DUH! SHEIKH KADOGOO APOKEA SMS NA SIMU ZA KUSHANGAZA KUTOKA KWA MASHEIKH WA CCM, AWAPA ONYO KALI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ค. 2024
- #TANZANIA: Sheikh Kadogoo apokea SMS na simu za kushangaza kutoka kwa Masheikh wa CCM, awapa onyo kali.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Shekhe hongera upo vizuri mungu akulinde
Hongera baba
Uko vizuri sana shee kadogo big up
No fear hao ni mashehee ubwabwa na kajimati that only what they expect to get from ccm kadogo tusiwaogope hao ni mashehee kazu na ubwabwa tuu
I admire this shekh
Nakupendaje.
MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya Taifa na vichwani mwa watanganyika ndiyo maaana, unatumiwa SMS zisizo na afya Kwa Taifa letu
Shehe umeongea vizuri
Ao mashehe wanao kulaumu wanaasili ya utumwa maana mtumwa anakua anaaki yoyote yakulalamika
Shehe ukovizi mno
huyu jamaa ange kua nafasi ya tundu lisuu
Kumbe kunà masheikh wa cccm
tunaomba bendera za ccm kwa wingiii
Muombe mama yako mama abduli
M SAIZ SIMUAMIN MWANASIASA YEYOTE N UPUUZ TU
😂😂😂😂😂
We muongo chadema hakina nguvu
Unachuki za kidini na chuki za kisiasa chukiza uchawa kwa mama kilemba