LIVE:IBADA YA KUOMBEA MSHAHARA // KIPATO CHAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ย. 2023
- Hag 1:6
na yeye apataye mshahara apata mshahara ili kuutia katika mfuko uliotoboka-toboka.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Asante mungu kwa kunilinda mpk kufikia leo naomba uzidi kunilinda na kusimama na familia yangu peke yetu hatuwezi🙏🙏🙏🙏
Wale tunafanya kazi nchi za waarabu hii message ni yetu, team gulf konga like kama ni ukweli.
Ubalikiwe sana muchungaji wa MUNGU 🙌🙌🙌
Amen amen
Asante mungu kwaajili ya Ibada hii naamini usiku huu sitabaki kama nilivyo
Mungu wangu nakutegemea kwa kila kitu hapa duniani,na kwa sala hii naamini imekua
Mungu umenionaaa
Asante Mungu kwa mafundisho haya naamini nitaenda hatua nyingine mbele Asante Mungu
Roho mtakatifu tusaidie kwa ajili ya mishahara yetu ikaongezeke na ikatufae tunashukuru kwa maarifa na ugunuo wa maisha haya
Bwana Yesu christo Atukuzwe mtumishi Wa Bwana Kwa kuona bado naishi mpaka Leo, namuomba Yehova anibariki Namimi pia pamoja nawewe.
Ni wakati wa Mungu kunibadilishia hatua zangu kuniongezea ufahamu wangu ...
Hallelujah 🙏 Jina la Bwana libarikiwe daima!!
Asante MUNGU kwakuniamsha salama baba naomba kukukabizi famlly yangu naomba uilinde na kuiponya kila laana iliyonenewa kupitia kwangu na famlly yangu naomba ukaguse mkono wako bàba tuvuke salama mwaka 2023 na tuingie Salama 2024 fungua hitaji la moyo wangu🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ameni. Napokea kwa jina la YESU
Asante yesu kwa ajili ya maarifa haya
Naomba mungu anisaidie kudumisha mshahala wangu ili nikamilishe mipango yangu
Oh Jesus have marcy on us and forgive us 😢😢🙏🙏
Baba naomba nizidi kukufahamu mengine utanisidiahia 🙏🙏
Amen mtumishi wa Bwana
Yaani mungu ni mwaminifu sana nashukur Kwa kuijua hii madhabahu ya Siri za bibria 🙏🙏 mtumishi mungu akubariki sana
Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe sana mungu Baba Akulinde uendelee kutufundisha
Amen Amen Amen 🙏
Asante sana mungu Kwa kunilinda mpaka Leo naomba uendelee kunilinda kwajina la yesu
MUNGU akubariki sana
Asante mtumish wa mungu namushukul bwana amenilida 🙏🙏🙏🌺🌺 siwez bira yeye kitka maisha yangu
Àmeen Ameen
Asante Mungu kwa ajili ya zawadi ya uhai na afya njema nakushukuru kwa kua kipato changu cha oly na kev na cosy vinakwenda kuongezeka ajira biashara na mipango yao yote ya pesa inakwenda kuongezeka ktk jina Yesu alie hai
Amina Bwana naomba nizitawale pesa na zisinitawale zenyewe
Mungu naomba uguze maisha yangu na mashahara wangu
Amen Amen 🙏
Asantee Mungu kwa mafunuo🙌🙌
Baba naomba usimpungukie mtumishi wako, umkumbuke sana katika mahitaji yake, Wewe ni Mungu naamini unasikia na unatenda Baba!!
Amen nakushukuru mungu Kwa pumzi na uhai unipeo siku bada ya nyengine si kwamba Mimi nimkamilifu ila ni Kwa neema Yako
Amen Amen
Mungu anisaidie sana kwenye majaribu ninayo pitoa
Mafundisho mtumishi na mazuri sana mungu akubariki
amen mungu atuondoe katika hali ya utumwa
Ameeeeeeeeeeeeeeeeen ,Mimi naitaji boss wangu waniongeze mshahara Wangu kwanzia Leo.🙏🙏🙏
Holy Healing God Power, Holy Jesus, Holy Spirit, Holy Angels, Holy Forever, Amen 🙏🏼
Amen asante yesu
Asante sana kwa mafundisho mazuri sana munao tupatia kwakila siku,Mungu wangu nakuomba unisaidie kushinda vita inazikutanisha pale kwamakazi zangu,unichungie mshahara wangu Baba Mungu nisiwupotezee kwa vitu habina maana kingine Baba huyu mshahara usinitoe kwako Mungu wangu,amen.
Amen 🙏
🙏 AMEEN AND 🙏
Ahsante Bwana Yes kwa kazi uliyonipatia
Ahsante MUNGU WANGU kwa kunipa nafasi hii naimani umenisikia na nimepokea neema zako na vibali katika jina la yesu kristo mwana wa MUNGU aliye hai
Nashukuru sana mtumishi wa mungu
Amen
Ameni Ameni❤❤❤❤❤❤
See mungu naomba nisaidie katka maisha magungu
Asant yesu
Mungu nikumbuke pia nipate pahali nitaji simamisha na family yangu nifungulia jia inayo fahana na mm
Asante YESU kwa maarifa haya yanani hufu sana ❤❤❤❤❤
Yesu nisaidie
Amen ninaomba ushindi kwa jambo lolote ninalotenda
Asante MUNGU kwa kunionya mapema 🎉
Amen Mtumishi 🙏
Ameen hakika mtumishi umesema na mimi kbs nina miaka5 nje ya nchi lkn sina ninachokifanya asanteh Mungu kwa kusikia neno lako kwa kinywa cha Mtumishi wako inocent
Nikweli kabisa hii inchi imejaa dhuruma tu mungu tusaidie tupate hakizetu makazi ya majumbani nimagumu sana mungu tenda miujiza nilipwe hakiyangu kabla ya huu mwezi kuisha nilipwe kwajina la yesu kristo Ameeen
Ameen ameen Asante yesu
Ameeeeen
Naomba mungu Leo unizalie nipate usingiz kama wengine
Bwana yesu asifiwe Sana 🙏
Nakushukuru Mungu wangu. Asante Mungu wangu
Bwana yesu asifiwe Ndugu Paster Innocent kiukweli nasaidia sana namafundisho Yako ya siku zote Najazwa sana Namafundisho zako Mungu Azidi Kubariki kaka Sina kitu chakukulipa bali Mungu atakulipa
Mungu nikumbuke tena usinipite
Baba. Bariki mshahara wangu niutumie vyema naomba unizidishie Kibali kupitia mshahara wangu naomba desemba hiii niongezeee msharaha ifikapo January. Nipandishwe mshahara baba wewe ndo mtetezi baba nitetee na mimi
MUNGU. Ingilia Kati katika mahusiona yangu ninapo ingia mahusiano na mwanaume niongoze baba niwe katika moyo wenyewe ukalimu niongoze pia kwenye Kali zangu ninazo Tumi kuongea nipe maneno ya busara na hekima 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 kufanikisha mahusiona yangu yadumu na nijenge ndoa baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mungu ninashukuru kwa maana mimi bila wewe sio kitu ninakuomba endelea kubariki kazi yangu,msahara wangu ninakushuru kwa mwezi Decemberumenipigania sana wewe ni baba yangu ninaomba umbariki mtumishi wako Innocent Mashauri kwa huduma hii endelea kumtumia kama chombo chako 🙏🙏🙏
Nikwe baba mungu akubariki
Aamen
Amina
MUNGU wangu nakushukuru be kwa in kibali kwa mtumishi Innocent na watumishi wako wore waaminifu.SHUKA baba ukomboe fa milia zetu bado kuna watu wanajiinua kutuvurugia ,ingilia Kati baba UTUKOMBOE KILA NVANJA
Sawa🎉🎉🎉
Mungu tukumbuke na utuzingile na damu yako
Asante Mungu kwa mtumishi wako mwenye umetupa mufunikie kwa damu ya YESU KRISTO Amen Amen 🙏🙏🙏
Uliniumba nikuambundu yesu
Amen and Amen 🙏
Asanti roho mtakatifu 😊
Mungu uliye mbinguni asante kwa huyu mtumishi... nimesoma kitu may the spirit of God be with us hatujaumbwa kuajiliwa mungu abariki mshahara wetu... team gulf mungu atusaidie sana tusirudi nyumbani bure
Amen 🙏
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen and amen nashukuru mtumishi wa Mungu kwa haya maelekezo 🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌
Amen mtumishi
Amen🙏🙏, God bless you
Ameeeeeen
AMEN 🙏
Hᴀʟʟᴇʟᴜᴊᴀ ᴀᴍᴇɴ😢
Ameen
Kama mm ukweli mshahara wangu b4 nimalize mwezi imeisha na Niko na ndeni😢😢😢😢 mingi sana ee mungu wangu naomba unisaindie kupitia maombi haya ya Siri ya bibilia Jehovah 🧎🧎🧎🧎🧎
🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
That's me pastor please pray for me salary yangu ifanye mambo my family, I miss my kinds, and yet they are not OK with what I send to them, am feeling so lonely, 🙏🙏🙏please help me pastors
Amina utukufu ni wa Mungu tuamini itakuwa maana yupo upande wetu katika kila hatua❤
Hallelujah 🙏🙏
Be blessed pastor
Ameen Ameen nimebarikiwa sanaaa
Shalom
Mungu akubariki sana Mtumishi
Amen amen 🙌🙏🙏 barikiwa sana mtumishi wa mungu
AMEN 🙌🙌🙏🙏 Yesu akulinde mtumishi
Mungu tusaidie baba bila wewe atuwezi