MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #safari #baharia #mbanga

ความคิดเห็น • 44

  • @Moviesclip6action
    @Moviesclip6action ปีที่แล้ว +10

    Wa kwanza comment naomba like zangu jaman

  • @mudathirhussein9557
    @mudathirhussein9557 ปีที่แล้ว +2

    Ametisha sana balozi ni mtu Kweli Kweli Tupo uk 🇬🇧 big love

  • @ROBOTBOY-pv7fb
    @ROBOTBOY-pv7fb 11 หลายเดือนก่อน +2

    From kenya connected by madam ❤❤Aisha🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @dar24media
    @dar24media  ปีที่แล้ว +7

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano, saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba..#0653127761

  • @xaverymachumu
    @xaverymachumu ปีที่แล้ว +7

    Mzee wa kabinyau...naenjoy sana kumsikiliza mwamba. Mpee gwara sana mzee wa mbanga

  • @HashilElhamdan
    @HashilElhamdan ปีที่แล้ว +3

    safi sana hii programme na mpo very creative mlivyofanya kwenye mazingira kama hayo na yapo reality

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว +2

    Mama Samia huyo mtu mchukue mpachike katika pozisheni yoyote Ata katika kualimisha vijana🇹🇿🇬🇷✊👊

  • @KipazaExtraordinary
    @KipazaExtraordinary ปีที่แล้ว +1

    Appreciate the lessons coming out of this. 🇰🇪

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 ปีที่แล้ว +5

    mchizi achoshi kusikiliza

  • @alhadkatundu2142
    @alhadkatundu2142 ปีที่แล้ว +2

    Mzee wa wali sondo

  • @DanielJames-of7yr
    @DanielJames-of7yr ปีที่แล้ว +3

    Msosi mzuri du!

  • @jaybrownpendohpendoh5676
    @jaybrownpendohpendoh5676 ปีที่แล้ว +2

    Experience yko bro imenifunza mengi✌️

  • @12322879
    @12322879 ปีที่แล้ว +1

    Naked truth 👏

  • @kassimsalum1479
    @kassimsalum1479 ปีที่แล้ว +2

    Tupo pamoja dupa 🇧🇷🇧🇷✌️

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali Mwanetu wa mchele jogoo

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 ปีที่แล้ว +2

    Ulaya ulaya tu

  • @khaledchadhouli6363
    @khaledchadhouli6363 ปีที่แล้ว +1

    Naimpenda sana

  • @mswahilipeople2579
    @mswahilipeople2579 ปีที่แล้ว +1

    Oy napenda San stail yak mwan nakukubali San pamoj sn ❤

  • @AbdilatifAbdi-s4y
    @AbdilatifAbdi-s4y ปีที่แล้ว +1

    Namskia princ Balozi 🇨🇦

  • @shabanhaji3812
    @shabanhaji3812 ปีที่แล้ว +1

    Kabinyauuu mnyamweziii sana

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk ปีที่แล้ว +3

    Ndio lkn jua kwamba wanawake ulaya wanapangwa na serikali kuhusu ndoa na mahusiano na mgeni na mwenyeji ni tofauti treatment ukija kwenye mgawanyo naona malima kuna vitu vingi hajui...mimi nipo ulaya nyundo kumi na kitu najua maisha ya watu weupe mno maana nina wanangu kibao wameoa na pia utofauti..Na kingine kwenye maisha ya ukimbizi pesa zinazotelewa kwa wakimbizi sio za serikali husika watu wengi hawajui..Bara la Africa linatoa pesa nyingi kuliko mabara yote hivyo hizo pesa wanazotoa zinatoka UN na nchi zetu ndio zimetoa uli kusaidia wageni mfano ndio kama wakimbizi wakienda kwenye nchi nyingine...Hata Africa kuna kambi za wakimbizi lkn pesa inayotelewa ni ndogo kuliko wanachukuwa nchi za ulaya kwa sababu ya unyonyaji lkn huwezi kujua mpaka ufuatilie Hivyo Malima inatikwa ujue hivyo wazungu hawawezi kukupa kitu bure ni propaganda zao lkn pesa nyingi zinatoka Africa...

    • @awadhisarai4331
      @awadhisarai4331 ปีที่แล้ว +2

      Eeeeh na ndio maana bwana putin yatakuyaondoa

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk ปีที่แล้ว +2

      Ndio maana yake watu wa magharibi hawafai

  • @saidissa6763
    @saidissa6763 ปีที่แล้ว +2

    Kabunyau

  • @ramermohamedy4344
    @ramermohamedy4344 ปีที่แล้ว +2

    Uswazi raha sana hata buku 5 haijaisha

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 ปีที่แล้ว +2

    Kabinyau jamaa wa kokoliko,leo anapiga chapati tatu na nyama,umetisha sana

  • @deodatusfussi3145
    @deodatusfussi3145 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa hata kuingiza anaweza mpelekeni kwenye jua Kali huyo Yuko vzur

    • @mwaka43
      @mwaka43 ปีที่แล้ว +2

      Kweli kabisa Mkuu!! una uwezo mkubwa sana wa kubaini Vipaji .....

  • @mrishoidd8920
    @mrishoidd8920 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂 sina mengi ya kusema ila na enjoy sana kumsikiliza huyu mwamba

  • @kingssports157
    @kingssports157 ปีที่แล้ว +2

    Woyoooo

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY ปีที่แล้ว +2

    Kipindi kizuli sanaa

  • @peacemakerdxb6012
    @peacemakerdxb6012 ปีที่แล้ว +2

    Kabu nyau, Mzee wa Wali jogoo😂

  • @lilmg6242
    @lilmg6242 ปีที่แล้ว +1

    Aloo kama movie mtupe ktk kuigiza filamu

  • @mswahilipeople2579
    @mswahilipeople2579 ปีที่แล้ว +1

    Oy mmb vp samhn San ningeomba sku moja uyo mzee niongee nae man namkubali San tn San mzee wa kokoriko

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว +2

    Kweli bingwa hivyo vitu vipo watu wanaolewa bongo uletewa mtu mzima kumpisha mototo kwenye kiti cha usafili kitu chakawaida barozi unawapa vitu pafect 😂

  • @mathiasmsumeno8516
    @mathiasmsumeno8516 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa kabinyau😂😂😂👊🏽👊🏽

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 ปีที่แล้ว +1

    Akah huyo muuza supu anavyojiamin mikono kushika nyama😂

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 ปีที่แล้ว +2

    Balozi mastori hayaishi

  • @nirerehadidja8266
    @nirerehadidja8266 ปีที่แล้ว +2

    Zee la mchele jogo 😂

  • @abdulahmanmahalufu9524
    @abdulahmanmahalufu9524 ปีที่แล้ว +2

    Mzee wakokoliko

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx ปีที่แล้ว +1

    jaama khb2

  • @rahimajuma4633
    @rahimajuma4633 ปีที่แล้ว +1

    Mzee mwakudonyoa

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy3923 ปีที่แล้ว +2

    Magira ....