HUU HAPA WASIFU NA BALAA LA ASKOFU ANAYEIKOSOA VIKALI SERIKALI YA CCM NA MAOVU YOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 18

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 15 วันที่ผ่านมา +3

    Uko vizuri Mtumishi! Amen!

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis 13 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana kusimamia haki

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb 15 วันที่ผ่านมา +4

    Safi baba askofu uko vizuri sana

  • @Bihagaze
    @Bihagaze 15 วันที่ผ่านมา +3

    Sio Kilaza ni JITU hasa Safi sana

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 15 วันที่ผ่านมา +2

    Big up Askofu!

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b 13 วันที่ผ่านมา

    Ndo maana uko CHADEMA aisee ccm hawawezi kua na mtu makini namna hii 👏👏👏👏

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 14 วันที่ผ่านมา

    Roho haina ufuasi maana kila roho itahukumiwa yenyewe.

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 12 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @HassanYellows
    @HassanYellows 14 วันที่ผ่านมา

    Askofu wewe ni askofu kweli umetisha mkuu

  • @c2vconnection
    @c2vconnection 15 วันที่ผ่านมา

    Nimemkumbuka "Multi-sectoral" aliyekuwa anagombea U spika wa Bunge baada ya Ndugai kujihudhuru

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 11 วันที่ผ่านมา

    Huna uaskofu ww ni mhuni tu! Ww cyo askofu kama ni askofu basi wa mchongo ww ni motoni tu toka hapa nan amekuuliza?

  • @Wamisangi
    @Wamisangi 15 วันที่ผ่านมา

    Biblia inahitaji mafunuo na ulewawa wake unahitaji Maongozi ya Roho Mtakatifu na jinsi muhusika anavyoishi maisha yake binafsi yaliyo na Hofu kwa Mungu na pia sawasawa na Mapenzi ya Mungu.

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 14 วันที่ผ่านมา

      Shida Roho Mtf mwanadamu utayapimaje?

  • @user-xe3fo1bh5s
    @user-xe3fo1bh5s 15 วันที่ผ่านมา

    Kumbe wewe ni wa gwajima sasa mbona unatofautiana na gwaji boy

  • @johnmkama8902
    @johnmkama8902 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana ujipange kugombea sasa mwanamapinduzi wa kiroho utusaodie na hapa kwamambo ya kiwmilini ubarikiwe sana AMEN

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 15 วันที่ผ่านมา

    MBONA SIO DÒCTÒR UMEFUTA UJINGÀ TUU

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 15 วันที่ผ่านมา +1

      Unataka apewe udoctor kama wanavyopewa wale wengine??????

    • @user-vq3zu8ne9b
      @user-vq3zu8ne9b 13 วันที่ผ่านมา

      Acha kukalili, kwa elimu hii hata raisi hafati hapa raisi wako alisomea Mambo ya maktaba huko Tena kwa kuungaunga usichanganywe na neno Dr wengne wanapewaga tu😅