LAZIMA UCHEKE: MCH. HANANJA AMVUNJA MBAVU KELVIN SHAYO KATIKATI INTERVIEW AKI..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ส.ค. 2022
- LAZIMA UCHEKE: MCH. HANANJA AMVUNJA MBAVU KELVIN SHAYO KATIKATI INTERVIEW AKI..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#LAZIMAUCHEKE #MCHUNGAJIHANANJA #MCHRICHARDHANANJA #TIKITVKIAKILIZAIDI - บันเทิง
Jaman hyu mchungaji nampenda xna❤️❤️❤️
Mimi muislam ila huyu mchungaji namkubali na napenda sana mafundisho yake
Napenda sna mahubiri yako maan nabarikiwa Mungu aendelee kukutia nguvu
Da!Tuwaheshimu watu wametoka mbali.Mchungaji Mwenyezi Mungu akubariki
Nilijua nimemaliza kukutizama kupitia interview zingine kumbe kuna mengi ulikwa hujayasema leo nmekufaidi kweli, asanteni Tiki Tv.
Na uislam wangu natamani kujua kanisa lake lipo wapi japo niende kwenye ibada zake.
😳
Heeeee🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@@feli6manangu182 umeona eee. Eti aende kanisani. Kaaaa
Jamani
Naombeni like zangu cjasahau
Haya na mimi nmekupa
Huyu mchungaji huwa namwelewa Sana mungu amu bariki Sana
Mchungaji ww MUNGU akuweke miaka mingi kwakweli
Ni kweli jamani kodi inakwelnda haraka kuliko mwendokasi mwenyewe nmelipa miezi sita juzi tu jana mwenye nyumba kanitumia msg kunikumbusha kuwa tar. 23 mwezi huu natakiwa kulipa kodi sielewi miezi sita imeisihia wapi.
😂😂😂😂nampendaga sana huyu mchungaji aisee🙌
Daaah🤣🤣🤣
Hunishindi mimi kwakweli sichoki kumuangalia
Huyu mchungaji anaonekana amemeza bible kuliko hata askofu wake
Yaani umenifanya nicheke kwa lazima😂😂😂😂😂
Hiyo story ya kuku wa mazingaombwe imenichekesha kweli.
Asante mchungaji Mungu akubariki saana
Kwa interview hii wachungaji wasio wa haki watakuchukia sana ila usirudi nyuma
Wamchukie kivipi kila mtu na historia yake ya aliyoyapitia. ..
Nilikua natamani sana tiki tv mumuhoji huyu baba,nimeenjoy sana kuliko interview zake zote pole kelvin shayo kwa kuvunjwa mbavu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 ila mchungaji yupo vizuri huyu
Hata mimi nmefurahi sanaaa kwakweli
Interview tamu sana hii Big up Tiki Tv and Kelvin
Kabisa
Nahitahitaji number ya mch R. Hananjq
Mungu akulinde mtumishi wako
Mtumishi wake
Mchungaji yupo vizur
Safi sana Mzee wa ukweli
Haya ndo mahubiri yenye uhalisia na sio Mambo ya Mwamposa
Mchungaji barikiwa umenipa nguvu nakuenzi naomba nipate Hela niende bible school
Ujengewe sanamu mchungaji,asei umefundisha ukweli
HAHAHAHA huwa nakukubali sana mzee shoyo kazinzuli
Thank you Kevin
Mchungaji km hutumii alcohol. Tuambie kilevi gani.unatumia mbona mimi naona km umekunywa sana. Tupe ukweli .
Ma'am ni kipaji haaaaa
Kweli hata makabulini kuna misalaba,upo sahihi mzee
Utoo utumwa ujana maswali uzee ugonjwa raia wa nchi mbili duniani na mbinguni😂😂😂
Mungu tu!
Tunaomba interview yake nyingine
Hata nyau ana mke lakini kama ameoa😂😂😂
Nyau ana mke lakini hajui kama ameoa
Tiki Tv nawapata vizuri nikiwa Babati huku.
Kwel jamani kodi ni noma uku india tunaripa kira mwezi yani inaenda haraka sana
Hahahahahahahaa et ukimwita lazima uimbe docta rouseee
Umenifngua akili, San mchungaji.
Dar interview Tam hiii
Maake kwanza ncheke😂😂😂😂
Nilikuwa mfupi kama tairi ya gari lol! 😂😂😂😂😂😂😂
Mhh.. sawa ila hapo kwa tundaman kuingia na Jeneza na msalaba ametukosea sana wana Yanga.
Amewakosea nyie wanayanga tena, Sio wenye Imani ya upande wa pili? Kwani Yanga ni Dini au wenae umepuyanga
Jamani
😀😀😀😀
Mchungaji umejua kunichekeaha jamani
To be continued
Mchungaji umenikumbusha Chianga Tunduma.Na maneno yako yamenibariki.
Upo wapi sasa?
Hata maji unywi mchunguji duh
🥱🥱🥱 nmecheka hadi nmepaliwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Chacha mwisho saa sita bila kukaangaa chips
Huyu baba maneno sijui anayatoaga wapi hapo kwenye wachungaji kutaka hela zetu halafu wanatulaana ukweli kabisa Yani unaenda kanisani unakalipiwa na unaambiwa utoe ubarikiwe daah ukifungua kanisa me ntakua muumini wako mchungani nikufurahi tu🤣🤣
kwa hyo unataka maneno ya kufarijiwa alafu uende mbinguni barabara ya mbinguni n nyembamba sana
Warangi wazuri zaidi.
Mhhh wachaga bhana.😋
😅😅🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😅😅 huyu mchungaji
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Aaaaaiiiiiiiii weweeeeeeeeee
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Mbavu zangu mimi jmn 🤣🤣🤣🤣
Leo hata wanaume wazuri😂😂😂
Warangi bhana
Hahahaaa hananja oyeeee😂😂
Hongera sana Mch Rich
Unapatikana wapi Mch
Baabah?😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
😄😄😄😄🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣niatari
Uyo ni muchungaji ama comedian parsol
Hakuna mchungaji wa Mungu wa kweli anayeongea mizaha na lugha za kihuni huyu ameshavamiwa na roho chafu
Kama ww mtakatifu tangulia mbinguni unafanyaje hapa duniani sipendi mijitu inayopenda kuhukumu wengine😏
Na manabii wanaojiita bulldozer, komando mashimo, nabii mkuu, mzee wa upako utasemaje? .unahitaji kuongeza maarifa.
Wewe maarifa yamepungua hujielew
Nakuonea huruma
Tiki tv kiakili zaidi tunawapenda
Tiki Tv hoyeeeee hata mimi nawapenda sana wapo vizuri
Hawapoi hawaboi
🔥🔥🔥🔥
Tiki Tv Familia moja
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
To be continued