MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#safari #baharia #mbanga
Wa kwanza comment naomba like zangu jaman
Wapili 2❤
Ametisha sana balozi ni mtu Kweli Kweli Tupo uk 🇬🇧 big love
From kenya connected by madam ❤❤Aisha🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano, saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba..#0653127761
Mzee wa kabinyau...naenjoy sana kumsikiliza mwamba. Mpee gwara sana mzee wa mbanga
safi sana hii programme na mpo very creative mlivyofanya kwenye mazingira kama hayo na yapo reality
Mama Samia huyo mtu mchukue mpachike katika pozisheni yoyote Ata katika kualimisha vijana🇹🇿🇬🇷✊👊
Appreciate the lessons coming out of this. 🇰🇪
mchizi achoshi kusikiliza
Mzee wa wali sondo
Msosi mzuri du!
Experience yko bro imenifunza mengi✌️
Naked truth 👏
Tupo pamoja dupa 🇧🇷🇧🇷✌️
Nakubali Mwanetu wa mchele jogoo
Ulaya ulaya tu
Naimpenda sana
Oy napenda San stail yak mwan nakukubali San pamoj sn ❤
Namskia princ Balozi 🇨🇦
Kabinyauuu mnyamweziii sana
Ndio lkn jua kwamba wanawake ulaya wanapangwa na serikali kuhusu ndoa na mahusiano na mgeni na mwenyeji ni tofauti treatment ukija kwenye mgawanyo naona malima kuna vitu vingi hajui...mimi nipo ulaya nyundo kumi na kitu najua maisha ya watu weupe mno maana nina wanangu kibao wameoa na pia utofauti..Na kingine kwenye maisha ya ukimbizi pesa zinazotelewa kwa wakimbizi sio za serikali husika watu wengi hawajui..Bara la Africa linatoa pesa nyingi kuliko mabara yote hivyo hizo pesa wanazotoa zinatoka UN na nchi zetu ndio zimetoa uli kusaidia wageni mfano ndio kama wakimbizi wakienda kwenye nchi nyingine...Hata Africa kuna kambi za wakimbizi lkn pesa inayotelewa ni ndogo kuliko wanachukuwa nchi za ulaya kwa sababu ya unyonyaji lkn huwezi kujua mpaka ufuatilie Hivyo Malima inatikwa ujue hivyo wazungu hawawezi kukupa kitu bure ni propaganda zao lkn pesa nyingi zinatoka Africa...
Eeeeh na ndio maana bwana putin yatakuyaondoa
Ndio maana yake watu wa magharibi hawafai
Kabunyau
Uswazi raha sana hata buku 5 haijaisha
Kabinyau jamaa wa kokoliko,leo anapiga chapati tatu na nyama,umetisha sana
Huyu jamaa hata kuingiza anaweza mpelekeni kwenye jua Kali huyo Yuko vzur
Kweli kabisa Mkuu!! una uwezo mkubwa sana wa kubaini Vipaji .....
😂😂😂 sina mengi ya kusema ila na enjoy sana kumsikiliza huyu mwamba
Woyoooo
Kipindi kizuli sanaa
Kabu nyau, Mzee wa Wali jogoo😂
Aloo kama movie mtupe ktk kuigiza filamu
Oy mmb vp samhn San ningeomba sku moja uyo mzee niongee nae man namkubali San tn San mzee wa kokoriko
Kweli bingwa hivyo vitu vipo watu wanaolewa bongo uletewa mtu mzima kumpisha mototo kwenye kiti cha usafili kitu chakawaida barozi unawapa vitu pafect 😂
Mzee wa kabinyau😂😂😂👊🏽👊🏽
Akah huyo muuza supu anavyojiamin mikono kushika nyama😂
Balozi mastori hayaishi
Zee la mchele jogo 😂
Mzee wakokoliko
jaama khb2
Mzee mwakudonyoa
Magira ....