CCM WAMEJICHANGANYA KWA SHEKHE "MTU ANAKWAMBIA CCM IMENILEA KWANZA HUNA FADHILA KWA WAZAZI WAKO"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • IPINDA ONLINE TV........Asante kwa kuchavua Ipinda Online tv........Usisahau kusubscribe Channel yetu

ความคิดเห็น • 36

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 3 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM

  • @HonestMchau
    @HonestMchau 3 หลายเดือนก่อน +7

    Nimekukubali sana 2

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 3 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!!
    Anajitambua

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana shehe Mungu akulinde

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.

  • @paulsenyael7154
    @paulsenyael7154 3 หลายเดือนก่อน +7

    At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 3 หลายเดือนก่อน +2

    Good presentation of facts

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 3 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 2 หลายเดือนก่อน

    HAKUNA SHEIKH HAPO.
    ALLAH NDIYE ANAYETURUZUKU. KILA JAMBO.

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 2 หลายเดือนก่อน

    Point sana

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 หลายเดือนก่อน +4

    Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 3 หลายเดือนก่อน +2

    MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 3 หลายเดือนก่อน +4

    Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi

  • @MariamDilla
    @MariamDilla 2 หลายเดือนก่อน

    Love kwa CHADEMA ❤❤❤❤👏👏👏👏👏🔥🔥🔥❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja4891 3 หลายเดือนก่อน +1

    Noma Sanaa

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 หลายเดือนก่อน

    Hakika Tanzania tunatakiwa tupate watu kama huyu uko sahihi kabisa perfect sema watu wenzi vichwani hamna kitu ni wazeee wa ndiooooo✌️🙏🏼

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo Kawa Shehena, hakuna Sheikh atakayetetea watu wanaoshabikia ushoga

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 2 หลายเดือนก่อน

    Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa

  • @abdallaahabdallaahibrahim6719
    @abdallaahabdallaahibrahim6719 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kadoo anafaa kuwa mwenezi wa chama mwenyekiti muangalie huyoo

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 3 หลายเดือนก่อน +1

    chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 2 หลายเดือนก่อน

    Mashehe ote wagekua kama ww tugekua mbali

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 หลายเดือนก่อน

    Vitu vimepanda bei sukar chai hatunywi

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 3 หลายเดือนก่อน

    Chadema huyu jamaa ni Hazina azunguke nchi nzima

  • @salama1113
    @salama1113 2 หลายเดือนก่อน

    Jitafutie majibu kwa mungu achana na mashekhe chumia matumbo wataenda kujibu kwakutokemea maovu 😂😂😂

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 หลายเดือนก่อน

    Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya

  • @hakiyangu
    @hakiyangu 3 หลายเดือนก่อน

    Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 3 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 3 หลายเดือนก่อน

    Maharage ya Mbeya mapema yameiva!

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda 3 หลายเดือนก่อน

    Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 3 หลายเดือนก่อน

    😂