MJUE WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA -KUZALIWA -KUSOMA -SAFARI ya SIASA - "ALIWAHI KUWA KOCHA wa SIMBA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • MJUE WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA -KUZALIWA -KUSOMA -SAFARI ya SIASA - "ALIWAHI KUWA KOCHA wa SIMBA"...
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alizaliwa mwaka 1960 katika kijiji cha Nandagara, Kitongoji cha Nanditi (Lideko), wilayani Ruangwa mkoa wa Lindi, kusini mwa Tanzania.
    Ni mtoto wa sita kuzaliwa kutoka kwa marehemu Mzee Hamisi Majaliwa.
    Aliishi maisha ya ukiwa baada ya Mama yake mzazi, Binasa Issa Chikawe kufariki dunia akiwa bado mdogo, Shangazi yake Sharifa ni miongoni mwa walioshiriki malezi yake baada ya kufiwa na mama yake, aliyekuwa mke mdogo wa marehemu Mzee Hamisi majaliwa Hanga, aliyefariki dunia katika miaka ya 1990.
    #PROFILE #KASSIMMAJALIWA
    Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
    www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

ความคิดเห็น • 150

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 3 ปีที่แล้ว +13

    Wanaomkubali Kasim Majaliwa kama mimi tugonge like hapa

  • @charlesrwegalulila1069
    @charlesrwegalulila1069 4 ปีที่แล้ว +14

    No one can be more than Majaliwa next president 2025. Thank U Jpm Kwa kumkuza Majaliwa now his so fantastic leader. Asante Mungu kwa Tanzania Safi na imara.

  • @Happy-go-lucky637
    @Happy-go-lucky637 5 ปีที่แล้ว +140

    Kama unamkubali majaliwa gonga like

  • @mainguburemo5947
    @mainguburemo5947 5 ปีที่แล้ว +31

    Huyu ndiye Raisi awamu ya sita atakayeendeleza filosofia ya hapa kazi tu. Awamu ya Tano imeweka misingi mizito ya nidhamu ya utendaji uliotukuka na mambo tunayoyaona ni vyema mikoba hiyo ikaendelezwa na Mh. Kassim Majaliwa.

  • @joycejohn102
    @joycejohn102 5 ปีที่แล้ว +5

    Bravo kigonsera secondary and High school locates at Mbinga district in Ruvuma region hakika ni shule bora maana imetoa Waziri mkuu na hata Rais wa awamu ya 3 Hon Benjamin William Mkapa na mkurugenzi wa sasa wa usalama wa Taifa kasoma hapo hapo Kigonsera

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 4 ปีที่แล้ว +5

    Hongera Mheshimiwa Waziri Mkuu.
    Nakuombea kwa Allah kila la kheri katika Maisha na Majukumu yako.
    MIMI EX- DAS Urambo.

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 3 ปีที่แล้ว +2

    Maajaliwaa bila kipingamizi 2025 ndio rais wetu ajaee munguu mbariki majaliwaa. Mpe afya njemaa umjepushe na .achoo ya hasaad rais wetuu hakika uwiongoze tanzania mungu ibariki TANZANIA

  • @sadockmhinza699
    @sadockmhinza699 5 ปีที่แล้ว +8

    super intelligent man namkubali sana mwalimu kassim majaliwa

  • @amonbwanakunu910
    @amonbwanakunu910 3 ปีที่แล้ว +1

    "Mheshimiwa Waziri mkuu,
    Mheshimiwa kassim Majaliwa Ni Kiongozi Mzuri Sana,
    Ni mfatiliaji mzuri Sana,
    Ninamuombea kila la Kheri kutoka kwa Mwenyezi Mungu Katika Majukumu yake.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 2 ปีที่แล้ว +1

    Ana hekima huyu waziri mkuu

  • @Buhatvonline
    @Buhatvonline 7 หลายเดือนก่อน

    Story nzuri sana ila msomaji mmmm

  • @lutundujafau6020
    @lutundujafau6020 5 ปีที่แล้ว +8

    Aisee,,,naamini kuna watu wako sehem lkn ndoto zao bado ndoto zao haziko kule kikubwa tuishi na malengo yetu tutatobowaaa,,💪💪💪

  • @pradeepgajjar8614
    @pradeepgajjar8614 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaka you are best god bless you long live and have healthy life🙏

  • @jeremialauden5710
    @jeremialauden5710 5 ปีที่แล้ว +12

    Kweli tutakula kwa jasho big up hastle in blood

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 5 ปีที่แล้ว +15

    mungu akuzdishie umri mlefu waziri mkuu majaliwa

  • @josephmbughi6944
    @josephmbughi6944 4 ปีที่แล้ว +5

    Saiv nmepata historia ya mheshmiwa ndugai na majaliwa kwa u-tube! Lengo jema tunatiwa moyo..

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa6872 5 ปีที่แล้ว +3

    safi cn,namkubali sana mh Majaliwa

  • @charlesbwire2010
    @charlesbwire2010 5 ปีที่แล้ว +6

    hongera sana kiongozi wetu

  • @hajiramadhani2699
    @hajiramadhani2699 4 ปีที่แล้ว

    Amezaliwa kabla ya uhuru wa Tanzania Kama umemuelewa bado kijana gonga like

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe maish marefu na afya njema inshalaah

  • @nicolastitus568
    @nicolastitus568 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe waziri wangu msomi nakupenda sana waziri mkuu wangu

  • @fedrickmwikwabe279
    @fedrickmwikwabe279 5 ปีที่แล้ว +8

    Mh kassim majaliwa tunakuomba mwaka 2025 ugombee urais maana una uzoefu wakuongoza nchi by Fedrick mwikwabe from tarime Mara Tanzania

    • @hadijajohn7434
      @hadijajohn7434 3 ปีที่แล้ว

      Yani tunamkubali sana sana majaliwaa .mungu ampe afyaa njemaa

  • @oberdntalisha9041
    @oberdntalisha9041 5 ปีที่แล้ว +21

    Kumbe hauna wazazi mh dar pore sana jembe letu

  • @rasammudmar5455
    @rasammudmar5455 3 ปีที่แล้ว

    Sikudhani. Hongera

  • @mohamedlacha6515
    @mohamedlacha6515 3 ปีที่แล้ว +1

    If mama will contest obvious Majaliwa will support her

  • @magretmartin6992
    @magretmartin6992 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akutangulie tunakupeda sana ujekuwa raisi

  • @nipautago8574
    @nipautago8574 3 ปีที่แล้ว

    Next president! 🇹🇿

  • @seifkhatib4512
    @seifkhatib4512 5 ปีที่แล้ว +3

    I like it congradulation MP majaaliwa

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 5 ปีที่แล้ว +8

    Dah, hatujui yajayo mbele

  • @JosephMasaba-w1v
    @JosephMasaba-w1v ปีที่แล้ว

    Huyo. Namkubari. Astimia100.

  • @mohdkiparah2584
    @mohdkiparah2584 4 ปีที่แล้ว +2

    Allah amjaalie ampe nguvu na hekma kufanikisha majukumu yke

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe 4 ปีที่แล้ว +5

    THE NEXT PRESIDENT

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 ปีที่แล้ว +2

    Eee Jina lake linaendana na istoria ya maisha yake MAJALIWA MUNGU AKUJALIE KILA SIKU BABA

  • @WiliamMasalu-gs2ov
    @WiliamMasalu-gs2ov 5 หลายเดือนก่อน

    Anafaa kuwa Mkuu wa Nchi

  • @paskalinanesphory3425
    @paskalinanesphory3425 3 ปีที่แล้ว

    Hakika hakuna mwenye haki tazama msalaba yesu aliteseka lakini alifikia kilele chake usiwe na roho wa uwepesi mungu akubariki

  • @hajimakame7554
    @hajimakame7554 5 ปีที่แล้ว +5

    nampendaa Rais wangu wa baadae

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 ปีที่แล้ว +18

    Jk inaelekea anamkubali
    Majaliwa

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 5 ปีที่แล้ว +2

    Nakuombea Kwa Mungu Ukawe president kwa miaka ijayo

  • @mainguburemo5947
    @mainguburemo5947 5 ปีที่แล้ว +8

    Atakuwa Waziri Mkuu wa Pili kuwa Raisi wa Tanzania baada ya Mwalimu J.K Nyerere kuwa Waziri Mkuu wa Kwanza na baadaye kuwa Raisi wa Kwanza wa Tanzania. Tunakutakia kila la Kheri.

    • @davidchesco52
      @davidchesco52 5 ปีที่แล้ว +1

      Maingu Buremo mungu atusaidie maana anasifa kabisa kuwa Rais

    • @abdallaameir3153
      @abdallaameir3153 2 ปีที่แล้ว

      Nauliza nyerere alikua wazir mguu wa tanzania ama tanganyika s

  • @JosephNyoni-g5h
    @JosephNyoni-g5h 5 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @Buhatvonline
    @Buhatvonline 7 หลายเดือนก่อน

    Sida ni nchi gani?

  • @paskalinanesphory3425
    @paskalinanesphory3425 3 ปีที่แล้ว

    Baba majaliwa piga moyo konde uone 2025 usituache kama muhimili wetu spika wa mbunge mungu atatulea kiongozi mzuri zaidi yake usiwe na ona fupi tazama parefu mbele

  • @juliethmpuya9130
    @juliethmpuya9130 4 ปีที่แล้ว

    Nic

  • @jamesnteleva7073
    @jamesnteleva7073 4 ปีที่แล้ว +5

    @Given Mashishanga, profile ni nzuri ila, umefanya makosa kadhaa katika uwasilishaji wako, kiasi kwamba yanapotosha na kuharibu uhondo. Nitayaainisha hapa ili ujifunze na kuwa makini next time usomapo taarifa kama hizi.
    1. Stokholm ni mji mkuu wa nchi iitwayo Sweden. Hakuna nchi duniani yenye jina la Sida, kama ulivyotamka kwenye taarifa yako.
    2. Hakuna klabu Tanzania yenye jina la Namuongo, jina sahihi ni "Namungo"
    3. Kwenye taarifa yako umetamka maneno: "...sakata la kabumbu..." halafu wala hukusema ni sakata lipi hilo. Huenda ulitaka kusema "...zaidi ya kusakata kabumbu, Mh. Waziri Mkuu ana fani nyingine..."
    Muandishi wa habari anapaswa kuwa makini katika utoaji wa taarifa, kwa sababu, zaidi ya mambo mengine, kazi hiyo huelimisha jamii pia. Taarifa zinapopotoshwa, kwa kukosa umakini au kutojua au kutofanya uchunguzi kabla ya kutoa taarifa husika, wakati fulani huweza kuleta balaa katika jamii husika. Ni muhimu sana kuwa makini katika taarifa zitolewazo.

    • @mosesmzakwe7774
      @mosesmzakwe7774 3 ปีที่แล้ว +1

      Umemuelewesha vizuri.
      Ajifundishe kuwa Makini

    • @whimsymaverick3057
      @whimsymaverick3057 3 ปีที่แล้ว

      Rejea pia "POSTIGLADUATE DIPLOMA'

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 ปีที่แล้ว

      SINGIDA UNAITED

    • @machoguhamery3731
      @machoguhamery3731 ปีที่แล้ว

      Na weww jufunze kiswahili hakuna neno muandishi katika kiswahili bali huandikwa na kutamkwa "mwandishi" siyo muandishi

  • @abduldello1555
    @abduldello1555 5 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana, ila hujaeleza kuhusu familia yake.

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 5 ปีที่แล้ว +6

    Alikuwa na karama ya uongozi toka utotoni......
    Ndo maana mpaka leo ni kiongozi anaependwa na wengi

  • @dominickmassawe7720
    @dominickmassawe7720 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu ndie raisi wetu

  • @akothbake3602
    @akothbake3602 3 ปีที่แล้ว +1

    Raisi wetu wa awamu ya sita bila kipingamizi🇹🇿

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 ปีที่แล้ว +1

    Nandagala nanyumbu nanganga Nachingwea Ruwangwa mpekenyela.

  • @polycarplazaro8482
    @polycarplazaro8482 3 ปีที่แล้ว

    Namuona RAISI AJAE...WA JMTZ

  • @donatusdaniel3722
    @donatusdaniel3722 2 ปีที่แล้ว

    Naomba profile ya Msukima - mbunge

  • @nicolastitus568
    @nicolastitus568 3 ปีที่แล้ว

    Bonge la handsome

  • @stanleymbwana4828
    @stanleymbwana4828 5 ปีที่แล้ว +2

    Kuna WAZIR OMAR ALL JUMA HAKUWA WAZIR MKUU

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 5 ปีที่แล้ว +9

    HUYU NI WA KIUMENI .. SINA MASWALI BALI MAJIBU TUU.. ANAFAA..! 2025..!

    • @hadijajohn7434
      @hadijajohn7434 3 ปีที่แล้ว

      Kabisaa anafaaa kasimu majaaliwaa awe rais wa TANZANIA tunamuombea

  • @salvatorybuha4328
    @salvatorybuha4328 5 ปีที่แล้ว +5

    dah namkubali huyu jamaa ni hatari ni mchapakazi haswaa na ni mzalendo sana nampenda majaliwa balaa

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard9059 3 ปีที่แล้ว

    Nampenda kama magu

  • @emmanuelphabian1980
    @emmanuelphabian1980 3 ปีที่แล้ว

    Dah nakusubil majaliwa nikupe kura yangu .

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 4 ปีที่แล้ว

    Hizi zote ni asante zake kikwete kuanzia magufuli na majaliwa hawa ndio wamerejesha ccm yetu tena kweny fom ....magufuli oyeeeeeee majaliwa oyeeeeee .......

  • @godfreychitanda8098
    @godfreychitanda8098 3 ปีที่แล้ว

    Daaa

  • @nkunasuitbert7837
    @nkunasuitbert7837 4 ปีที่แล้ว +1

    Profile ya mh. Waziri mkuu haikukamilika mbona hukusema alioa lini na mkewe anaitwa nani na mwenyeji wa wapi?

  • @drgerwinegosbert2547
    @drgerwinegosbert2547 5 ปีที่แล้ว +7

    Given mashishanga ...baba yako alishawahi kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza?

  • @barakachawe6241
    @barakachawe6241 4 ปีที่แล้ว +3

    Haha ndio najua leo kwamba mzee Warioba aliwahi kuwa waziri

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 3 ปีที่แล้ว

    Rais wetu

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir3153 2 ปีที่แล้ว

    Hapa naomba afafanuzi nyerere alikua waziri mkuu wa tanganyika ama tanzania sababu tunalishwa matango pori tu

  • @sisnatusmnali1655
    @sisnatusmnali1655 4 ปีที่แล้ว +1

    Next next president

  • @josephmgongolwa9496
    @josephmgongolwa9496 3 ปีที่แล้ว

    Mnisaidie kigosera nimbeya luvuma hapa mbona katudanganya

  • @oberdntalisha9041
    @oberdntalisha9041 5 ปีที่แล้ว +14

    Wewe ni raisi ujae baada ya raisi magufuri kumaliza

    • @joshualeonard8729
      @joshualeonard8729 5 ปีที่แล้ว

      Ni rais anaekuja rais wetu ataamua maana maamzi ya ukweli mheshimiwa pombe magufuri

    • @joshualeonard8729
      @joshualeonard8729 5 ปีที่แล้ว

      Magufuri ndo kila kitu

  • @ypg144
    @ypg144 5 ปีที่แล้ว +1

    Kuna kasoro nyingi sana umu mmedanganya

    • @kennedymtweve3187
      @kennedymtweve3187 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ndiyo raisi ajaye basi maana kuna watu mnapenda kupinga kilakitu.

  • @salumuledy8682
    @salumuledy8682 3 ปีที่แล้ว

    Huyo ndio anayetufahaa kuwa rais wetu

  • @dattijulius2436
    @dattijulius2436 4 ปีที่แล้ว

    Me nakuombea uwe raisi uendeleze kanuni ya hapa kazi tu

  • @francismkenda
    @francismkenda 5 ปีที่แล้ว +2

    Mhe. Majaliwa atabaki kuwa juuu atabaki kileleniiiiiii

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 ปีที่แล้ว +3

    M/kiti CWT Mkoa Singida

  • @emanuelminja5537
    @emanuelminja5537 4 ปีที่แล้ว +1

    Nchini Sweden

  • @sonymusa5333
    @sonymusa5333 5 ปีที่แล้ว +4

    Huyu ndo raisi ajae

  • @elisantekaaya3444
    @elisantekaaya3444 3 ปีที่แล้ว

    Alizaliwa...1960…........ Mamake.. alizaliwa..1990..hivi.... Kuna.mtoto.wa.miaka.10.wa. kulelewa na shangazi???? Taarifa yako inatisha

  • @mbwanakivava461
    @mbwanakivava461 5 ปีที่แล้ว +2

    Kama amezaliwa 1960 mbona hana mvi?

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Unafikiri ana shida kama wewe?

    • @mbwanakivava461
      @mbwanakivava461 4 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima5674 mvi haziletwi na shida we choko muulize baba yako aliyeshindwa kukusomesha
      Idiot

  • @alfanmussa3041
    @alfanmussa3041 3 ปีที่แล้ว

    Umesaau km amewai kua mkuu wa wilaya ya bukoba mjini na kuwapiga walimu viboko

  • @nestor384
    @nestor384 5 ปีที่แล้ว +2

    Makonda please!!!

  • @chawawaally1259
    @chawawaally1259 5 ปีที่แล้ว +1

    Ukuu was wilaya alianzia ulambo baadae rufiji

  • @deusdedithkitaly8337
    @deusdedithkitaly8337 5 ปีที่แล้ว +9

    anafaaa kuwa raisi akigombania nampa kura

    • @ruwailaomar6501
      @ruwailaomar6501 4 ปีที่แล้ว

      Kwa mgombea wa ccm ukimpa kura usimpe ni rais tu

    • @zenadaudzena2849
      @zenadaudzena2849 3 ปีที่แล้ว

      Sio kugombania ni kugombea

  • @abellutonja4589
    @abellutonja4589 4 ปีที่แล้ว

    Kuna vingine huvijui unariport tuu

  • @agustinolugusi9671
    @agustinolugusi9671 5 ปีที่แล้ว +6

    2025

  • @christianosimba6083
    @christianosimba6083 3 ปีที่แล้ว

    Uyu ndio rais wngu wa baadae kassimu

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 3 ปีที่แล้ว

    Mwambaa ......🤔🤔🤔

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 4 ปีที่แล้ว

    NAMUNGO au NAMUONGO

  • @owenmwatebela4838
    @owenmwatebela4838 4 ปีที่แล้ว +2

    mbona walimu atukumbukan

    • @ramamtetu2327
      @ramamtetu2327 4 ปีที่แล้ว

      Walimu Wenzangu tujuane Hapa

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 3 ปีที่แล้ว

    ajitangaza kuwa mgombea wa uraisi huyo kesha nunua radio hiyo imtangaze

  • @Mr.Ndelwa
    @Mr.Ndelwa 5 ปีที่แล้ว +3

    Mbn hujazungumza kuwachapa waalimu akiwa DC

    • @nelsonishengoma9548
      @nelsonishengoma9548 4 ปีที่แล้ว +1

      Kipindi hicho alikuwa naibu waziri Tamisemi

    • @Mr.Ndelwa
      @Mr.Ndelwa 4 ปีที่แล้ว

      @@nelsonishengoma9548 alikuw DC

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 3 ปีที่แล้ว

      Wapi hiyo ndugu ?

  • @hamisayusuph5966
    @hamisayusuph5966 3 ปีที่แล้ว

    Kura yangu kwako 2025

  • @lutenganocharles7194
    @lutenganocharles7194 4 ปีที่แล้ว

    Yaan wewe dada umesma miaka ya tisini naa alikua chuo mlimani ghala unarud Tena miaka ya themanini naa aliajiliwa mbona hujui kupangilia ?? Haya mambo waachieni akina Edgar na mpagaze hujui kupangilia

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 4 ปีที่แล้ว +1

    Peter Ching'ole???

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 4 ปีที่แล้ว

    Majaliwa Jembe mchapa kazi anafaa kuvaa viatu vya JPM akimaliza mda wake

  • @marymajula5351
    @marymajula5351 4 ปีที่แล้ว

    Sida ndio nini!!!

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph4558 4 ปีที่แล้ว +1

    Sigfred sio sigifild

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 5 ปีที่แล้ว +5

    baada ya mzee magufuli rais wetu ni dr hussen mwinyi maarufu ruksa junior.Msisahau utaratibu wa tanzania kwanza miaka kumi rais mkristo na miaka kumi rais mwislam utaratibu uliowekwa na baba wa taifa mwl nyerere.Pili Rais wa kikristo wanakuwa wakali na wakiislam wanakuwa wapole.kwa historia baada mh magufuli rais mkali na baada yake ni dr hussen mwinyi (ruksa mdogo)ni mpole kama baba yake mzee mwinyi

    • @abdullahkimbweja1066
      @abdullahkimbweja1066 5 ปีที่แล้ว

      Eti ruksa junior 😀😃😄

    • @laodapigfarmmrduroc8327
      @laodapigfarmmrduroc8327 5 ปีที่แล้ว

      unaletaudino, ndio maana waafrica hamendelei koz mnawaza dini zilizo letwa na wageno ambazo zinatutenga hadi leo

    • @kennedymtweve3187
      @kennedymtweve3187 3 ปีที่แล้ว

      Tunataka kiongozi sio dini

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 ปีที่แล้ว

    Jembe Majaliwa tunakupenda sana ,halafu wewe ujali wala nini kazi kazi.Tunakusubili 20..................

  • @AngelHamad-d6q
    @AngelHamad-d6q 11 หลายเดือนก่อน

    Unatosha kuwa rais

  • @agiedonath7687
    @agiedonath7687 4 ปีที่แล้ว

    Magufuli

  • @wilbertjosephat1118
    @wilbertjosephat1118 4 ปีที่แล้ว

    Ningependa uwe raisi ajae lakini kwabahati mbaya historia ya nchi yetu hairuhusu waziri mkuu kuwa RAISI baada ya ml: nyerere hatuja mshuhudia mwingine na sijui ni kwa nini.

    • @kennedymtweve3187
      @kennedymtweve3187 3 ปีที่แล้ว

      Tunafata historia au katiba?.

    • @collyalinani2407
      @collyalinani2407 3 ปีที่แล้ว

      ni utaratibu wa CCM, rais, makamu wa rais na waziri mkuu hawapaswi kugombea urais kwa uchaguzi unaofuata baada ya awamu yao

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa2857 3 ปีที่แล้ว

    Nina mkubali saaana