SHEIKH KADOGOO AWASHA MOTO MZITO MKUTANO WA CHADEMA HUKO KAGERA, AWAPUSUA WANAOLETA UDINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 เม.ย. 2024
  • #TANZANIA: Sheikh Kadogoo awasha moto mzito mkutano wa Chadema huko Kagera, awapasua wanaoleta udini

ความคิดเห็น • 65

  • @Zanijasy-hy7vm
    @Zanijasy-hy7vm 3 หลายเดือนก่อน +6

    Sheikhe wa maana sana huyu. Ameamua kusimama na wenye kudhurumiwa. Allah akubariki sana.❤

  • @shabanadam4476
    @shabanadam4476 3 หลายเดือนก่อน +5

    Sheikh big respect 🙏 your a big brain Men

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 หลายเดือนก่อน +4

    Big point mueshmiwa nakukubali sana ktk point zako

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akulinde

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli sana sheikh WANGU unaejitambua

  • @FredyMichael-ex3kv
    @FredyMichael-ex3kv 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kadogoooo nakuelewa sana

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e 11 วันที่ผ่านมา

    Shekh Asante sana hongera sana mwanaume yimara

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 3 หลายเดือนก่อน +1

    🙌🙌👏👏👏Shekh Nakuheshimu Sana wewe NI Muelewa Kwa 100%

  • @user-im7ql7wo2r
    @user-im7ql7wo2r 3 หลายเดือนก่อน +3

    Chadema mpelekeni huyu bungeni atatusaidia sana

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watumishi wa Mungu wakweli

  • @EmmanuelKuzenza
    @EmmanuelKuzenza 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde katika harakati za kuibadiri nchi.

  • @ibrahimusanga1269
    @ibrahimusanga1269 6 วันที่ผ่านมา

    Shehe Mimi nakubali sana naomba ugombee ubunge mwakani

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana shehe, kweli we mtu wa Mungu.

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa shekh WANGU nakuelewa sana

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akubaliki shehe wetu tuelimishe mana watanzania awaelewi

  • @wegesawaryoba3316
    @wegesawaryoba3316 7 วันที่ผ่านมา

    Saluti shehe kadogoo

  • @mobilempula545
    @mobilempula545 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana shekhe

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 2 หลายเดือนก่อน

    Yani huwa najiuliza sana shekh hiyo ni Point kubwa sana ,yani mtu anashangalia ccm wakt hyo angalia maisha yake magumu sana , tatizo bado kuna watu mijinga

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e 11 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉❤❤❤❤

  • @Evod-dd3kw
    @Evod-dd3kw 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki viongozi wote wa chadema

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 3 หลายเดือนก่อน

    Point

  • @SilvesterApolo
    @SilvesterApolo 3 หลายเดือนก่อน

    Good speech

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kadogoo jitafakari kwa kina wote ndo hao hao chadema CCM ni hao hao matumbo yao tu usiwadanganye wanachi na hao wakiingia bungeni kilavmmoja analia mama angu

  • @mawazomwanangwa2832
    @mawazomwanangwa2832 3 หลายเดือนก่อน

    Uko vizur sana shehe

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539 3 หลายเดือนก่อน

    Kadogoo ❤

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 5 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kigomamaranathagospelchoir2642
    @kigomamaranathagospelchoir2642 3 หลายเดือนก่อน

    Power

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 3 หลายเดือนก่อน

    GOOD SPEECH SHEHE

  • @aishamakala8045
    @aishamakala8045 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli shehe unasema kweli

  • @user-or2od2rz1c
    @user-or2od2rz1c 3 หลายเดือนก่อน

    umetishaa sana unaakili nyingi sana mazuzu wenye akili ndongo kama hawajakuelewa kivyao

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Ally kadogoo akili kubwa sana, Mungu mkubwa akulinde daima ktk kipindi hiki kigumu kinachoendelea nchini kwetu, sasa hiyo elimu unayoitoa ni kubwa sana, mh hicho unachokielimisha kwenye Taifa hili, Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha jamiii iliyopo mbele yako

  • @EdwardUrassa-xc6gz
    @EdwardUrassa-xc6gz 3 หลายเดือนก่อน

    Huko vzr shehe

  • @deomponzi2459
    @deomponzi2459 3 หลายเดือนก่อน

    Sad sana sheikh kwa pamoja tutaikomboa nchi yetu

  • @user-vz4xv7lg3x
    @user-vz4xv7lg3x 3 หลายเดือนก่อน

    Heshima yako shekhe...unatendea haki elimu na nafasi yako

  • @musasiame6138
    @musasiame6138 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashehe wanaojitambua

  • @veronicaadrof8244
    @veronicaadrof8244 3 หลายเดือนก่อน

    Umeongea vizuri sana ni kweli wote tunaasiliwa na uwepo wa ccm tunaacha kazi zetu sisi wanainchi tunaenda kumpigia kula mbowe au lisu matokeo yake anatangazwa ambaye hamjamupigia kula inaumiza sana na kuvunja moyo sana

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 ko we iliambiwa kwamba unaye mpigia kura ndo lazima ashinde 😅😅 mtu anashinda kutokana na wastan wa kura so unaweza kumpigia kura mtu lakin akapata wastan mdogo so automatically anakuwa ameshindwa

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umenena vema Sheikh 😂

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndio mijinga pumbavu iliyobakia ccm hata Kula hawana lakini hawaamki maisha watabakia kuwa kama popo kulala miguu juu kichwa chini

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wana ccm walio wengi hasa hao wafuasi wao Wana matatizo ya akili

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 2 หลายเดือนก่อน

    Shehe endelea kuelimisha wataelewa tu

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 3 หลายเดือนก่อน

    Kama hakuna ucha Mungu kote kite haya mambo yataendelea tu

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 3 หลายเดือนก่อน

    Wote tunaisoma namba.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 3 หลายเดือนก่อน

    Mafisiem manafiki sana tumeshayagundu

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu8015 3 หลายเดือนก่อน

    Muislamu msomi huyo. Safi she

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน

    sema tusijisahau kuwaambia vijana kwamba maendeleo yako binafsi yanaanza na wew sio selikal ko usikae af utegemee serikal utaumia sana

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 3 หลายเดือนก่อน +1

    WEWE DOGOO UNGELIA NYAMA WAKATI WAMA GUFURI UNGE TUPWA MAJINI TANGANYIKA ,MFANO WAWALE MASHEIKH WA ZANZIBA HUSENI MWINYI NA KIKWETE WALIVYO WA JERUHI BILA ĶOSA LOLOTE .

  • @user-ly3yy8iv9z
    @user-ly3yy8iv9z 2 หลายเดือนก่อน

    Akiingia bungeni moto utawaka

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 3 หลายเดือนก่อน

    Ama kweli miso misondo

  • @albanTz001
    @albanTz001 3 หลายเดือนก่อน

    Mtu wa Maana kabisa

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 3 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli udini ni kitu kibaya

  • @omariabdallah1782
    @omariabdallah1782 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh kadooo ...

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki na akulinde Sheikh wangu RESPECT BRO

  • @user-qi6ql1lp9k
    @user-qi6ql1lp9k 2 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli upo vizuli

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh kutoka mikoa ya bara, amekuzwa kwa maziwa,samaki na nyama.. ukiwasikiliza masheikh wa pwani na Zanzibar, kichefuchefu..eti wanampinga samia kwa sababu ni mwislam

  • @levissamweli9005
    @levissamweli9005 3 หลายเดือนก่อน

    NCHIETU INA VICHWA KWELI ,LOO!!

  • @MwasitiMohamedmsusaMwasi-mw4go
    @MwasitiMohamedmsusaMwasi-mw4go 3 หลายเดือนก่อน

    Mpeni ubunge iyo shehe

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r 3 หลายเดือนก่อน

    Kwakweri tumechoka

  • @user-is7yw6js9v
    @user-is7yw6js9v 2 หลายเดือนก่อน

    Karime wewe maharage alafu uze. 1000,

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o 5 วันที่ผ่านมา

    Aaaaaaaa,,

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 3 หลายเดือนก่อน

    Shehe upo makini MUNGU yupo nawe naomba ukazie sana swala la siasa sio simba Na yanga😊

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli bwana tupo taabani

  • @MwasitiMohamedmsusaMwasi-mw4go
    @MwasitiMohamedmsusaMwasi-mw4go 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubaliki

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน

    sema tusijisahau kuwaambia vijana kwamba maendeleo yako binafsi yanaanza na wew sio selikal ko usikae af utegemee serikal utaumia sana

    • @winifridarugayana7312
      @winifridarugayana7312 3 หลายเดือนก่อน

      Sawa hakuna asiyejua Hilo,mtu ana nafasi yake , na Serikali Ina nafasi yake, mtu anarudishwa nyuma na Serikali atapataje maendeleo?