilifu. Mahakama ya majizi bora ianzishwe tu. Na sheria kali zitungwe kupambana na majizi
Ukumbuke kuwa serikalin ndo.inayowateua hao majiz unao.waona
Acha upuuzi wew hii nnch haitakiw iwe hivyo an kuna nnh zinategemea ki2 kimoja zinasonga na sisi kila ki2 tunacho jaman tumeenda tanga kilind hamna hata maji mmh kweli mbaka leo bara bara ina miaka 4 inajengea hata klm 5 hawajamaliza ndo nni