Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango
Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa
Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya
Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao
Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM
Nimekukubali sana 2
Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!!
Anajitambua
Safi sana shehe Mungu akulinde
Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.
At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.
Good presentation of facts
Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa
HAKUNA SHEIKH HAPO.
ALLAH NDIYE ANAYETURUZUKU. KILA JAMBO.
Point sana
Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "
MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe
Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi
Love kwa CHADEMA ❤❤❤❤👏👏👏👏👏🔥🔥🔥❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾
Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka
Noma Sanaa
Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.
Hakika Tanzania tunatakiwa tupate watu kama huyu uko sahihi kabisa perfect sema watu wenzi vichwani hamna kitu ni wazeee wa ndiooooo✌️🙏🏼
Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango
Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka
Huyo Kawa Shehena, hakuna Sheikh atakayetetea watu wanaoshabikia ushoga
acha usenge
Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa
Kadoo anafaa kuwa mwenezi wa chama mwenyekiti muangalie huyoo
chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa
Mashehe ote wagekua kama ww tugekua mbali
Vitu vimepanda bei sukar chai hatunywi
Chadema huyu jamaa ni Hazina azunguke nchi nzima
Jitafutie majibu kwa mungu achana na mashekhe chumia matumbo wataenda kujibu kwakutokemea maovu 😂😂😂
Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya
Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani
Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao
Maharage ya Mbeya mapema yameiva!
Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza
😂