BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.09

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #safari #baharia #dupamdupange

ความคิดเห็น • 63

  • @vasmotz
    @vasmotz ปีที่แล้ว +5

    Kutoka FRANCE 🇨🇵🇨🇵🇨🇵 Nafatilia toka ya kwanza Daah nyinyi maisha yana story ndefu sana. Japo nipo ULAYA But na jifunza vitu kutoka kwa baalia 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @user-fq9nl1xy1g
    @user-fq9nl1xy1g 5 หลายเดือนก่อน +2

    Katika interviews za mabaharia sijaona exclusive kama huu, huyo jamaa ni SUPERB role model wa wageni ndani ya nchi nyingine

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 ปีที่แล้ว +17

    Naamuangali huyu jamaa tangu ya series ya kwanza . Salamu kwake kutoka Germany

  • @allsportshighlite8027
    @allsportshighlite8027 ปีที่แล้ว +4

    Firts kukoment Story ya mnyamwezi kutoka TMK.

  • @Entertainmen_tv2024
    @Entertainmen_tv2024 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa namjua Newcastle kitambo

  • @user-pq6wp3qk4x
    @user-pq6wp3qk4x 10 หลายเดือนก่อน +1

    From sauth naifatilia tokbnp bongo mwane2 balozi

  • @user-kb2us2sx7j
    @user-kb2us2sx7j ปีที่แล้ว +1

    Kutoka dzonga baharia balozi insha Allah nikija bongo nitakutafuta nichukue ushauri

  • @yazidusaidi8843
    @yazidusaidi8843 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa anafurahisha sana😀, niko New Zealand, anayosema kuhusu mifumo ya maisha ya wazungu ni kweli kabisa, wazungu wamenyooka mno, hakuna pereso pereso😁

    • @africanboy3714
      @africanboy3714 ปีที่แล้ว +2

      Vipi huko New Zealand ni beach zuri, mimi niko Sweden ila nalikubali sana

    • @yazidusaidi8843
      @yazidusaidi8843 ปีที่แล้ว

      @@africanboy3714 Huku beach ziko safi tu, lakini tunaelekea winter so kuna frequent changes of weather, rain, wind, mild temp, besides si unajua huku tuko karibu na south pole

  • @innocentrichard9316
    @innocentrichard9316 ปีที่แล้ว +1

    duppa mdupange upo makin saana ..nakubali kazi zako

  • @obadiafredy4499
    @obadiafredy4499 ปีที่แล้ว +1

    Much respect kwa Balozi,,,,,Dupa tupia episode nyingine

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 ปีที่แล้ว +1

    Dah- stering' mtafutaji👍 ikopoa saana' Veema ✔️ sana Dar24- kwastori zenye Mafundisho 👍

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว +3

    WANGAPI WANASEMA MWANZO MWANZO STORI NI NOMA KULIKO INAVOENDELEA?WANGAPI?

  • @GIVEN994
    @GIVEN994 ปีที่แล้ว +2

    Sema dupa unavyodakia mpaka raha yaaani,jamaa anasema mama anasmoke halafu unadakia mtu wakupiga myoto yaaani kama ulikuwepo vile

  • @asumthamanyahi5255
    @asumthamanyahi5255 ปีที่แล้ว +1

    Jobcentre brother uko vizuri

  • @mrishoidd8920
    @mrishoidd8920 ปีที่แล้ว +1

    Salute malume nakupata kaka mkubwa

  • @MunirAbdullah-en9zi
    @MunirAbdullah-en9zi 10 หลายเดือนก่อน +1

    Apo kwenye kufaudu nakumbuka mbali sanaaaa

  • @yussufally4059
    @yussufally4059 ปีที่แล้ว +2

    waiting......

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว +1

    Kwanini usingetambuka apa🇬🇷ugiriki upande meli mwanangu🙋‍♂️🙏🇹🇿🇬🇷

  • @khaledchadhouli6363
    @khaledchadhouli6363 ปีที่แล้ว +1

    Nimeikubali sana since sehemu ya kwanza 👌

  • @TheSimbaJr
    @TheSimbaJr ปีที่แล้ว +1

    Story nzuri baharia uyu alikua sio mtu wa kukaza ana penda sana kua mzigo kubebwa bebwa

  • @youngmu6098
    @youngmu6098 ปีที่แล้ว +1

    Mapema tu 👊👊

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa namwangalia kutoka day one 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @mwafrikaissa491
    @mwafrikaissa491 ปีที่แล้ว +1

    Nakubal

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali sana mwana..Duuu pole sana

  • @AhmedAli-ns6ws
    @AhmedAli-ns6ws ปีที่แล้ว

    Inaitwa job center baharia

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 ปีที่แล้ว

    Respect

  • @quwwangaemanuel7360
    @quwwangaemanuel7360 ปีที่แล้ว

    Safi .next pls

  • @MohamedIddi-re9sc
    @MohamedIddi-re9sc 5 หลายเดือนก่อน

    Office za Serikali zinaitwa Job centre government office called Job centre

  • @pablo_066
    @pablo_066 ปีที่แล้ว

    Croydon

  • @user-op5ty8nx9j
    @user-op5ty8nx9j ปีที่แล้ว +2

    Oy mamb vp na shd ya namb ya mxhua

  • @eddieeddie3196
    @eddieeddie3196 ปีที่แล้ว

    Prince Malima mbona hujatoa zile tukienda North Shield kucheza mpira 7 side

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk ปีที่แล้ว

    Balozi anasimulia Kwa vithibitisho kabisaa

  • @ahmedkandoro9594
    @ahmedkandoro9594 ปีที่แล้ว

    Presenter nakukubali Sana

  • @richardmoses7470
    @richardmoses7470 ปีที่แล้ว

    Inanikimbusha berlin nilipanda basi no 139 kwenda berlin main bus station. haha huyu jamaa anasema ukweli kabisa...

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk ปีที่แล้ว

    Ooi! Pamoko na Baharia Balozi😅😅

  • @hiuchionekwa9122
    @hiuchionekwa9122 ปีที่แล้ว

    Najifunza mengi Sana kutoka kwabalozi kiukweli huna baya

  • @johnrambo9642
    @johnrambo9642 ปีที่แล้ว

    Dc huyo alikua mzungu au

  • @mrishomabrouk1646
    @mrishomabrouk1646 ปีที่แล้ว

    Watu wanaeza wakatengeza filamu

  • @aplus3805
    @aplus3805 ปีที่แล้ว

    balozi

  • @NsajigwaAmbakisye
    @NsajigwaAmbakisye ปีที่แล้ว +1

    The man anatoa story imenyooka Sanaa anafaa❤

  • @user-fq2sk7ml3h
    @user-fq2sk7ml3h ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa Yani uku temeke jirani yangu . Then mlambiti kwetu jirani yetu na kwao morogoro

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 ปีที่แล้ว

    Jamaa aliyelalamikia mitungi yaani bado saana..! Mbele mitungi mara nyingi ni chee kuliko maji ya chupa?

  • @qasammamachinya4448
    @qasammamachinya4448 11 หลายเดือนก่อน

    Mbna huyu jamaa anafanana na child Benz,

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 ปีที่แล้ว

    Ofisi za serikali zinaitwa Job centre Kwa Uk

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 ปีที่แล้ว

    No sweaty yamungu mengi

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 ปีที่แล้ว

    Na mimi mwenyewe Niko Kiwanja nomepitiya hayoo

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 ปีที่แล้ว

    Mwana Nakukubali Sana.hiyoo True story.

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 ปีที่แล้ว

    Tag me part 10

  • @qasammamachinya4448
    @qasammamachinya4448 11 หลายเดือนก่อน

    Mwanaid wap hiyo?

  • @DirectorNoahkilima
    @DirectorNoahkilima ปีที่แล้ว

    Dupa

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 ปีที่แล้ว

    👁️👁️🇫🇮🇫🇮

  • @user-kn6mz8li9v
    @user-kn6mz8li9v ปีที่แล้ว

    Baharia tuh tuh tuh

    • @user-kn6mz8li9v
      @user-kn6mz8li9v ปีที่แล้ว

      Jahazi limetua nanga mkokoni bahari kashuka mmoja kuchek mazingara

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 ปีที่แล้ว

    Story kali sana nakubali sana pindi hili

  • @zenanassor7118
    @zenanassor7118 ปีที่แล้ว

    Unatukubusha ssi ndo wakipindi kile kazi kazi si watoto wasasa wanataka kulelewa bgup

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 ปีที่แล้ว

    Jamaa ana story nzuri na unatamani asimalize 😃😃😃

  • @Mohamed-mt6xx
    @Mohamed-mt6xx ปีที่แล้ว

    Mwanaidi Germany pande gani mimi niko Hannover