MAOMBI YA VITA YA MKOMBOZI WA FAMILIA // MBINU ZA KUPAMBANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ย. 2022
- Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
Habakuki 2:14
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
❤️ MUNGU nisaidie nkujue zaidi Kuna muda nakuwa na hofu na mashaka bwana nipe maelekezo juu famly yangu 🙏🙏
Bwana nisaidie, usiniache nakuhitaji Sana, sina mwingine zaidi yako.Tembea na mimi, tawala maisha yangu, uniinue na Uzao wangu,familia kwa ujumla🙏🙏
Ameen
Amen, baba mungu ninaomba uingie ndani ya moyo wangu ili nisije nikabadilika wakati utakapo nibariki. Nizidi kukaa kwako na kuisikiza sauti yako. Asante mtumishi wa mungu Kwa neno la maarifa na maombi barikiwa sana
Yesu kristo naomba unisaidie niweze kukujua zaidi mimi familia yangu inanitegemea rakini sina kazi sina chochote. Ira naamini Mungu atanitendea na atanisaidia niweze kupata kazi kwa jina la yesu kristo amen
Amen mtumishi wa Mungu, maarifa haya niyashike
Mungu naomba uendelee kunilinda na kunibariki kila iitwapo leo amina
amen. asante yesu sifa kwa yesu.
Amen mtumishi nimegushwa nane limezidi kuniinua kiimani
Amen naomba mungu zidi kiniongoza katika neno lako
Amen barikiwa mtumishi🙏🙏
Asante bwana yesu kwakuningua asante kwakunirudishia nyota angu ilikua imeibiwa asante kwairudisha kwadamu ya yesu🙏🙏🔥🔥
Mungu wetu ulie juu twakuomba utusaidie tpate kpita katika safari hii yamateso tuongoze mungu wangu ulie juu mbingun tusamehe ss wako sefu Amen and Amen 🙏 Asante Sana mtumishi wamungu ubarkie
Amen mchungaji mungu akubariki sana na azidi kukulinda
Amen Amen Amen Asante mutumishi mungu akubariki
Ee Mungu naomba unipe uhodari na Moyo wa ushujaa mwingi bila nguvu yako sitaweza 🙏
Amen Amen
Mungu akaniongoze kuikomboa familia yangu na tumbo la mama angu likawekwe huru kila kilichofunga ktk familia yangu kikakombolewe kupitia madhabahu huu Kwa jina la Yesu Kristo
asanti sana mtumish wa mungu
Asante mungu wangu saidia ndugu zangu wote mahali popote walipo kwadamu ya yesu
Mungu miwema amen
Amina mtumishi napokea kwajina la yesu kristo
Amen Mungu akubarikimtumishi
Amen nichindaniye baba ofo initikamo
Amen nashukuru mutumishi
Asante yesu kwakua umejibu na kutende katika maisha yangu saahii
Amen nitie nguvu Yehova...
Asante kwakumponya baba kifo kilichokua kimeandaliwa na wachawi baba🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen Amen Amen Amen
I need you my redeemer💪💪
Mungu uwe pamoja nami,wewe ndiye msaada wangu kabisa nyakati zote za shida maishani mwangu na familia yangu
Asante mungu wangu asante bwana yesu🔥🔥🔥🔥🔥
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sana ❤❤
Amina Mungu akubaliki sana maombi yako amenitimiza moyoni
Mungu nipe nguvu zaidi na neema yako itoshe Kwa maisha yangu na familia yangu
Amen Amen ubarikiwe mtumishi wamungu
Amen baba katika jina la yesu naomba unijalie katika nafsi yangu nisiwe vugu vugu kiroho
Amen, ninapokea maarifa ya kimungu, juu ya vita ya mkombozi wa familia aisee najiona ni mimi kabisa kupitia hili Somo. Mungu anisaidie nivuke nilipokwamishwa 🙏
Na watoto zetu wakomboe uwalinde kwadamu ya yesuuuuuuuuuu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amen MUNGU tusaidie na utusimsmie
Amina mwenyez mungu anisaidie katika kipindi hiki kigumu cha ugonjwa unaomsumbua Sana baba yangu aweze kupona maana ndugu wote wamejitenga na kuniacha mwenyewe
Asante kwakumponya mama angu pia kwadamu ya yesu 🔥🔥🔥🔥
Amen amen amen
Mungu wangu nakuhitaji nakuhitaji jehova
Amen bwana yesu napokea maombi haya nasema Asante nimebarikiwa sana sana mimi na familia yangu Amina
Nabalikiwa san mutumishi asate🎉🎉
God bless you too much 🙏 ❤
Amen amen
🙏🙏🙏 na Mungu pamoja awe nasi
Amen, Mungu tusaidie na utusimamie
Ameeeen 💪
Amina Mungu aendelee kutubariki
Amen 🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏
Iam Joshua in my lovely family,,,,,I should pray for m y family 🎉
Eeh Mungu unitangulie niwe na maarifa ya kutorudishwa nyuma na hofu ya adui Anae tufadha tusiimarishwe ashindwe kbx.
Mungu naomba uniongoze na unifungulie kazi ya kunifadha nishimamishe zaidi familia yangu,uongoze kaka na dada yangu kwa kila gisi wanavyo jitowa ajili ya famille
Amen 🙏 🙏 🙏
Amina
Amen
Great
Ameen asante mchungaji kwa mafundisho ya leo Mungu na akawe ndani yangu nami ndani yake nisije nikabadilika bali niendelee kukua kiroho 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Mtumishi Mungu azidi kukupa kibali Cha kutuelekeza katika njia zake ,,Mungu anisaidie nitende mema yake na anibariki kwa kila ninalolifanya
Mungu uwe pamoja nasi🙏🙏🙏
Nimejifunza sana kupitia wewe ata kwamaombi we we ndo mwarim wangu
AMINA
Amina Mtumishi , ubarikiwe sana
Bwana anisaidie na mahitaji family yngu
Mungu naomba unitie nguvu za maombi yuya watoto wangu🙏niko mwisho sasa naomba unitie nguvu tena
Nikiziungama dhambi zangu wewe ni mwaminifu sana, nihurumie Mungu Muumba Mbingu na Nchi
EMEN🙏🙏🙏
Mungu wajua peke yangu siwezi
Nakuitaji wewe peke yako mala nyingi nimekua nikiishia njiani kwa kila jambo
Hadi wokovu ninaishia njiani
Bwana wewe ndie Shahid wa maisha yangu
Naomba unikomboe mm Grace na familiar yangu 🙏
Ameni
Ameni🙏🙏🙏
Amina MUNGU Aikomboe familia yangu kuondokana na vitisho vyakila namna kwa kila mwovu adui
these are all blessings, may the ALMIGHT LORD GOD BLESS US ALLTOGETHER
O God, please give me strength
Ameen Ameen Ameen...Asante Mungu maan imenilenga kabsaaa Ukaniongoze Jehovah kwa Kila kitu....Mtumishi wa Mungu uzidi kubarikiwa sanaaaaa
Ameen pastor
Mtakatifu wa watakatifu naomba ukae ndani yangu nami ndani yako siku sote.ñitabarikiwa daima AMEN
Mungu akubariki
Nipe neema yako MUNGU ya kuwa jasiri kwa ajili ya family yangu
Amen ame
❤
Nateseka sana,ninapigwa sana na shetani,niombeeni
Amen amen amen 👏
Yani mungu Akupee maisha marefu unaguza roho za watu wengi sana,,,nilikua chini sana Asante kwa kuniinua tena🙏
Asante Mtumishi barik8wa sana
Amina 👏
AMEEN,, Asante YESU kwa sababu ww n mwema 🙏🙏🙏
Amen Amen 🙏
Amen, mungu nipe hekima na maarifa hapa duniani jinsi ya kulinda jamli yangu na watoto wangu.
Mungu azidi kutupigania nakutushindia🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu na Mungu akuzidishiye kibali ,afya na uzima uzidi kutufunza barikiwa sana.🙏
Mtumshi wa mungu mungu akutie nguvu sana kwajina la yesu endelea kutufuza
AMEN AMEN ❤❤
Mungu anijalie Mimi na familiar yang pamoja na wale wanao hitaj neema za Mungu kushinda Vita na maoteo ya shetani🙏🙏🙏
Amen 🙏🏽
Amen and amen 🙏🙏🙏🙏
Amen ❤
Amen 🙏🙏🙏glory be to God
Mungu wangu kumbuka familia yangu🙏🙏
Amina 🙏