ABIRIA ALIEPANDA BUS LA KICHAWI ALFAJIRI MWANZA AKIJUA NI BUS LA KAWAIDA ALILOKATA TIKETI

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 121

  • @paulwambua4956
    @paulwambua4956 ปีที่แล้ว +4

    Ukijikuta katika mambo kama hayo Mkiri Yesu Kristo kua Bwana na mwokozi woko na umwite yeye na kumwomba msaada, bila shaka Atakuokoa.

  • @muragizinourah1042
    @muragizinourah1042 ปีที่แล้ว +3

    Yawezekana ulipelekwa kuzimu😭Allah akuondoe ndani ya nguvu za giza🥹😭😭

  • @chritinaphilip7439
    @chritinaphilip7439 ปีที่แล้ว +7

    Ungemjua Mungu ungepata neema ya kukusqidiq njoo kwa Yesu ndugu

    • @rajabu4692
      @rajabu4692 ปีที่แล้ว

      Aje Kwa yesu kufanya nini wakat yesu mwenyew anawataka muingie katika uislamu

    • @chritinaphilip7439
      @chritinaphilip7439 ปีที่แล้ว +1

      @@rajabu4692 Naww ungemjua Mungu ungepqtq neema ya kuingiq ktk ufalme wa Mungu 🙏 🙏 🙏

  • @EDMUNDNDAUD
    @EDMUNDNDAUD ปีที่แล้ว +5

    Keep moving big up davister.

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 ปีที่แล้ว +11

    Taja jina la Yesu

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 ปีที่แล้ว +3

    Eeeh tuko tunazikisa story...watching from Arabs countries

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +4

    Mtihani kumbe hii duniya inamambo ivi ni kweli wachawi wapo mungu atulinde na hiii mitihani haw a watu sio wazuri mungu awalani

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 ปีที่แล้ว +3

    Subhanaallah Kuishi kwingi kuona mengi duniani

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 ปีที่แล้ว +14

    Watching from Kenya 🇰🇪, ❤

    • @petermwaibofu7580
      @petermwaibofu7580 ปีที่แล้ว

      Màandamano yanakwendaje! Salimia Baba Raila

    • @peninahkariuki4679
      @peninahkariuki4679 ปีที่แล้ว

      @@petermwaibofu7580 Tuko pamoja na baba kwa maandamano, amani tele😅😅. Ntamsalimu

    • @petermwaibofu7580
      @petermwaibofu7580 ปีที่แล้ว +1

      Thanks a lot madam!

  • @dadamwajuma5155
    @dadamwajuma5155 ปีที่แล้ว +1

    Jamani hii ni kweli au ni stori tu? Na kama ni kweli kijana upo na nguvu za mungu uzidishe kuomba mungu kabisaaa na kumtaja mungu Kila ukipata changamoto hizo au akiota ndoto za ajabu ajabu, pole Sana kijana

  • @leahlucas479
    @leahlucas479 ปีที่แล้ว +5

    Bac Davi , Uweunauliza na mwaka wa matukio please.

  • @billyisadia5651
    @billyisadia5651 ปีที่แล้ว +1

    Pelekeni maombi makali kwenye zile barabara mapepo yapeleke upuzi zao mbali na binadamu

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 ปีที่แล้ว +1

    Simulizi nzuri sana

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 ปีที่แล้ว +10

    Hahaha
    Watu wanasıkılıza story,na story ni simuliz, na simuliz inasimuliwa.😅😅😅
    Nan kayasikia haya manenoo

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 ปีที่แล้ว

    Story nzuri japo sometime napataga uvivu kusikiliza ila nakukubali sana Davista

  • @reubenbushiri1753
    @reubenbushiri1753 ปีที่แล้ว +16

    Mpaka hapa tulipofikia kupitia Story na Mikasa ya Devistar Mikoa ya kando ya ziwa Kuna uchawi Sana.

    • @Abdalakangile1
      @Abdalakangile1 ปีที่แล้ว +2

      Kweli asee

    • @majomamajoma8776
      @majomamajoma8776 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa kwetu yapo Wala sio uongo

    • @mwamwajaonline1881
      @mwamwajaonline1881 ปีที่แล้ว +1

      Sahihi

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 ปีที่แล้ว +1

      Mikoa yooote uchawi upo, sema Davistar amejikita zaidi mikoa ya Kanda ya Ziwa kwwsababu pia ni makazi yake yalipo

    • @majomamajoma8776
      @majomamajoma8776 ปีที่แล้ว

      @@johnmwandu2116 ni kweli

  • @majomamajoma8776
    @majomamajoma8776 ปีที่แล้ว +4

    Mwanza kwetu hayo kweli yapo kabisa

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw ปีที่แล้ว +2

    Tuko pamoja sana 🔥🤜

  • @richrick3110
    @richrick3110 ปีที่แล้ว +2

    Big up Davistar mata 😮😮

    • @zawadinchimbi6846
      @zawadinchimbi6846 ปีที่แล้ว

      Watu waongo jmn
      Story yauongo adi awezi kusumilia

  • @mulazsaid1907
    @mulazsaid1907 ปีที่แล้ว +3

    Good 💪

  • @majomamajoma8776
    @majomamajoma8776 ปีที่แล้ว +2

    Wilaya ya magu Wala haongei uongo mwanza kwetu ni hatar

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 ปีที่แล้ว +1

    Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah

  • @peninakachoma2239
    @peninakachoma2239 ปีที่แล้ว +3

    Naogopa Tanzania kabisa

    • @yushuaissa467
      @yushuaissa467 ปีที่แล้ว

      Even me, such things are too common in TZ. I wonder why?

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 ปีที่แล้ว +4

    Hata Mamdogo wangu aliwahi panda gari la kichawi huko shinyanga, wanayaita Gambosh.

  • @athumanbizzo3907
    @athumanbizzo3907 ปีที่แล้ว +1

    Mh ni hatr

  • @user-xr9rc5dp5p
    @user-xr9rc5dp5p 11 หลายเดือนก่อน

    Nkweli kabisa maana haki kijiji kwatu gari hilo lilikuwepo

  • @EDMUNDNDAUD
    @EDMUNDNDAUD ปีที่แล้ว +2

    Am the first to day

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 ปีที่แล้ว +1

    Anasimulia kisukuma

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    ✌👊

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 ปีที่แล้ว +1

    Mwanza mna Uchawi sana asee lkn..huenda huyu ni Team wale Akina Zumaradi

  • @ramadhanishabani2743
    @ramadhanishabani2743 ปีที่แล้ว +2

    Tuletee kaka

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 ปีที่แล้ว

    Uongo bhana,hadithi za kumaliziana MB,zetu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว +4

    NICE STORY 🙏🇹🇿🇬🇷

  • @LatifaLikumbo-nu2kb
    @LatifaLikumbo-nu2kb 9 หลายเดือนก่อน

    Pore sana

  • @kautharkayu6326
    @kautharkayu6326 ปีที่แล้ว +1

    Mwanza kuna uchawi siyo wakawaida

  • @milley7185
    @milley7185 ปีที่แล้ว

    ibada hazina maana hizi bado mnahudhilia kwa kuogopa miunguuuu laaniniiiii misalaba wanaovaa hao na waganga wanavaa na ibada zao

  • @hurremjudith6043
    @hurremjudith6043 ปีที่แล้ว

    😢

  • @donathamwangobe2776
    @donathamwangobe2776 ปีที่แล้ว +1

    Wakawanza

  • @tututz100
    @tututz100 ปีที่แล้ว +1

    J.boys 1999

  • @Gb_25596
    @Gb_25596 ปีที่แล้ว

    Huyo msimuliaji muongo..! Akamatwe apigwe fimbo

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 ปีที่แล้ว +1

    Msimuliaji upo slow unaboa😏unampa wakati mgumu mtangazaji wetu

    • @linamamoya4985
      @linamamoya4985 ปีที่แล้ว

      Mm mmezidi. Mtafuteni mungu Yu karibu kurudi mtajibu nini au mna mbingu yenu,?

  • @earthgottalent7765
    @earthgottalent7765 ปีที่แล้ว +1

    Jaman story ya mbavu wa dar iliishia wapi na mbona huwa mnakatisha story

  • @zuwenasleiman3587
    @zuwenasleiman3587 ปีที่แล้ว

    Victor wanyama

  • @VerenaVenance-iz8kn
    @VerenaVenance-iz8kn ปีที่แล้ว

    😳😳😳

  • @samwelmwigicho3092
    @samwelmwigicho3092 ปีที่แล้ว +1

    Davista Mata

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 ปีที่แล้ว +1

    salale! na basi hebu weka chapchap 🤔🤔

  • @JustinSteven-be4cs
    @JustinSteven-be4cs ปีที่แล้ว

    Hadithi ya uongo kabsa... Yaan inavyohadhisiwq n kama Script za kwenye film za kichawi

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 ปีที่แล้ว

    Uongo huu

    • @fatmanassor9732
      @fatmanassor9732 ปีที่แล้ว

      Umeona muongo makkoroboi c kituo kipya kuwa stand hata miaka 5 hakina muongooo

  • @kelvinedward5091
    @kelvinedward5091 ปีที่แล้ว

    Story ya uongo Jamaaa amekarr script

    • @evakabete2944
      @evakabete2944 ปีที่แล้ว

      Kama ni ivo basi inabidi ajoin nollywood movies

  • @ahmadjml9949
    @ahmadjml9949 ปีที่แล้ว

    Uongo mtupu

  • @earthgottalent7765
    @earthgottalent7765 ปีที่แล้ว +2

    Kusema kweli hii story sio ya kweli hii ni story ya uongo ulitaka kujua Hilo muangalie Kwa makini msimuliaji ni waziwazi kuwa ametunga story.

    • @clintondaniel5831
      @clintondaniel5831 ปีที่แล้ว

      Ayo n yako bhna hii story n ya kwel kbsa acha kupotosha watu

    • @josephmugala1970
      @josephmugala1970 ปีที่แล้ว

      Tupe ya kwako ya ukweri.

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 ปีที่แล้ว

      Endelea na kumuandalia usoni Sisi tunaskiliza na tumemuelewa kama we mpepezi endelea kusoma sie tumeletewa Mie msukuma kuna mambo zaidi ya hayo Mwanza yanatokea Sanaa yaani hii story kama ya rafiki yangu hivyo hivyo Ila yeye ulienda mbali mpaka akawa chizi kabisa wamehangaika nae Sana na mwisho akajiua

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 ปีที่แล้ว

      Ya kweli ni ipi..?

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 ปีที่แล้ว +2

    Au alivutaga bangi? Inamchanganya?

    • @mgenirasimi7771
      @mgenirasimi7771 ปีที่แล้ว +8

      Relax wewe, hivyo vitu vipo sana tu tena Mwanza hapo hapo na huyo sio mtu wa kwanza, mie mkazi wa Mwanza tumeyaskia mengi na mengine yametokea kwa ndugu zetu. Kama hujui kitu na ukiwa mbele za watu kaa kimya ujifunze mengi watu wana mengi

    • @msaysha5886
      @msaysha5886 ปีที่แล้ว +3

      Kavute na wewe basi utuletee story yako

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 ปีที่แล้ว

      ​@@msaysha5886 watu wanapenda sana dhihaka

    • @womanofsteel1402
      @womanofsteel1402 ปีที่แล้ว

      Nawe kavute ikuchanganye tupate story😀😀

    • @msaysha5886
      @msaysha5886 ปีที่แล้ว +1

      @@bintalmasi2393 hawaamini kitu hadi kiwa kute wakisikia tu hivi wana ona kama story za Felix Mwenda huu ni ukweli aisee

  • @kaifajuma6790
    @kaifajuma6790 ปีที่แล้ว +2

    Story zakufikirika hizo zakina zumaridi😂😂

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 ปีที่แล้ว +4

    Kwa unyoaji huo lazima ushetani ukufuate

    • @onekisstv8412
      @onekisstv8412 ปีที่แล้ว

      Kwani kanyoaje ap9

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 ปีที่แล้ว

      Basi watafatwa wengi

    • @josephmusagasa5566
      @josephmusagasa5566 ปีที่แล้ว

      @@lilyrose7983 Yakobo 4:4

    • @benedictmhina4819
      @benedictmhina4819 ปีที่แล้ว

      Du mbona kama story nyingine bwana Mkuu davistar ni kama tunapigwa kamba na hawa wasimuliaji sidhani kama hiyo kitu IPO asee

    • @kerosdamusic5521
      @kerosdamusic5521 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣 Mungu anakuona Joseph, kwani kunyoa hivyo kunahusianaje na ushetani ?

  • @amina-st4ol
    @amina-st4ol ปีที่แล้ว +1

    Kwanini watu wakanda ya ziwa wanakutana na uchawi na wanaamini uchawi story zote zinazowekwa hapa ni watu wa mwanzaa

    • @yohanahbyzehomba1352
      @yohanahbyzehomba1352 ปีที่แล้ว +3

      Kwasababu Davistr ni wa Mwanza ..ila kuna mikoa ya sumba wanga kigoma nako kuna mambo mengi..na pia watu tunapenda story za kuogofya za mambo ambayo hatujawai kuayona

    • @happyatonga2618
      @happyatonga2618 ปีที่แล้ว

      Huyu anaitwa ataenda sumbawanga bila kuitwa watu mkoje kama aija kupendeza ucckiliz

    • @kaifajuma6790
      @kaifajuma6790 ปีที่แล้ว

      Mimi mwenyewe nilitaka nicoment hivyo yaani kila uchawi mwanza wizi mwanza huyu mtangazaji anasanganywa tu 😅😅

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 ปีที่แล้ว

      @@kaifajuma6790 Leteni basi ya kwenu ya ukweli

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 ปีที่แล้ว +1

    Hizi stori za kijinga mpaka lini?

    • @neemadamian7989
      @neemadamian7989 ปีที่แล้ว +1

      Hujalazimishwa kuangalia

    • @reginaruta3249
      @reginaruta3249 ปีที่แล้ว

      Uvhawi ipo hapa duniani. Ila kiboko ya wachawi ni Yesu pekee. Ukoka kijana ndipo utawashinda wachawi ma mizimu.

    • @samiahmsuya3605
      @samiahmsuya3605 ปีที่แล้ว

      Hayajawah kukukut tuliaa yakukut utajua n nin

  • @jasminisharifu7446
    @jasminisharifu7446 ปีที่แล้ว +6

    Huyu anastory ya kweli ila ni mzito sana kwenye kuelezea anapoozesha story

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 ปีที่แล้ว

    Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah