WALITAKA KUNIUA KUNITUPA KWENYE MAJI | NIMEENDA NCHI 15 KIBAHARIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ก.พ. 2022
  • SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
    kwa Mfano
    1 - WENYE MARADHI
    2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
    3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
    4 - UBAKAJI
    5 - MATUKIO YA KIKATILI
    6 - AJALI
    7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
    8 - WAZEE NA WATOTO
    ___________________________________________________________________________________
    KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
    Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
    Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
    Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

ความคิดเห็น • 43

  • @anchortechnicx5014
    @anchortechnicx5014 2 ปีที่แล้ว +15

    Yaaani Kuna maisha watu wanapitia mpaka unaona wewe umebalikiwa hata kama huna kitu

  • @saimonkazimotofootball4050
    @saimonkazimotofootball4050 2 ปีที่แล้ว +4

    Baharia dani mwana kazimoto bagamoyo safi jeshi

  • @Chemba67
    @Chemba67 2 ปีที่แล้ว +4

    Maximum Tv .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki

  • @josphatmwai1994
    @josphatmwai1994 ปีที่แล้ว +4

    Dan story nzuri sana nangoja ingine. Nairobi Kenya tupo

  • @geofray0132
    @geofray0132 2 ปีที่แล้ว +7

    Nilichokipenda kwa huyu jamaa, kila hatua anamtaja Mungu,

  • @chidrashid3797
    @chidrashid3797 ปีที่แล้ว +3

    Kipind kizur vyema muwe na maik mbili itakua vyema zaid ktk mahojiano ili unaemuhoj bas anakua na ulivu mzur zaid

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 2 ปีที่แล้ว +4

    Mungu mkubwa uko sawa bro animpambaaji

  • @charlesgeorge9549
    @charlesgeorge9549 ปีที่แล้ว +2

    Ugonjwa unaitwa burudani daaa mabaharia wanapamba sana Wana risk sana

  • @kulwarahmu5031
    @kulwarahmu5031 ปีที่แล้ว +3

    Mmmh nyie maisha Aya ya utafutaji achenii

  • @thabithaji7182
    @thabithaji7182 2 ปีที่แล้ว +4

    Blaza wee muomb namba zake nitumie namb zauyo muhuni

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 ปีที่แล้ว +3

    Usikate tamaa baharia, baharia hakati tamaa 😀😀😀

  • @josephjoseph8982
    @josephjoseph8982 ปีที่แล้ว +2

    Uandishi wa habari unakufaa sana mungu akupe maisha marefu

  • @omarykaniki3194
    @omarykaniki3194 ปีที่แล้ว +3

    Wachina ni mbwa nawajuwa awampendi mtu mweusi na shangaa serikali ya bongo wanapenda sana wachina awana mpango

    • @omarykaniki3194
      @omarykaniki3194 ปีที่แล้ว

      Wambie hao waache ushamba mtu anakwenda kutafuta alafu unamuweka jela kwa nini kwa nini serikali ya tanzania ni yawashamba sana

  • @boblatino3899
    @boblatino3899 2 ปีที่แล้ว +4

    Ukiwa na Roho ya kibaharia uwezi kukata tamaa

  • @user-yp5mm2pg5s
    @user-yp5mm2pg5s 2 ปีที่แล้ว +6

    Wa kwanz mkono Kwa mkono na broo Sky......✌️

  • @AhmedAli-oq4km
    @AhmedAli-oq4km ปีที่แล้ว +1

    Braza kasema kweli serekali musitufunge tunaporegeshwa

  • @kelvinmasika
    @kelvinmasika 2 ปีที่แล้ว +5

    Mara ya kwanza kusikia neno mara ya kwanza mara nyingi hivi…

  • @hildadaniel4786
    @hildadaniel4786 2 ปีที่แล้ว +3

    Inshalaah utatusua tu

  • @hussenimohammedi2820
    @hussenimohammedi2820 ปีที่แล้ว +2

    Hatutaki story za barabarani sisi ma baharia

  • @LoveStory-ne2ee
    @LoveStory-ne2ee 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole Sana maisha aya

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 ปีที่แล้ว +3

    Watatu leo

  • @HansMmojammoja
    @HansMmojammoja หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤ good opp travel

  • @dadycool5743
    @dadycool5743 หลายเดือนก่อน

    Jamaa muongo uyu cape town to Kinshasa to olivetambo😅😅😅

  • @dadycool5743
    @dadycool5743 หลายเดือนก่อน

    Mmmh kama stor aina uharisia

  • @user-yp5mm2pg5s
    @user-yp5mm2pg5s 2 ปีที่แล้ว +2

    Milion 20 usingehangaika

  • @miambayankeba1084
    @miambayankeba1084 ปีที่แล้ว

    Mimi natafuta Mke wa Tanga wewe unatafuta maisha kweli Dunia Kila mtu na dream yake

  • @user-du5ny9xn4g
    @user-du5ny9xn4g 2 หลายเดือนก่อน

    Hiv huyu jamaa ana mjua nyenga kweli🤣🤣🤣🤣

  • @Derevamkongwe6864
    @Derevamkongwe6864 2 ปีที่แล้ว +3

    Oya mtafute huyo jamaa upige nae story tena ziwe hata 10 anajua kujieleza sana

  • @sheeggy2808
    @sheeggy2808 2 ปีที่แล้ว +3

    tuna taka mwendelezo wa dan

  • @beckooh
    @beckooh 6 หลายเดือนก่อน

    Jamaa muongo ni kama amekaa maskan na mabaharia akawa ywaskiza story zao

  • @talentstv3949
    @talentstv3949 7 วันที่ผ่านมา

    Burudaniii

  • @beezydundobeezydundo1931
    @beezydundobeezydundo1931 2 ปีที่แล้ว +5

    Oya sisi tunajua meli uyo anaongea sana muongo tu elijificha sehemu gani

  • @agnestanzania2426
    @agnestanzania2426 2 ปีที่แล้ว +4

    Mgiriki akupe dollar 1000€ hapo hapo?? Hakuna kitu kama hicho niko ugiriki miaka 5 sasa nawajua vizuri sana...mgiriki ndo mzungu wa mwisho kwa ubahili😂

  • @netlity5532
    @netlity5532 2 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa Nina wasiwasi nae, nadhani ni Big Liar. Anatoa simulizi alizo simuliwa na wenzie na kujifanya yeye