Biblia inahitaji mafunuo na ulewawa wake unahitaji Maongozi ya Roho Mtakatifu na jinsi muhusika anavyoishi maisha yake binafsi yaliyo na Hofu kwa Mungu na pia sawasawa na Mapenzi ya Mungu.
Acha kukalili, kwa elimu hii hata raisi hafati hapa raisi wako alisomea Mambo ya maktaba huko Tena kwa kuungaunga usichanganywe na neno Dr wengne wanapewaga tu😅
Uko vizuri Mtumishi! Amen!
Hongera sana kusimamia haki
Safi baba askofu uko vizuri sana
Sio Kilaza ni JITU hasa Safi sana
Big up Askofu!
Ndo maana uko CHADEMA aisee ccm hawawezi kua na mtu makini namna hii 👏👏👏👏
Roho haina ufuasi maana kila roho itahukumiwa yenyewe.
❤❤❤❤
Askofu wewe ni askofu kweli umetisha mkuu
Nimemkumbuka "Multi-sectoral" aliyekuwa anagombea U spika wa Bunge baada ya Ndugai kujihudhuru
Huna uaskofu ww ni mhuni tu! Ww cyo askofu kama ni askofu basi wa mchongo ww ni motoni tu toka hapa nan amekuuliza?
Biblia inahitaji mafunuo na ulewawa wake unahitaji Maongozi ya Roho Mtakatifu na jinsi muhusika anavyoishi maisha yake binafsi yaliyo na Hofu kwa Mungu na pia sawasawa na Mapenzi ya Mungu.
Shida Roho Mtf mwanadamu utayapimaje?
Kumbe wewe ni wa gwajima sasa mbona unatofautiana na gwaji boy
Mungu akubariki sana ujipange kugombea sasa mwanamapinduzi wa kiroho utusaodie na hapa kwamambo ya kiwmilini ubarikiwe sana AMEN
MBONA SIO DÒCTÒR UMEFUTA UJINGÀ TUU
Unataka apewe udoctor kama wanavyopewa wale wengine??????
Acha kukalili, kwa elimu hii hata raisi hafati hapa raisi wako alisomea Mambo ya maktaba huko Tena kwa kuungaunga usichanganywe na neno Dr wengne wanapewaga tu😅