BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.09
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#safari #baharia #dupamdupange
Kutoka FRANCE 🇨🇵🇨🇵🇨🇵 Nafatilia toka ya kwanza Daah nyinyi maisha yana story ndefu sana. Japo nipo ULAYA But na jifunza vitu kutoka kwa baalia 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Katika interviews za mabaharia sijaona exclusive kama huu, huyo jamaa ni SUPERB role model wa wageni ndani ya nchi nyingine
Naamuangali huyu jamaa tangu ya series ya kwanza . Salamu kwake kutoka Germany
Germany kitaa gani mwanaidi
Hellow
Mbona sijakuona nimekuja likizo hapa Gelsenkirchen
Nakupata vzr mwanaidi kutoka 🇹🇿
Firts kukoment Story ya mnyamwezi kutoka TMK.
Huyu jamaa namjua Newcastle kitambo
From sauth naifatilia tokbnp bongo mwane2 balozi
Kutoka dzonga baharia balozi insha Allah nikija bongo nitakutafuta nichukue ushauri
Huyu jamaa anafurahisha sana😀, niko New Zealand, anayosema kuhusu mifumo ya maisha ya wazungu ni kweli kabisa, wazungu wamenyooka mno, hakuna pereso pereso😁
Vipi huko New Zealand ni beach zuri, mimi niko Sweden ila nalikubali sana
@@africanboy3714 Huku beach ziko safi tu, lakini tunaelekea winter so kuna frequent changes of weather, rain, wind, mild temp, besides si unajua huku tuko karibu na south pole
duppa mdupange upo makin saana ..nakubali kazi zako
Much respect kwa Balozi,,,,,Dupa tupia episode nyingine
Dah- stering' mtafutaji👍 ikopoa saana' Veema ✔️ sana Dar24- kwastori zenye Mafundisho 👍
WANGAPI WANASEMA MWANZO MWANZO STORI NI NOMA KULIKO INAVOENDELEA?WANGAPI?
Sema dupa unavyodakia mpaka raha yaaani,jamaa anasema mama anasmoke halafu unadakia mtu wakupiga myoto yaaani kama ulikuwepo vile
Jobcentre brother uko vizuri
Salute malume nakupata kaka mkubwa
Apo kwenye kufaudu nakumbuka mbali sanaaaa
waiting......
Kwanini usingetambuka apa🇬🇷ugiriki upande meli mwanangu🙋♂️🙏🇹🇿🇬🇷
Nimeikubali sana since sehemu ya kwanza 👌
Story nzuri baharia uyu alikua sio mtu wa kukaza ana penda sana kua mzigo kubebwa bebwa
Mapema tu 👊👊
Jamaa namwangalia kutoka day one 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Nakubal
Nakukubali sana mwana..Duuu pole sana
Inaitwa job center baharia
Respect
Safi .next pls
Office za Serikali zinaitwa Job centre government office called Job centre
Croydon
Oy mamb vp na shd ya namb ya mxhua
Prince Malima mbona hujatoa zile tukienda North Shield kucheza mpira 7 side
Balozi anasimulia Kwa vithibitisho kabisaa
Presenter nakukubali Sana
Inanikimbusha berlin nilipanda basi no 139 kwenda berlin main bus station. haha huyu jamaa anasema ukweli kabisa...
Ooi! Pamoko na Baharia Balozi😅😅
Najifunza mengi Sana kutoka kwabalozi kiukweli huna baya
Dc huyo alikua mzungu au
Watu wanaeza wakatengeza filamu
balozi
The man anatoa story imenyooka Sanaa anafaa❤
Uyu jamaa Yani uku temeke jirani yangu . Then mlambiti kwetu jirani yetu na kwao morogoro
Jamaa aliyelalamikia mitungi yaani bado saana..! Mbele mitungi mara nyingi ni chee kuliko maji ya chupa?
Mbna huyu jamaa anafanana na child Benz,
Ofisi za serikali zinaitwa Job centre Kwa Uk
No sweaty yamungu mengi
Na mimi mwenyewe Niko Kiwanja nomepitiya hayoo
Mwana Nakukubali Sana.hiyoo True story.
Tag me part 10
Mwanaid wap hiyo?
Dupa
👁️👁️🇫🇮🇫🇮
Baharia tuh tuh tuh
Jahazi limetua nanga mkokoni bahari kashuka mmoja kuchek mazingara
Story kali sana nakubali sana pindi hili
Unatukubusha ssi ndo wakipindi kile kazi kazi si watoto wasasa wanataka kulelewa bgup
Jamaa ana story nzuri na unatamani asimalize 😃😃😃
Mwanaidi Germany pande gani mimi niko Hannover