Jamani hii ni kweli au ni stori tu? Na kama ni kweli kijana upo na nguvu za mungu uzidishe kuomba mungu kabisaaa na kumtaja mungu Kila ukipata changamoto hizo au akiota ndoto za ajabu ajabu, pole Sana kijana
Endelea na kumuandalia usoni Sisi tunaskiliza na tumemuelewa kama we mpepezi endelea kusoma sie tumeletewa Mie msukuma kuna mambo zaidi ya hayo Mwanza yanatokea Sanaa yaani hii story kama ya rafiki yangu hivyo hivyo Ila yeye ulienda mbali mpaka akawa chizi kabisa wamehangaika nae Sana na mwisho akajiua
Relax wewe, hivyo vitu vipo sana tu tena Mwanza hapo hapo na huyo sio mtu wa kwanza, mie mkazi wa Mwanza tumeyaskia mengi na mengine yametokea kwa ndugu zetu. Kama hujui kitu na ukiwa mbele za watu kaa kimya ujifunze mengi watu wana mengi
Kwasababu Davistr ni wa Mwanza ..ila kuna mikoa ya sumba wanga kigoma nako kuna mambo mengi..na pia watu tunapenda story za kuogofya za mambo ambayo hatujawai kuayona
Ukijikuta katika mambo kama hayo Mkiri Yesu Kristo kua Bwana na mwokozi woko na umwite yeye na kumwomba msaada, bila shaka Atakuokoa.
Kwann ncmuite mungu mwenyewe Kwan anashindwa
@@salimabdallahhussein3294Yesu ndio Mungu
Yawezekana ulipelekwa kuzimu😭Allah akuondoe ndani ya nguvu za giza🥹😭😭
Ungemjua Mungu ungepata neema ya kukusqidiq njoo kwa Yesu ndugu
Aje Kwa yesu kufanya nini wakat yesu mwenyew anawataka muingie katika uislamu
@@rajabu4692 Naww ungemjua Mungu ungepqtq neema ya kuingiq ktk ufalme wa Mungu 🙏 🙏 🙏
Keep moving big up davister.
Taja jina la Yesu
Eeeh tuko tunazikisa story...watching from Arabs countries
Mtihani kumbe hii duniya inamambo ivi ni kweli wachawi wapo mungu atulinde na hiii mitihani haw a watu sio wazuri mungu awalani
wanga wapo
Subhanaallah Kuishi kwingi kuona mengi duniani
Watching from Kenya 🇰🇪, ❤
Màandamano yanakwendaje! Salimia Baba Raila
@@petermwaibofu7580 Tuko pamoja na baba kwa maandamano, amani tele😅😅. Ntamsalimu
Thanks a lot madam!
Jamani hii ni kweli au ni stori tu? Na kama ni kweli kijana upo na nguvu za mungu uzidishe kuomba mungu kabisaaa na kumtaja mungu Kila ukipata changamoto hizo au akiota ndoto za ajabu ajabu, pole Sana kijana
Bac Davi , Uweunauliza na mwaka wa matukio please.
Pelekeni maombi makali kwenye zile barabara mapepo yapeleke upuzi zao mbali na binadamu
Simulizi nzuri sana
Hahaha
Watu wanasıkılıza story,na story ni simuliz, na simuliz inasimuliwa.😅😅😅
Nan kayasikia haya manenoo
Mimi huyo
Story nzuri japo sometime napataga uvivu kusikiliza ila nakukubali sana Davista
Mpaka hapa tulipofikia kupitia Story na Mikasa ya Devistar Mikoa ya kando ya ziwa Kuna uchawi Sana.
Kweli asee
Kabisa kwetu yapo Wala sio uongo
Sahihi
Mikoa yooote uchawi upo, sema Davistar amejikita zaidi mikoa ya Kanda ya Ziwa kwwsababu pia ni makazi yake yalipo
@@johnmwandu2116 ni kweli
Mwanza kwetu hayo kweli yapo kabisa
😳😳SEMA kwel
Tuko pamoja sana 🔥🤜
Big up Davistar mata 😮😮
Watu waongo jmn
Story yauongo adi awezi kusumilia
Good 💪
Wilaya ya magu Wala haongei uongo mwanza kwetu ni hatar
Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah
Naogopa Tanzania kabisa
Even me, such things are too common in TZ. I wonder why?
Hata Mamdogo wangu aliwahi panda gari la kichawi huko shinyanga, wanayaita Gambosh.
Then what happened?
Mh ni hatr
Nkweli kabisa maana haki kijiji kwatu gari hilo lilikuwepo
Am the first to day
Anasimulia kisukuma
✌👊
Mwanza mna Uchawi sana asee lkn..huenda huyu ni Team wale Akina Zumaradi
Wewe achana na Zumaridi Zumaridi hapo amekujaje?
Tuletee kaka
Uongo bhana,hadithi za kumaliziana MB,zetu
NICE STORY 🙏🇹🇿🇬🇷
Pore sana
Mwanza kuna uchawi siyo wakawaida
Gamboshi hyo mazee😢😢😢
ibada hazina maana hizi bado mnahudhilia kwa kuogopa miunguuuu laaniniiiii misalaba wanaovaa hao na waganga wanavaa na ibada zao
😢
Wakawanza
J.boys 1999
Huyo msimuliaji muongo..! Akamatwe apigwe fimbo
Msimuliaji upo slow unaboa😏unampa wakati mgumu mtangazaji wetu
Mm mmezidi. Mtafuteni mungu Yu karibu kurudi mtajibu nini au mna mbingu yenu,?
Jaman story ya mbavu wa dar iliishia wapi na mbona huwa mnakatisha story
Story iliisha bhna we ndo hauko makin
Victor wanyama
😳😳😳
Davista Mata
salale! na basi hebu weka chapchap 🤔🤔
Hadithi ya uongo kabsa... Yaan inavyohadhisiwq n kama Script za kwenye film za kichawi
Huna lolote uongoz vp au mpaka yakukute
Uongo vp
Uongo huu
Umeona muongo makkoroboi c kituo kipya kuwa stand hata miaka 5 hakina muongooo
Story ya uongo Jamaaa amekarr script
Kama ni ivo basi inabidi ajoin nollywood movies
Uongo mtupu
Kusema kweli hii story sio ya kweli hii ni story ya uongo ulitaka kujua Hilo muangalie Kwa makini msimuliaji ni waziwazi kuwa ametunga story.
Ayo n yako bhna hii story n ya kwel kbsa acha kupotosha watu
Tupe ya kwako ya ukweri.
Endelea na kumuandalia usoni Sisi tunaskiliza na tumemuelewa kama we mpepezi endelea kusoma sie tumeletewa Mie msukuma kuna mambo zaidi ya hayo Mwanza yanatokea Sanaa yaani hii story kama ya rafiki yangu hivyo hivyo Ila yeye ulienda mbali mpaka akawa chizi kabisa wamehangaika nae Sana na mwisho akajiua
Ya kweli ni ipi..?
Au alivutaga bangi? Inamchanganya?
Relax wewe, hivyo vitu vipo sana tu tena Mwanza hapo hapo na huyo sio mtu wa kwanza, mie mkazi wa Mwanza tumeyaskia mengi na mengine yametokea kwa ndugu zetu. Kama hujui kitu na ukiwa mbele za watu kaa kimya ujifunze mengi watu wana mengi
Kavute na wewe basi utuletee story yako
@@msaysha5886 watu wanapenda sana dhihaka
Nawe kavute ikuchanganye tupate story😀😀
@@bintalmasi2393 hawaamini kitu hadi kiwa kute wakisikia tu hivi wana ona kama story za Felix Mwenda huu ni ukweli aisee
Story zakufikirika hizo zakina zumaridi😂😂
Kwa unyoaji huo lazima ushetani ukufuate
Kwani kanyoaje ap9
Basi watafatwa wengi
@@lilyrose7983 Yakobo 4:4
Du mbona kama story nyingine bwana Mkuu davistar ni kama tunapigwa kamba na hawa wasimuliaji sidhani kama hiyo kitu IPO asee
🤣🤣🤣🤣 Mungu anakuona Joseph, kwani kunyoa hivyo kunahusianaje na ushetani ?
Kwanini watu wakanda ya ziwa wanakutana na uchawi na wanaamini uchawi story zote zinazowekwa hapa ni watu wa mwanzaa
Kwasababu Davistr ni wa Mwanza ..ila kuna mikoa ya sumba wanga kigoma nako kuna mambo mengi..na pia watu tunapenda story za kuogofya za mambo ambayo hatujawai kuayona
Huyu anaitwa ataenda sumbawanga bila kuitwa watu mkoje kama aija kupendeza ucckiliz
Mimi mwenyewe nilitaka nicoment hivyo yaani kila uchawi mwanza wizi mwanza huyu mtangazaji anasanganywa tu 😅😅
@@kaifajuma6790 Leteni basi ya kwenu ya ukweli
Hizi stori za kijinga mpaka lini?
Hujalazimishwa kuangalia
Uvhawi ipo hapa duniani. Ila kiboko ya wachawi ni Yesu pekee. Ukoka kijana ndipo utawashinda wachawi ma mizimu.
Hayajawah kukukut tuliaa yakukut utajua n nin
Huyu anastory ya kweli ila ni mzito sana kwenye kuelezea anapoozesha story
Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah