Mmh ,huu moyo aisee lazima uwe na Mungu tu sio rahisi kuchukuliana na kuvumiliana na watu unaowasaidia! Mungu akubariki sana uwe unawaombea pia hao watu
Hawa ndio wachungaji ambao dunia inawahitaji saaana.Kichwa cha mzee kina mamillion ya GB, Bible ameikariri sana.👏....Mungu azidi kumtangulia katika kazi aitendayo.
🤣🤣🤣🤣 khaa, huyu pastor noma sana kawanunulia DCM mateja wakamgonga traffic, 🔥🔥🔥🔥 mapastor wote wamjini watasubiri sana anatililika na mistali yabibilia hadi raha
Ukivaa jeans unapewa mke bure😁 Shetani haonei mtu asie na akili,kitu... Mwizi haibi nyumba isiyo kuwa na kitu.. Kumpenda mwanamke mwisho siku 90 baada ya hapo ni mazoea,unaziea hips ...🙌 Kupendwa ni kuliwa...🏃😂 Kupenda ni kula ...😁 Jana historia, leo zawadi,kesho maono..🤔🙌hakyamama nimecheka mi leo! Kweli Yesu ana watu jmn! Barikiwa!
Dah nimecheka sana lkn somo nililolipata ni kubwa kuliko ...Mungu akutunze mtumish huduma yak ni kubwa sana kuwakumbatia waliokataliwa na kuwa positive kiasi hiki ni hekima ya hali ya juu.....
Huyu Mchungaji ni nouuuuuuma Sana mwanzoni nilikuwa simuelewi kabisa lakini kwasasa nalala macho kumsikiliza Ana akili Sana uwezo wake wa kukalili vitu ni mkubwa sana
Dah nimecheka sn huyu mchungaji una upeo na maono sana mwenyezi mungu mwingi wa rehema akutangulie daima
Aisee
Mmh ,huu moyo aisee lazima uwe na Mungu tu sio rahisi kuchukuliana na kuvumiliana na watu unaowasaidia!
Mungu akubariki sana uwe unawaombea pia hao watu
Akili zetu zinatumika kwenye migogoro badala ya kutumika kwenye mambo ya maendeleo. Shukrani Mchungaji, upo sahihi kabisa.
Hawa ndio wachungaji ambao dunia inawahitaji saaana.Kichwa cha mzee kina mamillion ya GB, Bible ameikariri sana.👏....Mungu azidi kumtangulia katika kazi aitendayo.
Hajakariri kaielewa ubarikiwe mpendwa
Memory yako ni nzuri sana Mchungaji. Anasimulia kama vile anasoma, safi sana.
Oh my God very intelligent pastor Wazo tunamkumbuka Sana. Ibada za mazishi badala ya watu kulia alituchekesha hatusahau. Ukikaa naye lazima upone
Nakupenda hananja
🤣🤣🤣🤣 khaa, huyu pastor noma sana kawanunulia DCM mateja wakamgonga traffic, 🔥🔥🔥🔥 mapastor wote wamjini watasubiri sana anatililika na mistali yabibilia hadi raha
Uko vizuri mchugaji nabarikiwa sana
Amazing
Barikiwa baba Mchungaji. Hekima zako zimenibariki.
Mchungaji umetisha umetembea kwetu ileje iwiji noma sanaaa
Mchungaji uko vizuri sana Mungu akubariki sana
Uko vizuri Mchungaji nakupenda unaongea point.
Mungu aendelee kukutumia kwa mashauri yak mema barikiwa xana
Hananja ni jembe alihudumu kibangu yaniiii👍👋👋👋
Great interview... Pastor yuko poa sanaaaaa
Safi sanaaaaa
. Safi sana mchungaji ameni
Hakika leo nimefurahi Sana kwa maneno yako Mchungaji
Kwel mubeba maono hafi lazima yatimie baba kwavikwazo ulivyo pitia mungu tu ndo anajua
Daaah upoo vzr baba mchungaji
"Utoto Utumwa,Ujana Maswali,Uzee Ugonjwa"-Mch Richard Hananja.
Mchungaji Mungu akubariki sana nimecheka kama.mwehu
Ukombozi wa fikra
Amazing testimony Pastor
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Great guy!
Ukivaa jeans unapewa mke bure😁
Shetani haonei mtu asie na akili,kitu...
Mwizi haibi nyumba isiyo kuwa na kitu..
Kumpenda mwanamke mwisho siku 90 baada ya hapo ni mazoea,unaziea hips ...🙌
Kupendwa ni kuliwa...🏃😂
Kupenda ni kula ...😁
Jana historia, leo zawadi,kesho maono..🤔🙌hakyamama nimecheka mi leo!
Kweli Yesu ana watu jmn!
Barikiwa!
Pastor anajua sana ni hazina kwa taifa inapaswa aisaidie jamii kwa conceling.
Dah nimecheka sana lkn somo nililolipata ni kubwa kuliko ...Mungu akutunze mtumish huduma yak ni kubwa sana kuwakumbatia waliokataliwa na kuwa positive kiasi hiki ni hekima ya hali ya juu.....
Daah..hyu mchungaji nmemwelewa sna kusema kwel... Nadhan hyo awe mfno kwa wengneee
Hananja love you
Nimependa Sana mchungaji
Interesting..Kudos..Mchungaji anaongea kwa utani ila ana hoja za msingi sana!
Ameni barikiwa sana mtumishi ❤❤
Nimebarikiwa sana
Huyu Pastor big up
Daah Mungu Akuongozee Point Zako Nzuri God Bless You.
Ameni
Very nice
Hakuna Mkaa Safi,Kuna Mkaa Bora.
Yupo sawa Sana!!
😂😂😂😂😂 duuuh huyu comedian sanaaa.
Big up sanaa
😂😂😂😂😂. Dah ya uyu mchungaji komed kweli ngoja nicheke kwanza
Stay blessed
Duuuh
Jamani huyu Mtumishi nampenda Sana, sana..!
Power Bernard!!🤗🤗
Mchungaji Hananja Mungu akubariki
Mchungaji wangu usharika wa Wazo hill
'Nimenunua DCM nikawapa mateja, wameendesha wee wakamgonga Traffic, nikalala ndani'
Nimebarikiwa sana na hii interview.
Mungu azidi kukuinua. Niwatu wachache wako Kama wewe Mungu AKUTUNZE uishi kwaajili yawengine wapate kupona
Dah pastor kiboko
Amazing 😂😂😂🙏🏾
Ukisikia ule wimbo wa Yesu ni bwana, ametubadilisha yesu. Tulikuwa wababe kuliko wew.. Ametubadilisha yesu
🤣🤣🤣🤣 mchungaji kiboko
Kweli wewe Mch mungu akutunze
Yan unasema kweli cyo
Spika anatudanganya
HANANJA UKO VIZURI UNAIKUMBUKA CHIYANGA NI MBOONZO. NIMEKUELEWA SANA. TENA UKIFUNDISHA KANISANI UNANIFRAHISHA. NA UKO NA KUMBUKUMBU NYINGI
Duu Rexonal inanikumbusha mbali sana Creartone ilikuwa ni cream tumekimbiza hizo gari za sukari lkn maduka ya ugawaji ni kitambo sana
Penda sana huyu mchungaji. Kichwa
Amina kwa story
Dah!hongera mtumishi!
Wewe uliabdaliwa kwa kazi maalumu kweli
Mchungaji mbavu zanguuuuu. Azisha kipindi utawafunika wasanii woootee
Baba yangu nimebarikiwa sana.pia nimejifunza kitu
Great testimony Ooooh God Almighty
Mmh hakika napata buludani sana nikiwa nakuskiliza mchungaji
Nimecheka kinoma ila nimejifunza mengi
Watangazaji wameishiwa maneno
Muhubiri 9:3
Tatizo la wachungaji wa sasa wanacomplicate sana na wanataka wenye pesa na wanaofanya kazi maofisini nawakati waliopotea wapo mitaani
Pastor Rich yuko vzuri sana,hachoshi kumsikiliza?
Nikweli utadhani ni kurya wa kenya
Hahahaha... nimefurahi na kubarikiwa sana Mchungaji
😁😁duh aisee🙌🙌
Mzeee
Umejua kunifurahisha aisee mchungaji 😂😂😂🤣🤣
Mungu aendelee kukutumia kwa utukufu wake mchungaji huduma hii ni adimu nchini hapa
Huyu Mchungaji ni nouuuuuuma Sana mwanzoni nilikuwa simuelewi kabisa lakini kwasasa nalala macho kumsikiliza Ana akili Sana uwezo wake wa kukalili vitu ni mkubwa sana
Tafadhali naomba kupata contact za mchungaji. Mungu akubariki mchungaji
Fuatilia mwishoni kaitaja shida mnaaraka ukiamua kufuatilia fuatilia kitu adi mwisho chukua namba mwishoni apo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Ngoja nicheke kwanza
Ukimsikiliza mchg Hananja unaongeza siku lazima ucheke unaongeza siku za kuishi
Unayeshangaa si mkristo wa Kweli
😀😀
Huyu ni Kama Man Kush wakenya
Hapana, man kush ana mizaha na anasema ukimkuta njiani usimuite mchungaji.......... Huyu anamkiri Yesu
Mchungaji an akili sana pia ni mwalimu mzuri sana kwan anafundisha kwa mifano huku anakuchekesha
Mchungaji ana kipaji cha Kuongea sio cha nchi hii. Ana maneno milioni 8 laki 7 kwa sekunde 1
hananji juz tembe za ndoa
turudi sasa kwenye mstari!!! hahahhah, unahitaji ujiandae kuendesha interview na mtu kama huyu , la sivyo utajikuta unacheka tu
Baba Mchungaji una hazina kubwa ya mistari ya biblia kichwani
Huyu mzee dah ana mafunzo huku unafurahi
Tulibwino kwa mbili
Mmmmmh !! Mchungaji anaongea ... mbavu zangu ...
We dada nawe mpana unajua hadi tandam
😂😂😂😂
Mchungaji upo vizuri mwanzoni nilikuwa sikuelewi.sasa nimekuelewa una akili sana.
Hakika majuto hajafa
🤣🤣
Mchungaji wetu wa Kibangu huyo
shetani haonei MTU asiye na akili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣