WAZIRI MKUU MAJALIWA AKASIRIKA - AMTUMBUA INJINIA PAPOHAPO - AAGIZA MKURUGENZI ALIYESTAAFU AITWE...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AKASIRIKA - AMTUMBUA INJINIA PAPOHAPO - AAGIZA MKURUGENZI ALIYESTAAFU AITWE...
    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo ambayo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo
    Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika.
    Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774 na wamekwishatumia sh. milioni 341 hadi kufikia hatua ya linta ambayo ni sawa na asilimia 40 ya ujenzi wake.
    Aagiza asimamishwe kazi kupisha uchunguzi, yumo pia Mkurugenzi Mstaafu wa Halmashauri aliyestaafu mwezi Aprili mwaka huu, ambapo Mheshimiwa Majaliwa aagiza aitwe na ahojiwe.
    Mheshimiwa Majaliwa yupo mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 51

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @AllexAnthony
    @AllexAnthony หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana baba majaliwa kwa kazi nzuri wakileta mchezo nikutumbua tuu hao ndio wanaotuharibia ladha ya taifa letu la Tanzania naipenda nchi yangu....tumbua haooooooooooo

  • @BakariMapua-t9u
    @BakariMapua-t9u หลายเดือนก่อน +2

    One❤ mkuu nakuombea uchukue nchi❤❤❤❤❤❤

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 หลายเดือนก่อน +8

    Majariwa waziri wetu mkuu nakukubari Sana Mimi tuombe uzima iko siku utakuwa laisi wetu

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 หลายเดือนก่อน

      Majaliwa hakuna kitu ubabaishqji mtupu sio kazi ya waziri mkuu kukagua viti!! atakagua viti vingapi nchi nzima!! serikali nzima imejaa wazembe

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi หลายเดือนก่อน +2

    Wawajibishwe na wakuu wa hiyo mikoa, kwa sababu hayo yanapotokea wao wanabweteka tu.
    Wajifunze kwa mwenzao Makonda Arusha.
    Asante.

  • @roggoyacny
    @roggoyacny หลายเดือนก่อน +1

    HAO NDOWANAO KWAMISHA NA KUCHAFUA MFUMO MZIMA WA RAIS WETU 🙏,,NAOMBA WAZIR MKUU HAO WACHUKULIWE HATUA KALI SANA 🙏

  • @abrahammwamlomba8922
    @abrahammwamlomba8922 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe nguvu w mkuu

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w หลายเดือนก่อน

    Mh. Waziri mkuu hawa watendaji ndio wanapopiga sana fedha za serikali .pesa nyingi zinatumwa miradi inakwamishwa na hawa waliopewa dhamana. Endelea kuwa mkali mh...vingine hawa mchwa watu wataifirisi inchi

  • @hassanngomela-tu6lw
    @hassanngomela-tu6lw หลายเดือนก่อน +1

    Hapo serikali yatu inapokesea wekeni sheria kila mtu ajue kwamba nikiwa ktk nafasi flani nikikosea tu au pesa imeibuwa wale wauska wote wafilisiwe mali zao lakini hapo kila siku tutaishia kusema ili watu watuone kwenye mitandao ukiondoka tu moto uleule

  • @bilid4128
    @bilid4128 หลายเดือนก่อน +1

    "Bati hakuna stoo usidanganye "😊😊

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s หลายเดือนก่อน

    Ongela laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa kutupa wazili mkuuu bomba ongela sana mueshimiwa wazili

  • @MahmoudMahdMahmadoueMombaMomba
    @MahmoudMahdMahmadoueMombaMomba หลายเดือนก่อน

    viongozi wote wa serikali waki-chukua hii staili ya Magufuli wananchi tutakua na imani sana na ninyi viongozi wetu, lakini mkikaa tu ofisini bila ya ufuatiliaji mtawapa akina Mbowe na Lissu nafasi ya kuwachafueni jambo ambalo sio zuri kiviiile

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 หลายเดือนก่อน

    Samahai wakuu naomba kujua wanafukuzwa waondoka kabisa shamba au mnawatafutia kazi nyingine mie naona bora muwafirisi kabisa kasimu unaakili sanaa ndo maana magufuri alikuamini sanaa

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b หลายเดือนก่อน +1

    asante sana kasim majaliwa kwa kutembelea ujenzi jengo lakini tutaona wakati huu mnatudanyanya wezi awapelekwi mahakamani inaishia apo apo kujifanya wakali kutufunga macho ninyi amtutetei atakidogo wewe Samia unataka ETI kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mmoja wenu ata baki mamlakani tunasema tutawatoa mamlakani tunataka katiba mpya nilazima watanganyika waishi kwa kuheshimana kikabila mbona wamasai wa ngorongoro ngombe zao kuuzwa na mahakama ubaguzi mkubwa sana wakidini na viongozi walioko mamlalakani wanatutisha na wasio julikana wako ndani ya nchi yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu

  • @7675kio
    @7675kio หลายเดือนก่อน

    Namuona JPM, na Raisi ajaye. Sijui mnanielewa?

  • @EnikoSanga
    @EnikoSanga หลายเดือนก่อน

    Safi mheshimiwa

  • @user-ch2xi5zm8y
    @user-ch2xi5zm8y หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo mnasubiriaga mpaka wakishakula ndio nnajitokeza

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g หลายเดือนก่อน

    Wasomi wetu mnakwama wapi mkiaminiwa na serikali kusimamia miradi???????? Wakipewa wachina wazawa kelele nyingiiiiiiiii

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry หลายเดือนก่อน

    CCM kwa hali hii mmeshindwa maana siye hatujui kinachoendelea tunapiga makofi tu kwa CCM. Leo mnatutoa imani nanyie kitakachoendelea msitulaumu, msitilaumu.

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 หลายเดือนก่อน +2

    Acheni kuingiza habari tofauti na kichwa Cha habari husika.😊

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq หลายเดือนก่อน +1

    Hao wazee wenye vitambi wawe wanakaa mbali na matukio😢

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 หลายเดือนก่อน

    Bilioni 3 majengo 44%

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w หลายเดือนก่อน

    MAJAALI NAKUOMBEA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU SIKU ZI JAZO UJE UWE RAIS MAKAMU WAKO AWE MAKONDA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWE CHALAMILA ILI MAFISADI WAJE WAJUTE KUZALIWA😂

  • @blessingntuli3796
    @blessingntuli3796 หลายเดือนก่อน +1

    Wahujumu uchumi ndo ao Tia ndani wote miaka kumikumi

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka1131 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 maisha bna wakibanwa wanakuwa wapoleeee kama wali,...ila ukiwakuta kweny 18 zao za upigaji wanajifany wababe atariiii maisha hy nimecheka.

  • @jonijoogabriel3728
    @jonijoogabriel3728 หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu nyie ndio mnaongoza hii nchi miaka yote toka uhuru na watendaji wanaiba hela za Umma miaka yote naona ni wakati wa kuweka serikali nyingine ya Chama kingine

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 หลายเดือนก่อน

    Hao wa kuvaa kijani na matumbo makubwa wamekaa kimya tu na hao hao ndio wako kwenye mfumo wa kuzichana pesa za maendeleo. Hawa si wazalendo.

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 หลายเดือนก่อน

    Wangekuwa wananyonga mbwa hawa piga risasi tu wezi hawa sio wa kuwachekea wanaitia Tanzania umasikini sana

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 หลายเดือนก่อน

    Ubaya wanaapa kwakutumia bibilia na Quran. Wazee wetu walikua wanaapa kwakutumia damu, udongo,... Ukiiba unakufa. Wazungu na warabu wametudanganya baada ya kutukanya. Rudi kwenye mifumo muone kama mtakua mnakimbizana na hao

  • @gwakisamkese6178
    @gwakisamkese6178 หลายเดือนก่อน

    Waziri kasim majaliwa ikipendeza ugombee urais

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 หลายเดือนก่อน

    Inasikitisha sana. Wataalamu tuliowaamini wanatuangusha. Watu hawana uzalendo kabisa. Wao hawajali kwani watoto wao wanasoma shule za kulipia.

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 หลายเดือนก่อน

      Wewe umeona hao nawalio iba pesa zetu c a g

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 หลายเดือนก่อน

    Amelipwa pesa zote wamegawana😢

  • @sidachomela7871
    @sidachomela7871 หลายเดือนก่อน

    Mnamuonea Injinia

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndo wanatumia fedha zetu kuharibu mabinti wa vyuo

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 หลายเดือนก่อน

    Hilo ni tatizo la makandarasi wa ndani wezi tu.

  • @GastoJohn-s1p
    @GastoJohn-s1p หลายเดือนก่อน

    Tunaomba mama ukiisha muda wake, huyu waziri mkuu Majaliwa awe raisi wa Tanzania, maana anastahili kabisa!!

  • @user-kv8sq6qz7g
    @user-kv8sq6qz7g หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa serekali hususan kwemye miradi hawana mzalendo wezi alafu wanaenda kanisani na msikitini aibu sana

  • @bockerNyarusahi
    @bockerNyarusahi หลายเดือนก่อน

    Wapambe watakunyoosha

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w หลายเดือนก่อน

    HAYA MAJIZI IKIWAPENDEZA YANYONGWE SISI WANYONGE TUNAKAMULIWA KODI HALAFU NYINYI HAMNA HURUMA NAPESA ZA WAVUJA JASHO WANCHI HII KWANZA KABLA HAWAJANYONGWA WATOBOLEWE MACHO😂

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 หลายเดือนก่อน

    Hizi ndizo degree za TZ

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 หลายเดือนก่อน

    Wamekula na fundi

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv หลายเดือนก่อน

    Jembe la magufuri

  • @halifajuma545
    @halifajuma545 หลายเดือนก่อน

    Piga iboko hao ujinga tu tuna pembelezana sana