BAHARIA: WALITOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/MAISHA/UMALAYA!... | PART 09
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#safari #baharia #mbanga
Unachelewa sana kua pload clips ndugu yangu. Na unapokuja kutoa unatoa clip moja ya dk 20 tu. Jarbu kutoa mara baada hata ya saa 12, usiangalie viewers, we weka vitu
Asiangalie viewers aje kula kwenu!??
Leo nimeangaria yote ila mpe nafasi ya kusikiliza sio kuingizia kama dj mack kaka maisha ya mbali na nyumbani kuna vingi sikiliza ongea kidogo sio kila neno
Huyu jamaa amekaa ki njaa njaa bora davista
Huyu mwanao Michael niliruka nae senyenge belt bridge Mimi Isa seketawa pmj na Marehem Fadhili,Na niliinuka nae Durban natal na nakumbuka mlijipakia jahazi lenu June au july 1994,Na mikuwa pale Durban natal,Hila hile maskani ya Bella vista Tandika bado hipo?
Umenikumbusha mbali sana issa sekatawa,Ramadhani Kingu wote wasafiri wazamani
@@joejoshua7791 Seketawa yupo bongo
Iko sawa baharia
Leo nimepata neno "Sista duu Changamoto"18:04-18:06 😀😃😄😁😆😅🤣😂
Safi sana My brother
KAZI NZURI SANA. BRO
Daah huyu kweli baharia, nimemskia katamka neno No Sweaty.. hatarii
Respect
hizi story sio zile za kigsnga
Kazi nzuri 👊
namkubali sana gamba mla chake
Leo kakimwaga sana un'gen'ge
Mwendao mwache kipige geli
Mzee yuko vizuli sana
Nimesikiliza clips nyingi ila hakuna baharia ni wazamiaji tu ila clip moja tu ya haji fidadido yule ndio baharia
Baharia kitambo sana sio powa kabisa nasikia maumivu sana nikifikilia walivyokuwa watutesa wakiludi bongo nafuull jinz brue enzi hizo ilikuwa kila kijana anataka kuzamia kusafili
Ngoja zijae hata episode 3 ndo niangalie dk 20 zinakata stimu
Mzee leo amebadilsh tisht ilkua xjamjua dah!😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo interview imefanyika siku moja ila sema anae appload ndo anatoa clips (0vipande vdogo dogo)
Yah ur doing good job kuleta hizi story lkn pay attention to the complain unachelewa sana kuleta content na refusha duration ya content kidogo ull be perfact
Bora aende kwa davista mata kila cku Ana upload
Kaka Mdupange tuongeze muda walau clip ifike dk 30
Nafatilia Sana story...usikae kmya Sana mwamba
Kk unachelewa kuwaka
Dogo mdupange wasikilize wateja wako vipande unaweka muda mchache sana ongeza muda
Shida mda unatukwaza bac toa ada vipande viwili
Ngryyyyyyyyyyyyyyyyy
Story zinakuwa fupi zinaboa dk 20 nzima hakuna kilichoongelewa hadi tunaacha kufatilia story zako
Mda mchache
Kaka tutakuama unachelww sana kuachia clip